Khutba iliyo watatiza wenzgi.(FULL)_Muhammad N Bachu.
Вставка
- Опубліковано 18 вер 2024
- Tafadhali Bonyeza neno subscribe kisha Bonyeza alama ya kengele itakayokuja ili kupata video zetu mpya.
Like
Share
Comment
Saidia kusambaza kheri ili ikunufaishe baada ya kuondoka duniani.
Uhifadhiwe na Allah
Allah akuzidishie zaidi 'ilmu yenye manufaa duniani na kesho Akhera
Allah akuhifadhi, akupe afya na kwa kila Shari na hasad akuepushe kwazo na akuweke Kinga madhubutii
JazaakAllahu khayr
Sheikh Muhammed MashaAllah saut yako inaaza kuja kama ya baba yako Nassor Bachu kazabuti nduyangu mawaidha yanataka ukali ili usisimke kido naam nakukubali sana
titamuja hapo zanzibar tumkhuruju mana hana adabu sisi kazi yetu ni hiyò
Allah akuhifadhi mwalimu wetu
Allah akulipe kher sheikh wetu jazakallah khaira
Mashallah like father like son
Asalam alekum allah akuzidishie ilmu na kukuhifadhi na kila aina y shari
Hutba kamaizi ndoninazipenda maana hulali lakini mahatibu wengine wanachombeza mwanzo mwisho unadoneyatu lazima hatib uwemkali bali siyo unakuwalaini laini kama mlenda hongerasana Shekh Muhammad N Bachu👏👏👏👏👏👏
Mashallh
Subhana Allah 😭 Yaa Rabbiy tufishe hali ya kuwa umeturidhia 🤲🏼
Assalam aleykum warahmatul wabarakatul allah akuhifadhi sheikh wangu
💙💙mashallah
Ust. Lingania kwa hekima na
Busara.
Tuelimishe bila kutujaza chuki na
Kuipa nguvu migawanyiko.
Heshimu Mashekhe wenzio.
Mimi sio shekhe rafiki yangu. Niombee dua niwe shekhe
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. akhy naomba mamba yako ndugu yangu kuna majambo kidogo ningependa unishauri
@@maulidmnukwa3171 0772 968311 WhatsApp only.
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. maaashallah nakuoenda saana kwaajili ya Allah
nikweli kabisa
Asalaam alaykum all akh UST Muhammad .mm nko Kenya nimaoni akhii احبك للاه ukifika pakumnasibisha Allah katika durus muite kwa majina take (Allah) pasi nahayo mengine ,afuan .
Mshaaalh unafata mule mule alimopita mareh baba ako bachu
Kijana anahitaji msasa mashehe mkowapi
Huyu jamaa anajua sana mungu amzidishie asichoche atuongoze mapasho pelekeni baa iyo hii dini nwache aongee ukweli
Alhamndulilah namshukuru ALLAH mm na kizazi chetu tukuwa waislam
الحمد لله بنعمة الإسلام، نسأل الله العظيم أن لا يأخذنا إليه إلا ونحن مسلمين
Masha Allah. Allah akubariki
Masha Allah!
ewe mula tujalee mwisho mwema tujalie tundum katika kheri
MashaAllah
Twataka utuwekee sehem ya coment ndo shida yetu sehem nyingine waweka sehem nyingine huweki utapata vipi maoni ya watu au hujiamini
Ilaa ibilisa
Jazaka Allahu kheir.Hapa kuendeleza uislamu na viumbe ambae bado hawajaona haki,na kusema musivunje majengo ya waumini,vp hapa ?
Hakika allah atujaalie qaul thabit
Ckiliza sana mawaidha ya clips za baba yako ili uipate barabbara sauti yake
Asante ila sauti sio muhimu sana, kutoa elimu ndio muhimu, au waonaje?
Usiige sauti hata kama ni ile ya baba bali fikisha ujumbe wa Allah kwa sauti ile aliyokujaalia yeye Allah.
Mcheni abeid wewe Allah atakuwa anakujaalia hivohivo ukitizama mawaidha hupat kitu. Ni shiida. You need Tazkya ya nafs Wallahi. Kuna Neema kibao kwenye huu ukumbusho lakini hujaona kitu. Innalillahi wa innailayhi rajioon.
shehe bado jipike sana acha kukosowa wakati huna hata fani ya swarufu
Acha izo uwo ukafi wa kupinga pinga muhimu ukumbusho
We unayo?
Jee dua alotufundisha Nabii Ibrahim kuhusu walidayn?tuisome ama vp?
Alishaijibu Allah kwenye suurat tauba usome tu akhii
Huyu shekh huwakosea adabu wanazuoni hata si wakumsikiza
lakin ndo kawaida yenu masalafi mnasubir watu waseme tu mukosowe nynyi mbn hamusemu kbl ya watu kusema nnacho omba mujielewe
Nani Msalafu ? Mue mnajielewa. Shekh Bachu Anakata Makundi yote kiujumla Salafu,tabligh,......sasa wewe waja nayako
Iyo inaitwa chiki dhidi ya sunnah na watu wake
Shekh wangu. Hapo sijakufahamu. Kwamba Mtume wetu hakumuombea dua mama yake kwa sababu alikuwa mshirikina au vipi?
Shekhe uko vizury ila mambo yaku kosoa mashekhe wezako si utaratibu na mwenendo mzury kwetu waislam
Sheikhe endelea na daawa achana na vimeo
Ndio hivyo mtume alikatazwa kumuombea dua mama yake
@@hilalkhalfan1452 hahaha.... Akhy nenda katika swahihi Muslim ukurasa was 976 utakutana na hadithi mtume akisema nilimtaka idhni Allah juu ya kumtakia maghfiravmamaangu akankatalia, na nikamtaka juu ya kuhudhuria katika qabri take akaniruhusu , yazuruni makaburi kwahakika huko kuzuru makaburi hukumbusha mauti. Au unataka tuandike kwa kiarabu akhy
@@hilalkhalfan1452 hakuwa muislam ndio maana alikatazwa asimuombee dua na ujue kuwa walikuwepo watu waliokuwa wakimuabudu mingu mmoja ambao baada ya utume wa Muhammad sallahu alayhi wasallam wao waliendelea kukubali imani ya mungu mmoja kwaiyo mama take hakuwa na udhuru was kuto kuamini na mfano mzuri ni waraqa bin nawfal aliye mtafsiria juu ya yule aliyemuona pangoni kuwa ni namus kwa maana ya jibreel
tumia hekma mtume hakuwa hivyo licha ya mtme huyo baba yk alipinga si hivyo ww umezid
Soma wewe utumiehekima
@@ahmadsaid5845 wewe umesha soma??