Shida ya waandishi wa habari ni kutoelimisha hatua ya kusitisha mkataba kuendelea kwa watu ili watu waelewe vizuri sakata. Bila hivyo watu wataakaa bila kujua mmiliki halisi wa mchezaji. Elimisha njia za kusitisha mkataba au makubaliano Kama zimefatwa au la Kama vilifatwa watu wajue mmiliki
Nyinyi sio watu wazr mnakatalia lawi mnadhan anafurahia Hilo swala
ROHO MBAYA.WANAMBANIA DOGO HANA HATA RAHA
Duu pole Sana lawi kwa hili
Lawi Hana Amani ya moyo Hadi amenuna kuikosa simba
Uyo ataondoka akiwa huru naligi ikianza hatoonyesha makali malengo yake sio kucheza cost😅😅😅 anataka kwenda juu
Daaa!!!...dogo Hana amani....tff ingilieni kati dogo moyo unamsononeka sana...dogo muulize fei toto alishindaje hizo vita kama hiyo
Mnambania dogo kupata maisha yake
Wanamkatalia lawi kuondoka alafu shirikisho caf hamfiki popote
Mnazani anapenda laki kuliko mil
Shida ya waandishi wa habari ni kutoelimisha hatua ya kusitisha mkataba kuendelea kwa watu ili watu waelewe vizuri sakata. Bila hivyo watu wataakaa bila kujua mmiliki halisi wa mchezaji. Elimisha njia za kusitisha mkataba au makubaliano Kama zimefatwa au la Kama vilifatwa watu wajue mmiliki
Cost bure kabisa ninyi
Lawi anapotea kimya kimya kwenye şoka
Mbna kuongea mchezaji TU mnaogopa au Kuna kitu mnajua ataongea nn hata yy czani kama amependa
Kwani LAWI yeye anasemaje??
Muacheni aende
Unazungumza ujinga , Lawi atachelewa kucheza mwaka huu.
We nifala😊
SI MSEME TU HIZO NI FITINA ZA MATOPOLO MACHOGO FC
uyo anakwenda kupotea
😂😂😂😂😂 Simba nidude kubwa,sana Simba nikubwa kuliko,lawi mnachokifanya mnaweza kukijutia bade kwani,mchezaji,huyo,inawezekana asicheze Simba Wala kosto hadimwisho wamsimu