Mh.Sugu endelea kujenga Chama hao mafisi acha waendelee kukorogana hao wana Laana na hiyo ndiyo inawatafuna na bado itawafuna wataropoka mengi na mwisho wataanguka na ccm yao ya mafisadi ndiyo inaenda hivyo! Acha Mungu afanye kazi yake! Sugu angalia na wewe usije kununuliwa ukaolewa kama Msigwa!!?
Nani ajifunze kwa mafisi
Na bado watsondoka wengi laana ya Magufuli inawatembelea Mungu anatoa nsjibu taratibu
Wakimpa Msigwa uongozo watalia , mchonganishi mno.
Mh.Sugu endelea kujenga Chama hao mafisi acha waendelee kukorogana hao wana Laana na hiyo ndiyo inawatafuna na bado itawafuna wataropoka mengi na mwisho wataanguka na ccm yao ya mafisadi ndiyo inaenda hivyo! Acha Mungu afanye kazi yake! Sugu angalia na wewe usije kununuliwa ukaolewa kama Msigwa!!?
Sugu kapambanie jimbo la Iringa acha kelele! Ukipoteza hapo umeumiza chama
Mm nakuja kumpigia kampong sugu
Anataka kuhamia chadema ili wampe uongo