RAIS SAMIA ALIVYOMTAMBULISHA MUME WAKE KWA MANENO YA.. UTAPENDA 'MAPENZI MBASHARA' / "ACHANA NAO"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 чер 2022
  • #UhondoTV #Uhondo

КОМЕНТАРІ • 12

  • @melie-mun123
    @melie-mun123 2 роки тому

    Mama Songs mbele,kazi iendeleeeee

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 роки тому

    Wamama msiogope huu ni wakati wenu. Nani Kama mama hakuna. Mkimkomboa mwanamke mmekomboa Taifa. Pemye mama mtoto hakosekani na mtoto akiwepo baba yupo. Hongereni Sana.

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 роки тому

    Kumbe Mh hukuwa na theory ya mtoto wa nyoka ni nyoka. Ungekuwa wa kujikweza kweza tungeshawafahamu wanao. Makongoro alisema " Mwalimu aliniacha Kama mtoto wa Mwalimu sio mtoto wa Rais". Hekima kubwa Sana Hongera kwa kumuunga mwana mkono. Aendelee kumpigania mwanamke wa Tz kumkomboa ktk maji na kuni. Wamama mnaweza.

  • @pastorgodsonjohn8562
    @pastorgodsonjohn8562 2 роки тому

    Uhondo kwa mara ya kwanza mmenitia hasira kichwa cha habari na kilichoko kwenye video ni tofauti kutafakari ukiitaji kuwa super brand usitumie uongo

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 2 роки тому +2

    Ningepnda pawe na Sheria ambayo inakataza Rais kua na dini. Kwakua ukianza kwakusema kwenye lugha ya dini yako na salam ya dini yako lakini ukashindwa kusema kwenye salamu ya dini ya watu wengine, utaingia kwenye mgogolo wa imani

    • @binshaaban8737
      @binshaaban8737 2 роки тому

      Salamu ya kiislamu ni universal
      Maana yake ni:
      "Amani ya Mola iwe juu yenu"

    • @lusakaone7782
      @lusakaone7782 2 роки тому +1

      Acha udini

    • @charleskaozya9924
      @charleskaozya9924 2 роки тому

      Ujakosea kusema upo sahihi kbs Ila mm naona Kama vile mkutano wao huo una watu wa pande moja wengi but it's okk we don't care MUNGU Wetu si mmoja lkn

    • @user-du3bb5fs6t
      @user-du3bb5fs6t 4 місяці тому

      Umenena

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 роки тому

    Hebu wanawake muwakomboe wanawake wanateseka ktk maji na kuni. Mwanamke alipata maji na gesi kupikia hakika ni warembo kuliko hata Ethiopia. Mateso ya kuni na Maji yanaondoa urembo wao wa asili. Jipangeni kuinua wa vijijini. Wababa tuko nanyi. Tunataka Taifa la warembo wenye natumaini ya kupata maji na gas wasiote vipars nywele kubeba kuni na Maji.

  • @innocentjoseph805
    @innocentjoseph805 2 роки тому

    Mhm raisi nasikia anaundugu na rais wa Zanzibar wa xaxa🤔 ? Nikweri ndug zangu au maneno ya watu???