Ahsante kwa msaada unaotupa wakufungua akil zetu binafsi nakukubali sana kila unachosomesha kimenikuta nshabdilika kupitia wewe brother j nanauka mola akubarik sana
Kwa kweli nimepata faida kubwa ambao sikua na idea nao ila asante sana mr joel arthur na mimi ni mmoja wa mfuasi wako nimeanza wiki saivi kukufatilia na nimeona unatusaidia kwa kweli..
Nimekuelewa maana mm mwenyewe nataka kuanzixha biashara umenifungua ahsante mwenyez mungu akubaliki uendee kutufunza ujumbe wewe ndoo tegemez letu la taifa letu tunakupenda xana mwalimu naitwa Denis kutoka kigoma
dahh umenikosha sana maana umepitia humo humo nilpo pitiaga mm nilijenga mapwma hata miaka miwili haikufika kilichofuata ni azabu kubwa sana kuupandisha mtajia tena ila nashukuru mungu tena niliibuka kwa hiyo nilishaga jifunza upande huo wew ni mwalimu mzuri sana tena sana na hongera sana ubarikiww sana
mimi sababu inayo sababisha ni ferry na thani ni hii ya kwanza kuchanganya matumizi na msingi ina ni galim sana ila kwa kuwa ume ni elewesha kaka nita lifanyia kaz ahsante
Habari....Mimi naitwa Mama Natalia,ninaduka la rejareja lakini nikiuza sioni faida yani natumia nguvu nyingi lakini sifaidiki na biashara yangu,naomba ushauri nifanyeje maana inafikia Mda naona kama napoteza Mda
nzur ,lkn kama mkiwa mmeanzisha kwanzia watu wawili na yeye anataka mkifanya tu na mkapata faida anaitaka hyo faida ili afanyie mambo yake mengine ,he utanisaidiaje ktk hlo Joel
Asee ni ukweli mtupu Binafsi nilipo toka Chuo niliamua kufanya biashara ya popcorn na Kiukweli ilikua vzuri tu ila nikosea pale nilipo chukua pesa ya biashara na kuingiza kwenye mambo ya siasa..... Ila namshukuru MUNGU bado biashara haijatetereka Sana na mpaka sasa naendelea nayo ....
ninamtaji lakini sijajuwa biashara ya kufanya kwa sababau ninaogopa kufe niliacha kazi nikaingia kwenye biashara nikafeli nilichekwa sana hidi nilirudi kwenye kazi ya awali
Sawa nimekuelewa ila sijakusoma vizur hapo pakuchukua pesa ya biashara sasa nitaishi vip wakati mi nimejiajili katika biashara yangu na sina kingne kinachoniingizia fedha na mda wote nipo hapa katika biashara sa nitakula wapi au nivaa wap
Sababu ya kwanza ipo sawa ila kwa mimi mkulima naona kama inakuwa ngumu. Nalima, nauza mazao then inanibidi nitumie kiasi cha pesa katika mauzo kwa ajili ya mahitaji ya familia, kiasi kingine nihifadhi kwa ajili ya kilimo next time.
Nakukubali sana bro you are the one huna maneno yasiyoeleweka na mengi kama wengine
Najiandaa kwa kujichanga ili nije kufungua biashara yenye mizizi migumu sana na mikubwa sana itakayotambaa na kufika mbali In shaa allah
allahumma amiin allahu baarik
Best Advices for Business thank you brother 👏
Ahsante bro kwa elim unayotoa mola akubarik sana
Ahsante kwa msaada unaotupa wakufungua akil zetu binafsi nakukubali sana kila unachosomesha kimenikuta nshabdilika kupitia wewe brother j nanauka mola akubarik sana
Nakuelewa sana brother
Asante kwa ushaur Mungu akubariki
J , Mungu akubaliki xna nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa Sana kwa elimu yako
Kwa kweli nimepata faida kubwa ambao sikua na idea nao ila asante sana mr joel arthur na mimi ni mmoja wa mfuasi wako nimeanza wiki saivi kukufatilia na nimeona unatusaidia kwa kweli..
Nimejifunza ,Asante ubarikiwe
Asante bro umenifunza kitu maana nilikuwa nafeli sana,god bless u for coach us.
Nimeelewa somo Asante
Nimekuelewa maana mm mwenyewe nataka kuanzixha biashara umenifungua ahsante mwenyez mungu akubaliki uendee kutufunza ujumbe wewe ndoo tegemez letu la taifa letu tunakupenda xana mwalimu naitwa Denis kutoka kigoma
Asantee sana kaka Joel mi ya kwanza hiyo imenikosha kwa kweli
Daaaah asante kwa somo hili
hongera kwa kazi nzuri
Asante brother. Matumizi makubwa yalishawah kunikwamisha.
dahh umenikosha sana maana umepitia humo humo nilpo pitiaga mm nilijenga mapwma hata miaka miwili haikufika kilichofuata ni azabu kubwa sana kuupandisha mtajia tena ila nashukuru mungu tena niliibuka kwa hiyo nilishaga jifunza upande huo wew ni mwalimu mzuri sana tena sana na hongera sana ubarikiww sana
napenda sana vipindi vyako,thanks much bro hesha kwako na hiii ndo inaonyesha ni namna gani now vijana tunazid kua naawazo mapana kila kukichaaa
One see u big broo
sababu ya mwisho imemfelisha my brother
Ebwana mm nimwanafunziwako mzulisana unanielimisha kilaninapokusikiliza asantekaka mungu akubariki
safi kaka joel mafundisho mazuri
mobile solution karibu sana,ahsante sana kuendelea kufuatilia
Hapa kwenye business entity kutii hii kanuni ndio kwenye changamoto ya wengi, ahsante sana.
Dah kwel kbs hiz sabab nd zinazofelisha biashara haswa haswa y kwanza
Sababu namba 1 iliwahi kuniangusha ila sasa nimekuja na kanuni ya come back
asante sana Joel nimeelewa kwa upande wangu hiyo ya 3 ndo iliyoniathiri nisaidie mawazo nifanyeje
Tunakushukuru kaka
mimi sababu inayo sababisha ni ferry na thani ni hii ya kwanza kuchanganya matumizi na msingi ina ni galim sana ila kwa kuwa ume ni elewesha kaka nita lifanyia kaz ahsante
ujumbe, mzur sana
Akika nimepata kitu , barikiwa 🙏
Vizuri sana
Asante Kaka God bless you
Thanks bro. Stay blessed
Yan asant saan mm nimejianda vizuli
Aisee Nmekuelew Vzr Bro Mi Hiyo Ya Pili Na Ya Tatu Ndo Zmenifelisha Biashara Hatimae Imekufa Kabisa.
Sikuwahi kujua hazina iliyopo ndani ya huyu kaka
Ndo nimesikia leo kupitia clouds fm na kuanza kumtafuta huku you tube
God bless you
Nerea Igogo ahsante sana,tuendelee kujifunza
Hakika Kaka mi nataka kuanzisha biashala na kwa hakika Kuna kitu umenijenga asant Sana mungu akubaliki
Vitu muhimu sana kaka pamja sana
Uko vzur mno
See youu
Asante nimeelewa
Sababu yakwanza kmnd da Nashukuru Sana Sasa ntafanya aje ili nisitumie
Asante joel umenifuninua kitu apo maan nilikuwa na pupa ya kutanua biashara kwa haraka nakutakia kaz njema
Apo kwenye kuweka mizizi ya biashara sjakuelewa vzr
Mizizi ipi labda
Zafarani Mrisho zarani mizizi ni kuimarisha
Naendelea tu kujifunza mwalimu wangu
Napenda kuwa mchumi
nimekuelewa sana
Kaka wee nomah
safi
Habari....Mimi naitwa Mama Natalia,ninaduka la rejareja lakini nikiuza sioni faida yani natumia nguvu nyingi lakini sifaidiki na biashara yangu,naomba ushauri nifanyeje maana inafikia Mda naona kama napoteza Mda
Daaaah ubalikiwe kaka
Asante Mungu akutunze
Ya kwnza
Namba 1 inanisumbua
thanks kaka nimejifunza kitu kipya kwenye biashara yangu
Mimi huwa naferi sana ngj nijifunze
oy bro nimejifunza.
Upo vizuli sana
Hii sababu ya pili naomba ifafanue zaidi
Joel naomba utuletee somo la kudeal na wateja wakopaji katika biashara yako nawezaje kufanikiwa na wateja wanaokopa
Nakuelewa sana kaka
nimekuelewa kaka
Niko Kenya pongezi Kwa kipindi
Asante sana nimekuelewa sana
David Mbilinyi karibu,pamoja sana
Mm sababu yangu yakufeli nauza sana ila pesa nyingi nazitumia
Na mm nimmoja wao umenigusa kweli
Boss wangu yupo katik haali kupenda wafanykazi wake
Mizizi unajengaje?
Hebu sababu ya pili ifafanue zaidi sijaelewa...
Asante sana
Tunashukuru kaka kwaelimu yako
Thanks nimepata Kitu kimpya kwenye biashara
Soud beats pamoja sana
Naomba namba yako ya sim
👏
Msisahau mwaka 2019 hakikisha pesa yoyote inayopita mikononi mwako uishike na usiruhusu ikatoka kizembe kwa vitu visivyo na maana
Happy new year
Nikweli kaka ata mm mwenyewe nashindwa kukuza biashara yangu
nzur ,lkn kama mkiwa mmeanzisha kwanzia watu wawili na yeye anataka mkifanya tu na mkapata faida anaitaka hyo faida ili afanyie mambo yake mengine ,he utanisaidiaje ktk hlo Joel
mruga mhono kabla haujaanZa biashara na mtu ni lazima mkubaliane kwanza
Biashara za watu wawili zinachangamoto Sana na mbaya zaidi akiwa mmoja wapo anataka mafanikio ndani ya muda mfupi
"No expart for five days "
@@piusnjechele3815 nahazifai mwaeza hata kuumizana mkifanikiwa
Nanauka umenifungua kwenye nyanja nyingi kiukweli hata elim yangu ya chuo kikuu nadhani isinge mudu MUNGU akubariki zaidi
Sikupingi kk
kiukweli Mimi ni muhanga wa hili
Sababu ya kwanza kka
Shukran kwa kutuelimisha, swali langu botany vyako vinapatikana wapi kwa mkowa wa tanga
Hassan Bakari nashukuru kwa kutembelea channel Hii,utavipata kupitia 0756094875
Joel Nanauka
Asantee sanaa
ni kweli sana sasa nipigie nipe namba zako ili nipate vitabu mbalimbali
Imeningusa no 1 nitajitahidi kubadilika
Ester Amon nakutakia mafanikio ,tuendelee Kujifunza
Shat zuri sana umependeza
sababu hiyo ya tatu
Asee ni ukweli mtupu Binafsi nilipo toka Chuo niliamua kufanya biashara ya popcorn na Kiukweli ilikua vzuri tu ila nikosea pale nilipo chukua pesa ya biashara na kuingiza kwenye mambo ya siasa.....
Ila namshukuru MUNGU bado biashara haijatetereka Sana na mpaka sasa naendelea nayo ....
Namba mbili ilishanikuta
Nakuelewaga sana joeli, ni kweli hayo unayoongea.
Nimekuelewa sana kaka sabab ya kwanza na tatu inanihusu samahani nitafanya nini Ili nisingilie kati ya matumizi ya nyumbani na duka
Nimekuewa xna brooo tatizo langu kubwa ni matumizi yaliyo nje na biashara
ninamtaji lakini sijajuwa biashara ya kufanya kwa sababau ninaogopa kufe niliacha kazi nikaingia kwenye biashara nikafeli nilichekwa sana hidi nilirudi kwenye kazi ya awali
Asante
Sawa nimekuelewa ila sijakusoma vizur hapo pakuchukua pesa ya biashara sasa nitaishi vip wakati mi nimejiajili katika biashara yangu na sina kingne kinachoniingizia fedha na mda wote nipo hapa katika biashara sa nitakula wapi au nivaa wap
Duuu kwel apo kwenye kutanua biashala bila kuweka mizizi
Thanks
Masomo yako yanahitajika sana kwa Vijana hasa katika kipindi kama hiki ambacho ajira zimekuwa ngumu.
Kaka mimi nitajiandia vizuri ili hizi sababu sisinifelishe mara nikianza tu Biashara yangu.
MUNGU akubariki sana.
Shukran
Asante kaka Joel hayo yote nimeyapitia coz sikujua sababu hz
Bitrice Bitrice naamini baada ya leo utaanza kufanya vizuri
Sababu ya kwanza ipo sawa ila kwa mimi mkulima naona kama inakuwa ngumu. Nalima, nauza mazao then inanibidi nitumie kiasi cha pesa katika mauzo kwa ajili ya mahitaji ya familia, kiasi kingine nihifadhi kwa ajili ya kilimo next time.