Sababu 3 zinazoongoza kuua biashara

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 162

  • @rwetunikamathayo2065
    @rwetunikamathayo2065 Рік тому

    Nakukubali sana bro you are the one huna maneno yasiyoeleweka na mengi kama wengine

  • @kingoman7895
    @kingoman7895 6 років тому +13

    Najiandaa kwa kujichanga ili nije kufungua biashara yenye mizizi migumu sana na mikubwa sana itakayotambaa na kufika mbali In shaa allah

  • @abeljohn8607
    @abeljohn8607 4 роки тому +1

    Best Advices for Business thank you brother 👏

  • @swabrihamismvulla6423
    @swabrihamismvulla6423 6 років тому +2

    Ahsante bro kwa elim unayotoa mola akubarik sana

  • @swabriissa2034
    @swabriissa2034 5 років тому

    Ahsante kwa msaada unaotupa wakufungua akil zetu binafsi nakukubali sana kila unachosomesha kimenikuta nshabdilika kupitia wewe brother j nanauka mola akubarik sana

  • @ShukuluMohammed-mc2fy
    @ShukuluMohammed-mc2fy Рік тому

    Nakuelewa sana brother

  • @abelmwilapwa1111
    @abelmwilapwa1111 4 роки тому

    Asante kwa ushaur Mungu akubariki

  • @enockmathias3470
    @enockmathias3470 2 роки тому

    J , Mungu akubaliki xna nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa Sana kwa elimu yako

  • @amarsohal2929
    @amarsohal2929 6 років тому +2

    Kwa kweli nimepata faida kubwa ambao sikua na idea nao ila asante sana mr joel arthur na mimi ni mmoja wa mfuasi wako nimeanza wiki saivi kukufatilia na nimeona unatusaidia kwa kweli..

  • @esterkessy3877
    @esterkessy3877 5 років тому

    Nimejifunza ,Asante ubarikiwe

  • @alextibamanya5229
    @alextibamanya5229 6 років тому

    Asante bro umenifunza kitu maana nilikuwa nafeli sana,god bless u for coach us.

  • @nicksanga6454
    @nicksanga6454 3 місяці тому

    Nimeelewa somo Asante

  • @denniscastory3924
    @denniscastory3924 2 роки тому

    Nimekuelewa maana mm mwenyewe nataka kuanzixha biashara umenifungua ahsante mwenyez mungu akubaliki uendee kutufunza ujumbe wewe ndoo tegemez letu la taifa letu tunakupenda xana mwalimu naitwa Denis kutoka kigoma

  • @leticialupembe6956
    @leticialupembe6956 Рік тому

    Asantee sana kaka Joel mi ya kwanza hiyo imenikosha kwa kweli

  • @mwelamalibila8988
    @mwelamalibila8988 5 років тому +1

    Daaaah asante kwa somo hili

  • @burtonmwakitalim2142
    @burtonmwakitalim2142 6 років тому

    hongera kwa kazi nzuri

  • @georgewilliam7319
    @georgewilliam7319 6 років тому

    Asante brother. Matumizi makubwa yalishawah kunikwamisha.

  • @malalezengo4405
    @malalezengo4405 6 років тому +1

    dahh umenikosha sana maana umepitia humo humo nilpo pitiaga mm nilijenga mapwma hata miaka miwili haikufika kilichofuata ni azabu kubwa sana kuupandisha mtajia tena ila nashukuru mungu tena niliibuka kwa hiyo nilishaga jifunza upande huo wew ni mwalimu mzuri sana tena sana na hongera sana ubarikiww sana

  • @hansramadhan8945
    @hansramadhan8945 6 років тому

    napenda sana vipindi vyako,thanks much bro hesha kwako na hiii ndo inaonyesha ni namna gani now vijana tunazid kua naawazo mapana kila kukichaaa

  • @vicentmatoboki7288
    @vicentmatoboki7288 3 роки тому

    One see u big broo

  • @ccmtangamedia
    @ccmtangamedia 2 роки тому

    sababu ya mwisho imemfelisha my brother

  • @hafidhusulemani8277
    @hafidhusulemani8277 6 років тому

    Ebwana mm nimwanafunziwako mzulisana unanielimisha kilaninapokusikiliza asantekaka mungu akubariki

  • @mobilesolution2413
    @mobilesolution2413 6 років тому +1

    safi kaka joel mafundisho mazuri

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому

      mobile solution karibu sana,ahsante sana kuendelea kufuatilia

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 6 років тому +1

    Hapa kwenye business entity kutii hii kanuni ndio kwenye changamoto ya wengi, ahsante sana.

  • @furahabaraka2705
    @furahabaraka2705 4 роки тому

    Dah kwel kbs hiz sabab nd zinazofelisha biashara haswa haswa y kwanza

  • @buruhanimtonya8078
    @buruhanimtonya8078 2 роки тому

    Sababu namba 1 iliwahi kuniangusha ila sasa nimekuja na kanuni ya come back

  • @ceciliamatiku442
    @ceciliamatiku442 6 років тому

    asante sana Joel nimeelewa kwa upande wangu hiyo ya 3 ndo iliyoniathiri nisaidie mawazo nifanyeje

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 2 роки тому

    Tunakushukuru kaka

  • @symoniezekiely2862
    @symoniezekiely2862 5 років тому

    mimi sababu inayo sababisha ni ferry na thani ni hii ya kwanza kuchanganya matumizi na msingi ina ni galim sana ila kwa kuwa ume ni elewesha kaka nita lifanyia kaz ahsante

  • @swahabatv48
    @swahabatv48 6 років тому +1

    ujumbe, mzur sana

  • @zebyharson5577
    @zebyharson5577 2 роки тому

    Akika nimepata kitu , barikiwa 🙏

  • @melvinnakhungu2504
    @melvinnakhungu2504 2 роки тому

    Vizuri sana

  • @elizabethzabron8489
    @elizabethzabron8489 6 років тому

    Asante Kaka God bless you

  • @rebekamtafya7386
    @rebekamtafya7386 3 роки тому

    Thanks bro. Stay blessed

  • @suleimanupunda3265
    @suleimanupunda3265 3 роки тому

    Yan asant saan mm nimejianda vizuli

  • @Almisbahy9551
    @Almisbahy9551 6 років тому

    Aisee Nmekuelew Vzr Bro Mi Hiyo Ya Pili Na Ya Tatu Ndo Zmenifelisha Biashara Hatimae Imekufa Kabisa.

  • @nereaigogo4442
    @nereaigogo4442 6 років тому +1

    Sikuwahi kujua hazina iliyopo ndani ya huyu kaka
    Ndo nimesikia leo kupitia clouds fm na kuanza kumtafuta huku you tube
    God bless you

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому

      Nerea Igogo ahsante sana,tuendelee kujifunza

  • @InnocentMagoza-pu9wn
    @InnocentMagoza-pu9wn Рік тому

    Hakika Kaka mi nataka kuanzisha biashala na kwa hakika Kuna kitu umenijenga asant Sana mungu akubaliki

  • @jeremiahgyunda5632
    @jeremiahgyunda5632 Рік тому

    Vitu muhimu sana kaka pamja sana

  • @simonjustin5921
    @simonjustin5921 3 роки тому

    Uko vzur mno

  • @bibianaalfred8444
    @bibianaalfred8444 4 роки тому +1

    See youu

  • @WilliamJulius-p1q
    @WilliamJulius-p1q Рік тому

    Asante nimeelewa

  • @nasorontayega663
    @nasorontayega663 4 роки тому +1

    Sababu yakwanza kmnd da Nashukuru Sana Sasa ntafanya aje ili nisitumie

  • @bakarkhamis7749
    @bakarkhamis7749 5 років тому

    Asante joel umenifuninua kitu apo maan nilikuwa na pupa ya kutanua biashara kwa haraka nakutakia kaz njema

  • @zafaranimrisho2111
    @zafaranimrisho2111 6 років тому +4

    Apo kwenye kuweka mizizi ya biashara sjakuelewa vzr
    Mizizi ipi labda

    • @malalezengo4405
      @malalezengo4405 6 років тому

      Zafarani Mrisho zarani mizizi ni kuimarisha

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 5 років тому

    Naendelea tu kujifunza mwalimu wangu

  • @fatajoshow8640
    @fatajoshow8640 2 роки тому

    Napenda kuwa mchumi

  • @m-clanofficial6158
    @m-clanofficial6158 6 років тому +1

    nimekuelewa sana

  • @mohammedyassin8786
    @mohammedyassin8786 5 років тому

    Kaka wee nomah

  • @chizalukasi
    @chizalukasi 11 місяців тому

    safi

  • @nataliaswei1437
    @nataliaswei1437 2 роки тому

    Habari....Mimi naitwa Mama Natalia,ninaduka la rejareja lakini nikiuza sioni faida yani natumia nguvu nyingi lakini sifaidiki na biashara yangu,naomba ushauri nifanyeje maana inafikia Mda naona kama napoteza Mda

  • @levocatusgatu4295
    @levocatusgatu4295 5 років тому

    Daaaah ubalikiwe kaka

  • @tinamgeni2562
    @tinamgeni2562 6 років тому

    Asante Mungu akutunze

  • @barikipeter721
    @barikipeter721 6 років тому +1

    Ya kwnza

  • @mussalulenga9939
    @mussalulenga9939 2 роки тому

    Namba 1 inanisumbua

  • @irakozemaissarah4325
    @irakozemaissarah4325 6 років тому +1

    thanks kaka nimejifunza kitu kipya kwenye biashara yangu

  • @raphiarenatus7259
    @raphiarenatus7259 4 роки тому

    Mimi huwa naferi sana ngj nijifunze

  • @abdinakusaga8727
    @abdinakusaga8727 5 років тому

    oy bro nimejifunza.

  • @jumasaid9212
    @jumasaid9212 6 років тому

    Upo vizuli sana

  • @muhsinkombo3736
    @muhsinkombo3736 4 роки тому

    Hii sababu ya pili naomba ifafanue zaidi

  • @erickngaponda4312
    @erickngaponda4312 2 роки тому

    Joel naomba utuletee somo la kudeal na wateja wakopaji katika biashara yako nawezaje kufanikiwa na wateja wanaokopa

  • @getrudeepafras3416
    @getrudeepafras3416 6 років тому

    Nakuelewa sana kaka

  • @deusjohn1107
    @deusjohn1107 4 роки тому

    nimekuelewa kaka

  • @victorchiwai8831
    @victorchiwai8831 2 роки тому

    Niko Kenya pongezi Kwa kipindi

  • @davidmbilinyi2224
    @davidmbilinyi2224 6 років тому +1

    Asante sana nimekuelewa sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому

      David Mbilinyi karibu,pamoja sana

  • @allyhamad1301
    @allyhamad1301 Рік тому

    Mm sababu yangu yakufeli nauza sana ila pesa nyingi nazitumia

  • @MariaKisabo
    @MariaKisabo 6 місяців тому

    Na mm nimmoja wao umenigusa kweli

  • @alysaid4960
    @alysaid4960 6 років тому

    Boss wangu yupo katik haali kupenda wafanykazi wake

  • @asidayzsaid9662
    @asidayzsaid9662 5 років тому +1

    Mizizi unajengaje?

  • @fahadalismaily9370
    @fahadalismaily9370 5 років тому

    Hebu sababu ya pili ifafanue zaidi sijaelewa...

  • @joseshimba3635
    @joseshimba3635 2 роки тому

    Asante sana

  • @smartboyzengineering9764
    @smartboyzengineering9764 4 роки тому

    Tunashukuru kaka kwaelimu yako

  • @realysoud3919
    @realysoud3919 6 років тому +2

    Thanks nimepata Kitu kimpya kwenye biashara

  • @YusufuKhalidi-o7e
    @YusufuKhalidi-o7e Рік тому

    Naomba namba yako ya sim

  • @simonmnubi-n8u
    @simonmnubi-n8u 8 місяців тому

    👏

  • @kokudo8389
    @kokudo8389 5 років тому +4

    Msisahau mwaka 2019 hakikisha pesa yoyote inayopita mikononi mwako uishike na usiruhusu ikatoka kizembe kwa vitu visivyo na maana
    Happy new year

  • @rajabuomari6034
    @rajabuomari6034 3 роки тому

    Nikweli kaka ata mm mwenyewe nashindwa kukuza biashara yangu

  • @mrugamhono9451
    @mrugamhono9451 6 років тому +3

    nzur ,lkn kama mkiwa mmeanzisha kwanzia watu wawili na yeye anataka mkifanya tu na mkapata faida anaitaka hyo faida ili afanyie mambo yake mengine ,he utanisaidiaje ktk hlo Joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому +1

      mruga mhono kabla haujaanZa biashara na mtu ni lazima mkubaliane kwanza

    • @piusnjechele3815
      @piusnjechele3815 6 років тому +1

      Biashara za watu wawili zinachangamoto Sana na mbaya zaidi akiwa mmoja wapo anataka mafanikio ndani ya muda mfupi
      "No expart for five days "

    • @salmaalimusa547
      @salmaalimusa547 5 років тому +1

      @@piusnjechele3815 nahazifai mwaeza hata kuumizana mkifanikiwa

  • @stephenefilimon5516
    @stephenefilimon5516 6 років тому

    Nanauka umenifungua kwenye nyanja nyingi kiukweli hata elim yangu ya chuo kikuu nadhani isinge mudu MUNGU akubariki zaidi

  • @salminlukindo3899
    @salminlukindo3899 6 років тому +1

    Sikupingi kk

  • @mariakomba166
    @mariakomba166 Рік тому

    kiukweli Mimi ni muhanga wa hili

  • @erickjuliusejuboytv7505
    @erickjuliusejuboytv7505 4 роки тому

    Sababu ya kwanza kka

  • @hassanbakari1509
    @hassanbakari1509 6 років тому +2

    Shukran kwa kutuelimisha, swali langu botany vyako vinapatikana wapi kwa mkowa wa tanga

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому +1

      Hassan Bakari nashukuru kwa kutembelea channel Hii,utavipata kupitia 0756094875

    • @hassanbakari1509
      @hassanbakari1509 6 років тому

      Joel Nanauka
      Asantee sanaa

    • @jacksonmollel5155
      @jacksonmollel5155 5 років тому

      ni kweli sana sasa nipigie nipe namba zako ili nipate vitabu mbalimbali

  • @esteramon6474
    @esteramon6474 6 років тому

    Imeningusa no 1 nitajitahidi kubadilika

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому

      Ester Amon nakutakia mafanikio ,tuendelee Kujifunza

  • @jovinbenjamin1958
    @jovinbenjamin1958 6 років тому

    Shat zuri sana umependeza

  • @kelvinnyambo3076
    @kelvinnyambo3076 6 років тому +1

    sababu hiyo ya tatu

  • @piusnjechele3815
    @piusnjechele3815 6 років тому +6

    Asee ni ukweli mtupu Binafsi nilipo toka Chuo niliamua kufanya biashara ya popcorn na Kiukweli ilikua vzuri tu ila nikosea pale nilipo chukua pesa ya biashara na kuingiza kwenye mambo ya siasa.....
    Ila namshukuru MUNGU bado biashara haijatetereka Sana na mpaka sasa naendelea nayo ....

  • @wemangwale4655
    @wemangwale4655 6 років тому

    Namba mbili ilishanikuta

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz 5 років тому

    Nakuelewaga sana joeli, ni kweli hayo unayoongea.

    • @euzebiayotham6459
      @euzebiayotham6459 2 роки тому

      Nimekuelewa sana kaka sabab ya kwanza na tatu inanihusu samahani nitafanya nini Ili nisingilie kati ya matumizi ya nyumbani na duka

  • @jonathanmabula6338
    @jonathanmabula6338 6 років тому

    Nimekuewa xna brooo tatizo langu kubwa ni matumizi yaliyo nje na biashara

  • @killtime7829
    @killtime7829 5 років тому +1

    ninamtaji lakini sijajuwa biashara ya kufanya kwa sababau ninaogopa kufe niliacha kazi nikaingia kwenye biashara nikafeli nilichekwa sana hidi nilirudi kwenye kazi ya awali

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 2 роки тому

    Asante

  • @shazirymustafa20
    @shazirymustafa20 5 років тому +1

    Sawa nimekuelewa ila sijakusoma vizur hapo pakuchukua pesa ya biashara sasa nitaishi vip wakati mi nimejiajili katika biashara yangu na sina kingne kinachoniingizia fedha na mda wote nipo hapa katika biashara sa nitakula wapi au nivaa wap

  • @wilfredmwambuluma9927
    @wilfredmwambuluma9927 3 роки тому

    Duuu kwel apo kwenye kutanua biashala bila kuweka mizizi

  • @eliudikijuzi4909
    @eliudikijuzi4909 3 роки тому

    Thanks

  • @matokeojoseph1227
    @matokeojoseph1227 6 років тому

    Masomo yako yanahitajika sana kwa Vijana hasa katika kipindi kama hiki ambacho ajira zimekuwa ngumu.

  • @eliudimwigi8368
    @eliudimwigi8368 6 років тому

    Kaka mimi nitajiandia vizuri ili hizi sababu sisinifelishe mara nikianza tu Biashara yangu.
    MUNGU akubariki sana.

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 4 роки тому

    Shukran

  • @bitricebitrice2735
    @bitricebitrice2735 6 років тому +2

    Asante kaka Joel hayo yote nimeyapitia coz sikujua sababu hz

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому

      Bitrice Bitrice naamini baada ya leo utaanza kufanya vizuri

  • @josephmeratah2509
    @josephmeratah2509 6 років тому

    Sababu ya kwanza ipo sawa ila kwa mimi mkulima naona kama inakuwa ngumu. Nalima, nauza mazao then inanibidi nitumie kiasi cha pesa katika mauzo kwa ajili ya mahitaji ya familia, kiasi kingine nihifadhi kwa ajili ya kilimo next time.