Aman Thani Fairuz anaeleza maafa na shida za kufungwa jela ya Langoni. Anahojiwa na Profesa Ibrahim Noor. Aneleza watu waliokufa kwa shida, wakazikwa bila kuwajuilisha watu wao.
Allah atalipia mana walopingwa ni uislam na wale Wazanzibari wazalendo hakika Karume na wenzake watajibu Kwa Allah juu ya ushenzi walowafanyia wazee wetu
Allah atalipia mana walopingwa ni uislam na wale Wazanzibari wazalendo hakika Karume na wenzake watajibu Kwa Allah juu ya ushenzi walowafanyia wazee wetu
اللهم أرحم جدي💕