Duooooooh aisey watu wotw wanakuja uwawa na demu mmoja tu jmn jamn, wakaka tuweni makini sio kila mwanamke mnakutana nae mnatongoza tu, jifunzeni kupitia hizii😂😂😂
Dah hiii movie nimeangalia mwanzo mwisho na hapa narudia mara ya pili ila mwanamke kama huyu duh anapata tabu kweli kweli serikali iingilie kati hili swala,,,,😂😂😂😂😂
Iko poa sana
Nice sana
Ngoja niendelee kuangalia zangu mm
Nomaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Iko poa san
Duooooooh aisey watu wotw wanakuja uwawa na demu mmoja tu jmn jamn, wakaka tuweni makini sio kila mwanamke mnakutana nae mnatongoza tu, jifunzeni kupitia hizii😂😂😂
Aiseyyyyy hii movie inatia huruma sana, sasa inakuwaje jamn sijaangalia mpaka mwisho ila nimeshaingia kwa comment section😂😂😂
Dah hiii movie nimeangalia mwanzo mwisho na hapa narudia mara ya pili ila mwanamke kama huyu duh anapata tabu kweli kweli serikali iingilie kati hili swala,,,,😂😂😂😂😂
Unakuta mtu yuko Bize anasoma comment yangu ila nexus