SOUDY Brown sisi tulinyoooka mwezi mmoja tu kutumia Barakoa (Mask) lakini we ndo kwanza unaboresha ,, ambao hawajawahi kuona sura ya Soudy kama mimi wana like hapa👇🏽
Mimi najuwa nyinyi tanguzamani ni watoto wanyumbani kwazia Juma LOKOLE. ARISTOTE mzee wavikao. Mwinjaku. Diamond platnumz. King Kiba. na Baba Levo nyinyi wote ni nndugu.Lakini maisha ndie Inawagomba nisha. Home boys au kigoma men
SOUDY Brown sisi tulinyoooka mwezi mmoja tu kutumia Barakoa (Mask) lakini we ndo kwanza unaboresha ,, ambao hawajawahi kuona sura ya Soudy kama mimi wana like hapa👇🏽
Hahaha
Hahaha
😂😂😂kumbe nkajuwa pkee yng jmn mm smjuw sura uyo jamaa
Very nace muko vizuri sana juma nimtu mzuri
Hawa jamaa wanapiga hela tu..mashabiki ndio wanaumia.
Kwel kabisa
Kabisa
Kweli
Kweli nakubali watu wana fanya mambo yao kwakutafuta ugali tu. leo juma na Mwijaku wanaongea vizuri? Nacheka kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
good to watch first on here, Stay connected.
Bora Salama, Mashabiki Ndio Wachonganishi Wakati Mwengine.
Yaani hata sijamaliza kuangalia nishaanza kusoma comments, jamani hii tabia ni sugu mnooo
Yani ww ni mm kabisa
Hahahaaaa
Nichek insta uni DM nikusaidie ata mm nlkuag ivo
Hyo tabia yangu kabs
Tupo wengi
Nawaona wanaume kama mabinti mwijaku na lokole bora niwe sina mwanaume kuliko hii shida🙋♀️
🤣🤣🤣🤣🤣
kweli kabisa
Hahahahah
Hahaha
Ritha vipi dahhh!
Wambea Wa Taifa hatimae wanakikao cha kufunga mwaka!
Sasa huyo mtoto ata atyujawai kumuona kila siku ninamtoto🤣🤣🤣🤣🤣
Ndio maana mm sinanga team...niko kila mahali...watu wanafanya biashara wengine insta ni mabifu, vita kumbe wanajuana wanapumbaza watu🤣🤣🤣🤣
Nawapenda wote 3😊😊😍😍😍😍
Nakupenda pia
Kweli jumalokole ana koromelo la chujio maana akai na vitu moyoni🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nmependaaa iyoo
Ila nimefurah kujua Kumbe juma na mwijaku sio maadui namkubali Sana juma
Hata kama ni mimi nizae na juma lokole ninge mwambia mtoto babako ni marehem. Manake hata huyo mtoto asinge mkubali. Sio kwa umbea huo duh😂
😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
Eti kuna maisrael ambayo yamejipachika majina jamaa jinga kwel et linamuongelea mzaz mwenzie hivo
😂🤣
😂 😂 😂 😂
ua-cam.com/video/PwOat-cZouY/v-deo.html
Wambea wamekutana hakuna mpinzani
Mwijaku na lokole bora mtafute wanaume muolewe kabsa😂😂😂
Swadgte hilo nalo neno!!! 👋
Kweli
Hahahahahah lemme say sijasikia ama sijaelewa kabisa is this true ?!🤣 I can't believe this hahahahaha
Veemaa sana Mastering Og
Siku zote wagombanishi tunakuwa watazamaji lkn wachezaji wapo pisi tu mifano hai inaonekana mingi tu
Yaani hao wanaelewana sana sema wanatuchukulia poa watu wa Instagram wao wanapiga pesa 😂😂
Wallah tena
Umeonaee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ua-cam.com/video/PwOat-cZouY/v-deo.html
Safi sana
😂😂😂😂Lokole weeeee
Fanyeni kazi kaka zangu muingize mpunga. That's it
Wambea wa mitandaon na mtaa mumekutan leo hapo bado kumbuka tu jamani😂😂😂😂
Na mzee wa vikao🤣🤣🤣
@@Ryoof-qo7if huyo nilimsahauu yani hapo bado watu 3 timu itimie
🤣🤣🤣🤣
Keeli kabisa Wangeli mtafuta Dr. Kumbuka 😂😂😂
Mbea anachimbwa
Mimi najuwa nyinyi tanguzamani ni watoto wanyumbani kwazia Juma LOKOLE. ARISTOTE mzee wavikao. Mwinjaku. Diamond platnumz. King Kiba. na Baba Levo nyinyi wote ni nndugu.Lakini maisha ndie Inawagomba nisha. Home boys au kigoma men
Nawakubali sana
Kwisa mshamba sana
Kabisa yani
Vizuri sana, huo ndio ubinadamu
Dah! Mwanaume kufanya hii kazi hapana kwa kweli 😁😁😁
Nampenda sana mwijaku na ku mwelewa
Ooh tumewajuwa kumbe mwatuchezeya sisi akili zetuuuueeee
Safi sana aaaaaa😀😀😀😀😀
Mlisha haribu hapo mgali endelea kunyamaza tuu maisha yaendeleee
Jumalokole mwishooooo😂😂😂😂😂eti kuna ma ezilael wamejipachika wenyewe vyeoooo😂😂😂😂😂😂😂😂mnatuchanganya wambeaa jamanii
Napendanga Hawa kaka,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣lazima nipitie kwa account zao za insta kila siku🤣🤣🤣wambea
Watanzania sio mafala mjue hata we unae wahoji pia umepangwa.
Safi xaana inapendeza hahaha
😀😀😀nimekumbuka zile ngumiii
mungu anawaona mwijaku na lokole
Juma anajichekea tuu kama vile anamwogopa mwijaku
wambea maarufuu tz
Kokoyeeeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣
Sio awo tu hata konde boy anaongea na mond fresh wanatuzingua ss ili wao waigize pesa
hapo umesema tena harmo na mond ndo tunawaingizia pesa sana
Naomba namba ya mwijaku Nina jambo langu
Heeeee!! Jamaniiii🤣🤣🤣🤣🤣 makubwaaaa!
Hahahahahaa.....hii kali
Kumbe juma akiwa yuko nje na umbea ni mzuri
Tunamtaka kwisa mwijaku atumuelew kabisa
Ata mie
Wambeya wakutana khaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥
😂😂😂
Machoko 😆😆😅😃😃🙁🙁 nauyo awezi kuowa 🤭🤭😄😄😄
😹😹😹😹😹😹😹yaani nacheka tu
Jambo jema kuelewana
Mungu mkubwa
🤣🤣🤣🤣 wamekutannaa
Nawapenda sana juma na mwijaku ila mumetuweza 😂😂😂sisi tulijua muna bifu 😂😂😂
Kweli wambea wamekutana
, 🤣🤣🤣yani leo mzee wa mbanga mmetisha
Jamani mbona sielewi Hawa simaadui jamani
Aho
Safi fanyeni kazi wakubwa
Juma sura yake yakinafiki sana
Mwijaku sio juma
Jamani dudu baya yupo wapi?
Dudu baya wa nini?😄😄😄😄
Hivi Soud unavaaga hicho kinguwo unazaniyaga watu hawajuwi sura yako??
Hata kama unajua unaweza kusimulia sura ya mtu😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Soudy na kwisa ndo inapendeza
Haaaaa 🙈
Wambea mnachuvuruga mjue😀😀😀😀😀
Lakin kwisa na soudy Ile combinenga ilikua Poa sana
WAPO PAMOJA DSTV
Ukute juma anajifanya anamchukia missa,kumbe bado ndo wanamsingizia kwa Simba😂😂😂😂
Ama naombeni namba zenu Mimi Niko ugaibuni naitaji msada wenu
Sudi hilo shati lina zaidi ya miaka 10
😂😂😂😂
😁😁😁
Mnatafuta source
wambea wamekutana
Wanaume wa dar
Juma nmekuelewa sn kamanda km umeltambua kunamaisha baada yaaaa.
kumbe mlikuwa mukichezea akili za watu? 🤔🤔🤔🤷🏻♂️
Jumaa macho hayatuliiiii
Hhhaaa hawa wambea sana
Npe like
Ety Kuna w2 wamejipa vyeo
wanafiki tu hao..waongo wakubwa hao wanachoy cha moyo
Wambea wa Instagram 😂😂
Na Tanzania yote 🤣🤣🤣
@@Ryoof-qo7if 😂😂😂😂
Wapumbvu nyote
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimechekaaa
mambo bull bull
Jmn nani anamfahamu soudy anitumie picha yake huyu kaka mi simjui kabisa 😂 😂 😂
😂😂😂yaani ni shida
Bado siwaamin kabsa hawa mbuz.. km wanazungukana tyuu
Natangaza dau la dola laki moja atakaeweza kuniletea sura halisi ya soudy brown
Mange anampost Mara kwa mara
Yani hatawal Juma lokole anachamba huwenda hana kinyongo nao yeye anapiga pesa tuuuu
Awa ndo wnafanya tuendelee kuchek mitandao licha ya bando kuwa bei imepanda
Hawa wa2 ukiwaangalia ni wanafki
kkkkkkkkk
Hivi hawa watu wakopamoja kumbe
Jmn nimecheka kwasawuti
😁😁😁mimi pia
Mumearibu
HAWA SIYO WAONGO BALI MATAPELI TENA NI BONDE LA WANAFIKI
😆😆😆kwli kabisa wanafki wakubwa
Wanafiki sana hawa jamaa
Wajinga wakubwa 🤣🤣🤣
ua-cam.com/video/PwOat-cZouY/v-deo.html
Binguni hawaoni
Mashoga wa mtandaon mmekutana
Jamani nyie hamuendi mbinguni
Koromeyo ahina chujiyo😂😂😂
Lokole wangu