UKIMUONA PAKA MWEUSI Anapita mbele yako USIPUUZIE ! Anakupa ISHARA hii
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- #pakamweusi #ishara #nguvuzauniverse Ukimuona paka mweusi anakatisha mbele yako ghafla,kamwe usipuuzie,zipo ishara nyingi anawakilisha na kamwe hupaswi kupotezea.Tazama video hii mpaka mwisho Utajifunza mengi.
Paka mweusi
ishara ya paka
paka
nguvu ya universe
@NGUVUZAUNIVERSE
Asante sana dada yangu , Mimi ni billionaire mimi ni tajiri Mimi ni mushindi Mimi ni mwenye nguvu Sana AMEN amen amen amen❤❤❤❤❤❤❤
Shukran dadangu,mimi ni tajiri ,mimi ni mshindi na namiliki mamilioni na mimi ni mwenye nguvu mingi sana in Jesus Christ name.
Kweli kabisa dada mm nashukuru Sana kwa mafundisho yako MUNGU akupe unacho taka mm siwezikukupa
Asante mwalimu wangu umekua baraka katika maisha yangu.Nimejifunza mengi kwako barikiwa na uzidi kutufunza mapya.
Nashukuru sana kwa funzo zuri ubarikiwe sana sana
Asante Kwa somo zuri.
Naomba unisaidie dada,siku ya kupatwa Kwa jua nilifanya kama ulivyoniagiza....kuandika maswali na jibu liwe ndio au hapana.nilitoka nje na maswali yangu....wakati naendelea kurusha juu majibu ya ndio na hapana..... ghafla upande wangu wa kulia alitokea paka.....nilipomuona akakimbia na kurudi njia hiyohiyo aliyotokea yaani akageuka na kukimbia.chakushangaza nyumba ina ukuta sikujua huyo paka kapitia wapi!
Kweli hili jambo naliwaza sana....sielewei hiyo ilikuwa ni ishara gani kwangu.
Siku hiyo nilihisi uchawi.sasa.natamani kujua dada.
Kama alirudi upande huo huo hiyo ni ishara ya kitu kizuri
@@NGUVUZAUNIVERSE Asante dada ,ubarikiwe sana Asante Kwa somo hili...maana nilikua najiuliza Hadi Leo huyo mchawi anaenifatilia......kumbe ni Imani potofu tu juu ya paka.
Na majibu yangu yote yalikua ndio...mean mazuri. ..hiyo tu ya paka ilinishangaza sana.
Wewe.dada Mungu akutunze wasema kweli tupu
No 1🎉🎉🎉🎉❤
🎉🤝
Asante sana nashukuru nguvu zaulimwengu kunipa ufahamu wa mambo mengi kunitoa gizani hakika Mimi nuru Mimi ni mshindi Mimi ni tajiri mkubwa sana hapa dunian
Asante kwa somo zuri nimejiifunza kitu
THANK YOU🙏♥️♥️♥️♥️
Asante sana kipenz yaan umefundisha jana leo hii kaja paka hapa nyumban ❤❤ nimempa chakulaa tu
🤝❤️
Shukrani sana dada yangu naamini nguvu za ulimwengu mm ni tajiri mm ni mshindi katika huu ulimwengu
Yaani sijuwi niandike Nini
Ila nashukuru sana ndani ya nguvu za universe 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Dada Asante maisha yangu yamebadiliko sana tokanimeanza kukufatiria maisha yangu mazuru sana
Ansante barikiwa sana
Asante dada Leo nimeelewa
Ahsante sana kwa mafundisho mazuri
Nashukulu sana Mimi ni tajili mkubwa sana ulimwengu huu na nguvu za universe
Mimi.ntaji.mkubwa.Amina
Nisaidie dada angu mm nimekaa kwenye kiti ofisin from no were kaja paka upande wa kushoto karibia na kiti nimeshtuka huyo paka kakimbia.maana yake nini??
Asante sana. Je kipepeo mweusi akikatiza mbele yako ina maana gani
Asante sana kwa mafundisho ❤❤
Mimi ni tajiri
Asante saana mama
Asante dada
Nilikuwa naomba somo kuhusu kunguru.
Amenitokea leo mchana mweusi,anatoka kushoto kwenda kulia,ghafla naendesha gari anakatiza,,,,,
Dada apa nyumbani kuna paka wanasumbua usiku wakitafuta pakuingilia mimi nikawa naogopa na kunamda unamkuta kalala mlangoni jamani leo umenifumbua macho dada angu❤❤
Shkran
Asante sana kwa somo ..unajua kuelezea vizuri
asante kwa kunichagua mm kuwa tajiri
Thank you God bless you 🙏❤
Asante sanaaa
Mm uwa namuona ila nikimuona t anakimbia mbio kwahy nakua sijui katokea upande upi yaan anapotokea ndo anapokimbilia ad nashangaa na namuona kwa siku sio kila xku
Thanks 🙏
Kuna paka Mweusi wa Jirani yangu But Anakojowa usiku mlangoni Main door na kupita usiku Mara kadhaa au akaye mlangoni akiniona Jicho na Kunishutuka but Ajabu hakiimbiii ananikodolea macho 🇩🇪🇩🇪
Asante Dada kwa mafundisho mazuri. Wewe ni mtu mzuri. Paka mmoja, wawili ama kadha wanapolia kama mtoto ama nikama wanaomboleza yani mlio wao wakutisha hususan usiku ni ishara gani hiyo?
Leo mchana nimeota nakemea mchawi kuna mda nilikuwa namzid nguvu na kuna md nilishindwa kutoa saut yaan nilikuwa nakemea kimoyo moyo mwisho wa siku tulimkimbia huyo mchaw,sijuw inamaana gani
Maan ake ulimuacha ashi nde Yani usingebmkimbia unge mkemea paka akakimbia yeyey jitaidi sana kuomba
Ukimukimbia muchawi ndo umemupa nafasi ya kuku fanyia kitu kibaya omba sana tafadhal
Je wale paka wanaolia na kutoa sauti kama ya binadamu, inamaanisha nini?
Mimi kuna paka ana rangi kijivu na nyeupe gafla tu aliamua kuniganda akahamia apo nje kwangu ubarazan ikabd tuanze kumpa chakula maana anashinda apo,tukimfukuza anazunguka nyumba kdg kisha anarud tena bas adi tumechoka kumfukuza ,au tufanyeje dada
Juzi usiku niliwaonapaka wanapita Kwa Kasi mbele ya duka langu wakiwa wanakimbizana mumoja analangi ya buulauni na mweusi
Najifunza
🤝❤️
Dada mm nna paka mweusi alikuja mwenyewe ni mweusi,kalikuja kadogo kana jipu ametokea porin, bas nilishaanza safari hii ya kuamka,nikajisemea karibu, nikakaa kama wiki mbili hiv,akaja mwingine tena mweusi, baada ya cku tatu akaja paka mweusi na watoto wake wawili wa kijivu akaja tena mwingine wa chui chui, kukawa napaka 7ambao wamekuja wenyewe ni paka wa porin cjui tuseme, basi huyu alokuja na jipu tukalipasua nikaendelea kuwahudumia nawapikia kabisa cjui wamekuja kufakufanya nn,Basi akaja jirani yangu mmoja akamuomba mmoja nikampa wakabaki 6 basi yule mwenye watoto wawili naye akaondoka na watoto wake,wakabaki watatu wa chuichui mmoja,na weusi wawili,Wakawa wanalala na mm kitandani,changamoto ikawa wananikojolea nikiamka ni kitanda kimeloa kabsa mikoja,kuuliza uliza ah ckupata majibu had Leo,wengine wakasema wanakuweka alama tu hata ukiwa mbali wakutambue,basi cku moja nikatoka,kurudi nikakuta yule wa chui chui hayupo kuuliza watoto wakasema anakula kuku tulikuwa tunaenda kumtupa lkn kuna vijana wamemuua,Dah nikaumia wangemtupa tu aendelee na maisha yake,basi wakabaki paka wawili tu ambao weusi,, siku hiyo nimelala huyu mmoja akaanza kuruka anaparamia ukuta kama anapambana na kitu,usiku muda mrefu tu,Kila nikiangalia sioni kitu lkn yy anapambana anaruka huku na huko,Asubuhi tumeamka paka mnyonge ni nikaenda zangu kazini,kurud kha paka anaumwa anaanguka kifafa,alikuwa jike nikaanza kuwaza hivi wanakuwa na kifafa kama binadamu,nikaanza kuuguza paka takribani wiki mbili akafa,Basi nilikuwa na mbwa naye akafa,nilikuwa na jogoo naye akafa.mpaka hivi kabaki mmoja tu yule ambae alikuja anajipu.
Dada Leo umenifungua naomba uniambie zaidi kwa ishara hizo
Mimi juzi nilitoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri nilikutana na paka mweusi kati kati ya njia aliponiona aliunguruma badae akaenda kulia kwangu sikujua alimaanisha nini
Bahati nzuri
Asante
Kamanimemkajaga inamaanishanini?.
Naamin
Paka was kijivu alikuwa akilia nyumba I msiba wa mine wangu ulitokea
Msaada pls kila nifumba macho kufanya meditation ninaona picha kama naangalia movie
Mimi nimemuona paka mweusi mbele yngu sio kushoto wala kulia mbele ya geti ya nyumba iyo ina maana gani alivyo niona akakimbia na nafungua geti naingia ndani nikamuona tena paka mweusi mbele yngu mpaka nikaogopa dada ebu niambie apo
Yaani nimekaa kwenye kiti paka katokea kushoto alitaka kwenda kulia nimeshtuka aka rudi kule kule kushoto maana yake ninj??
Mimi nitajiri mkubwa🙏
Naamini katika ishala zote ambazo ulimwengu unanionesha
Sasa mpendwa mimi kuna paka amehamia kwangu, tukimpa chakula hataki kula ila analala nje kwenye kochi. Ila hatuogopi ukimwita anakuja kama vile ni mwenyeji
Mim ni tajiri mkubwa hapa ulimwenguni ishall
Wewe umejuaje
Leo paka Kapita mbele yangu nikiwa kwenye pikipiki ila sija Shanga moyoni nikasema natakiwa kuwa makini na niendeshe piki piki kwa utalatibu nifike ... na ime tokea kulia kwenda kushoto
Dada nimerudi kukupa jibu la ishara ya paka jana tarehe 12 za huu mwezi wa 5 kuna paka mweupe aliniona na kunipenda kaja kwenye migu yangu nikamshika kwenye kicwa kafurahi na nilivyo toka kalia sana sijuo inamahanisha nini nilivyo toka kaja kwenye migu yangu nikamuona kama mwenye furaha
Na Kisha Mimi nilijihisi furaha kutoka moyoni na Leo hii nampelekea chakula
Mimj nyumbni kwetu hatuja wai fungal paka ila mwezi wa kwanza nilienda sehqmu kufanya kazi kabla nifike kazini tulipota kwa mamake na bosi pale wamefunga paka nilipo fika tu pale paka yao iilikuja ililala miguuni mwanyu mpka nkatoka pale sasa nilivo enda nyumbni kwa bosi wangu pale hamna paka sasa kuna paka wanakuja pale kila nikikaa paka akawa anakuja anakaa miguuni mwangu nikawa nampa chakula ila kila nikitoka nje au hata nikifua paka anakuja nilipo nikienda getini ananifuata na hata nikimfukuza anardi tu badae boss wangu aliniambia mimi ndo naleta paka nyumbni kwake naye hapendi paka aninifokea mimi naleta paka kulikosekana amani mpka nikaacha kazi cjui wale paka walikuwa na maana gani
Sasa mmalutoka kulia kwenda kushoto nilimgonga nikiwa nAendesha gari
Hizo ni dhana zako tu dada Wacha kujifanya unajua
Mimi Ni Bilionea Mkubwa Hapa Duniani.
Dada samahani hirbuni ningeskia za hii vidio leo wamekuja paka wawili asubuh hii wamegombna sana juu ya bati kwenye nyumba ninayo ishi hii inamaanisha nini naomba nisaidie dadangu
Miezi kadhaa iliyopita nilikutana na paka mweupe mikocheni akawa ananifata nyuma nikawa namfukuza lakini bado ananifata tu nikaona sielewi nikampiga na mkoba eti
Naomba msaada wako dada kuna maana gani mana wamekuja asubuh asubuh nikiwa nimelal wamegombana sana wakiwa juu ya bati kwa mda Mrefu asubuh hii yaani mda huu je kuna ishara gani naomba nisaidie
Dada mimi kwangu kila siku usiku hua anakuja paka analia sana nje ila nikitoka tu anakimbia hiyo inakuwa na maana gani?
Mimi jana paka alitokea upande wa kushoto akakatiza upande wa kulia
Mimi ni birionea mimi nin tajiri mkubwa hapa dunia
Kuna paka watatu wanavamia nyumbani kwangu, yuko paka mweupe, mweusi na mwingine wa rangi kama nyekundu, ukweli nilikuwa naogopa nikidhani narogwa, nilikuwa naqafukuza
Pesa zinanifuata katika huu mwaka 2024 na miaka mingine yote inayofuata.
NINAPOKEA NGUVU ZA ULIMWENGU (UNIVERSE)!
KATIKA JINA LA YESU HAKUNA KINACHOSHINDIKANA.
Dada naomba nikuulize swali. Kuandika vitu kwenye karatasi vitu unavyotaka vitokee katika maisha yako,katika mwezi mwandamo ni lazima ufanye na meditation au ukishaviandika hivyo vitu kwenye karatasi na ukavitamka inatosha kufanya hivyo bila kufanya meditation?. Na swali la mwisho kwa mfano umeandika kwenye karatasi siku hiyo ya mwezi mwandamo ukaandika "MImi nina milioni kumi" je kuna uwezekano wa kuja kuzipata hizo pesa baada ya siku ngapi,na unaweza kuzipata hata kama huna kazi yoyote?.
Maswali yako yote yamejibiwa Kwenye video hii ua-cam.com/video/HvHXSjqhPnE/v-deo.html
Barikiwa kwa somo nzuri
mimi kuna paka alikuwa mbele yangu akasimama bàada ya dk 10 akakimbia alipokuwa anatoka maana yake nini mumy?
Zingatia upande
Naomba namba yako ya simu
Mimi ni Tajiri bilionea
Hakuna lolote, paka mwenye rangi nyeusi ni paka kama paka wengine...!
Sisi kwetu tunafuga paka mweusi
Hakuna tatizo lolote, paka mweusi ni paka kama paka wengine ..!. yaani paka anasemwa vibaya Tanzania tu', Nchi nyingine paka wanafugwa na hawana tatizo lolote
A
Jitaidi gutoa maelezo yanayo endana na kichwa cha habari...
Kipi hakiendani hapo?
Sasa dada nitafanyeje akipita ili niepuke hilo swalA?..kuna paka alikatisha mbele yangu tena mjin kabisa barabara nne mida ya saA 3 usiku na alitokea kulia ila hakua speed alikua taratibu tu...ebu nisaidie dada ni ishara gan...pia nilikua nimepanga kwenda msibani kwa jirani yetu .nifanyeje dada
Na ni mjin kabisa na watu wanapita wengi tu...je? Nikwamba nikiwa mwenyewe ndo ishara mbaya au niwote tiliomwona? Nakumbuka watu wanapita wengi na alikua nakatisha njia nne apo stend na magar yapo meng tu..je kitatokea kibaya au nikwa wote waliomwona ..nisaidie nijue ni eneo gan lenye madhara
Guys try to speak in English plze some of us we don't understand kiswahili ❤
Mimi nimutu muchimu apa duniyani mimi rafiki wapesa pesarafikiyangu
5
Naona video hiii ikiwa na viewer's 777 angel numbers inamaanisha nini kwangu dada
ua-cam.com/video/OjmSvvf1w60/v-deo.html
@@NGUVUZAUNIVERSE yaani mwalimu umenirudisha kwa kiboko kusoma masomo ya nyuma 🤣🤣❤Asante dada
Mimi nimutu Mukubwa ndani ya ulimwengu wa roho
Naomba number zako za simu,whatsApp
Nisaidie dada angu mm nimekaa kwenye kiti ofisin from no were kaja paka upande wa kushoto karibia na kiti nimeshtuka huyo paka kakimbia.maana yake nini??
Mm uwa namuona ila nikimuona t anakimbia mbio kwahy nakua sijui katokea upande upi yaan anapotokea ndo anapokimbilia ad nashangaa na namuona kwa siku sio kila xku
Najifunza
🤝❤️
@@NGUVUZAUNIVERSE 🤝❤️
Mm uwa namuona ila nikimuona t anakimbia mbio kwahy nakua sijui katokea upande upi yaan anapotokea ndo anapokimbilia ad nashangaa na namuona kwa siku sio kila xku