ebu Tanzania tusi complicate mambo saaana, hilo soko la kariakoo walio wengi wateja ni sisi wanyonge, so mkijifanya kukaza mtatuuwaa, elekezeni nguvu kwenye mambo mengine sio saana kwa sehem hio, hamfaham kwanini wanagoma always migomo mnaboaaa😢😢
Pongezi nyingi sana kwa uamuzi wa Serikali kuweza kutatua mgomo huu kwa BUSARA na HEKIMA. Siku zote busara na hekima huleta ufumbuzi wa tatizo vizuri kuliko vitisho kutoka pande zote.
Hizi kamati ndo zinachelewesha mambo kila kitu kinatakiwa kusolviwa ndani ya week tu .Ita viongozi wa wafanyabiashara kariakoo Ita watu wa TRA Ita watu wa Bandari Ita kila mtu leta watu wa biashara zungumzeni mpaka wote mtoke mmeelewana MOTHER FUCK
@@odilomwakamela4889Sasa kama hakuna mauzo yenye risiti unajuaje mfanya biashara ameuza kiasi gani? Tatizo litakuja baadae tra watakisia kiasi cha wewe kulipwa matokeo yake utalipa nyingi au kidogo na ndio kitakua chanzo cha Rushwa.
Issue ya Efd ni kubwa kuliko unavyozani huwezi kumkadilia mtu kodi kwa kuangalia sales peke yake na efd ina record sales pekee yake. Naweza kuuza laki moja na faida ikawa elfu mbili na mwingine anaweza kuuza laki moja na faida ikawa elfu 20, sasa hawa watu ukiwakadilia kwa kuangalia sales watakuwa sawa?? Service levy wanacharge 3percent ya sales sio faida angalia hapo anayeuza laki na faida elfu mbili atapata nini?
@@odilomwakamela4889 Sasa hapo tatizo ni mfumo wenyewe, lakini katika biashara za mauzo na matumizi risiti ndiyo inayo onyesha mauzo yako na manunuzi ambayo mwisho wa mwaka itaonyesha matumizi yako kodi ambayo umelipa na mauzo uliyo fanya, sasa hapo ndio tra wafanya hesabu kutokana na hivyo vitatu kama je umepata hasara, faida au hauna hasara wala faida. Na hapo kunakuwa na mambo matatu, kama mfanya biashara amelipa kodi nyingi anarudishiwa, kidogo anaongeza, au kama amelipa sawa hakuna mdaiwa. Tatizo letu serikari na baadhi ya wafanya biashara sio waaminifu ndio maana imewekwa mifumo mibovu ya ulipaji kodi ili kutengeneza njia za Rushwa.
Hawa kariakoo wanadeka, tusipokuwa makini watatusumbua sana. Kwanza hizi biashara za kariakoo ni za kina nani? Usijekuta watu wanaojigomesha na kujitolea muafaka wenyewe.😅
Mh mama anapenda amani asande mh raisi tunaomba kodi zote ziwekwe seemu moja tra lesenni ya maspaa ,zimamoto,maaliasili ,nk kondi ninyingi kilamoja anakuja na sheria zake kama inhi tofauti bado kodi ya pango tanesko maji mlizi takataka Tanzania kabla hujaaza bishara kwaza lipakodi alafu ukilipa kodi zote alafu fungungua bishara
Uadilifu na uadilifu kwa mabwana wa Afrika, wanaume na wanawake, vijana na wazee, kiapo cha yule aliyeteremsha Taurati, Injili, Mtengano, Zaburi na Qur'ani yenye hekima kwa Mola wa Mitume na Muhuri. wa Mitume na Mitume, Muhammad, swala na salamu za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake na ahli zake wote na maswahaba zake, kwa anayestahiki zaidi uadilifu na uadilifu kwake, licha ya kila dhalimu, dhalimu, na dhalimu na amani iwe juu ya Mola wetu Muhammad na aali zake na maswahaba zake wote, Amina, Mola wa walimwengu wote☝🏻☝🏻🤲🤲☝🏻☝🏻
NCHI YA HOVYO HII YAANI WAFANYABIASHARA WANAIVIMBIA SERIKALI KWA KUTISHIA MGOMO,HIZO KODI HUWA HAWAPENDI KULIPA NA HIZO RISITI BADO WANAZIFANYIA UJANJA MWINGI....YAANI TRA HAIJITAMBUI AU WANATUNGA PASIPO BUNGE?AJABU HAWA WAFANYABIASHARA WAKIENDA NCHI NYINGINE HAWAKWEPI KODI NA WANATII MAMLAKA ZA KODI
Charamila hajawahi kuwa kiongozi mzuri.
Anakurupuka mno hatumii hakili
Hajielewi huyo MHEHE,HUWA ANAKUWA KAMA MUHUNI WA MITAANI.😂
Mwisho wa Chalamila Dar ess salaam
Hayo ndio maamuz sahih...mkuu wa mkoa alikuw anazingua
ebu Tanzania tusi complicate mambo saaana, hilo soko la kariakoo walio wengi wateja ni sisi wanyonge, so mkijifanya kukaza mtatuuwaa, elekezeni nguvu kwenye mambo mengine sio saana kwa sehem hio, hamfaham kwanini wanagoma always migomo mnaboaaa😢😢
Yule mkuu wa mkoa anatumia cheo kwenye kuongea na sio kutumia akili kwenye kutoa maamuzi
Mkiona mnatoa maamuzi wanayotaka wananchi baada ya kugoma. Basi ujue Viongozi waliopewa dhamana katika jambo Hilo ni wavivu kufikiria.
Serekali hii inaongozwa na mabweha na mafisi . Raisi mwenyewe tundu la choo
Pongezi nyingi sana kwa uamuzi wa Serikali kuweza kutatua mgomo huu kwa BUSARA na HEKIMA. Siku zote busara na hekima huleta ufumbuzi wa tatizo vizuri kuliko vitisho kutoka pande zote.
Kiongozi umeeleweka wasikilizeni wafanyabishara wa hoja za msingi
Siku zote mlikuwa wapi??? Wafanyi biashara na wananchi wameshajua dawa.
KINACHOFUATA NI KWAMBA HATUMTAKI MKUU WA MKOA CHALAMILAAA HATUMTAKI APANGIWE KAZI NYINGNE
Charamila asiende katika kadhia hizi,hana busara yule
Wanaacha kukusanya kodi bandalini na migodni wnadilina wfnyabishala zakawaida
Saf sanaa kiongozi umeeleza umeereweka co wanaoleta komedi
Chalamila anatumia ubabe kwa wananchi haipendezi
Hongera sana kiongozi mkuu wa mkoa anatumia kufoka tu uongozi hauitaji ubabe
Charamira huyu wajabu
We are continuing praying for our country so as peace can remain our pillar of livelihood
Hizi kamati ndo zinachelewesha mambo kila kitu kinatakiwa kusolviwa ndani ya week tu .Ita viongozi wa wafanyabiashara kariakoo Ita watu wa TRA Ita watu wa Bandari Ita kila mtu leta watu wa biashara zungumzeni mpaka wote mtoke mmeelewana MOTHER FUCK
Kwa hiyo msipokagua EFD makusanyo yatafanyikaje?
Kwani kabla ya EFD walikuwa wanakusanya vipi mapato?, Je EFD ni chanzo cha mapato au makusanyo? Usichangie kitu ambacho huna ufaham nacho.
@@odilomwakamela4889Sasa kama hakuna mauzo yenye risiti unajuaje mfanya biashara ameuza kiasi gani? Tatizo litakuja baadae tra watakisia kiasi cha wewe kulipwa matokeo yake utalipa nyingi au kidogo na ndio kitakua chanzo cha Rushwa.
Issue ya Efd ni kubwa kuliko unavyozani huwezi kumkadilia mtu kodi kwa kuangalia sales peke yake na efd ina record sales pekee yake.
Naweza kuuza laki moja na faida ikawa elfu mbili na mwingine anaweza kuuza laki moja na faida ikawa elfu 20, sasa hawa watu ukiwakadilia kwa kuangalia sales watakuwa sawa??
Service levy wanacharge 3percent ya sales sio faida angalia hapo anayeuza laki na faida elfu mbili atapata nini?
@@odilomwakamela4889 Sasa hapo tatizo ni mfumo wenyewe, lakini katika biashara za mauzo na matumizi risiti ndiyo inayo onyesha mauzo yako na manunuzi ambayo mwisho wa mwaka itaonyesha matumizi yako kodi ambayo umelipa na mauzo uliyo fanya, sasa hapo ndio tra wafanya hesabu kutokana na hivyo vitatu kama je umepata hasara, faida au hauna hasara wala faida. Na hapo kunakuwa na mambo matatu, kama mfanya biashara amelipa kodi nyingi anarudishiwa, kidogo anaongeza, au kama amelipa sawa hakuna mdaiwa. Tatizo letu serikari na baadhi ya wafanya biashara sio waaminifu ndio maana imewekwa mifumo mibovu ya ulipaji kodi ili kutengeneza njia za Rushwa.
Xhallamila tengua mama akalete comedy huko😅😅😅
Hawa kariakoo wanadeka, tusipokuwa makini watatusumbua sana. Kwanza hizi biashara za kariakoo ni za kina nani? Usijekuta watu wanaojigomesha na kujitolea muafaka wenyewe.😅
Unajua hata ukilipa kodi pesa zonaliwa tu inakatisha tamaa wananeemeka WALAFI NA WEZI
Mnaongea ujinga tu kila siku japo mnafanya hivyo hata hivyo huo ujinga mmeshindwa kuusimamia
Mh mama anapenda amani asande mh raisi tunaomba kodi zote ziwekwe seemu moja tra lesenni ya maspaa ,zimamoto,maaliasili ,nk kondi ninyingi kilamoja anakuja na sheria zake kama inhi tofauti bado kodi ya pango tanesko maji mlizi takataka Tanzania kabla hujaaza bishara kwaza lipakodi alafu ukilipa kodi zote alafu fungungua bishara
Uadilifu na uadilifu kwa mabwana wa Afrika, wanaume na wanawake, vijana na wazee, kiapo cha yule aliyeteremsha Taurati, Injili, Mtengano, Zaburi na Qur'ani yenye hekima kwa Mola wa Mitume na Muhuri. wa Mitume na Mitume, Muhammad, swala na salamu za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake na ahli zake wote na maswahaba zake, kwa anayestahiki zaidi uadilifu na uadilifu kwake, licha ya kila dhalimu, dhalimu, na dhalimu na amani iwe juu ya Mola wetu Muhammad na aali zake na maswahaba zake wote, Amina, Mola wa walimwengu wote☝🏻☝🏻🤲🤲☝🏻☝🏻
Mueshimiwa rudia tena huku wafanya biashara hawajakuelewa
Mpk wananchi waandamane ndio mnajua kuchukua hatua kweli tutafika hivi???
Haya yule mkuu wa mkoa alivyokuwa anatishia wafanya biashara haya yangepatiwaje muafaka
SAFI SANA NAONA KUNAMATAHILA YANABEZA UAMZI HUU
Hongera kiongozi kutuwakirisha
Shida tu maneno mengi
Acheni ujinga
NCHI YA HOVYO HII YAANI WAFANYABIASHARA WANAIVIMBIA SERIKALI KWA KUTISHIA MGOMO,HIZO KODI HUWA HAWAPENDI KULIPA NA HIZO RISITI BADO WANAZIFANYIA UJANJA MWINGI....YAANI TRA HAIJITAMBUI AU WANATUNGA PASIPO BUNGE?AJABU HAWA WAFANYABIASHARA WAKIENDA NCHI NYINGINE HAWAKWEPI KODI NA WANATII MAMLAKA ZA KODI
Unachokiongea aukielewi kabisaa
Uyu Nae T,r,A Ndio maana@@kiulazepha6041