CLATOUS CHAMA VS JEAN AHOUA SKILLS,ASSIST AND GOALS NANI NOMA?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • CLATOUS CHAMA VS JEAN AHOUA SKILLS,ASSIST AND GOALS NANI NOMA, CLATOUS CHAMA SKILLS, CLATOUS CHAMA GOALS, CHAMA VS AHOUA, JEAN AHOUA GOALS, JEAN AHOUA SKILLS #yanga #yangsc #yangavssimba #clatouschama #jeanahoua #wachezajiwapyawasimba

КОМЕНТАРІ • 25

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 2 місяці тому +4

    Hawezi kumfikia Chama, ingawa ni kijana mdogo ananafasi ya kuwa mzuri zaidi.

    • @bongosimulizi
      @bongosimulizi Місяць тому

      ua-cam.com/video/an8tMWrZjvc/v-deo.htmlsi=DsiBMortoyex1fi_

    • @bongosimulizi
      @bongosimulizi Місяць тому

      ua-cam.com/video/an8tMWrZjvc/v-deo.htmlsi=DsiBMortoyex1fi_

  • @user-pc1yo6mx1v
    @user-pc1yo6mx1v Місяць тому

    Ahoua Jean Charles footballeur professionnel intelligent polyvalent

  • @issufomabbetto321
    @issufomabbetto321 2 місяці тому +3

    kwani chama alipo zaliwa alikuwa kama mbuyu.😊

  • @olaisstephano8498
    @olaisstephano8498 Місяць тому

    Chama hana spidi halaf umri hapa Ahoua ni zaidi

  • @abdallahmindika1641
    @abdallahmindika1641 Місяць тому

    Chama mchumba tu akikutana na wanaume wa misri anakua kama kafungwa miguu dadeki paform pote akiona waarabu anaanza kuleta ushubwada wake

  • @user-fi2on8we7z
    @user-fi2on8we7z Місяць тому

    Chama mtumwengine jaman musimfananishe nahuyo dogo

  • @BensonDickson-xf1ge
    @BensonDickson-xf1ge Місяць тому

    Kweli Hawezi kufanana na chama kwasababu chama ni mzee na huyu kijana damu inachemka kweli chama hagusi hapo.

  • @Manywele.Maluja
    @Manywele.Maluja Місяць тому

    Kumfananisha chama na huyu ahoua ni sawa na kufananisha ngamia na kinyesi chake kwa vipo sawa😂😂

  • @husseinissa9623
    @husseinissa9623 2 місяці тому +1

    Chama ni chama tu

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  2 місяці тому +1

      Hahahaha Ngoja Kijana naye apewe muda

  • @AbuuAkili
    @AbuuAkili Місяць тому +1

    Acheni kutumalizia bando

  • @vedatv-to4hg
    @vedatv-to4hg Місяць тому

    Bado San huyo kijana

  • @mashakasendama2725
    @mashakasendama2725 Місяць тому

    Aise mwamba wa Lusaka ni mwamba sio huyu 😂😂😂😂

  • @mwana-dodomamedia9111
    @mwana-dodomamedia9111 Місяць тому

    Nimegundua Ohua, anayo speed na kupeleka mpira mbele kwa haraka kuliko Chama. Ila chama kwenye kufinya yupo vizuri kuliko Ohua.
    Kwa kocha anaehitaji matokeo, lazima atamuhitaji OHUA zaidi kuliko Chama. Hii ni kiutaalamu zaidi. Ukiona inakufaa, chukua na ukiona haikufurahishi kutokana na mapenzi yako, achana nayo

  • @DanyEnto
    @DanyEnto 2 місяці тому

    Chama ni shida nyingine

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 2 місяці тому +2

    Huyo ni ugonjwa wa akili chama ufananishe mtoto ambae hata kunyonya hajaacha huyo mchezaji ni level za faridi Musa na Tena hamfikii

  • @Abdul-s1i
    @Abdul-s1i 2 місяці тому

    Mchango wa magazo yake

  • @Abdul-s1i
    @Abdul-s1i 2 місяці тому

    Mchango wa magazo yake

  • @Abdul-s1i
    @Abdul-s1i 2 місяці тому

    Mchango wa magazo yake