CLATOUS CHAMA VS JEAN AHOUA SKILLS,ASSIST AND GOALS NANI NOMA?
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- CLATOUS CHAMA VS JEAN AHOUA SKILLS,ASSIST AND GOALS NANI NOMA, CLATOUS CHAMA SKILLS, CLATOUS CHAMA GOALS, CHAMA VS AHOUA, JEAN AHOUA GOALS, JEAN AHOUA SKILLS #yanga #yangsc #yangavssimba #clatouschama #jeanahoua #wachezajiwapyawasimba
Hawezi kumfikia Chama, ingawa ni kijana mdogo ananafasi ya kuwa mzuri zaidi.
ua-cam.com/video/an8tMWrZjvc/v-deo.htmlsi=DsiBMortoyex1fi_
ua-cam.com/video/an8tMWrZjvc/v-deo.htmlsi=DsiBMortoyex1fi_
Ahoua Jean Charles footballeur professionnel intelligent polyvalent
kwani chama alipo zaliwa alikuwa kama mbuyu.😊
Chama hana spidi halaf umri hapa Ahoua ni zaidi
Chama mchumba tu akikutana na wanaume wa misri anakua kama kafungwa miguu dadeki paform pote akiona waarabu anaanza kuleta ushubwada wake
Chama mtumwengine jaman musimfananishe nahuyo dogo
Kweli Hawezi kufanana na chama kwasababu chama ni mzee na huyu kijana damu inachemka kweli chama hagusi hapo.
Kumfananisha chama na huyu ahoua ni sawa na kufananisha ngamia na kinyesi chake kwa vipo sawa😂😂
Chama ni chama tu
Hahahaha Ngoja Kijana naye apewe muda
Acheni kutumalizia bando
Kwani umeitwa Mkuu?
Bado San huyo kijana
Aise mwamba wa Lusaka ni mwamba sio huyu 😂😂😂😂
Nimegundua Ohua, anayo speed na kupeleka mpira mbele kwa haraka kuliko Chama. Ila chama kwenye kufinya yupo vizuri kuliko Ohua.
Kwa kocha anaehitaji matokeo, lazima atamuhitaji OHUA zaidi kuliko Chama. Hii ni kiutaalamu zaidi. Ukiona inakufaa, chukua na ukiona haikufurahishi kutokana na mapenzi yako, achana nayo
Chama ni shida nyingine
sawa
Huyo ni ugonjwa wa akili chama ufananishe mtoto ambae hata kunyonya hajaacha huyo mchezaji ni level za faridi Musa na Tena hamfikii
AU SIYO?
Mnakalili mpira
Mchango wa magazo yake
Mchango wa magazo yake
Mchango wa magazo yake