HATUA MPYA HUJA NA SHETANI MPYA // KILA HATUA USISAHAU SALA
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Yafueni majembe yenu yawe panga, na miundu yenu iwe mikuki; aliye dhaifu na aseme, Mimi ni hodari.
Yoeli 3:10
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Amen mtumishi wa Mungu barikiwa sana Mungu azidi kukupa maarifa
Mungu kaa pamoja nasi mawimbi na dhoruba tunayopitia isitufanye tukajikatie tamaa
Asante Yesu kwa neno lako ambalo limekuja kwa wakati🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akutunze mtumishi
Nikutojua mtumishi waja mungu anisaidie nibe ujasili Bwana
Asante MUNGU Kwa uzima. nilionao pamoja na uzao wangu
Bwana yesu asifiwe na aka nitiye nguvu nisikate tamaa
Mungu wangu nipe uvumilivu
Amen eee mungu pigana na vita nilio nayo
Mungu ingilia vita kwenye maisha yangu siwezi Mimi mwenyewe 😢
Amen Hakika tujitambulishe kwa Mungu nae Mungu atatutambusha kwa watu .
Amen
Amen
Amen barikiwa sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana Amen 🙏🙏
Mungu sitakata tamaa naomba unikumbuke na Mimi🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
AMEEN 🙏 mungu ni mwema nashukul kwa Kila hatua napata maarifa mengi
Mungu nifanye jasiri wa imani unishindie roho ya kukata tamaa
Asante Yesu kwa neno hili nitapona
Asente mungu
Asante sana mtumishi was mungu nimeguswa sana na somo hili mungu akubariki sana amen
Mungu wangu nahitaji msaada, unipiganie Kwa ktk futa vikuu nnavyo za maadu na na mazambaulizi peke yangu ziwezi nakuhitahlji Yesu unisaidie
Asante Mungu hakika nimejifunza kitu kikubwa sana katika Ibada hii hakuna nimepona kupitia neno hili 🙏🏿
Emeeen
Amen...Mungu nisaidie niweze kusimama,majaribu yasinivunje moyo kabisa.
Naomba Mungu unitie nguvu nisiwe mtu wa kukata tamaa,pia usimame Na familia yetu Kwa majaribu yanayotukumba👏🙏
Asifiwe Bwana yesu amen
Sylvia Asante mungu wangu kwa neema ya uzima,uniamhsha salama nashukuru mungu wangu,naomba neema yako baba niyashinde yote majaribu🙏🙏🙏🙌♥️
Asante BWANA YESU,unisaidie nisikate tamaa
Hallelujah I am strong,courageous, loved and most important thank you LORD for keeping me till now I desire to know my purpose that your name may be glorified,forgive me,renew me 😢😢😢😢thank you pastor for this WORD 🙏🙏
Naomba unipe ujasili Mungu wangu nisiwe mtu wa kukata Tamara🙏🙏
Bwana Yesu nitie nguvu nisikate tamaa niongozwe na wewe
Amen hakika nitainuka tena Sitokata tamaa hata hivyo Nashukuru nilivyo Kua Jana sio kama Leo Asante MUNGU nipe uvumilivu nisonge Mbele nisikate tamaa nisikumbuke yalio pita nijazwe nguvu mpya na Imani Amen 🙏❤️
Amen asante yesu
Amenmmme 🎉a 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ameeeen,mtumishi wa Mungu ubarikiwe Sana hilo neno limeninguza Sana🙋nimepitia mangumu mpaka nikajiulaza mbona Mungu Mimi hajibu maombi yngu lkn sikukata tamaa sababu najua hata km itachukua muda atajibu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu aku baraki pastor
Asateeee mungu kwa siku hii mpya🙏🙏🏾🙏🙏🏾🙏🏾
Psalm 35 always fight for me,
Ameeen Ameeeeen asnte sana kwa ujumbe huu mtu wa Mungu hakika umenioa hatua acha nipambane kumtafuta Mungu
Ameen, Mungu usinisahau mm mwanao 😭😭
Mungu asante kwa Neema uliyonibariki kusikia hili neno .Mungu simama na mimi kwenye kazi yangu vita imekuwa nyingi pekee yangu siwezi nahitaji univushe nione mbele nuru.Vita imekuwa kubwa sana lakini kwa jina la Yesu kristo sitofukuzwa kazi na nitadumu hadi pale Mungu utakaponipeleka viwango vya juu .Changamoto zote,vita ,kuonekana sifai eneo la kazi yangu Mungu unaenda kusimama mbele yangu na yote hayatopata kibali wala kunidhuru maana wewe Mungu unanenda kunishindia.Amen🙏🙏🙏
Amen Yote kwake yanawezekana dada Mungu ajawahi shindwa
Amen🙏🙏
Mtumishi wa Mungu be blessed kwa kazi yako ni njema sana🙏🙏🙏
MUNGU WA ELIYA ATUTETEE AKUVUSHE AMEN,LEO TANZANIA YETU TUNAITAJI WATU KAMA NYIE
Thanks lord🙏🙏
Amen amen amen
Ee mungu ni sahidiye baba nipe ujasiri wa kupambana na changamoto
Amen pastor
Amen,Haya Yote ninayapitia Sasa hivi, naomba nisikate tamaa.
Amen .. thanks for words of God,i can't run i will face all the promblem it's very very peinful but i will 🤲🙏
Amen 🙏🙏🙌
Mungu ni mwema kila siku🙏guide us Lord, we're going through a lot in our lives😢we need you
AMEN 🙏
LION OF JUDAH MY TRUST IS IN YOU 🙏🙏
Muhimu nakutumaini ww yesu kristo sintojali chochote katika maisha yangu kwa sababu pumzi TU uliyonipatia inatosha.
Mimi linanifa kabisa
Asante sana Bwana Mungu mzima nakushukuru kwa ujumbe kama na huu, kwaiyo naomba neema yako Mungu izidi kuwa pamoja nasi in the might name of Jesus christ 🔥 💪🙏💎
Amen
Ashanti asifiwe bwana
Bwana Yesu asifiwe napenda kumfahamu mchungaji unaitwa mchungaji nani na unapatikana wapi
His name is pastor innocent mashauri online pastor.
Mimi ni shujaa
Thank you Jesus for another day 🙏🙏
Amen Mungu wangu nipiganiye kwa iyi vita ninayo
Asante bwana yesu kwa afya mimi pamoja na familia yangu
😢
Nimeacha job juzi sababu ya kelele. Am now regretting 😢😢
Pole sana usikate tamaa ni fundisho,simama kwa uwezo wa mungu, mungu akikuwekea goliati mbele yako ukae ukijua ndani yako una David.
Samahni jamani kwani jana maombi yalikuepo ??
Amen 🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏
Amen🙏🙏🙏
Hakika Mtumishi wa Mungu azidi kukupigania tunahitaji uwepo wako ili nasi utusaidie kumjuwa Mungu hakika utukufu wa Mungu huja kupitia watu anao wamini Na kutufundisha yaliyo mpendeza yeye.