Sheikh hiyo hadithi ya 'thaqalain' naomba ufanye darsa uizungumzie kwa kirefu tafadhal, kwa sababu naona hawa mawahabbi wametu enjoy sana na hiyo 'kitaab Allahi wa sunnati' na kumbe ni hadith dhaif. Na hisi hii yote ni siasa ya maadui wa kiislamu kutaka kuteremsha hadhi ya Ahlul Bayt! Na pia utueleze imekuwaje kila watu wa 'ahlu-sunnah wal jama'a' wakitaka kutaja ahlul bayt watuhumiwa eti ni ma shia - wa Jazaak Allah Khair!
Swadaqta sayyiiidiiiii, maneno ya ukweli na yako wazi kaabisaaa, Allah azidi kukupa umri na kukuongezea maarifa na ilmu tuzidi kufaidika na ww 🤲
MAA SHAA Allah
ما شاء الله
Maa Shaa Allah maneno yako wazi kabisa Allah akuhifadhi Ustadh Muhsin, nimefaidika Sana Alhamdulillah
Sheikh hiyo hadithi ya 'thaqalain' naomba ufanye darsa uizungumzie kwa kirefu tafadhal, kwa sababu naona hawa mawahabbi wametu enjoy sana na hiyo 'kitaab Allahi wa sunnati' na kumbe ni hadith dhaif. Na hisi hii yote ni siasa ya maadui wa kiislamu kutaka kuteremsha hadhi ya Ahlul Bayt! Na pia utueleze imekuwaje kila watu wa 'ahlu-sunnah wal jama'a' wakitaka kutaja ahlul bayt watuhumiwa eti ni ma shia - wa Jazaak Allah Khair!