MBUNGE KISHIMBA AZUNGUMZA TUSIYOYAJUA KUHUSU SAFARI YAKE YA KIBIASHARA "NILIANZA NA MTAJI WA SH 200"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 81

  • @bahatidanken5662
    @bahatidanken5662 3 роки тому +58

    Kama umemuelewa mzee kishimba weka like kubwaa tuende sawa

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 3 роки тому +6

    Mbunge wetu uko sahihi hasa kwenye dhahabu umekomboa watu wengi kwa kuchenjua mchanga tulikuwa tunatupa dhahabu nyingi MUNGU akuzidishie maisha marefu

  • @benardethamhela4898
    @benardethamhela4898 3 роки тому +4

    Uko vizuri kumbe ndiyo maana walio kufanyia kazi walifanikiwa.

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 2 роки тому +2

    Mzee Kishimba anajitahidi sana kumridhisha anayemhoji safi sana

  • @christelle9690
    @christelle9690 3 роки тому +13

    Wa kwanza ni mimi leo weka like yako apa
    👇

  • @godfreymwambwalo5282
    @godfreymwambwalo5282 3 роки тому +4

    Mzee Kishimba nakukubali sana inafaa ungepewa uwaziri

  • @ananiamwigavile5874
    @ananiamwigavile5874 Рік тому +1

    Mungu akupe umli mlefu baba kishimba

  • @erickamsele89
    @erickamsele89 2 роки тому +2

    Sana mbunge wetu tunakupongeza

  • @augustinob.toke1012
    @augustinob.toke1012 5 місяців тому

    Hongera sana mhe

  • @catherinejohn678
    @catherinejohn678 3 роки тому +5

    Kitambo sana nilikua nakuja natumwa dukan kwako kununua sukar nusu kila sh 30 mwanza kitambo sana

  • @mariachombo7316
    @mariachombo7316 3 роки тому +5

    Namkubali sana

  • @ngwanashija2667
    @ngwanashija2667 3 роки тому +6

    Safi sana matajili wengne wajifunze kuishi maisha ya kawaida kwanza cyo zambi ndo maisha waliyo yaishi mitume wetu

  • @abuushaymaatz
    @abuushaymaatz 2 роки тому +2

    Kweli kabisa Mzee wangu Wewe hunaga makuu, ni mtu unayejitambua Sanaa

  • @mwlpaulnghumbujanila6264
    @mwlpaulnghumbujanila6264 3 роки тому +4

    Nampenda sana MP Kishimba👏👏👏

  • @tibocherichard1182
    @tibocherichard1182 3 роки тому +3

    Very fantastic story

  • @nitumesokoni3164
    @nitumesokoni3164 3 роки тому +4

    Nilishangaa nilipoambiwa Lamada Hotel na Dar Free Market ni miongoni mwa mijengo yake

  • @beatriceleonard533
    @beatriceleonard533 2 роки тому +1

    Nafikiri Millard, unahitaj muda umuhoji mheshimiwa Kishimba we mwenyewe, umchimbe kiundani, nafikiri ana madini mengi sana

  • @jelladkabasa3292
    @jelladkabasa3292 3 роки тому +1

    Hongera mzee

  • @mangangafaida6462
    @mangangafaida6462 3 роки тому +5

    Huyu mzee anabusara sana yaan nimejifunza kitu

  • @ayubumoha6313
    @ayubumoha6313 2 роки тому +3

    Huyu mzee anabusara sana pia anajua shida sana

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 3 роки тому +11

    Mzee alipata pesa kitambo Sana kwa wale Wenyeji wa mkoa wa mwanza watakuwa wanalijua gorofa la kishimba kitambo Sana miaka hiyo ya 90 mzee alijenga gorofa mjini

  • @genosumaye140
    @genosumaye140 3 роки тому +4

    Tuliyo Fanya kazi kwa Kishimba tujuane imalaseco supamacket

  • @yusufumajinge59
    @yusufumajinge59 3 роки тому +4

    Anayehangaika ndiyo Mungu huwa anamfungulia mlango wa mafanikio.

  • @qasammawa5310
    @qasammawa5310 2 роки тому +1

    Kishimba,bro andika kitabu chamaisha yako,juuyamafanikio, vitabu hivyo viwe wakufu kwa watoto was shule za msingi,fezahiyo itafungua baraka zigie kwa mungu

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 3 роки тому +3

    Hahahaaa lami ya Foot Moja, asee we mzee kituko, Nilikua nafurai sana ulipokua bungeni

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 3 роки тому +4

    Mzee wa Kutoa wazo la kunawia Gongo ili kuepukana na corona, Kishimba we Jembe kweli

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 Рік тому +1

    Huyu jamaa alikua na meli mwanza alikua mkarimu

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 3 роки тому +2

    Watu wengi walio fanikiwa wako cool sana jaman ,yan nataka siku moja ni mwone ana wenge

  • @rsoo0099
    @rsoo0099 2 місяці тому

    Madini ya kutosha sana

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 2 роки тому

    Huyuu mzeee aliutumiaaa mda wakee vzr

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Рік тому

    ASANTE SANA KISHIMBA.

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 3 роки тому +5

    Huyu mwana ana kijiji chake buza bonge la boss huyu

  • @fadhilikawambwa1586
    @fadhilikawambwa1586 3 роки тому +1

    huyu mzee namkubali sana.mama japo kazeeka mpe uwazili tu.

    • @nitumesokoni3164
      @nitumesokoni3164 3 роки тому +1

      Huyu ni genius, kwenye uwaziri mawaziri wenzake hawatamwelewa.

  • @mashaurimasolwa2601
    @mashaurimasolwa2601 5 місяців тому +1

    huyu jamaa nafuatilia sana

  • @jacksonpetro9558
    @jacksonpetro9558 2 роки тому +1

    Anastahili kuwa Kiongozi Hakika nimejifunza na tujifunze na kuiga kutoka kwake Ndugu huyo.

  • @joviangeofrey866
    @joviangeofrey866 3 роки тому +1

    Nimekusoma

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 3 роки тому +3

    Mia mbili ilikuwa hela nyingi Sana nilikuwa natumia noti yake

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 3 роки тому

      Ni kweli ilikuwa nyingi lakini na waliokuwa nazo pia walikuwa wengi ila kuitunza wengi amewazidi .Mia mbili wengine waliipeleka disco CHISHIMBA OYEEEEEEE UNATUFUNDISHA KITU

  • @motingijh2101
    @motingijh2101 Рік тому

    Kilimo sio rahisi

  • @deohank5995
    @deohank5995 3 роки тому +3

    LAITI KAMA WANGEKUTAZAMA WOTE NAAMINI KUMI KATI YAO WANGE JIFUNZA KITU NA KUBADILI KABISAA TABIA ZA KUTAWALA WANGE JIFUNZA KUONGOZA KAMA MITUME WALIVYO FANYA!

  • @jacksonmkuyu4263
    @jacksonmkuyu4263 3 роки тому

    Mm naomba no yake tu..nimpokeze

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 2 роки тому

    Kwa huyo usimuone MTU tajiri ukadhan ameanza Leo INA maana hadi kufika. Hapo MTU anakuwa amehussle hasa. Amejaribu mambo mengi

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 3 роки тому +7

    Huyu mzee anaongea kibusara kabisa aseee...

  • @mzeeboko5447
    @mzeeboko5447 3 роки тому +3

    Unastahìlì kùwa wamfano kwani Maelezo yako mafundisho nakumbuka kauĺi yakomatajili mwanza hùfilisika nataka mimi nisifilisika

  • @adrianmanjala1357
    @adrianmanjala1357 3 роки тому +1

    ✊✊✊🔨

  • @novatuspaul9177
    @novatuspaul9177 2 роки тому

    Mtu na nusu

  • @christophertarimo5047
    @christophertarimo5047 3 роки тому

    Namjua sana huyu mzee,halafu hizo mambo za 200,ni porojo tuuu

    • @Ruchanwa
      @Ruchanwa 3 роки тому

      😁😁

    • @emmanuelzao
      @emmanuelzao 3 роки тому

      Hivi 200 ya mwaka 1970 unaijua wewe?

    • @elimwemazacharia714
      @elimwemazacharia714 3 роки тому

      200 miaka ya 70 nadhani n pesa nzuri tu

    • @isikesamike
      @isikesamike 2 роки тому

      Kwa hoja yako wewe inaonekana jinsi ulivo mdogo ki-umri. Kumbuka wakati huo anaoutaja yeye hata senti ishirini, senti hamsini (sumni), shilingi moja zilikuwa zinafanya kazi. Yaani kama leo ukitajiwa dola moja kwa Marekani ndivo ilivokuwa Tanzania kwa wakati huo. Imagine mtu leo anakupa dola 200 unaweza kuiona ni ndogo ila ukiibadili kwa mf. kwa fedha yetu ya Kitanzania kwa sasa ni kama laki nne na sehemu hivi, si pesa ndogo hii.
      Mfano mwaka 1985 - 1989 bado shilingi moja ilikuwa inafanya kazi. Kwa hiyo ulikuwa unaweza ukanunua muwa mzima kwa shilingi hata tano ama kumi tu. Hivyo ukiwa na tsh. 200 tu ilikuwa ni pesa kubwa kabisa.
      Siku nyingine jitahidi kujielimisha kwanza kabla ya argue.

    • @isikesamike
      @isikesamike 2 роки тому +1

      @@emmanuelzao unajua madogo wa siku hizi wakimaliza vyuo vikuu wanaona watu wasio na elimu kama zao basi ni mbumbumbu tu 😂😂

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 роки тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @genosumaye140
    @genosumaye140 3 роки тому

    Lamada

  • @pascalsamson4721
    @pascalsamson4721 2 роки тому

    duuuu

    • @liambeyusuphu2195
      @liambeyusuphu2195 2 роки тому

      Mtaji wa sh 200 ni porojo?? hivi unajua thaman ya sh 200 ya miaka ya sabini? yupo sawa mie binafsi naamini

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania 3 роки тому

    Kuendesha baiskeli kilometer 200 sasa hapo umechapia mbaba!😳

    • @dismasdonald745
      @dismasdonald745 3 роки тому +1

      Hata sisi tumeendesha sana zaidi ya kilometa 200

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 роки тому +1

      Mbona ni chache....ni sawa na kutoka dar hadi chalinze na kurudi dar.

    • @ericklyatuu1301
      @ericklyatuu1301 3 роки тому +2

      Unashangaa we wa mjini eee

    • @flavy_kipps4025
      @flavy_kipps4025 2 роки тому +1

      hujakaa usukumani ww uone wasukuma wanavyopiga bike kuna hadi daladala za baiskeli🤣🤣

  • @nyamarwamwikwabe4886
    @nyamarwamwikwabe4886 3 роки тому

    Uyu jamaa anatakiwa awe kiongozi mkubwa tz

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 2 роки тому

    Fanya mazoezi punguza mafuta

  • @mangangafaida6462
    @mangangafaida6462 3 роки тому +1

    Huyu mzee anabusara sana yaan nimejifunza kitu

  • @deohank5995
    @deohank5995 3 роки тому +1

    LAITI KAMA WANGEKUTAZAMA WOTE NAAMINI KUMI KATI YAO WANGE JIFUNZA KITU NA KUBADILI KABISAA TABIA ZA KUTAWALA WANGE JIFUNZA KUONGOZA KAMA MITUME WALIVYO FANYA!