MWANAMKE UKIMPENDA SANA NA AKAJUA UNAMPENDA SANA UTANYANYASIKA "PASTOR MGOGO
Вставка
- Опубліковано 22 жов 2024
- Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
UA-cam : Pastor Daniel Mgogo www.youtube.co....
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
❤❤❤
Leo tumepatikana wanawake Mungu tusaidie tubadilike...
Aksanti kwa mungu . Na kaa Kongo. Amen, amen ,amen. Uniombeye Yani ni nashida. Asifiwe mungu
Amen,
Ubarikiwe sana
Barikiwa mtumishi
Thank you God for giving me the opportunity to listen to the sermon today
Kichwa cha somo kinatosha ku-summarise mafundisho ya Mch D Mgogo. Mungu akubariki Mch na aendelee kukufunulia masomo yaendelee kupatikana.
Ubarikiwe sana pastor
Amin Amin Mungu wetu wambinguni zaidi
Mgogo jeuri huja kwa mwanamke kuleta chapaa nyumbani. Pesa ndio sababu ya mtu yeyote kuwa jeuri sio tu watu wenzanke hata kuwa jeuri kwa Mwenyezi mungu aliyeuumba na ndiye anayempa hizo pesa.
Hii nzr
Wamama kazi tunayo😂😂
Leo nimefurah sana nakufatilia nikiwa dubai umesema ukweli tupu
Ubarikiwe sana Baba mchungaji, mgogo Mungu akubariki kwa somo hili nimekuelewa
Wa mama kuleni chuma icho😀😀😀😀😀😀😀
Mungu akusimamie baba nimefurahi na nimechaka sana mama wa kijeshi 😂
Ubarikiwe mchungaji kwamafunzohayamazuri
Amina Mchungaji upo sawa kabisa wazuri ni shidaaa
Mng adumishe upendo
mzee wangu wa mawe unanifuraishaka sana kabisa ubarikiwe
Amen 🙏🙏🙏
Thank you 🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Amen
Amen! Mchungaji nakukubali sana mungu akubaliki na akuongezee maarifa zaidi mchungaji fika na kwetu huku kahama
Ukweli mtupu.asante
Ubarikiwe sana kwa somo hilo!
Amen san🙏🙏🙏
Kazi iko 🕊️🕊️ message
Mungu ni mkuu
Mchungaji utashtakiwa na watetezi wa haki za wanawake na binadam ww endelea kuwatetea tuuu kwann leo uwageuke sisi wanaume mtetezi wetu ni mungu tu
Amen 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙋 pasteur
Sema neno wapone
Mungu nitetee jamani huyu ni mimi kbs
Kiburi si chema popote wanawake wenye viburi jirekebisheni kama anavyop fundisha mchungaji lakina wanaume wapung uze umalaya ili ndoa ziwe na amani pamoja na familia
Tena haswa hao wakimbizi Yani wanaachana mpaka basi. Naona tatizo ni kwamba ulaya na usa wanapagawishwa na freedom na zile child support. Halafu akisha achana na mwanaume anakuwa busy na wanaume wanao kaa africa mitandaoni anajikuta child support zote zinaishia Kwa wanaume wa mitandaoni ila hawajui kama “fimbo ya mbali haiuwi nyoka”hawajui kama wanatumiwa tuu
Lete ujumbe
Happy umeniguza mm
Kbsa muchungaji
Ukweli unauma lakini unatengeneza
Leo tumefikiwa 😂😂😂
Mmmm wow
𝗨𝗯𝗮𝗿𝗶𝗸𝗶𝘄 𝗺𝗰𝗵𝘂𝗻𝗴𝗮𝗷
Heeeee nilijua ni chadema
Hata paka akiota huota anakimbizana na panya, kwa sababu ndie alipo kwenye akili yake. Wewe akili yako ipo CHADEMA.
Wa mama chuma hicho😂😂😂
Hilarious+Facts
😊😊
🤦🏾🤦🏾
Mungu akupe maisha marefu
👏👏👏
Umeongea ingawa tuko dini Tafauti
Hilo swali la bendera hata mm najiuliza
Bendera hizo ni mataifa yanayoikubali huduma yake. Hata nchi huweka bendera za nchi marafiki.
Ukiwowa mwanamuke wa kiburi utajuta mpaka n'a maiti Yako itaenda kaburini inajuta.
👏
Wamama mpaka
Kwa umalaya huo malkia alikuwa na haki ya kugoma malkia alijitambuwa
😂😂😂😂wamama mpoo
😂😂😂😂😂
Tupoo
Tupooo baba😂😂😂
Leo n mm nahubiriwa,au ndio wangu kanisema kwa mgogo😂
Hahahaha😂
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😅
Tupo
Mchungaji siyo lazima kufurahisha watuki kilichomuhimu ni kufundisha watu kutubu na kufanya vile Mola anavyotaka.
Mtu hawezi kufundishwa Kujua kusoma kabla hafundishwa kuandika, ivo lazima wafundishwe kujua udhaifu wao kwa waume zao ndipo waweze kutubu na kuacha kuwatesa waume zao, hata Biblia yaongea kuhusu matendo machafu yanayofanywa na binadamu na inasisitiza kuwa Tabia hizo zinamchukiza Mungu, walio kwenye ndoa waache kutesana.
Wapige nyundo
Kwa haya maubiri wanaume waliumbwa kwa tamaa mbaya sana na umalaya wa hali ya juu na wanapaswa wajifunze huyo mama hakuwa na kiburi kwani kama mfalme alikuwa na wake 700 na pembeni 300 sasa anakuja kwenye maonyesho ya urembo wake ya nini ndo maana alikataa wanaume wapunguze umalaya wachungaji muwaombee sana
Leo mm ndo nahubiriwa ,nkama nimesemwa 😂
mzee mbona umetanguliza bendera ya mashoga to a bwana weka ya urusi wanaopinga ushoga
Acha kumtusi much.wetu huna aibu kafie kushoto
Seems ukweli China icho
Ikawezekana pasta ameshaka umba mtu
Na mtakoma😅😅
😂😂😂nakojoa
Mungu angalii kama mwanadamu angaliavyo ila mwanadamu ni muhimu kubadilika Imanueli ni MUNGU PaMOJANASI Isy9:6
Gongo lako na fimbo yako yatufariji tunapata mafuta 23Zb4+5
Mzee balance mambo weka bendera ya urusi hapo.Uliotanguliza hujui amekuletea maafa ya magonjwa?
Mbon unajiteteya kwanza
Usizunguke zunguke nyouka maja kwa moja
Toka huko jambazii kuliko uwahambiyee watu maneno ya ufalme wa binguni wew ni mapenzi na mambo yasiyoo na mahanaa mburuu wew kweli
Neno tu halitoshi kuelimisha jamii,mambo mengi yanatendeka na kunamuda tunahitaji watu wakutukumbusha
Ndoa imetoka kwa Mungu na ndoa ni sehemu kubwa iliyoharibiwa na shetani kwa kua akiharibu ndoa jamii imeharibika so mchungaji yupo sahihi
Mungu akurehem Sana utalipa hayo maneno yako mbele za kiti cha enzi utalipa kumuita mtumishi wa Mungu mbulila😢😢😢
So wewe una mtusi mtumishi wa Mungu
Kama wewe huajui utayajua tu
Utajua Kiumbe hicho
Mungu akuongezee neema past.
Nauliza bendela za Taifa nyingine zinakuwaga na maana Gani..? Kanisani
Kuombea hizo mataifa
@@slyviamariammariam-7262 walokole wa Tanzania 🇹🇿 tuko na KAZI mingiii Sanaa
Neno ni la watu wa mataifa mengi
Hoteli ya nyota tano
Zinaonesha urafiki kati ya nchi na nchi.
😅😅😅😂😂😂❤❤❤
😂😂😂
Tuuko
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
❤❤
Amen
Mmmm wow
Amen
Amen
amen