May Allahu give you strength and faith not to despise people because of all his denominations we no Islam the success of the Hereafter Allahu himself knows,🇲🇿 From mocambique MOCIMBOA DA
Mashaaallah! My sheikh Allah akulipe meema ya rabbi. Nakupenda saana sheikh. I DO NOT BELONG TO ANY SECT BUT A MUSLIM BECAUSE THE PROPHET WAS A MUSLIM, HIS DESCIPLES WERE MUSLIMS. NONE OF THEM WAS SALAFIYYA NOR ITIHAAD, NOR SO AND SO. THE PEOPLE THAT CREATED SECTS IN ISLAM ARE THOSE THAT NEVER WANTED MUSLIMS TO BE ONE. UNITY IS POWER!
Allah ndo anajua kama unatoa kwa ajili ya Allah basi Allah akuzidishie na akuhifadhi na ana Allah atuhifadhi sote na Allah ndo anajua nani mwema na nani mbaya ushauri wangu tuache uchawa,UCHAWA is the source of underdevelopment in the society 😢
Inaonekana hujui maana ya aqiidah! Waislamu hawatofautiani katika aqiidah bali ka mas'ala kama fiqi na namna ya kufasiri sunnah ama namna ya kufuata na kadhalika!.. kawa ufupi aqiidah ni kuwa na yaqini na imaani thabit katika nguzo za imaan....
Doctor sulle nimefurashwa sana na maneno Yako ya kutoa namimi natamani kuwasaidia watu kwa sana baadaye nisaidie mtaji nitimize ndoto zangu wabillah taufiq namshukuru kama utausoma ujumbe huu
Na chamwisho kwa mujibu wa swali lilivyo ulizwa ilitakiwa ujibu ili uwe umemaliza swali ila ayo maelezo ya umri mara madhehebu hata ayaingii kwenye swali la msingi
Mtume alifanya mashindano na ni kipindi maswahaba walipoambiwa wasome quran washindane na atakae shinda atamuoa fatma,alliy alish, je hayo si mashindano???
Eti tunatofautiana kwenye aqida yeye answari mm ni mtu wa maulidi eti ndo aqida hiyo ndo ujue uchache wa elimu ni mzigo answari na maulidi ni aqida kweli.
Unasema ni din nisawa hiyo ni din kama zinginezo za buza za baniani na katolik ni din za duniani tu haziwapelek popote mungu Hana mipango na dini zawatu
Whenever you differ in aqeedah that's where mushkila comes in..... Being good in explaining things doesn't mean you're upon haqi.. Let the light be known and the darkness as well l.. ...when you differ in aqeedah then there is no difference na wakristo
Mawahabi dunia itaisha watakuwa bado ni wazito kuelewa,hivi ukisema maulid ni bidaa,na mashindano ya Quraan si bidaa,makongamano si bidaa,Quraan kukusanywa si bidaa,Quraan kutiwa irabu si bidaa,haya yote aliyafanya mtume,ukisema Mashindano ya Quraan ni jambo la dini,kwenye maulid kunasomwa Quraan,kunatolewa mawaidha,anasaliwa mtume,kuna kuamrishana mema na kukatazana mabaya,kunatolewa sira ya mtume,sasa baya ni lipi enyi pote la kiwahabi,au niufahamu finyu na kutopenda kusoma wala kuuliza nini bidaa,Waislamu wa kweli waongofu wana wasi wasi na pote hili la kiwahabi,linalofadhiliwa na mayahudi na marekani na washirika wao
Neema y Allah kuhadithia sio kujitangaza kwa mdomo, ni kwa matendo mfano kutoa sadaka, Au kisaidia watu, mwenyewe kuvaa n kula vizuri au kutumia kipando kizuri, hivyo ndio kuhadithia ama kuishikuru neema, kiufupi kuitumia kama dini ilivyotaka.
Sule fanya usome sheria ya uislam ili uijue dini walau kidogo maana unachanganya changanya sana mambo hata maneno yako unavyozungumza mtu mwenye ufahamu wadini japo kidgo anajua kuwa ww ni mbabaishaji
@NM-rq9dr Bid'a ni uzushi, yaani vitu vilivyokua haviko wakati wa mtume S.A.W, kama maulid, mashindano ya Qur'an na vyenginevyo, hata Dr. Sule kaelezea hapa kwenye Clip hii isikilize vizuri
Mimi na penda tabia ya waislam mtu akija kinyume na Mutah yani mwenendo wa M tume wetu mpendwa swalah Allahu aleyhi wasalam mnamueleza ukweli c watu wadini zingine wandanganyika kwa jina la bin adam mwenzao Yesu mpaka wanaingia ktk madhala makubwa ya kutoa uhai wao kwa ushirikina wao. sasa huyu sule aache kuigiza na usanii ktk dini kwani al Islam huwa sunna wasunna hiya L islam
Sule sio kwamba hutamani kua kama kishki,,unatamani ila huwezi kwasababu wewe ni mganga mpiga ramli na kuacha umeshindwa,,,maana huwezi kazi nyingine,,,umezoea uganga huwezi kua kama kishki
@imba7352 labda elimu ya kusema anaweza kuamlisha majini yampe pesa na ya kusoma biblia sio wakushindanishwa na Sheikhe Nurdin Kishki labda kama na wewe umezoea kwenda kwake kundishwa mapete hapo sawa
ndio bidaa lakini kuna two types of bida means bidaa hasana and bidah kabiha kwahyo unavo sema bidaa ujue maanayake ni jambo lilianzishwa baada ya kufariki mtume au jambo lililoanzishwa ambalo mtume hajalielekeza na jambo hilo linaonekana Lina maslah katika uislamu ............................ wallah aalam.................
Hapo kwenye kumpokea shekh kishiki ume mpokeaje hahahahaha wakat we ni bibilia unayodili nayo quran uko mbali sana hadithi pia ila shekh kishiki ye msomi mkubwa hilo slipingiki pia kwenye biblia ni mweupe ajabobea na atujaona kijistoria umpokee hapa umetupiga tuache ujanja ktk dini pia kipimo cha umri akina hoja ya ubora zaidi ya uchamungu na hikma ni muhimu sana😅😅😅😅😅😅
Mashekhe nyote wa zama hii Muna mitihani mikubwa na utatuz hayupo Wala hautotokea labda mtu afe bc Kila mmoja aende mbele ya mola wake wengine wanaendelea mpk Dunia itakwisha
Nyie mawahabi hamujitambui hata kidogo,,sasa nyie musiojielewa munasema hata kizuri ambacho hakufanya mtume ni bidaa,sasa mtume alifanya mashindano ya Quraan,mbona hamna uwelewa mawahabi,bidaa ni kitu kinachopingana na dini,mawahabi ni watupu
Dr sule yuko apo kwa kucafuwa wi islam kwajili yanja subiri siku umauti utakapo kufikiya ndiyo utaona uyo ujanja wako hufayi sunajifanya weye nimjanja powa
ELIMU ELIMU ELIMU KAKA SULE UMEANZA ULINGANIZI MUDA MREFU LAKINI SIJUI UISLAM ULISOMEA MADRASA IPI ????? TATIZO KUBWA WALINGANIZI WETU HAMPENDI KUSOMA UISLAM MUMEZOEA UJANJA UJANJA
Sasa wewe mganga unasema unapishana akida na sheikh nurdin kishk mwenye kufanya hivyo ni mtu mwenye elimu sasa wewe dini ulisoma wapi? Wewe ni mtoto wa mjini janja janja tu na kutapeli watu ila elimu ya dini hauna sababu hujasoma usidanganye watu
@salimjuma9837 atufanyi maulidi sababu ni uzushi,hakuna aya wala hadithi inayotuamrisha kufanya hivyo hata masahaba hawajafanya huo uzushi ,kama unafanya kitu hakijafanywa na mtume wala masahaba huo ni uzushi,mngejua hiyo tafsiri ya kitabu chenu ballazanji ndo mngejua kweli ni bidaa
Kabla ya kurukia Maulid ungeanza kwanza kutaja Aya gani au hadithi inayowafanya muandae mashindano ya Quran Tena kwenye viwanja vyenye najisi ya pombe, mikojo ya wacheza mpira
Yaani mawahabi mna akili fupi sana,sasa mnapinga Maulid kwa hiyo Mtume hakuzaliwa? Yaani Mawahabi hamjui hata maana ya neno Maulid. Maulid maana yake ni mazazi. Sasa kuadhimisha mazazi kuna shida gani mbona watoto wenu mnarekodi wamezaliwa lini, basi acheni kwanza kuandikisha vyeti vya Kuzaliwa. Mna akili fupi sana, nyie sio waislam ni makafiri mnaovaa kanzu
@@ShabaniRashidi-d2vkasome dini kwanza acha ukafiri, hujui hata maana ya neno Maulid, kwa hiyo Mtume hakuzaliwa? Wewe unatumia simu kuna Aya au hadithi ya Mtume unayempinga ya kukwambia utumie simu iliyotengenezwa na makafiri ambayo kuna mapicha ya uchi nk juha mkubwa wewe
Na mimi piya suali yangu ijibiwe tafadhali . Nimeona Sheikh Nurdin Kishki akishambulia Dr Sulle mara kadha online kwamba Sulle hana ilimu . Alafu baada ya Radi za Yussuf diwani na Muhamad mbachu . Nursing kishki alitowa clip burundi akionyesha . Mbona ma Shekhi anashambuliya na waki ambiya wangine hawana ilimu . Basi watu wapendane kama waislam. Sasa suali yangu hivy : 1 Nurdin kishki anajuwa kwamba yeye ndio wakwanza ama vipi ? 2 Mbona watu watwarika wanenda Kwa msabakati Quran na Nurdin kishki aki halikwa Mawlidi Haji ? . Si atumie hishama na mapenzi yakislam kama wanzake
Wewe nimuongo mwizi munafiki halafu unadeni kibao zawatu unawadanganya kua utawapa dawa halafu hauwapatiyi dawa unawaiibiya halafu unawa block aswa sisi wenye kuishi inchi za ulaya
Kufanya mashindindo ya Qur-an bidaa?? Acha utapeli huo, Mtume hajavaa suti wala hajatumia simu, na wala hajawahi wapeleka watoto wake shule ya kidunia , wewe vyote unafanya hivo vipi ni Bidaa @Dr. Sule? Mtume hajawah kuvaa saa wala kutumia mtandao wa kijamii vipi ni bidaa hivo?
Sheikh umemtaja Anuary Jongo umenigusa sana
Em nifikishie salam zangu kwake
MAASHAALLAA
Watu mnaokomenti doctor kafafanua vzuri klamtu amini anacho amini tatizo rko wapi amefkisha ujumbe kwa umma wakisilaam uspoelewa shauri yako ukielewa mwenyezimungu akurpe kheri tuseme inshallah
Huyo sio Dr.
Mshirikina huyu wa kutumia majini
B@@abuubilal2646mshirikina unamjua acha ufala
Maashaallaah Maashaallaah Maashaallaah nimependa Maashaallaah
Mashallah Lea ma sheikh wetu tunamiombea duaa Mwz Mungu amifazi duniani na kesho hahera in shallah ❤
May Allahu give you strength and faith not to despise people because of all his denominations we no Islam the success of the Hereafter Allahu himself knows,🇲🇿 From mocambique MOCIMBOA DA
Allah atawalipa kwa mafundisho mema inshaallah
Yes haokoi mungu ndio anae okoa
Mashaaallah! My sheikh Allah akulipe meema ya rabbi. Nakupenda saana sheikh. I DO NOT BELONG TO ANY SECT BUT A MUSLIM BECAUSE THE PROPHET WAS A MUSLIM, HIS DESCIPLES WERE MUSLIMS. NONE OF THEM WAS SALAFIYYA NOR ITIHAAD, NOR SO AND SO. THE PEOPLE THAT CREATED SECTS IN ISLAM ARE THOSE THAT NEVER WANTED MUSLIMS TO BE ONE.
UNITY IS POWER!
Allah ndo anajua kama unatoa kwa ajili ya Allah basi Allah akuzidishie na akuhifadhi na ana Allah atuhifadhi sote na Allah ndo anajua nani mwema na nani mbaya ushauri wangu tuache uchawa,UCHAWA is the source of underdevelopment in the society 😢
Love you my Dr
Same to you
Safi sana sule, unabusara
Akida ya uwislam ni Moja tu Toka Allah aimbe dunia ila Sheria ndio zilitofautiana kulingana na nyumati tofauti
Maashallah
MashaAllah ❤
Mi namoenda sana dokta sure yupo sahihi
Mashallah
Inaonekana hujui maana ya aqiidah! Waislamu hawatofautiani katika aqiidah bali ka mas'ala kama fiqi na namna ya kufasiri sunnah ama namna ya kufuata na kadhalika!.. kawa ufupi aqiidah ni kuwa na yaqini na imaani thabit katika nguzo za imaan....
Hana Elimu huyu Kijana Mdogo. Anajisemea tuu.
Hajui akida nini maskini
Aqida .....Sio yakin Wacha ujuaji....
Akida ni Tabia.....
❤❤
Mm n mkristo lkn namuelewa sana dk sule ase uyu jamaa anakumbukmbu atar na kichwa yeke iko nazawad flan iv mana syo kawaida2
Akon pia kainvest vizuri sana kwao Senegal
Wewe nimwizi toka ukaibiya watu pesa zao kibao hata mimi ukaniibiye ila Allah atatulipizia😢😢
Ulikutana nae wapii tena😂😂
@@stanleymanya438 nilimutumiya pesa kwenye number yake akisema atanitumiya muzigo
Aliiiba aje
@@yakububakari9875 alinambiya atanipa dawa ya maumivu ya mgongo nikamutumiya pesa kwa western,muzigo sijapata akaniblock
Kama hujaacha ugaga bado huijui akida sahihi
Doctor sulle nimefurashwa sana na maneno Yako ya kutoa namimi natamani kuwasaidia watu kwa sana baadaye nisaidie mtaji nitimize ndoto zangu wabillah taufiq namshukuru kama utausoma ujumbe huu
Naaam
Na chamwisho kwa mujibu wa swali lilivyo ulizwa ilitakiwa ujibu ili uwe umemaliza swali ila ayo maelezo ya umri mara madhehebu hata ayaingii kwenye swali la msingi
Kauli zake tu Ana chuki kabisa na masemango
Ubinadamu nimzigo mzitoapokakusea wapi?
Usimpangie cha kuongea kaka sikiliza unapopenda usipopenda tuachie wengine tusikilize
Fata mijadala za huko Congo egtv1
Lugumi🔥
Asalam alaykum dokta sule Mimi Nina shida na ww nakuomba unisaidi mtaji nifanye biashara kiasi chochote inshaallah
Aslm alykm
Mtakuja pewa pesa za mikataba ya majini zikuteseni?
Akida ya kiislamu ni moja
vzuri nimekuelewa doktor
Mi sitaki kusapoti kitu Allah ndo anajua nani mkweli na nani mlongo😢
Huyuuu so shehee tokaa lin shehe akakata mapank na kunyoaa ndevu kihun huyu muhun kama wahun wenginee tuuu na kuibiaa watuuuu😅😅😅
Mashindano ya quran kwa sheikh sule ni bidha’a lakini Maulidi sio bidhaa’a ? Kwa kweli ni uko kwa upotevu Allah akuongoze Doctor Sule.
Maana yake vyote ni bid'aa lkn kwa Nini mashindano ya Quran mnafanya lkn Maulid Mnakataa? Hiyo ndio Maana ya Dr Sule.
Mtume alifanya mashindano na ni kipindi maswahaba walipoambiwa wasome quran washindane na atakae shinda atamuoa fatma,alliy alish, je hayo si mashindano???
@@mudysaukommmmh maneno hayo yapo katika kitabu gan kaka???
Eti tunatofautiana kwenye aqida yeye answari mm ni mtu wa maulidi eti ndo aqida hiyo ndo ujue uchache wa elimu ni mzigo answari na maulidi ni aqida kweli.
Unasema ni din nisawa hiyo ni din kama zinginezo za buza za baniani na katolik ni din za duniani tu haziwapelek popote mungu Hana mipango na dini zawatu
Dini ya kweli mbele ya Allah ni uislamu tu zingine ni jaja jaja2
wee una majini wangapi
Au sio
Mwenye uislam alikufa,Dini aliyo kabidhiwa Na namuz pangoni.
Haki yaki niipi
Madini sanaaaa namimi nimiongoni mwako sio Hawa mazombi wapigahera Kwa maboya
Mashindano ya Qur'an pia ni Bid'a
Unanyowa kiwu tapeli
Whenever you differ in aqeedah that's where mushkila comes in..... Being good in explaining things doesn't mean you're upon haqi..
Let the light be known and the darkness as well l..
...when you differ in aqeedah then there is no difference na wakristo
Mawahabi dunia itaisha watakuwa bado ni wazito kuelewa,hivi ukisema maulid ni bidaa,na mashindano ya Quraan si bidaa,makongamano si bidaa,Quraan kukusanywa si bidaa,Quraan kutiwa irabu si bidaa,haya yote aliyafanya mtume,ukisema Mashindano ya Quraan ni jambo la dini,kwenye maulid kunasomwa Quraan,kunatolewa mawaidha,anasaliwa mtume,kuna kuamrishana mema na kukatazana mabaya,kunatolewa sira ya mtume,sasa baya ni lipi enyi pote la kiwahabi,au niufahamu finyu na kutopenda kusoma wala kuuliza nini bidaa,Waislamu wa kweli waongofu wana wasi wasi na pote hili la kiwahabi,linalofadhiliwa na mayahudi na marekani na washirika wao
Mzee wa ramli na majini
Nakukubali Sanaa sule unamadini najifunza mengi kupitia ww
Duh bwabwa kweli
Neema y Allah kuhadithia sio kujitangaza kwa mdomo, ni kwa matendo mfano kutoa sadaka, Au kisaidia watu, mwenyewe kuvaa n kula vizuri au kutumia kipando kizuri, hivyo ndio kuhadithia ama kuishikuru neema, kiufupi kuitumia kama dini ilivyotaka.
ila huy jamaa kweny elim ya dini hamna kitu
Swadakta, mitume hakufanya mashindano ya Qur'an watu wakapata zawadi,
Ko Cha manufaa kifanyike, nami pia naona nisawa umeongea jambo zur.
Soma Kwa uzuri
Sule fanya usome sheria ya uislam ili uijue dini walau kidogo maana unachanganya changanya sana mambo hata maneno yako unavyozungumza mtu mwenye ufahamu wadini japo kidgo anajua kuwa ww ni mbabaishaji
MASHINDANO YA QUR'AN PIA NI BID'A
Bado sijaelewa, unaweza kunielewesha vizuri kwa ihsani yako
@NM-rq9dr Bid'a ni uzushi, yaani vitu vilivyokua haviko wakati wa mtume S.A.W, kama maulid, mashindano ya Qur'an na vyenginevyo, hata Dr. Sule kaelezea hapa kwenye Clip hii isikilize vizuri
WAKRISTO WOTE WASENGEE TU MAKUMA, MWEZ 3 TUNAWACHINJA WOTE KUMANINA ZENU 😂
Let’s see 😂
Mimi na penda tabia ya waislam mtu akija kinyume na Mutah yani mwenendo wa M tume wetu mpendwa swalah Allahu aleyhi wasalam mnamueleza ukweli c watu wadini zingine wandanganyika kwa jina la bin adam mwenzao Yesu mpaka wanaingia ktk madhala makubwa ya kutoa uhai wao kwa ushirikina wao. sasa huyu sule aache kuigiza na usanii ktk dini kwani al Islam huwa sunna wasunna hiya L islam
Sule sio kwamba hutamani kua kama kishki,,unatamani ila huwezi kwasababu wewe ni mganga mpiga ramli na kuacha umeshindwa,,,maana huwezi kazi nyingine,,,umezoea uganga huwezi kua kama kishki
Kumbe misikiti ni yenu😅😅
Weuna elimu ila una kipaji cha kuongea Sheikhe kishki msomi mwana wa zuoni mkubwa ana masters upo
Elimu ni pana sana aliyonayo kshk Dr sule Hana na aliyonayo Dr sule kshk hana
@imba7352 labda elimu ya kusema anaweza kuamlisha majini yampe pesa na ya kusoma biblia sio wakushindanishwa na Sheikhe Nurdin Kishki labda kama na wewe umezoea kwenda kwake kundishwa mapete hapo sawa
Labda ushirikina
Elimu gani kwanza? @@imba7352
Ww ulie uliza kwamba mashindano ya qur,an ni bidaa ndio maana ya bidaa ni kitu ambacho mtume wetu muhammad (s a w) hajakifanya
Mtume pia hajasomesha watoto shule ya dunia, havaa suti wala hajatumia cm , hajapanda ndege, wala hajapanda boat, hivo vyote ni Bidaaa?
😂😂😂😂😂 kweli maisha y sasa hasilimia kubwa ni bid'a@@fadhilmandaliabdalla6736
Mashindano ya Qur'an ni bid'a ????...tuambie
ndio bidaa lakini kuna two types of bida
means bidaa hasana and bidah kabiha
kwahyo unavo sema bidaa ujue maanayake ni jambo lilianzishwa baada ya kufariki mtume au jambo lililoanzishwa ambalo mtume hajalielekeza
na jambo hilo linaonekana Lina maslah katika uislamu
............................ wallah aalam.................
Watk uwambiwe mara ngp?au hujaelewa Nini hpo?mashndni y aur'an ni bid'aa
Ukijua maana ya bidaa Utajua kila bidaa
Wasalimie wanao hassan na amina
Msigombane kwaajili ya dini wengine watajifunza nini
Hapo kwenye kumpokea shekh kishiki ume mpokeaje hahahahaha wakat we ni bibilia unayodili nayo quran uko mbali sana hadithi pia ila shekh kishiki ye msomi mkubwa hilo slipingiki pia kwenye biblia ni mweupe ajabobea na atujaona kijistoria umpokee hapa umetupiga tuache ujanja ktk dini pia kipimo cha umri akina hoja ya ubora zaidi ya uchamungu na hikma ni muhimu sana😅😅😅😅😅😅
tofauti ni wewe ni mshirikina
Jibu ni lá kungahunga sheh
Sule fundi,,na usipomuelewa huelewi tena
Hapo umedhihirisha ujinga eti mashindano bidaa Hauwezi fananisha maulidi na mashindano ya Qur,an
We limbikeni tapeli
Mashekhe nyote wa zama hii Muna mitihani mikubwa na utatuz hayupo Wala hautotokea labda mtu afe bc Kila mmoja aende mbele ya mola wake wengine wanaendelea mpk Dunia itakwisha
Nyie mawahabi hamujitambui hata kidogo,,sasa nyie musiojielewa munasema hata kizuri ambacho hakufanya mtume ni bidaa,sasa mtume alifanya mashindano ya Quraan,mbona hamna uwelewa mawahabi,bidaa ni kitu kinachopingana na dini,mawahabi ni watupu
Unapenda majigambo kishki kala ubwabwa kwako umekuja kutangaza kwenye mitandao😅
Alicho kisema kama wewe ni Islam utamuelewa ametoa istoria chache baina yao naurafiki wao siokosa ila ufafanuzi wako ndio afifu
😂😂😅
Pepo yenu ipo hapahapa duniani
Upo swa, washirikina wote mpka na ww kafir km hamjaacha mkarudia Allah.
Sule kanza yeye kuhubiri na sasa kazayeye ushirikina
Hata mm ni answali
Kumbe maulid ni akida duuuuh Kuna haja ya kukaa darasani
Na ww pia Kuna hja ya kukaa darasn kuijua bid'aa
Ila mna mitihani km nyie mashekhe munakaa hamuongei na ndio mashekhe haya Hawa wengine watafanya vip
Dr sule yuko apo kwa kucafuwa wi islam kwajili yanja subiri siku umauti utakapo kufikiya ndiyo utaona uyo ujanja wako hufayi sunajifanya weye nimjanja powa
Tapeli
Wee sule ni mshirikina kama washirikina wengine tu
Ww ndo unajudanganya
Namimi Leo mgeni wako takuja kula mchana
Waandishi acheni ujinga
ELIMU ELIMU ELIMU
KAKA SULE UMEANZA ULINGANIZI MUDA MREFU LAKINI SIJUI UISLAM ULISOMEA MADRASA IPI ?????
TATIZO KUBWA WALINGANIZI WETU HAMPENDI KUSOMA UISLAM
MUMEZOEA UJANJA UJANJA
Ila nyie wa maulidi jaman akida zenu hizo za kufuga majini dahh mnatia dosari
Sule ni mganga...na nyie hii tv kama kweli ya uislam msimpost huyu. Sheikh wa kweli hawez kujisifu hivi
Mmetofautiana kwenye akida ww una akida gani sasa
Kisto tumaini letu
Ssa uku amekuita nani?😂
Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu mwenzie
@@NoorynMody😂😂kisto nd nn?
Ww na huyo Sule nyote washirikina. Ww mshirikina wa kumshirikisha Allah na Mtume wake na Yy wa kumshirikisha Allah na majini/mashaitwani. Hasbunallahu
Sasa wewe mganga unasema unapishana akida na sheikh nurdin kishk mwenye kufanya hivyo ni mtu mwenye elimu sasa wewe dini ulisoma wapi? Wewe ni mtoto wa mjini janja janja tu na kutapeli watu ila elimu ya dini hauna sababu hujasoma usidanganye watu
Kuna hadithi gani au aya gani inayowafanya msheherekee maulidi??
Kuna hadith gani inayosema watu wasifanye mawlid
@salimjuma9837 atufanyi maulidi sababu ni uzushi,hakuna aya wala hadithi inayotuamrisha kufanya hivyo hata masahaba hawajafanya huo uzushi ,kama unafanya kitu hakijafanywa na mtume wala masahaba huo ni uzushi,mngejua hiyo tafsiri ya kitabu chenu ballazanji ndo mngejua kweli ni bidaa
Kabla ya kurukia Maulid ungeanza kwanza kutaja Aya gani au hadithi inayowafanya muandae mashindano ya Quran Tena kwenye viwanja vyenye najisi ya pombe, mikojo ya wacheza mpira
Yaani mawahabi mna akili fupi sana,sasa mnapinga Maulid kwa hiyo Mtume hakuzaliwa? Yaani Mawahabi hamjui hata maana ya neno Maulid. Maulid maana yake ni mazazi. Sasa kuadhimisha mazazi kuna shida gani mbona watoto wenu mnarekodi wamezaliwa lini, basi acheni kwanza kuandikisha vyeti vya Kuzaliwa. Mna akili fupi sana, nyie sio waislam ni makafiri mnaovaa kanzu
@@ShabaniRashidi-d2vkasome dini kwanza acha ukafiri, hujui hata maana ya neno Maulid, kwa hiyo Mtume hakuzaliwa? Wewe unatumia simu kuna Aya au hadithi ya Mtume unayempinga ya kukwambia utumie simu iliyotengenezwa na makafiri ambayo kuna mapicha ya uchi nk juha mkubwa wewe
Njoo kwa Yesu Mwokozi❤❤📖🖐️
Tafuta channel za Manabii FEKI 😂
Waislam hatuna manabii kwa sasa hivi ila wakristo wako kama wote wazee wa maji na mafuta ya upako
Bila shaka wewe unaongozwa na roho mtakavitu@@FxL_87
Yesu ni binadamu mwenzako acha kumuabudu
Mtihani
Mwokozi ni mungu pekee, acha kuwa mshilikina, wakumuabudu mtu kama ww yesu, binadam,
Na mimi piya suali yangu ijibiwe tafadhali .
Nimeona Sheikh Nurdin Kishki akishambulia Dr Sulle mara kadha online kwamba Sulle hana ilimu .
Alafu baada ya Radi za Yussuf diwani na Muhamad mbachu .
Nursing kishki alitowa clip burundi akionyesha .
Mbona ma Shekhi anashambuliya na waki ambiya wangine hawana ilimu .
Basi watu wapendane kama waislam.
Sasa suali yangu hivy : 1 Nurdin kishki anajuwa kwamba yeye ndio wakwanza ama vipi ?
2 Mbona watu watwarika wanenda
Kwa msabakati Quran na Nurdin kishki aki halikwa Mawlidi Haji ? .
Si atumie hishama na mapenzi yakislam kama wanzake
Wewe nimuongo mwizi munafiki halafu unadeni kibao zawatu unawadanganya kua utawapa dawa halafu hauwapatiyi dawa unawaiibiya halafu unawa block aswa sisi wenye kuishi inchi za ulaya
Ila sule ni jaahil leo ndio nimejua hilo tumsamehe tu
Shee au mganga wa kienyeji
Ww yanakuusu nn hyo?
Kufanya mashindindo ya Qur-an bidaa?? Acha utapeli huo, Mtume hajavaa suti wala hajatumia simu, na wala hajawahi wapeleka watoto wake shule ya kidunia , wewe vyote unafanya hivo vipi ni Bidaa @Dr. Sule? Mtume hajawah kuvaa saa wala kutumia mtandao wa kijamii vipi ni bidaa hivo?
Hujamuelewa msikiliz vzr
Sadaka sio neema wewe
Chiz kwl uyu
@@PeterAdam-nw7lf wew Kafiri hizo akili umeztoa wap??
dini ya unafiki hii sijapata ona, hakika YESU ni njia, yani Muhamadi kawadanganya sana waislam
wewe unasema ni dini ya kinafki basi angalau ni dini he wewe una dini? una kitabu una mungu ? nikiwa na uhakika vyote hivyo huna
Bila shaka wewe inaongozwa na roho mtakavitu
Hyo yesu kakupa ukwel gani?😂
Ukapimwe akili
24:24 mathayo kasome inaonyesha ww haujui kitu
Na sheikh kishki amefanya makubwa kwenye kueneza Sunnah ya mtume salallahu alayhi wasalaam,aaaaaaah kumbe unajijua wewe ahlul bidaa
MAASHAALLAA
Mashallah
❤❤❤
Tapeli
MAASHAALLAA
❤❤❤❤❤