Bony Mwaitege - MWALIMU (Official lyrics Video)
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
MUNGU AKUBARIKI SANA.
Nyimbo ambayo popotee penye graduation ni lazima ipigwe hii sio ombi iwe nursery,primary, secondary,vyuoni na n.k hapo umekamata kila sehemu aseee.. kila DJ lazima awe nayo hiii
Asante
Napenda hii
😊
Safi sana Bony Mungu akubariki kwa kuliona hilo kupitia uwezo wake Mola
Hakika Mungu ni muweza wa yote azidi kukutunza siku hadi siku kwa kutuhuburia mambo mema🎉
Mi toka 2009 toka apo nikaanza kuzifatilia, Kuna wimbo unaitwa 《mama 》ndoo nilianzia kuskiliza pamoja na wimbo 《maisha foleni 》endelea kumtukuza mungu niko Dr
Asante sana
Ila uwalimu ni wito kweli me zile home work mwanangu anazopewa nyumbani tu zinanitoa jasho kumfundisha walimu mungu hawabariki
Mtumishi mungu akupe afya tunawetegemea sana.....from kyela mbeya
Huyu nimwamba ila analala Sana Bila kutoa nyimbo piga kazi mwaitege
Asante ndugu yangu
Walimu tujuane HAPA.
Asante
@@BonyMwaitegeOfficial ndaga fijho kutulumbila.
Mungu amubariki sana mtumishi wake bony kwa nyimbo nzuri
Ubarikiwe baba mchungaji
Ameen
Amina! Mungu atujalie heri sana,maana kazi ngumu sana lakini Kwa msaada wa Mungu tunafanikiwa mno❤💯👏
Iyi ndirimbo ninziza yesu aguhe umugisha
Walimu mungu awabariki kwani uwalimu ni wito
Wimbo mzuri sana Kwa kweli walimu wa kila sekta watafurahi kusikia umewakumbuka walimu🙌🙌🙌🙌
Iam teacher from Kenya and I am proud of it. I just like your songs man of God, from MKE MWEMA to MWALIMU. Be blessed.
Asante
Ukweli kupitia wimbo huu nawapa salamu walimu wangu, ( milele ( na sebaru na shemdoe na bibiana na singano na kabonda na singano na jambia na chakae na umii , ukweli Mimi niseme Asanteni mulitukisha bali kielimu, pale shule ya msingi mbongoi wilaya ya lushoto tarafa ya mlola kata makanya kijiji cha mdando muheza, pia niwape Asanteni walimu wangu wadini kina sheh daudi na sheh riziwani na sheh swahibu na sheh Amdi na sheh amdala na sheh muhamadi na sheh imamu na sheh asumani fumu na sheh juma hale mungu awape umri mrefu tuendelee kupata elimu kutaka kwao na mungu na Sisi wanafunze atujalie ufahamu mzuri
God bless you dear brother
Your songs are inspired by the Almighty God! As a man, nothing I may do for you, indeed, I contribute saying that God bless much more in the Might Name of Jesus Christ our Lord and Saviour, AMEN AMEN AMEN
Bonnie ww ni singer composed sana napenda content zako Gutsylucabee from 254 nipitie huku kwangu msupport kijana wenu unit is strength 💪 na spread good news about Jesus Christ 🙏🫶
Thanks
Ukweli Mimi niseme tu, kupitia huu wimbo naomba niwape Asante walimu wangu, ( bilele mrangi na bibiana na shem
Hii imeenda. Itachezwa sana graduation hii.
Asante
Afadhali kuwakumbuka walimu wengine hawatambui mchango wao kabisa
Burundi wakwanza nipe like zangu
Habari? Naomba nisaidie kupata namba za wachungaji walioko burundi au nitumie namba yako ya whatsup
asante
❤❤❤Dios te siga bendiciendo , como quisiera que mi hijo siga tu ejemplo💖💖💖🙏🙏🙏
Zamani tulijuaga walimu wapo mashulen tu kumbe hata makanisani walimu wapo wimbo mzuri sana na maana kubwa🙌
Hapo kwa a e i o u nimepafurahia SANA kk na Mtumishi-Mwenzangu katika SHAMBA LA BWANA 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante
amen nyimbo nzuri sana mtumishi wa mungu ,.
Ev DOMINIC Nyabuto kutoka Kenya bony tuende mbele na injili
asante
Kwa asilimia Mia moja bony hana mfano n mtunzi mkamilivu
Asante
Ooooo yes tunashukuru mwaitege mtumishi wa mungu kutambua hilo
Nyimbo nzuri sana,Tena ya ukweli Hongela sana
Asante
Pastor nabarikiwa sana na hasa kwa darasa lako la uimbaji. Ila naomba hii beat niifanyie kazi
Ukweli ndo huo mwalimu ndo Kila kitu mtumishi wa MUNGU umeimba Kwa kuongozwa na MUNGU ni wimbo ambao sitausahau mpaka kufa kwangu naomba serikeri iwangalie walimu wasisubiri mshahara tu katikati ya mwezi kuwepo na posho walimu wote muwe na maisha marefu mbeke za MUNGU.
Be BLESS Pastor Mwaitege to send this sms to the TZ Government.
Kazi nzuri sana
Asante
Mungu akubariki sana baba kwa wimbo ulio beba maudhui makubwa sana
GOD BLESS YOU MWALIMU
Amen
Asante Sana babaangu,kwa ufunuo huu,nadhani wewe ni wa kwanza kufunuliwa hili,wamesahaulika,be blessed my dad
Asante Mwanangu
Na Wewe Bony Mwaitege ni Mwalimu
Asante sana.
Hogera sana bony nyimbo nzuri saana God bless you
Hongera sana sana mutumishi wa Mungu. Wimbo mzuri kabisa
Asante
Uko viziri mtumishi
Asante
En tout cas papa que le Dieu du très haut vous bénis encore et qu'il vous ajoute la sagesse 👏👏🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
mersii
KAZI nzuri kaka,twangoja video
Asante
Asante sana kwa kukumbuka walimu kupitia nyimbo zako za Injili.Mwenyezi Mungu akupe uzima na ujasiri zaidi katika kazi yako Baba.🇰🇪
Asante sana
hakika nimebarikiwa na content nzuri sana .
I enjoy your songs because I'm able to read 🔥🔥🔥
Kabsa barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Me being a secondary teacher am blessed! Thank you bonny mwaitege for singing us a song. Love you from Zambia
Thank you so much.
Asante Kwa wimbo mzuri.
❤❤❤
Keep up the good work, man of God be blessed
ma me mi mo mu kweli alipambana Mwalimu
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 hongera San brother bon Kaz nzur🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sana
Dedication to my brother
Muimbaji WA nyimbo zaijili bony mwaiyege Ni muogoni Mwa waimbaji wazamani nilio wapenda sana adi leo
Asante
Bongo la ngoma barikiwa sana
Kaka balikiwa sana japo nilipenda nipate no zako za cm tufanye colabo
Karibu sana
Great song mtumishi
Asante
Barikiwa sana mtumishi
Yesu.nimwalimu.orijino
He is able more grace to you sir
Kazinzuri❤❤
Baraka zakutosha 🎉🎉🎉
Asante
Ayonimambo ya kijamii kunawatu wakuyasema!!tuambie kuusu Mungu ndokazi aliyokupa.
Kwan hujui kam uimbaj n Sanaa nakaz yake nikuelemish jamii au hujaona kam anaelimish jamii juu ya umhim wa mwalim ktk jamii! nivizur kam kitu hukijui ukakaa kimy
Punguza hasira,,,mbele Kuna mteremko mkali
Unamatatizo ya akili, hujui uwimbaji n Sanaa,punguza kelele ,na wivu .sasa watu wa kuwasemea n akina nani, 😂😂😂
@@FredLui-jd8yw wakuwasemea ni wewe🤣🤣
Tunalisubilia goma
Barikiwa Sana Baba 🙏
Asante
Amen Amen 🙏🙏🙏🙏
🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asante
Good work. Bonny
Ni sawa sana
MUNGU azidi kukuinua ktk utumishi wako
Asante
Barikiwa
Wimbo mzuri
Asante
Much love all the way from Zambia❤❤
Thanks
Wimbo Powa sana
Asnt mungu kwazawad bony❤❤
Asante
Hakika
Nyimbo nzuri
Asante
Kazi nzuri
Asante
Thanks mtumishii wa Mungu. Mungu mkubwaa kutokaa aeiou Leo hii mwalimu thanks madam bomboo wanguu bila wewe nisingejuaa kusomaa
Asante sana
Thank you ❤
Wow! Wengi wanatudharau sana walimu😢.. Huu wimbo umenifuta machozi na kunibariki sana.. Umetuheshimisha sana walimu.. Ubarikiwe sana Baba..
Amen Ubarikiwe Mwalimu HAPPY.
Nice song
Amen 🙌🙌
Hii nayo ni tamu aje ❤❤❤
asante
Amen sana baba
Asante
Nakutambua bonny toka uimbe was make mwema,nasikia roho yangu ikitulia Na nyimbo zako Sana.ubarikiwe sana
Asante sana
🙏🙏🙏🙏 safi mtumish God bless you
amen
Amen
Wimbo mtamu...tuheshimu walimu
Asante
Special dedication to my teachers all the way from Muukuni primary school,Makueni Boys High school and currently Mount Kenya University...God bless you
ubarikiwe mtumixhi Kwa kazi Yako nzr ,by pastar Denice j nipo Kagera w.ya muleba
Mungu akupe maisha marefu
Asante sana Napokea
Much blessings to you bro!
Thanks
To all teachers in the building feel appreciated ❤we cherish you
Huku kenya song sako huaga inatubaliki san 2nasupili song
Asante
Great song bro, keep up 👏👏
Thanks
Amen,walimu watu muhimu sana kwa jamii,barikiwa sana mtumishi.Huwa wakati mwingine: najiuliza kwanini madaktari walipwa pesa kuuubwaa zaidi ya walimu walio pambana tujuwe kusoma.This world is not fair.Mbarikiwe sana walimu na hasaa,wadarasa la kwanza,Mungu awabariki sana
Ndagha ni mbombo jha kyala Kikolo..
Ena Malafyale
Asantee baba tamuu hii
Asante sana
Bonny ameludi ujana kila wiki goma jipya😂😂
Asante
good song for all teachers may GOD bless you bonny
Amen
🧠 🙌🙌 🙏🙏
Nice song🇿🇲🇿🇲🇿🇲
thanks