Bony Mwaitege -Limebaki Jiwe '' (Official MusicAudio)
Вставка
- Опубліковано 1 бер 2024
- Huyu Yesu wa nazaleth amefufuka,limebaki jiwe tuu,tuungane sasa kwa wakati huu tunapoelekea kwenye kumbukumbu ya kufufuka kwa Yesu Kristo.
Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
limebaki jiwe, #limebakijiwe
Bony Mwaitege -Limebaki Jiwe '' (Official MusicAudio)
MUNGU AKUBARIKI SANA.
wakwanza leo naombeni 20 likes zangu 🙏🙏🔥🔥📖🤝
Wakenya wapi likes za our hero
❤❤❤❤❤Hizo hapo
Amen Amen
Amen 🙏🙏
Hallelujah
Naombeni like zenu mnaoo amini Yesu ni jiwe kuu la pembeni
Wakenya mko wapi kujeni tu support bony mwaitege nataka likes 50🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ee mungu endelea kumuinua mtumishi wetu azidi kua juu sikuzote aimeee🙏🙏
Powerful song,,, uwe unahusika na ushindi wa Simba Jana,afu usikilize na kawimbo katamu kama haka,,roho inatulia sana,
Ahsante Baba yangu kipenzi 👏👏,,,
Jamaaani nzuri sana,kama namuona Petro anavyoshusha upanga chini💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏,,
Kama umerudia kuisikiliza hii nyimbo mara tatutatu gonga like hapa twende sawa
Abarikiwe sana Mwanangu
Kweli limebaki jiwe Mwaitege, Momumoo malafyale!
Amen ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU 🙏🙏🙏
amen
Asante baba nyimbo sahihi wakati sahihi baba
Amen Asante sana
Hallelujah 🙏 glory to God our everything our father hallelujah amefufuka YESU KRISTO WA NAZARETH AMEN 🙏 much love man of God. Flowing from Saudi Arabia 🇸🇦🇸🇦 mkenya mwenyewe 🇰🇪🇰🇪
Amen,,,muimbaji halisi wa injili ❤
Asante
Ameshinda kifo limebaki jiwe❤❤❤ utukufu kwa MUNGU
amen
On 🔥 fire 🔥 kali sana mungu ongeza miaka baba yangu huyu 😅😅😅😅😅 sauti yake faraja ya wengi.....
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 huu mwaka maisha yangu yatafufuka amen 🙏
amen
Duuu Kaka Sio Powa Kabisa Umeupiga Mwingi Limebaki Jiwe
Ah mon frère, tu as choisi la bonne part en célébrant notre Seigneur, le Roi des rois Jésus Christ notre Seigneur. Tes chansons me font tellement du bien depuis la Guinée Conakry. Pluies de bénédictions sur toi et sur ta famille mon frère en Christ.
Halleluya halleluya utukufu kwa Mungu, barikiwa sana mtumishi kwa wimbo mzur 🎧🙏
Asante ndugu yangu
Bwana bony mwaitege towa diveo
sawa ndugu yangu
Amina san🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ushindi uko upande wangu maana mshindi wangu alishinda kifo powerful song 🙏🙏🙏 be blessed mightily man of God much love frm Kenya ❤❤❤
Mimi mwenyewe huwaga naokoka kwa nyimbo zako toka hapa Marrupa Mozambique 🇲🇿🕊️🎉
Asante sana ndugu yangu
Mungu mwema amekutengeneza wimbo wako hakika nimefurahi Sana mwana kondoo umeshinda
Amen Ubarikiwe
Mungu akubaliki sana kaka nyimbo zako zinanitia nguvu sana
Hayupo tena kaburini yesu,,,barikiwa Bonny
Mzuriiiiii wimbo
asante
Barikiwa sana
Mungu akujarie neema tena zaidi karibu kwetu RDC congo🇨🇩🇨🇩
Asante sama
@@BonyMwaitegeOfficial ndio
Amen,ubarikiwe mtumishi
Kaz nzur
asante
Wimbo mmoja ikikupendeza uende kwa producer Manwater🙏 jamaa anajua sana
Asante sana ndugu yangu
Ubarikiwe mtumish wimbo mzur saaana
Asante sana
Ameeeeen Kubwa Limebaki Jiwe Miracle Hapa Baba
ameen
Kenyans never disappoint you bony mwaitege,,always love your song the way am getting blessed with this song thanks mtumishi
thanks Rebecca.
Ubalikiwe sana baba yangu MUNGU aendelee kukuinua zaid na zaid
Asante sana
Ameen mtumishi ubalikiwe kwa kaz nzuri ❤❤❤❤
Mm wa kwanza leo❤
Safi sana Askofu Na Mchungaji Mwimbaji pia wa Nyimbo za injili BONNY MWAITEGE Hakika Yesu ni jiwe kuu la pembeni
Ameeen
asante
Ewaaaa hakuna msiba tena
Wow,nimeipenda,wambie wanyamaze hakuna msiba😅
Aamen
Hongera kwa wimbo mzuri barikiwa sana 🤝
Ameen
Amen bony mungu akubariki kwa nyimbo za kujenga mtu imani na kutia moyo .mungu azidi kukuinua na akuweke nyota kubwa sana hapa inchini .kenya tunakupenda sana❤❤🎉❤
Asante sana ndugu yangu
Mungu ni mungu me love you somuch dog
Kazi nzur baba
Barikiwa mtumishi
Ameeeeeeh Sana paster bonny kwa mafuta makubwa MUNGU aliyo Mimina juu yako Barikiwà Sana Hakika limebaki jiwe
amen
Pst Bony Mwaitege,neema isikutoke kamwe ❤❤❤❤ from+254
Ameen napokea
Zambia thanks nice music mwata mkushi
Utukufu kwa Mungu kwa wimbo huu mpya
Mungu Mungu akubariki kaka
❤Asante sana
Boni ni wa juu sana 👏👏👏
Ubarikiwe ndugu yangu
Hongera kwa wimbo mzuri wa matumaini na ushindi mkubwa Mchungaji Bonny
Asante sana
Kaka bony hajawai kuchuja hakika iko siri katika kumtumikia Mungu
Amen Asante.
It's nice song may God bless you from mozambique.🌺🌺🌺🌺🌹🌹🌹🌹🌹🌹
amen
Amen amen
❤❤❤Like ya number 83 zikuje. Team gulf.. Team 254🇰🇪🇰🇪🥰🥰🥰na wapenda wote mlio ndaniiii 😘😘
Ameen
God bless Bonny Mwaitege...forever🙏
amen
Yaani mtumishi nyimbo zako zinanibariki....Mungu akuinie zaidi na zaidi🙏
Ubalikiwe sana❤❤
blessed guys let's give our lives to Chris ❤❤❤
Mtumishi barikiwa sana
Amen
Karibu jacaranda bony tutakuwa apo mapema on Sunday ❤❤❤❤❤❤
Asante sana
Baraka
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mko wapi jameni ❤❤
Tupo Tz
Ameen and Ameen sifa na utukufu ni kwako Bwana🙏🙏
Amen
Nice song😊i really like mwaitege's songs❤
thanks
Yesu ameshinda kifo,,,a very encouraging song God bless you man of God 🎉🎉🎉
Very Blessing man of God ❤❤❤
Hongera sana
Mwanaume yesu
Simba wa kabira la Yuda
Amina
Kweli limebaki jiwe hongera sana mkuu
Asante ndugu yangu
Ameni mkuu
Yesu ni jeuri yetu, Thanks dad
Aaamen
Waooo ubarikiwe sana na MUNGU kaka angu limebakijiwe
Asante sana
Hakuna msiba tena..hallelujah
Hakuna msiba
Mungu mubalik sana mtumishi wako
Amen
Amen.. Pasaka iko karibu jamani
Asante
Hallelujah. God loves you so much my brother.thank you for blessing us with God words.much love from Bahrain Vs Kenya.🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻❤️
Ameeen Thanks
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe sanaa mtumishi 🙏🙏🙏
asante
Hellow Mtumishi wa Mungu!? Kazi nzuri barikiwa sana🙏Naomba kuzungumza na wewe! Upatapo ujumbe huu tafathali nijulishe nikupigie simu
Hakuna shida ndugu yangu karibu sana
Yes mwaitege you Made it🔥🔥🔥 SWEET MELODY 🎉🎉🎉
thanks brother.
Hakika Hapana tena msiba
Ameen
These are the song that change millions of people's life's..keep it up man of God 🙏🙏
thanks brother God be with you.
God is faithful to is beloved ones. Moe grace brother for God s glory.
Amen
You are the best Glory be to God Forever. Blessed Man.
Amen thanks.
Amina mtumishi ubarikiwe sana
amen
Powerful song he's risen indeed he's in our hearts ❤❤,so inspiring songs may God continue taking care of you and protect your ministry.🎉🎉🎉 Forever his favor follow you.ypu you are blessing to many souls .we love you big from🇰🇪
Thank you man of God
Wimbo mzuri
asante
🙏🙏🔥🔥🔥
❤❤❤🔥🔥🔥
🎉🎉🎉🎉🎉
Hujawai kukosea baba yangu
Asante
God bless you servant, you always inspire me by your songs
thank you so much.
Barikiwa mno
amen
God bless you all the time 👏
Amen thanks
Revelation 19:11-16, his name is Faithful and True, he has marched forth in power and authority and rule and dominion with the heavenly angelic host bent on defeating and forever thwarting the schemes, snares and traps of the enemy. Victory he has given and the battle is his, HE has roused himself to war, he will not rest till Satan, that ancient serpent, the devil, the accuser of brethren, like a roaring lion, the great prostitute...in hour he will be defeated and destroyed FOREVER. AMEN
Amen
Glory to God 🙏🙏🙏🙏🙏
Amen Amen hallelujah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amen
Wow Mtumishi wa Mungu Bonny you never disappoints congrats for this wonderful song🎉🎉🎉🎉
thanks
Amen and hallalluja🙌🙌🙌
amen
𝚆𝚊𝚘𝚘𝚘𝚘 𝚠𝚒𝚖𝚋𝚘 𝚖𝚣𝚞𝚛𝚒
asante