Haujaelewa wewe ndo shida yenu kukurupuka kwa nini usifanye jitihada ya kuuliza ukafundishwa ili uwelewe, kila maneno yana watu wake haya wewe si yako,ndo mana yanakusumbua
Watu twarika wanatumia mbinu za kiganga /ushirikina wakidai ni makarama. Kumbe hakuna wanga kama wao, Allah atuhifadhi kama ukitaka kuamini hilo fanyeni UTAFITI.
Acha kejeli kwa mashekhe .ndugu yangu pumzi na afya na aya mbili tatu zisitudanganye .tukaacha mila na desturi aliotuachie kiongozi wa umma.Jitafakari kwanza kabla ya kuandika maneno ya dharau kwa mashekhe.Allah atusamehe kwa rehma zake.
Dini yetu tunapata kufundishwa kutoka kwa nan?, apo ndo tujiulize kitu kama mtume na maswahaba zake hawakufanya ivo afu we ulifanye umelitoa wap au dini yko ww iko kwa Masheikh, mjinga kaa usome usidanganywe ukinyanyua bakora au ukichora ndo utasafir pasina gar au kipando, huo ni UCHAWI na mwisho wke ni moton milele., Allah awaongoze masufi na watu wa BID'AA wote.
Nlikua nina swali kama litamfikia sheikh wetu huyu alijibu tafadhali sio kwa ubaya ila kwa manufaa yetu sote, hii maulid haswa ilianza kipindi gani ki historia na ilianzishwa na akina na nani? Naamini kuwa kila kitu kwenye dini yetu kipo kwenye vitabu vya kihistoria, asili ya kitu uanzilishi wake ili watu watakaokuja wapate kujifunza
Dufu imeanza toka mtume yupo na hadithi swahihi hizi فمن الأحاديثِ التي أباحت الضَّربَ بالدُّفِّ في العُرسِ حديثُ الرُّبَيِّعِ بنتِ مُعَوِّذ رَضِيَ الله عنها قالت: ((دخل عليَّ النبيُّ صلَّى اللهُ عليه وسلَّم غداةَ بُنِيَ عَلَيَّ، فجلس على فِراشي كمَجلِسِكَ منِّي، وجويرياتٌ يَضرِبنَ بالدُّفِّ..)) رواه البُخاريُّ. ومن الأحاديثِ التي أباحَته في العيدِ: حديثُ عائشةَ ((أنَّ أبا بكرٍ رَضِيَ الله عنه دخل عليها وعِندَها جاريتانِ في أيَّامِ مِنًى تُدَفِّفانِ وتَضرِبانِ، والنبيُّ صلَّى اللهُ عليه وسلَّم متغَشٍّ بثوبِه، فانتَهَرهما أبو بكرٍ، فكشف النبيُّ صلَّى اللهُ عليه وسلَّم عن وَجهِه، فقال: دَعْهما يا أبا بكرٍ؛ فإنَّها أيامُ عيدٍ، وتلك الأيَّامُ أيَّامُ مِنًى)). رواه البخاريُّ
Tunarudi palepale - tusomeni. Mungu ametupa mambo lakini sisi wenyewe hatujitambui. Ati uchawi! Tukisoma tutajuwa kutofautisha kati ya uchawi, Karama na miujiza. Tusomeni..
@@AllyHilal nyie tatizo lenu mnajuwa makarama ni kufanya miujiza kama walivyokua wakifanya mitume kumbe makarama ni watu wachumungu na tena hawana hata majina wala sio watu wanaojitangaza ni watu wakiomba dua zinakubaliwa hapo hapo
Yaaa Allah nijaalie ni miongoni mwa watu wenye kumpenda mtume muhammad *SAW*
Ammin 🤲🏻
Amin
Aamin
Aaamiin
@@omaraly7226 Amin Amin Amin
SubhanaAllāh makosa haya ya kitawhidi jamaa Allah atuongoze sisi na nyinyi
Tusome ndio kitu muhimu shukran Sana Sheikh Walid ALLAH akuzidishie Elimu uzidi kutuelimisha na awaongoze wale waliopotea
Maashaallah Mungu akujaze kherii
الله خالق كل شىء وهو علا كل شىء وكيل
Allaah ndiye muumba wa kila kitu,na yeye ndiye mlinzi juu ya kila kitu(39:62Quran)
Allah ndio awe ngome yako na awe mlizi wako na Allah ndio awe kila kitu chako ndio Allah atakudhalilishiya kila kiumbe katika hii dunia
Tauhiid inatakikana sana
Allah Amzinduwe Sheikh walidi
@@jamaliddiin9357 Allahuma ameyn
Haujaelewa wewe ndo shida yenu kukurupuka kwa nini usifanye jitihada ya kuuliza ukafundishwa ili uwelewe, kila maneno yana watu wake haya wewe si yako,ndo mana yanakusumbua
Ikiwa Mwanamke Anatakiwa Mshenga. Kazi Inataka mdhamini. Adhana Inataka Inataka Iqama. M'MUNGU Bila Mtume MUHAMMAD S.A.W. Unapitia Njiagani. Usijisomee Somee Kasomeshwe. "MAN JAHILA SHAIAN AADAU" Nikawaida Mwanadamu hupingakitu Maadamu hakijui. Nasi Kila Usichokiua wewe Kharamu Au Bidaa.
Tumekuelewa shegh…👍🏿……
Barakallahu fiyka sheikh etu
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين عدد خلقه ورضا نفسه وزنة عرشه ومداد كلماته
Masha Allah
Shukran
ALLAH ndiyo ngome ya waumini...mtakuja kufanya ushirikina masufiy...
umesoma dini mashuleni ndo tatizo
Hivi kati ya A kambi na bin Mariamu ktk kasomea dini mashuleni
Masufi mcheni Allah
@@jamaliddiin9357 watu wanamcha Mungu mpaka wanajaaliwa karama nyie mnasema uchawi
Ahsnt habeeb kwa kutupatia elm
Eti yuwasema mtu hawezi kushinda na njaa ewe jamaa vipi Abu Hurairah vipi katika vita vya Khandak maswahaba kufunga mawe tumboni ili kupunguza njaa
Twayyiib.
Tu we makini maana kuna watu wengine ukiwasikiliza hata kwenda hospital ukiumwa atakwambia haifai 😳 watu waajabu
Je kanza kutumwa mda gani ktk huu ulimwengu
Watu twarika wanatumia mbinu za kiganga /ushirikina wakidai ni makarama.
Kumbe hakuna wanga kama wao, Allah atuhifadhi kama ukitaka kuamini hilo fanyeni UTAFITI.
hili ndo tatizo la kutokusoma kwa wachamungu kaa hivyohivyo na kukosa adabu kwenu
Kasome kijana
Na aliwahi kurongwa
Nakusikitikia sana nenda kasome uje nini ushirikina angalia sana kusema jambo usilolijua
hujakosea hawa washirikina tu
Wazee wa ubwecheeee haoo
Nenda zako kulee paka potion weee
@@mohammedally2289 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣imekuingia nini?
Nyie sindomunaufunguo wapeponi mmepewa wahai kuwa nyinyi ndo mpo ktk ss Ni watu wa batwili
Acha kejeli kwa mashekhe .ndugu yangu pumzi na afya na aya mbili tatu zisitudanganye .tukaacha mila na desturi aliotuachie kiongozi wa umma.Jitafakari kwanza kabla ya kuandika maneno ya dharau kwa mashekhe.Allah atusamehe kwa rehma zake.
Shekhe mtegemee Allah peke yake
Someni dini nyie muielewe. Masalafi mna elimu ndogo sana
mna vituko sana watu wa twariqa😂😂😂 simba gani uyo wa kuchorwa labda
Huu Ni usufy na had hap Ni maneno yamejaa shirki
Kelele weee
Ss kumpenda mtume shirki
Soma acha kuropoka , au hujui madhara ya kuwasema wana wazuoni .kuwa makini na kauli zako...
Sheikh walid ibn alhad asiyekuelewa ni mawahabi tu,
kabbisa ss mawahabi htukubli usuf
Jamaniii mtihan waislam tunagombana t ww fata ulivofundishwa basi
Dini yetu tunapata kufundishwa kutoka kwa nan?, apo ndo tujiulize kitu kama mtume na maswahaba zake hawakufanya ivo afu we ulifanye umelitoa wap au dini yko ww iko kwa Masheikh, mjinga kaa usome usidanganywe ukinyanyua bakora au ukichora ndo utasafir pasina gar au kipando, huo ni UCHAWI na mwisho wke ni moton milele., Allah awaongoze masufi na watu wa BID'AA wote.
Ni kweli shekhe..
@@salummwanga8181 ndugu kabla ya kuropoka nenda darasani kasome tena
Nlikua nina swali kama litamfikia sheikh wetu huyu alijibu tafadhali sio kwa ubaya ila kwa manufaa yetu sote, hii maulid haswa ilianza kipindi gani ki historia na ilianzishwa na akina na nani? Naamini kuwa kila kitu kwenye dini yetu kipo kwenye vitabu vya kihistoria, asili ya kitu uanzilishi wake ili watu watakaokuja wapate kujifunza
Nenda kasome utajuwa muzaffer
kwani mashindano ya Qur'an yalianzishwa mwaka gani?
@@akambi482 we ndio sheikh kwani? Maana hujanipa jibu la kuridhisha
Dufu imeanza toka mtume yupo na hadithi swahihi hizi
فمن الأحاديثِ التي أباحت الضَّربَ بالدُّفِّ في العُرسِ حديثُ الرُّبَيِّعِ بنتِ مُعَوِّذ رَضِيَ الله عنها قالت: ((دخل عليَّ النبيُّ صلَّى اللهُ عليه وسلَّم غداةَ بُنِيَ عَلَيَّ، فجلس على فِراشي كمَجلِسِكَ منِّي، وجويرياتٌ يَضرِبنَ بالدُّفِّ..)) رواه البُخاريُّ.
ومن الأحاديثِ التي أباحَته في العيدِ: حديثُ عائشةَ ((أنَّ أبا بكرٍ رَضِيَ الله عنه دخل عليها وعِندَها جاريتانِ في أيَّامِ مِنًى تُدَفِّفانِ وتَضرِبانِ، والنبيُّ صلَّى اللهُ عليه وسلَّم متغَشٍّ بثوبِه، فانتَهَرهما أبو بكرٍ، فكشف النبيُّ صلَّى اللهُ عليه وسلَّم عن وَجهِه، فقال: دَعْهما يا أبا بكرٍ؛ فإنَّها أيامُ عيدٍ، وتلك الأيَّامُ أيَّامُ مِنًى)). رواه البخاريُّ
Kama unamengine sema Ila dufu imeanza lini ushahidi huo
shekhe hakuna swahaba ata1 ukuachana na ntume mwenyew alowah kuruka walikua naiman kuliko cc nyny mashekh wa maulid munapotosha wachawi t nyny ndiomunao ifanyadin tuonekane wachawi waislam
Mlioijulia dini ukubwani mna shida ninyi....
Tunarudi palepale - tusomeni. Mungu ametupa mambo lakini sisi wenyewe hatujitambui. Ati uchawi! Tukisoma tutajuwa kutofautisha kati ya uchawi, Karama na miujiza. Tusomeni..
@@AllyHilal nyie tatizo lenu mnajuwa makarama ni kufanya miujiza kama walivyokua wakifanya mitume kumbe makarama ni watu wachumungu na tena hawana hata majina wala sio watu wanaojitangaza ni watu wakiomba dua zinakubaliwa hapo hapo
@@AllyHilal bana wee
Ndugu zangu wacheni ushabiki na kutukana watu.
Hivi kwa nini mtu hawezi kuwasilisha hoja yake mpaka atukane?
کذب وفتراء
Andika kuzuri shekhe chunga lugha sikiswahili hiko lugha ina wenyewe so usijiandikie tu angalia vizuri