TUACHE MAZOEA TUWATUMIENI WANAZUONI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2023
  • Kaimu SHEIKH WA MKOA WA DSM SHEIKH WALID IBN SHEIKH ALHAD OMAR akiwaomba Wapenzi wa Mtume Mohammed (s.a.w) kuacha mazoea ya kuwaalika msharif kwenye Hadhara za Mtume (s.a.w) kwa kuwapa kufanya dua na fatiha na kuondoka bila kusema chochote na kuridhika

КОМЕНТАРІ • 4

  • @shomarymwatanda6577
    @shomarymwatanda6577 Рік тому

    maneno makubwa allah akujaalie khery na umri mrefu ili tuweze kustafidi maneno yako

  • @hamisisalimu6908
    @hamisisalimu6908 Рік тому

    Mashallah shukran sana sheik wangu asalaam alaykum warahmatullahi wabarakat

  • @maliamhotimaliamhoti5302
    @maliamhotimaliamhoti5302 Рік тому

    Jazakallahu khayran kwa mawaidh yenye faida.

  • @husseinally5550
    @husseinally5550 Рік тому

    Kwa hekima hizi utafika mbali Inshaallah