Mzee naomba usi sinhizie shetani mzee wangu. Lakini dadaangu nadhani shida ipo kwao nyumbani yapo mengi mzee kaweka heshima sababu ya ndoa lakini inaonekana bibiake ana mnyanyasa kimapenzi nakama ingekua sio hivyo basi huyu mzee asinge yafanya haya. Camera Man heshimuni wazee plz. + 254
We niwalewale kati ya mwanaume na mwanamke nani mjinga au nani amejizalilosha ?? We mpaka chupi anafuwa mfanyakazi nawewe niwalewale polesana nawewe kama unamwanaume chungasana utakuwa unasaidiwa nje
Acheni umalaya acheni kama ana fua njo una chepuka weww baba katili kweli hana hata aibu wanaume mtuheshim ila kazi abayo fanya uyu mama kwa mafanikio yenu wote
Ila maisha ni mabaya jamani , mkiajiri wasichana wanachukua nafasi za wake zenu ,tukisema house boy mtawalawiti jamani tuombeane kila mtu aweze kumpa mtoto wake japo tu elimu duh ,huyo binti mnamuanika mtandaoni kesho yake itakuwaje ( wewe Mzee na mkeo mnatakiwa adhabu kisheria
kuchepuka kwa mwanaume ni mtu yeyote so kwamba et kwakuwa ni dada wa kazi hana thamani kuna usemi unasema kichaa mwanamke analala na mwanaume mwenye akili ila kichaa mwanaume haitotokea alale na mwanamke timamu hawa viunbe hawana cha mwanamke mchafu au kichaa mungu atupe uvumilivu tu ndo pale unasema ninakasoro gani hakunaga hilo
Mzee unachekesha Sana ety tunapigastooory miaka yote hiyo mnayoenda huko gest mnapiga story gani hizo kwa kuwa mmefumaniwa ndio unasema Bahat mbya mm najua mtu akikosea Mara 1 huwa n Bahat Mby ila kwa miaka yote hiyo mnaishi kwa kuongea tu hamjafanya chochot usitudanganye kma mlishafanya mshafanya tu za mwzi 40 n z kwenu zimefika stori gani mnavua mpka nguo mnavaa Taulo
HUYU MZEE MSHENZI SANA HANA ADABU KABISA ILIBIDI APIGWE. ANAKUWA MKALI WAKATI ANA KOSA NA VIBINTI VISHENZI SANA INATAKIWA VIPIGWE KM UNASEMA UMRI WA HUYOMWANDISHI NI KM KIJANA WAKO. MBONA HUKUSEMA HUYO BINTI NI MTOTO WAKO?WEWE MZEE NIMHUNI UNAJITETEA TUU NI MWONGO SANA. HAYO UNATUNGA UONGO WAKO
Ila n mda mwengine wamama tunachangia tunapowaachia wadada wa kazi mpka kuwafulia nguo waume zetu n kutandika kitanda unategemea nn kitatokea mm km mm siruhusu Dada w kazi aingie chumbn kwngu au kufua nguo zke sikwambii nguo za ndani sitaki hata shati
Wanaume wote ni 🐕 hata km binti wake wakumzaa anaweza kulala naye,wanaume acheni umalaya km mke mmoja hatoshi engeza mke wapili ila sio kuchepuka 😢kwani hamuwezi kuepuka vishawishi vyakijinga,mpuuzi ww eti me mtu mzima 54 miaka ungejua hilo usendeweza kufanya hayo.
😂😂😂😂😂 mama huyo kazidiwa na bidada wa kazi dada wa kazi mlembo
Aki huyo mtangazaji ninge mpiga ngumi ya macho😂
Mwandishi wa hovyo maswali ya hovyo sema mzee kamheshimu sana
Mwanaume katili sana kwa majibu yake. Hawa ndio huwaambukiza Mabinti wa kazi magonjwa.
Mwanaume anakutwa afumaniwi
, 😂😂😂😂unifurahisha kweli bbngu waulize wakome kuku fatiliya mulize kwani huyo Dada WA kazi si mke
Acha kumsingizia shetani
Shetani Ni Weweeeeee 😅😅😅😅
Umalaya tu kuoga haaa😂😂😂
😂😂😂😂😂 Baba anajidai kabisa Mika miwili eti alipitiwa,mara mke haeleweki jamani
Nikweli wanawake tuwajali waume zetu chupi hufuliwa na mke sio dada wakazi
Miaka 54 kwa mwanamume huo sio uzee,bado ngoma yapga na kuchemka kisawasawa,nko kenya😅
Nimependa majibu ya Mzee mapenzi hayana mwenyewe kwani dada wa kazi Hana haki
Mzee naomba usi sinhizie shetani mzee wangu. Lakini dadaangu nadhani shida ipo kwao nyumbani yapo mengi mzee kaweka heshima sababu ya ndoa lakini inaonekana bibiake ana mnyanyasa kimapenzi nakama ingekua sio hivyo basi huyu mzee asinge yafanya haya. Camera Man heshimuni wazee plz. + 254
Mzee pont hiyo huyo dada wa kazi ni chombo😂😂😂😂😂
Alafuu hii mbona kama drama tu za bongo 😂😂😂😂😂😂😂 maana wanongo kwa kiki
Ni drama ili channel iende viral😅😅😅
Umeona eehhh miyeyusho hapo😂😂😂😂
Yaani tumeshawajuwa waongo
Ni kuku 😂😂😂na mrijaa
Mzee umepigaje hapo manina😂😂😂😂😂
ila waanishinalumbnha na vichwa lkn mmoooo tyuuuu aiseee poleni sana
MALAYA TU HUYU BABA HALIFAI
We hujawah?? Unajua unapomuhukum mtu jiangalie kwanza
We umalaya wako jeee
Ufai kuwa mume wewe mwanaume kulala na dada wa kazi ni kumzarau mkeo Bora uyo mke aanze maisha mapya na uzee wote huo utulivu ziro looo
We niwalewale kati ya mwanaume na mwanamke nani mjinga au nani amejizalilosha ?? We mpaka chupi anafuwa mfanyakazi nawewe niwalewale polesana nawewe kama unamwanaume chungasana utakuwa unasaidiwa nje
Hakuna mwanaume anawezakuvumilia ujinga wahivyo usipomuheshimu lazima utapoteza samani yako
Tatizo amefumwa .....wote wanafanya....ndio kazi zao....wanamuhoji nini sasa????!!!!
Nyie watu wahabali mi siwapendi huwa mnauliza maswali kama utamuoa mwanake atakae achika
Huyu Binti wa kazi mbn kanona 😢
Acheni umalaya acheni kama ana fua njo una chepuka weww baba katili kweli hana hata aibu wanaume mtuheshim ila kazi abayo fanya uyu mama kwa mafanikio yenu wote
Ulikua mchezo tu akuna hukweli hapo uongo mtu fyuuuiii
Nami nimeliona hili toka mwanzo
@@pendophales7949yaani hili ni igizo kabisa wala huitaji kuambiwa upuuzi mtupu 😅
Safi sana mwamba umemjibu vizuri huyo mwandishi,big up sana
Ningekuwa Mimi mkeo safarijii ningeweka haus boy
Unatakiwa ujiheshimu,umalaya kafanyie nje na siyo ndani
Pole babu
Ila shetani anapata shida,mpaka naye Aliko atakuwa anaogopa wanadamu maana yenye hafanyi watu wanamsingizia😅😅😅😅😅
Huyu mwandishi Hana adabu haya ni mambo ya kawaida
Muwe mnatangaza na habari za maendeleo mbona kwenye ngono tu
Hiii nayo ni ainampya ya uigozaji siokweli😅😅
Huy baba Ana ofu ya mungu mweshim.mkeo
Uyu mzee ni muongo hana la kusema kaona kafedheheka lazima ajitete mungu ampe subra mkewe aishi kwa amani
Mzee katupiga changa la macho hujawahi kutana naye kimapenzi 😅😅😅
Tena mke boss hafai usafi wote wa mume anafanye mfanyakazi kama ni mm huyo ni mke wanggu wa pili
Ila wanahabari Mungu anawaona, Mungu awasaidie sana mnaujasiri
Skusapot babu iyo aibu
Mzee ana mjibu ya ovyo😂😂😂
Ila maisha ni mabaya jamani , mkiajiri wasichana wanachukua nafasi za wake zenu ,tukisema house boy mtawalawiti jamani tuombeane kila mtu aweze kumpa mtoto wake japo tu elimu duh ,huyo binti mnamuanika mtandaoni kesho yake itakuwaje ( wewe Mzee na mkeo mnatakiwa adhabu kisheria
Uzeee maana yake Nini?? Msimuzeeshe kwa nguvu za. Wakati bado anannguvbu😂😂
mmm Jeuri huyu baba khaa 😢😢😢
Huyu mzee ni muongo Sana 😂😂😂
Macho Yako juu juu ila midume hii jmn
Wanaweke wetu wanachangia hayo wanasahau wajibu na majukumu Yao ktk ndoa namuunga mkono kizuri chajiuza kibaya chajitem eza😂😂
Tena huyo baba anefenya jambo la maana mke wake anakosa kubwa sana hawezi kumuachaniza mume wake bila ya kumpa huduma zote
Hii mbona kama mvi
Kweli kabisa hadi masaji anafnya yeye
Kumbe mzee anavaaga chupi JK mn😂😂😂😂
Baba kweli amekosea jamani tumsameheni kwakuwa yeye pia ni binadamu
Mmmmmh Mungu naomba ninusuri mm mwanao
kuchepuka kwa mwanaume ni mtu yeyote so kwamba et kwakuwa ni dada wa kazi hana thamani kuna usemi unasema kichaa mwanamke analala na mwanaume mwenye akili ila kichaa mwanaume haitotokea alale na mwanamke timamu hawa viunbe hawana cha mwanamke mchafu au kichaa mungu atupe uvumilivu tu ndo pale unasema ninakasoro gani hakunaga hilo
Ahhh malegend tunaelewa... mzee we tuliaaaa
Mzee unachekesha Sana ety tunapigastooory miaka yote hiyo mnayoenda huko gest mnapiga story gani hizo kwa kuwa mmefumaniwa ndio unasema Bahat mbya mm najua mtu akikosea Mara 1 huwa n Bahat Mby ila kwa miaka yote hiyo mnaishi kwa kuongea tu hamjafanya chochot usitudanganye kma mlishafanya mshafanya tu za mwzi 40 n z kwenu zimefika stori gani mnavua mpka nguo mnavaa Taulo
Eti tanzania nzima wataniona nilivyo fumaniwa msinitangaze.mbona umeshaonwa na dunia nzima?😂😂
Yani huyo muandishi ningempiga kelbu moja asingesahau maisha yake yote
Shujaaaaa! Umejitetea vya kutosha Chief ila sio poa. Chepuka ni mibibi.
Umalaya tu
Kweli baba wakati mwingine sisi wenyewe tunasababisha
Miaka sita sikama mmoja wa familiar huyo Mzee ... Wewe walala nae ni uhuni huo babaa .
Huyu baba hafai Malaya Sanaa kula na binti wakazi. Hakuona wanawake koteee huko
Waandishi acheni ujinga
Mm confidence A
hahahahaaaa 😅😅 tunapigaga store
Ni kweli wamama tunawaachia wadada kila kazi sasa kwanin mwanaume asimtamani mdada wa kazi mpaka nguo za ndani anafua mhh
Naona ni mchezo hajafumaniwa
Akifumaniwa haezi kuongea na confidence..hivi
Huyo dadake hana adabu anamtaka kakake? Hakuna mwanaume ambae hana wa pembeni jamani wanawake ebu acheni hizi za kujiaibisha
mkeo mwenyewe kachepuka sana ilatu sisi wanaime Huwa atufuatilizii owa uyo Binti mzuli acha ubwege
Uyo baba anampenda mfanyakazi, maana mke wake anatabia mbya , mwanamke unamzalilisha mmeo gest ovyoo, owa uyo baba, Hahaha gari bovu, kama mtu unashindwa kutandka kitanda si ndo gari bovu hivo
Siyo TZ TUY HAD INJE YA NCHI TUNAKUO POLE MZEE NIKWELI WANAWAKE WANAKOSEA SAN
Huyo baba anahakir kwanza alijielew boy uyo
Cjui uonekane mara ngapi hata mimi huku Saudi nishakuona
😢
HUYU MZEE MSHENZI SANA HANA ADABU KABISA ILIBIDI APIGWE. ANAKUWA MKALI WAKATI ANA KOSA NA VIBINTI VISHENZI SANA INATAKIWA VIPIGWE KM UNASEMA UMRI WA HUYOMWANDISHI NI KM KIJANA WAKO. MBONA HUKUSEMA HUYO BINTI NI MTOTO WAKO?WEWE MZEE NIMHUNI UNAJITETEA TUU NI MWONGO SANA. HAYO UNATUNGA UONGO WAKO
Wako Sawa kwani nini? Huyu mke kasababisha.
yani apo ingekuwa mwanaume kamfumaniya mwanamke yani apo pasinge toka mtu mmoja angekufa
Unaruhusuje? Kuhojiwa na wapumbuvu hawa
Ila kweli Hadi kukubali kuhojiwa je Hawa eaandishi Wana dawa ama?
Waambie vitu vya maana huwa hawafwatiliii ila ambavyo havijengi ndio wanajuwa kufwatilie
Haya kweli maigizo
Ila huyu mzee ni handsome jamaniii😂😂😂😂😂😂
Umeona eeh
Umempenda huyu mzee wa mjini 😂😅😅
Jamii inakuchulia mzinzi tuu
Jitahidi kumjua mungu hayo uliyoyafanya finally uzeeni
Ila n mda mwengine wamama tunachangia tunapowaachia wadada wa kazi mpka kuwafulia nguo waume zetu n kutandika kitanda unategemea nn kitatokea mm km mm siruhusu Dada w kazi aingie chumbn kwngu au kufua nguo zke sikwambii nguo za ndani sitaki hata shati
Kweli makosa ya mkeo
Uyu mwanamke nimjinga sana yendo mwenye makosa na wanawake wengi wakohivyo mwishowasiku wanakuja kulaumu
Wewe mwanaume ni katili hufai kwenye jamii ni ni mjinga sana hujitambui zee zima hovyo
Huo ni uongo tupu mshenzi tu wewe mzee
Huu ni ujinga, inawasaidia nini? Mzee safi sana upo vzr? Mpumbavu mwandishi.
Mala unakaataa hujatembea nae mala unatoa ujumbe kwa wanawake mengine
Wanaume wote ni 🐕 hata km binti wake wakumzaa anaweza kulala naye,wanaume acheni umalaya km mke mmoja hatoshi engeza mke wapili ila sio kuchepuka 😢kwani hamuwezi kuepuka vishawishi vyakijinga,mpuuzi ww eti me mtu mzima 54 miaka ungejua hilo usendeweza kufanya hayo.
Maigizo
Huwa wanatengrneza matukio ili wapate value😅
Tamaa zake hakuna cha shetani wala nini?
Basi jamani mnamzalilisha baba wa watu inatosho
Mwanaume huyu mjinga tena tahira .kwa majibu yake kama mimi simtaki. Hata aombe msamaha
Sisi wanawake ndiyo chanzo..Kila kitu dada wa kazi Wacha yamkute ndiyo kampoteza hivyo
Sawa kabisa
Kwanza wewe mzee unabusara ningekuwa mimi ningetoa taraka kwa mwanamke ili aendelee na biashara alafu ninaishi na house girl
Mfukuze mwabie akakusanye taarifa za nyumbani kwao maana yawezekana katumwa na mke
Hii ni hidtolia ya michongo michongo wamebunba imepa gwa
Hii ni michezo wanataka kuuza kipindi washenzi hawa
Mh mwandishi maswali mengiiii