Mimi sio mwanasheria, lakini naamini hakuna shida yoyote ya kutumia jina la Nyerere kwa sababu Tanzania kuna Nyerere wengi. Steve Nyerere anatumia hilo jina Kama jina la sanaa. Mwaka 2020 Steve Nyerere aligombea ubunge, je kwenye vyeti vyake,fomu zake ameandika jina la Nyerere kama jina lake rasmi?
Kwanza alitakiwa kulipa fidia,au ashitakiwe kwa kutumia jina Hilo bila kibali au sauti ya mzazi wa mtu mwingine.Mbona wao wasanii ukitumia majina na nyimbo zao utadaiwa
Upo sahihi mkuu! Ila ckuwa wanajipa hayo majina ya watu maarufu hapana wanapewa na mashabiki zake kama niki name au jina mbadala la anayemwakilisha kwa sanaa
Wasanii wa SASA hivi wowote wanajiita majina ya watu wengine na wametenga majina ya wazazi wao sijui kwa nini huiga wasanii wa nje KITU ambacho so sawa. Sijui kuacha majina ya baba zao kunaeasaidia nini. Pumbavuu kabisa
Kweli atumie jina lake. Kuna watu wanatumia majina ya watu kujenga umuhimu wawo. Wengine hujitangaza kuwa Nyerere ni baba yawo wa ubatizo. Sio tatizo, łakini kwa nini kutumia jina la Nyerere? Je kama ni baba yake wa ubatizo iweje? Nyerere alikuwa sio mtu wa kupiga kifuwa. Hata watoto wake wako down to earth. Munaotumia jina lake kwa kujikuza acheni
Ni kweli bwana, hata mimi nilikuwa najiuliza na nashangaa kwamba kweli yule jamaa ni mtoto wa mwalimu. Maana yule bwana kimbelembele sana, hawezi kuwa mtoto wa mwalimu hawapo hivyo. Umefanya vema kuliweka wazi, akome kujipendekezapendekeza!
MWALIM NYERERE SI BABA WATAIFA HAKUNA DHAMBI KWA MTU KUJIITA JINA LA BABA WATAIFA KAMA HAMTAKI KATAZENI MWALIM ASIITWE BABA WA TAIFA .KWAKUA WENYE KUJIITA HAWAKUSUDII UBAYA .TAFADHALI MWALIM NYERERE NI BABA WATAIFA NA INGE PENDEZA WATANZAIA WAJIITE KATIKA KOO ZAO ZIISHIE NA NYERERE
SAWA LAKINI MUANGALIE -PENGINE JINA ALIPEWA NA MASS - KUNA WACHEZAJI WENGI WA MPIRA HUWA WANAPEWA MAJINA NA WAPENZI AU WATANGAZAJI SASA MSIMUHUKUMU TUU KWAMBA AMEJIPA JINA YEYE STEVE ANGALIENI KWA MAKINI
Wamegundua badala ya kumuenzi kwa matendo ya kizalendo na kupinga dhuluma, kile kihuni kinatumia jina la Nyerere kama chawa na kusapoti dhuluma. Uchawa na Nyerere wapi na wapi?
Madaraka, Nyerere ni Baba wa Taifa na Africa kwa ujumla, Nyerere si wa ukoo ni Mkubwa saana, usituchanganye sis wote watoto wa Nyerere , Acha kutubagua Father 😅
Karipua weng mno.mpaka wanaweka picha za watu bak.huku hata mama zao na babu zao wamekufa lakin hata siku moja hawawek picha zao.wajinga mno asante kaka watwachie baba yetu waweke baba zao.pia na ndugu zao umewapasha mno.
Huyo anajiita Steve Nyerere kwanza hana sauti ya Nyerere. Sauti yake nadhani anapiga konyagi sana. Mpumbavu yule. Anapoongea mbele za watu anajitutumua utadhani ana akili kumbe hana lolote
Mbona na yeye kwa na njia yake ya kumuenzii🤔 ? Kwahiyo sauti Ni sawa ila Jina hapanaa ? Kwani limekatiwa hati miliki? Kama Aina gulani ya ubinafsiii😲 !mbona hiyo haikuanza leoo kwanini mnata kuhodhi jinaa? Kwani majina yakifanana Kuna shidaaa! Tunaelekea wapiiiii?
Watoto wa Nyerere shida mlikosa exposure, mbona watu wanajiita Lincoln, Clinton n.k , Nyerere ni jina brother hata wewe jina lako siyo kwamba ni la kwako peke yako kama unaona ni shida nenda mahakamani ..hapo umepotoka mkuu
Shida sio exposure. Hao wanayo exposure ya kutosha. Shida ni kwamba haitwi Steve Nyerere, anaitwa Steve Mengele! Hiyo ndo shida. Madaraka amesema ukweli, mengine ni propaganda zako za kipuuzi kidogo!
Leo ndio nyakyegi umezungumza jambo la karlı mtu Mjungu na mshenzi anapara umaarufu kwa kutumda jina la baba yako na kutengeneza fedha na wakati mwingine anasafiri kwa kujitangaza kama Steve Nyerere wakati Nyerere siyo baba yake.zuia mchezo huo wa kijinga kwanini asitimiz jina lake na lahana yake.tumewaona wengine hadi wanawakana baba zao mfano Diamond platinum alimkana baba yake hao ndio wasanii wa Tanzania. Ozomilye sana mkaruka
Safi sana! Hili jambo niliwahi kulisema. Na kuanzia hapo nikaanza kumuita Steven Mengele
Hongera Sana Mr.Madaraka Nyerere...
Umefanya vizuli baba kumlipua Steve analitumia jina la mzee wetu NYERERE vibaya
Lkn jaman si baba wa taifa, so kila mtu anaruhusiwa kutumia jina km kumuenzi! Shida iko wap
Mwambieni Steve Nyerere aache kutumia jina lile Familia ya Nyerere imemkana.
Da Kaka una akili sana.Point hiyo.
Kwanza uyo Steve mpenda sifa achane na ilo jina alaka sana mimi kama mimi nitamfungulia kesi mbwa uyo kwani ana baba mkataeni araka
Bora umesema kaka! POINT!
Hakujiitq AMEITWÀ NA JAMII ELÈWA HIVYO
Komaa mzee afte Hilo jina astake sifa anakomaa kumbe hata sio jina lake😂😂
Safi sana mwishoni anashusha presha kistaili yake 😂😂😂
Mimi sio mwanasheria, lakini naamini hakuna shida yoyote ya kutumia jina la Nyerere kwa sababu Tanzania kuna Nyerere wengi. Steve Nyerere anatumia hilo jina Kama jina la sanaa. Mwaka 2020 Steve Nyerere aligombea ubunge, je kwenye vyeti vyake,fomu zake ameandika jina la Nyerere kama jina lake rasmi?
Wewe elewa anachoongea
kiukweli anajiita ivo lakini chakushangaza kanajitaidi kawe kama nyelele lakini kanachafua
"Nyelele" tena aisee? Duh. We vipi?😢
Afadhari kama mumeliona kama family maana Kuna kijana kimoja cha hivyo sana kipumbavu kina tutia aibu sana kwenye sanaa
Kwanza alitakiwa kulipa fidia,au ashitakiwe kwa kutumia jina Hilo bila kibali au sauti ya mzazi wa mtu mwingine.Mbona wao wasanii ukitumia majina na nyimbo zao utadaiwa
Umefanya vizuri mtoto wa baba wa taifa. Ubarikiwe sana.
Tena anawadhalilisha sana, aisee kwa tabia zake za ukuwadi,hana sifa hata kidogo ya kuwa mfano wa Nyerere
Aenzi mzazi wake kwa kweli awaach na mzazi wenu
Piga chini hilo chawa. Lambogamboga
Mlaji wa michango ya mazishi ya wasanii, mlevi mkubwa bado pia ni mwizi wa majina ya watu eeh!
Shame msanii Steve Nyerere! Mwizi wa Jina!Je,Pesa unayoipata kwa kutumia jina la Nyerere unaigawia familia ya Nyerere?
Mwizi anatakiwa arejeshe hizo pesa alopata kwa kutumia jina la Mwalimu Nyerere
Mkataeni huyo kwanza anawachafua kwa uchawa chawa wake
Haiendelei Kuna somo zuri mbele
Familia hii wote wanyenyekeVu na wacheshi
Upo sahihi mkuu! Ila ckuwa wanajipa hayo majina ya watu maarufu hapana wanapewa na mashabiki zake kama niki name au jina mbadala la anayemwakilisha kwa sanaa
Me nilidhanigi ni mtoto wa Mwl, wa njee, sasa hata babake hamjui tena, haya bwana stv nyerere mkumbuke babako sasa achana na majiba ya watu
Nakukubali
Wasanii wa SASA hivi wowote wanajiita majina ya watu wengine na wametenga majina ya wazazi wao sijui kwa nini huiga wasanii wa nje KITU ambacho so sawa.
Sijui kuacha majina ya baba zao kunaeasaidia nini.
Pumbavuu kabisa
Kweli atumie jina lake. Kuna watu wanatumia majina ya watu kujenga umuhimu wawo. Wengine hujitangaza kuwa Nyerere ni baba yawo wa ubatizo. Sio tatizo, łakini kwa nini kutumia jina la Nyerere? Je kama ni baba yake wa ubatizo iweje? Nyerere alikuwa sio mtu wa kupiga kifuwa. Hata watoto wake wako down to earth. Munaotumia jina lake kwa kujikuza acheni
Ni kweli bwana, hata mimi nilikuwa najiuliza na nashangaa kwamba kweli yule jamaa ni mtoto wa mwalimu. Maana yule bwana kimbelembele sana, hawezi kuwa mtoto wa mwalimu hawapo hivyo. Umefanya vema kuliweka wazi, akome kujipendekezapendekeza!
Bila Woga? Kamwambia ukweli
Icho Mzee nikipumbavu sana kimeacha familia yake kinakimbilia familia ya mwalimu
MWALIM NYERERE SI BABA WATAIFA HAKUNA DHAMBI KWA MTU KUJIITA JINA LA BABA WATAIFA KAMA HAMTAKI KATAZENI MWALIM ASIITWE BABA WA TAIFA .KWAKUA WENYE KUJIITA HAWAKUSUDII UBAYA .TAFADHALI MWALIM NYERERE NI BABA WATAIFA NA INGE PENDEZA WATANZAIA WAJIITE KATIKA KOO ZAO ZIISHIE NA NYERERE
Alisema
SAWA LAKINI MUANGALIE -PENGINE JINA ALIPEWA NA MASS - KUNA WACHEZAJI WENGI WA MPIRA HUWA WANAPEWA MAJINA NA WAPENZI AU WATANGAZAJI SASA MSIMUHUKUMU TUU KWAMBA AMEJIPA JINA YEYE STEVE ANGALIENI KWA MAKINI
Jamani angeogopa nn Sasa? TV hizi ...
Wamegundua badala ya kumuenzi kwa matendo ya kizalendo na kupinga dhuluma, kile kihuni kinatumia jina la Nyerere kama chawa na kusapoti dhuluma. Uchawa na Nyerere wapi na wapi?
Mie nilichoona , sio sawa. Sintetei huyu STEVE , lkn mngeweza kumuita pembeni na kuzungumza nae . Ni mawazo yangu tuu lkn
Jiamini, binadamu anayo mawazo Daima unahofu nakuogopa nani na nini?
Bora umesema ili awe na kiasi familia ya mwalimu inaheshimiwa ndani na nje nje ya nchi watu wa janjajanja wakome
Madaraka, Nyerere ni Baba wa Taifa na Africa kwa ujumla, Nyerere si wa ukoo ni Mkubwa saana, usituchanganye sis wote watoto wa Nyerere , Acha kutubagua Father 😅
Hujajua maana halisi ya ubaguzi, madaraka anafafanua matumizi ya jina Nyerere na kumuenzi
Mwl Nyerere,
Baba yako anaitwa Nyerere?
Sahihi
Nikweli achie hilo jina anadhalisha ukoo was Nyerere
Karipua weng mno.mpaka wanaweka picha za watu bak.huku hata mama zao na babu zao wamekufa lakin hata siku moja hawawek picha zao.wajinga mno asante kaka watwachie baba yetu waweke baba zao.pia na ndugu zao umewapasha mno.
Amekuwa maarufu kwa jina lisilo lake.
Hilo ni jinga liacheni tu
Nadhani huyo chawa taarifa imemfikia vilivyo
Full stop kutumia jina la nyelele
Hawa jamaa hawakua mafisadi banaa
Kwani Nyerere ni baba yako peke yako huo ni ushamba, kwanza inawezekana ni mtoto wake kweli alipomlala mama yake kwani ulikuwepo
Anaitwa Steve Mengele siyo Steve Nyerere! Kwani wewe Nyerere ni baba yako? Upuuzi mtupu!
Huyo anajiita Steve Nyerere kwanza hana sauti ya Nyerere. Sauti yake nadhani anapiga konyagi sana. Mpumbavu yule. Anapoongea mbele za watu anajitutumua utadhani ana akili kumbe hana lolote
Watu hawamkubali kabisa huyo jamaa anajiita stive Nyerere anaboa sanaaaaa
Bora angekuwa na adabu
Umekosa ya kuongea kaka, kwanza ushamba mwingine mlio nao watoto wa Nyerere ni kujua kwamba mnatakiwa kuwa wana siasa
Nawe wivu umeona wapi watoto wa Nyerere na heka heka sio masikini kiivyo jombaa sio machawa kama wewe
@@davidkawesa3594Raia wengi tunawapenda na watoto wa Mwl. Wanajiheshimu, Sio dhambi wao kua wanasiasa
Mbona na yeye kwa na njia yake ya kumuenzii🤔 ? Kwahiyo sauti Ni sawa ila Jina hapanaa ? Kwani limekatiwa hati miliki? Kama Aina gulani ya ubinafsiii😲 !mbona hiyo haikuanza leoo kwanini mnata kuhodhi jinaa? Kwani majina yakifanana Kuna shidaaa! Tunaelekea wapiiiii?
Anayeigiza sauti yako achukue na jina lako? Kwani Steve Mengele aliombwa kuigiza sauti ya Nyerere?
iyo sauti inatakiwe ipaziwe sauti kati ya wasanii wanao boa yeye ndiyo wakwanza kuboa
Kumbe anaitwa Mengele mpuuzi kachukua jina la baba wa Taifa kupatia umaarufu aibu
Ukweli mtupu
Safi
Watoto wa Nyerere shida mlikosa exposure, mbona watu wanajiita Lincoln, Clinton n.k , Nyerere ni jina brother hata wewe jina lako siyo kwamba ni la kwako peke yako kama unaona ni shida nenda mahakamani ..hapo umepotoka mkuu
Shida sio exposure. Hao wanayo exposure ya kutosha. Shida ni kwamba haitwi Steve Nyerere, anaitwa Steve Mengele! Hiyo ndo shida. Madaraka amesema ukweli, mengine ni propaganda zako za kipuuzi kidogo!
Nadhani una kichwa kigumu you don’t think outside the box you are thinking straight 😂
@@justcruisedout side the box?
😂😂😂😂
Acha wivu
Siyo wivu. Ndo ukweli huo!
Leo ndio nyakyegi umezungumza jambo la karlı mtu Mjungu na mshenzi anapara umaarufu kwa kutumda jina la baba yako na kutengeneza fedha na wakati mwingine anasafiri kwa kujitangaza kama Steve Nyerere wakati Nyerere siyo baba yake.zuia mchezo huo wa kijinga kwanini asitimiz jina lake na lahana yake.tumewaona wengine hadi wanawakana baba zao mfano Diamond platinum alimkana baba yake hao ndio wasanii wa Tanzania. Ozomilye sana mkaruka
Nyerere ni jina kama jina lingine
Mbona yy analitumia hadharani waache uchawa wa kijinga