Melkia Elisha ft Annoint Amani- Ipo siku nitalala (official video +255673354642 )
Вставка
- Опубліковано 19 вер 2024
- #iposikunitalala#annointamani#
Naitwa Melkia Elisha hii ndo Album yangu ya kwanza inaitwa Ipo siku nitalala ,
nimemshirikisha Mtumishi wa Mungu Annoint Amani,
Lengo langu ni kuhubiri injili ,watu wamjue yesu na kuokoka ,
Safari yangu ndo imeanza nahitaji sapoti yako ili nienderee kufanya kazi ya Bwana Kwa ubora zaidi,
Niko tayari kwa mialika ya injili popote wakat wowote🙏🏼
napatikana WhatsApp na Kupiga,
+255673354642 = +255785207249 )
Duuuuu 😢😢😢😢😢 ipo siku nitalala usingizi muzito nishindwe ata kuita mutu yeyote 😢😢😢
Pokeeni shukrani ktoka kenya mungu awabariki sana
mashalha Kaka yangu mungu akubaliki Sana Kaka yangu 🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Sauty tamu sanaa watumishi wa Mungu baraka baraka kutoka kwa Mungu😢😢
Aminaaa❤❤
Hongeraa MAMANGU
Amen niukweri🇧🇮✍️
Very true Iko siku nitalala usingizi mzito🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💃💃💃👍
amina
Hongera❤❤😊😊
Annoint amani mm nakupenda bure ,, mungu akuzidishie
amina balikiwa
Hii kweli kabisa🎉🎉🎉
Kila nyimbo ya annoint napenda sana.sauti nayo tamu sana
balikiwa sanaamina
Mnaniguza moyo wangu acha Mungu awatiye nguvu kwa kazi mnayo ifanya Amina
amina.ubarikiwe
aminsan
Amen Amen Amen 🙏 🎉
BWANA AKUBALKI
Mungu akutie nguvu mtumishi wa mungu
amina
Very nice song
Baraka kubwa kutoka Kenya twabarikiwa
Amen watumishi WA mungu wakenya muko wapi siwaoni jooni hapa tucoment hii video❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Good job
Tunao hubiri neno lako Mungu tutie nguvu🤲🤲🤲
Àmen ❤❤❤
Mungu akubaliki zaid my mumy
Love from USA 🇺🇸 America 🇺🇸
Mungu akubariki mama mchungaji
Aminaaa
amin
Mungu akubariki sana zaidi sana muno 😢😢😢😢
❤❤ aminaaa
Mungu awabariki wa tumishi🙏❤
Love from Zambia, God bless you
Aminaaa sanaaa❤
kweli ipo siku nitalala a wonderful reminder to those of us thinking that we won't leave this world and do good to others
Aminaaa❤❤
Mungu awabariki wadau wangu🎉🎉🎉🎉
Mungu niko wake nisaidie
balikiwa NABWAN
be blessed 🙏🙏🙏🙏
Amen
Amina mama nimebarikiwa mno Mungu akuinuwe mama yangu
Mi
@@MerikiakizaSungura 🙏
Mungu akuinue
Mungu awabariki sana nyimbo nzuri sana
Aminaaaa❤❤
tumpende.MUNGU
🎉🎉🎉🎉..hakika
May God lift you more and more mum a blessed too mtumishi annoint amani from +254
Hallelujah 🙏 barikiwa sana !!ujumbe iko clear kabisa
Aminaaaa❤
Hallelujah kwa mungu 🙏🙏🙏🙏
Yesss, hii kitu ndiyo nilikuwa nasubiri! Safi sana. Hongera, kazi nzuri.
Aminaa pastor
God bless,,so touching
Wimbo mzuri sana jmn
ubarikiwe sana
Ipo siku nitalala
So touching be blessed 🙌🏻 😇 🙏
Blessed mumy Mungu aendelee kukuinua kwa huduma hii
Aminaaa mwanangu
Wonderful message ❤
Mungo nisaidie niko wako
Ipo siku
Aminaa
Mama etu kipenzi mungu akupe kila kitu kwa kazi kubwa unayofanya
Amina sana
Amina sanaa❤❤
amisana
asante alikiwa
Asante wadau
Nice one congratulations ❤❤❤. Nipitie hapo pia ugonge hiyo subscribe button tukisonga pamoja 🤝
hapo umeimb
Amen
God bless you 🙏