Mwanamke ni Mshindi - Pastor Rose Shaboka /Mito ya Baraka church
Вставка
- Опубліковано 3 лис 2022
- #welcomeMitoyaBarakaChurch
Wasiliana nasi kwa;+255713418660
facebook;mito ya baraka Church
instagram; Mitoyabarakachurch
Siku za Ibada;Jumatano;saa 9 alasiri mpaka saa 12 Jioni
Ijumaa ;saa 9 alasiri mpaka saa 12 Jioni
JUMAPILI KUNA IBADA MBILI(2);Ibada ya kwanza saa 1 asubuhi mpaka saa 4 asubuhi na Ibada ya Pili ni kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 8 Mchana
Nakuelewa saana
Love you mummy be blessed 🙌..watching from saudi 🇸🇦 glory belongs to almighty 🙌 🙏 nanganga kwa watoto wagu...lxm nifanikiwe in Jesus name 🙌 🙏
Ubarikiwe Sana pastor kwa kazi nzuri
Mungu akutie. Nguvu. Pastor. Lose shaboka. Umenifanya kuerewa nin nifanye Toka. Nianze kukujua ww kupitia utumishi wako
Amina pasta mungu akuinue zaidi ili taifa let like na amani zaidi pia natamani kufika hapo nilipo nasikia kiu ya neno amina
🙏 Amen
Asante sana Mama Mtumishi wa Mungu .Napenda sana ushauri na mafundisho yako❤hakika umenibariki🙏
God bless u postor for powerful word
Mungu wabarike sana muhubiri
I really like listening to this woman of God....
Wish I could find a kisii woman like her here in Kisii -kenya.
She inspires me sana...I do use her message for my preachings though an Adventist....
Abarikiwe sana
Napenda sana kukusikiliza unanibariki ubarikiwe sana
Amina🙏
God bless you mama wetu,
Mwana wa mungu, Mungu akuinue zaidi ya hapo
Umenibadilishia maisha mama rose kwa mahubiri ya busara
Amen
Ubarikiwe mtumishi
Ubarikiwe san pastor Kwa kututia nguvu kiimani.
❤ Amina
Ujumbe mzuri sana,nimebarikiwa sana
Hongera sana mtumishi wimungu kwaujumbe waneno lamungu❤
Barikiwa sana pastor Rose.
Ubarikiwe sana mtumishi wa mumgu
MUNGU akubariki
God bless you Pastor for the powerful message
Ubarikiwe Sana kwakazi yako njema
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Amina, mungu akubariki mama
I love this pastor you alway preach with a full of confidence ma
Amina lazima nifanikiwe kwa jina la Yesu 🙏🙏
Ameen nakupenda bureee
This is my message today...
Nakupenda sanaa Yesu azidi kukuinuwa
Mungu akubarik pastor I love your speech
Mungu awabariki watumishi wa Mungu
Mungu eheeee ! Mungu upewe sifa.🙌🙌🙌🙌❤️❤️❤️❤️
Amein
Plz pst i need ur pray
Amina baba❤
naomba urafiki pasta
Feminist,siyo kazi ya Yesu hiyo!! You know who you are.
God bless you pastor
Amen Amen, glory to God
Sawa mama nakubali
Nimefrahi sana Mt wa mungu dada yangu kwani ipo sehemu umenigusha hakika nimeenda kupona kupitia neno ulilonilisha
You good my mumy god will bless you for your services
HALLELUJAH AMEEEEN 🙌 🙏 🙌 🙏 🙌 🙏
Ahsante Mama,ilove u
Ubarikiwe sana pastor rose
1 Wakorintho 14
34 Wanawake na wanyamaze katika
kanisa, maana hawana ruhusa
kunena bali watii, kama vile inenavyo
torati nayo.
35 Nao wakitaka kujifunza neno lo lote,
na wawaulize waume zao wenyewe
nyumbani mwao; maana ni aibu
Wanawake kunena katika kanisa
Jamani hawa si wameambiwa wanyamaze kanisani imekuaje tena
Very smart 😊
Woooii nimeguzwa😥😥nimezaliwa nje ya ndoa na mnuna wangu,hadi wa saa hii ckuwa najiaamini, enyewe mimi ni wa maana
Amen Amen glory to God.stay be blessed pastor 🙏
Barikiwa Sana mtumishi
I really love it
Nilazima Nifanikiwe.
Asante pastor
Amina mma
AMEN 🙏🙏🙏🤲🤲🙌🙌
Amen tunashukuru lakin umesoma kitabu gani pastor nataka kujua mama mshind vazi yake
Your so blessed shaboka
🙏
Amina barikiwa
Jambo maman pasta ,ni John bagisha kutoka Congo,napendaga mahubiri Yako sababu inanijengaka n'a kuniitiaya nguvu
Amen 🙏🏾
Takupata aje pasta
Haleluya mtumishi mungu akutunze
No ya simu
Mum god bless Unani pambasana aki
1 Wakorintho 14
34 Wanawake na wanyamaze katika
kanisa, maana hawana ruhusa
kunena bali watii, kama vile inenavyo
torati nayo.
35 Nao wakitaka kujifunza neno lo lote,
na wawaulize waume zao wenyewe
nyumbani mwao; maana ni aibu
Wanawake kunena katika kanisa
Hawa wanaweka si wameambiwa wanyamaze kanisani
I think you brag alot Pastor.
😂😂😂😂😂😂😂😂
1 Wakorintho 14
33 Kwa maana Mungu si Mungu wa
machafuko, bali wa amani; vile vile
kama ilivyo katika makanisa yote ya
watakatifu.
34 Wanawake na wanyamaze katika
kanisa, maana hawana ruhusa
kunena bali watii, kama vile inenavyo
torati nayo.
35 Nao wakitaka kujifunza neno lo lote,
na wawaulize waume zao wenyewe
nyumbani mwao; maana ni aibu
Wanawake kunena katika kanisa
Ubarikiwe sana
Amen
Pst tunakukaribisha namanga hutubirie
Amen
Amen
Amen
Amen