MKE WA BABA: SIMULIZI FUPI, By Ankojay

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 202

  • @ankojay_
    @ankojay_  Рік тому +29

    Hii ni FULL yani MWANZO MWISHO, hii HAINA PART 2

    • @swabrarashidi1082
      @swabrarashidi1082 Рік тому +1

      Hhhhhhhhhhh apo sawa ww ngoja coment za kisifiwa

    • @leahmajaliwa6575
      @leahmajaliwa6575 Рік тому +3

      Jamani nyie amjamaliza tu? Njooni huku tulalamike watupe ata moja ya usiku tuone kama tutaota ndoto nzuri sio kwakurudia marudio huku acha nisonge na chizi fresh kwa raha zangu

    • @mwanaally4972
      @mwanaally4972 Рік тому +1

      Ank me naitaka rehema wa tanga part 2 nailipiaje Ili niipate

    • @swabrarashidi1082
      @swabrarashidi1082 Рік тому +1

      @@leahmajaliwa6575 hhhhhhhhhh

    • @nsabimanaesperance600
      @nsabimanaesperance600 Рік тому +1

      Ankojay vip mbona hivo

  • @rebeccazagabe
    @rebeccazagabe 6 місяців тому +2

    hadi na lia jamn ananikumbucha babangu leo iyi niko ya tima wa baba na ichi kwa chida 😭😭

    • @mporipori99
      @mporipori99 5 місяців тому

      Pole mrembo usiishi kwa shida sisi tupo nduguzako 😊❤

  • @rehemakaunda5648
    @rehemakaunda5648 Рік тому +4

    Asante sana ankojay . Mkasa huu una fundisho kubwa sana

  • @esthermibaleo1900
    @esthermibaleo1900 Рік тому +7

    Huuuum. Ohhhh l had seen this Simulizi so many days ago, but I didn't want to listen to this story because of the name of this story but today it have teach me so many things that I will never ever forget in my life. Thank you so much Musimuliaji huuuum.

  • @clariskatana7715
    @clariskatana7715 Рік тому +3

    Asante sana ankojay simulizi tamu lakini sisi wanawake tupunguze ujinga jamani

  • @carlossirya5016
    @carlossirya5016 Рік тому +1

    Asante mr anko jay kwasimulizi nzuri nayenye mafunzo amakweli laana nimbaya

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Рік тому +1

    Shatani Hana baba Hana mama yeye ni muhuwaji na ni mwezi hanaarembu watu wa mungu pole Sana kaka

  • @ivantrust9620
    @ivantrust9620 Рік тому +2

    Baba Anko J, asante kwa kuachilia similizi hii imetufunza mengi peace ✌️

  • @mariammsemakweli7904
    @mariammsemakweli7904 Рік тому +1

    Shukran sana Anko jay Kwa simuliza mzuri kweli kabisa laana hipo kweli nimejifunza sana

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Рік тому +2

    Ahsante sana Anko jay 😊😊 kwa kibao kimpya naenjoy mwenyewe

  • @MarthaSele
    @MarthaSele Рік тому +1

    Mmmh kweliii uyoo mama dah ni atri ila kaka uko n simulizi nzuriii jmniiii dahhhhh

  • @judyauko8134
    @judyauko8134 Рік тому +3

    Kwa kweli hii simulizi inaniuma sana hasa mauaji ya wale watoto watatu na mama yao. Asante Anko J .
    Anti J nawakilisha 🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂😂😂

  • @hassanhawa9954
    @hassanhawa9954 6 місяців тому +2

    Nime jifunza sana
    Asanti sana sana kwa hii simulizi.lasna ni mbaya sana.

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 Рік тому +1

    Anko Jay wewe msai kweli kweli umeamua rehema wa tanga ndo ni pesa wewe anko mapesa mmbaya sawa lakini ndo maamuzi yako tuko poa na yote unayopangia pamoja twakupenda ivyo ivyo tena sana daima mungu akubariki sana

    • @lovenesshadson3559
      @lovenesshadson3559 Рік тому +4

      Sasa wewe unasema unampenda anko jay uku unataka kamseleleko utaki kumuungisha Sasa unampenda nini Kama anko jay aingizii pesaa au ndio ushabiki maandazii utaki maendeleo ya anko jay unataka vya bulee 😂😂😂hii ni biashara kwaiyo lazima ifanyikee kwa vyovyote

    • @ankojay_
      @ankojay_  Рік тому +2

      Bora umenena

  • @mosesmutetu3543
    @mosesmutetu3543 8 місяців тому +1

    Kwa mara ya kwanza nijifunza kua mke wa m2 sumuuuu nikomaaaaaa

  • @zaynabumfamao6792
    @zaynabumfamao6792 Рік тому +1

    ahsante sana anko jay allah afanye wepes inshaallah uzid tuletelea vitu vizur zaid❤❤❤

  • @annakinyi218
    @annakinyi218 Рік тому +1

    Simulizi tamu sana mke wa mtu sumu Waaah nimekupata jay

  • @janety1933
    @janety1933 Рік тому +1

    Hivi kweli kabisa meshaki anapoteza mguu na mkono

  • @dhuhasaid636
    @dhuhasaid636 Рік тому +1

    Mhuu mke wa baba tena hay 😊😊😊asant ankojay

  • @PhoebeWafula-d6c
    @PhoebeWafula-d6c Рік тому +1

    Makubuwa jamani mateso bila chuki nice story

  • @janety1933
    @janety1933 Рік тому +2

    Hii dunia Ina mambo mengi sana Mungu utusamehe na utujalie mwisho mwema

  • @mercymusundi8779
    @mercymusundi8779 Рік тому +2

    Aaaa Leo Mimi wa kwanza🪑🪑🪑🎧🎧🎧🇸🇦🇸🇦

  • @shantellekwamboka7444
    @shantellekwamboka7444 Рік тому +2

    Lo! Kwa kweli dunia n mapito,,,

  • @BijouxKikwindi
    @BijouxKikwindi Рік тому +1

    asatesana anko tumejufuza mabomegikwegnye hi simulizi yako nizuri 1:56:59 sana mungu akubariki sana kwasimulizi zuri 🙏🙏🙏🥰🥰

  • @isabellachizi4346
    @isabellachizi4346 Рік тому +2

    Leo nimewaiii ,😂😂😂😂😂aaaaaah weee rahaaa

  • @nadrasalum6039
    @nadrasalum6039 Рік тому +2

    Daah pole san😢hata kama amefanya makosa ila alikua hatakiw afanyiwe hivyo unyama huo

  • @ShabanOmar-w5l
    @ShabanOmar-w5l 11 місяців тому +1

    Pole sana ndugu umeyapitia sana

  • @lucyjohn1342
    @lucyjohn1342 7 місяців тому +2

    Ok.asante kaka mzuri

  • @lovenessyesse9053
    @lovenessyesse9053 Рік тому +1

    Duh hakik malipo nihapa hapa dunian Aya asant anko jey kwa hii simulizi kiukweli nimejifunza jmn 🙏🙏

  • @fjggoxfh9502
    @fjggoxfh9502 Рік тому +1

    Ankojay kweli nimepatafunzo kupitia iyisimulizi imenifunza kilasik kuogopa wazazi😭😭😭😭😭

  • @nasrarajabu4260
    @nasrarajabu4260 Рік тому +1

    Jomn meshaki pole 😢kwa changamoto

  • @SalmaKhalifa-u1s
    @SalmaKhalifa-u1s Рік тому +2

    Huyo ndo mwanamke bhan akilitaka kitu halishindwi

  • @sophiebanga9533
    @sophiebanga9533 4 місяці тому

    Nice story kama iyi kitendo inamfukiya mtu yeyote kupendwa na ndugu ama mm ni vizuri kweka ayo wazi si kuweka siri

  • @garyjavanayuga7255
    @garyjavanayuga7255 Рік тому +1

    Hongera anko, I've been following your work back to back. Nairobi we love you.

  • @mushken65
    @mushken65 Рік тому +1

    Ankojay hii simulizi ya tisha naina majonzi ukijiweka kwa viatu za huyu boy. Ina mafundisho eti malipo ni hapa hapa. Tenda mema siku zote 🇰🇪

  • @janety1933
    @janety1933 Рік тому +1

    Nimesikiliza simulizi nyingi lakin hii imenigusa sana nyie Dunia inafunza kumbe dhambi inalipwa hapahapa kule Kwa Mungu ni hesabu tyu

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Рік тому +1

    Hope this massage will reach to all wababaz ambao wanatabia ya kuoa wasichana wachanga na ilhali wako wanarika wao ambao wanaweza kuzeeshana huko mbele ya safari,, shukran mr Jay i really appreciate your job

  • @saumunyadzua
    @saumunyadzua Рік тому +2

    Jamani hii simulizi imeniliza mpaka nimechoka duuuh hii dunia kweli haina huruma

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Рік тому +3

    Uzinzi ni kama ulevi kweli

  • @MaryChido-kp9br
    @MaryChido-kp9br Рік тому +1

    Hakika hii simuliz imenifundisha anko j mungu akulinde

  • @nindymuruga4798
    @nindymuruga4798 Рік тому +1

    😢😢😢imesikitisha sana wamelipa makosa na wasiokua na hatia masikini

  • @SalmaMnalidi
    @SalmaMnalidi 5 місяців тому +1

    Asante ni nzuri Kisha inatupa funzo

  • @Adonai810
    @Adonai810 Рік тому +1

    BIRDS OF THE SAME FEATHERS FLOCK TOGETHER...INTERESTING STORY ANKO JAY

  • @leahmajaliwa6575
    @leahmajaliwa6575 Рік тому +1

    Tunashukur broo Jana tumekoma mpaka basi

  • @saumunyadzua
    @saumunyadzua Рік тому +3

    Mke wa baba ana nini tena haya twende kazi

  • @girukwishakaclaudine5374
    @girukwishakaclaudine5374 Рік тому +1

    Ahsante Anko Jay ❣️🙏

  • @HappyMshanga-xx1ob
    @HappyMshanga-xx1ob Рік тому +3

    Kumekuchaaa❤

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Рік тому +1

    Dah Meshark bora ungekazsnia tu kuhama

  • @ChristianChristianRehema
    @ChristianChristianRehema 2 місяці тому

    Pole sana weinaima inaliza😢

  • @olivabata287
    @olivabata287 Рік тому +1

    Uncle J inasikitisha ukovizuriiii

  • @FatmaHassankhamisi
    @FatmaHassankhamisi 7 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉 Asante anko jey

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Рік тому +1

    Sawa Anko asante😊

  • @REY_KATUNI1
    @REY_KATUNI1 Рік тому +9

    Ukistaajabu ya REHEMA WA TANGA utayaona ya MESHACK😂😂😂😅

  • @EpimackChami-g2f
    @EpimackChami-g2f 4 місяці тому +1

    Ss jamaniiii uyo mama wa kambo kafanya nn tena

  • @anastaziasanga
    @anastaziasanga Рік тому +9

    Leo wakwanza wanafamilia comment zenu nazisubili Asante Anko jay 🔥🔥

  • @dianabrownie1829
    @dianabrownie1829 Рік тому +1

    Daaaaaaah inauma sana jmn😢😢😢😢

  • @evelinazaina2455
    @evelinazaina2455 Рік тому +1

    Hiii simulizi imenigusa sana😢😭😭😭😭😭

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Рік тому +1

    Duh Maskini Meshark
    Mke wa baba ako kakuponza

    • @RuwaylaNassor
      @RuwaylaNassor Рік тому

      Malipo apa apa dunian jmn!!! Akhera esabu tuu

  • @SabyLove-sb5qb
    @SabyLove-sb5qb 4 місяці тому +1

    Hiyokali huyomwanamke alikua hanahuruma😢😢😢😢😢😢

  • @salhakristina9434
    @salhakristina9434 Рік тому +1

    Shukurani sana ankojay ❤❤❤❤

  • @mwanamgenimohammed7904
    @mwanamgenimohammed7904 Рік тому +1

    Jmn hii simulizi yauzunisha 😢😢😢😢

  • @zuhuranadahhinda1366
    @zuhuranadahhinda1366 Рік тому +1

    Asanteee saaana anko j kwa mafuzo

  • @suzanaminde281
    @suzanaminde281 6 місяців тому +1

    Kwa Kweli ankojey unatukwaza Bana Alvulisa kaishia wapi?

  • @beatriceonsongo9915
    @beatriceonsongo9915 Рік тому +2

    Kazi zuri mke wa baba kafanyaje 😂😂😂

    • @AbduhKareem-hi7sg
      @AbduhKareem-hi7sg Рік тому +1

      🤣🤣🤣 endelea kusikiliza mambo 🔥🔥🔥🔥🔥 🔥🔥

  • @TatuMagubika-kz4nv
    @TatuMagubika-kz4nv Рік тому +2

    Nmekuw wa kwanz😚😚

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Рік тому +2

    Wa kwanza mie

  • @AbduhKareem-hi7sg
    @AbduhKareem-hi7sg Рік тому +1

    Nimechelewa kidogo Anko ila usiwaze tuko pamoja

  • @mercymusundi8779
    @mercymusundi8779 Рік тому +1

    Kabisaa malipo ni hapa duniani

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 Рік тому +2

    Anko jay malizia rehema wa tanga

  • @SubiraMustafa-zz1zh
    @SubiraMustafa-zz1zh 10 місяців тому +1

    Dah imeniuma😢

  • @racheluwda6552
    @racheluwda6552 10 місяців тому +1

    Thanks you Ankojay 😢😢😢

  • @zuhuranadahhinda1366
    @zuhuranadahhinda1366 Рік тому +2

    Wa kwanza leo

  • @kaneza932
    @kaneza932 Рік тому +1

    Wawoooooo❤❤❤❤❤

  • @HafashimanaDorine
    @HafashimanaDorine 5 місяців тому +1

    Pole,sana😢

  • @MerissahFlavour
    @MerissahFlavour Рік тому +1

    Kaliii

  • @popod177
    @popod177 Рік тому +1

    Yani uncle umetubania kabisa rehema sio...

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Рік тому +1

    Hiyo ndiyo laana yenyewe hiyo

  • @wilkisteradhiambo3072
    @wilkisteradhiambo3072 Рік тому +1

    Japo imeniliza jamani

  • @LoveKanuya-mv2iw
    @LoveKanuya-mv2iw Рік тому +3

    Asante kwa story anko😍😍😍

  • @TatuMakia
    @TatuMakia Рік тому +1

    Duu inaumiza sana

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 Рік тому +1

    Laana huenda kwa vizazi na vizazi

  • @lonakirao5275
    @lonakirao5275 Рік тому +1

    Mwiba wajujitakia huo wala pole hauna

  • @mercymusundi8779
    @mercymusundi8779 Рік тому +2

    Tusikize mama wa kambo

  • @zuhuranadahhinda1366
    @zuhuranadahhinda1366 Рік тому +2

    Ako kama alijuwa Maana siwezi kupika simulizi pembeni 😘😘😘😘😘😁😁😁😁

    • @angelfarijala5498
      @angelfarijala5498 Рік тому +1

      Kumbe tu wengi jmn 😅😅me siku WI-FI imeisha huwa naumwa kwakukosa simulizi za Akoj

  • @moajaki8566
    @moajaki8566 Рік тому +1

    Aki mimi sitawai kuwa wa kwanza 😢but nimewai 😅siezi angusha Anko J

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Рік тому +1

    Bora ungerudi tu kwa babakama ni adhabu ajupe yeye
    Ni bora kuliko huo ulemavu uliopta Meshark

  • @SubiraHassan-m8f
    @SubiraHassan-m8f 2 місяці тому

    Pole sana

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Рік тому +1

    Mwanamke muuaji huyo

  • @janetkazungu7795
    @janetkazungu7795 Рік тому +1

    Hewaaa nishapitwa tayari😂😂

  • @DAUDFARES
    @DAUDFARES 4 місяці тому

    hawa wanawake wakuoa uzeen
    nitabu tupuuu

  • @imanwalid6549
    @imanwalid6549 Рік тому +1

    Welcome back 🙏

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Рік тому +1

    Nenda kwa baba kamuombe radhi hata akikushikia kisu usiogope nenda tu

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Рік тому +1

    Kwani mechelewa jamani kuolewa na mume mwenye watoto wa kubwa tena wakiume mtihani huu 🤣🤣🤣

  • @cathrinenjeri3149
    @cathrinenjeri3149 Рік тому +1

    Good job Ankojay ❤

  • @swabrarashidi1082
    @swabrarashidi1082 Рік тому +1

    Thanks anko alafu sija skip ata moja leo kama kuna kingine unataka tukusapot sema tu kama pt 2 tutanunua situnakupenda tutafanyaje sasa ww tukomoe tu hhhhhhhhhhhhhhh

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Рік тому +2

    Mhmm,jamani,kama ni malipo yamezidi kiwango,hata kama ni dhambi hayo malipizi yamezidi kiwango

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Рік тому +1

    Subhanallhah dah Meshark

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Рік тому +1

    Kabisa Meshark
    Ni.laana ambayo haina msamaha

  • @DAUDFARES
    @DAUDFARES 4 місяці тому

    jaman wanawake ujinga tuachen mtu kama humpend unamuacha sio kumchanganya baba namtoto uwii umeponzwa mtoto , baba mtumzima kajisitiri akutunze ili ukue half unajiigiza kweny wizi wamapenz bora ugehama nyumbn jaman

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Рік тому

    Mwanamke Shetani sana
    Laana kum