Jamani nyie amjamaliza tu? Njooni huku tulalamike watupe ata moja ya usiku tuone kama tutaota ndoto nzuri sio kwakurudia marudio huku acha nisonge na chizi fresh kwa raha zangu
Huuuum. Ohhhh l had seen this Simulizi so many days ago, but I didn't want to listen to this story because of the name of this story but today it have teach me so many things that I will never ever forget in my life. Thank you so much Musimuliaji huuuum.
Anko Jay wewe msai kweli kweli umeamua rehema wa tanga ndo ni pesa wewe anko mapesa mmbaya sawa lakini ndo maamuzi yako tuko poa na yote unayopangia pamoja twakupenda ivyo ivyo tena sana daima mungu akubariki sana
Sasa wewe unasema unampenda anko jay uku unataka kamseleleko utaki kumuungisha Sasa unampenda nini Kama anko jay aingizii pesaa au ndio ushabiki maandazii utaki maendeleo ya anko jay unataka vya bulee 😂😂😂hii ni biashara kwaiyo lazima ifanyikee kwa vyovyote
Hope this massage will reach to all wababaz ambao wanatabia ya kuoa wasichana wachanga na ilhali wako wanarika wao ambao wanaweza kuzeeshana huko mbele ya safari,, shukran mr Jay i really appreciate your job
Thanks anko alafu sija skip ata moja leo kama kuna kingine unataka tukusapot sema tu kama pt 2 tutanunua situnakupenda tutafanyaje sasa ww tukomoe tu hhhhhhhhhhhhhhh
jaman wanawake ujinga tuachen mtu kama humpend unamuacha sio kumchanganya baba namtoto uwii umeponzwa mtoto , baba mtumzima kajisitiri akutunze ili ukue half unajiigiza kweny wizi wamapenz bora ugehama nyumbn jaman
Hii ni FULL yani MWANZO MWISHO, hii HAINA PART 2
Hhhhhhhhhhh apo sawa ww ngoja coment za kisifiwa
Jamani nyie amjamaliza tu? Njooni huku tulalamike watupe ata moja ya usiku tuone kama tutaota ndoto nzuri sio kwakurudia marudio huku acha nisonge na chizi fresh kwa raha zangu
Ank me naitaka rehema wa tanga part 2 nailipiaje Ili niipate
@@leahmajaliwa6575 hhhhhhhhhh
Ankojay vip mbona hivo
hadi na lia jamn ananikumbucha babangu leo iyi niko ya tima wa baba na ichi kwa chida 😭😭
Pole mrembo usiishi kwa shida sisi tupo nduguzako 😊❤
Asante sana ankojay . Mkasa huu una fundisho kubwa sana
Huuuum. Ohhhh l had seen this Simulizi so many days ago, but I didn't want to listen to this story because of the name of this story but today it have teach me so many things that I will never ever forget in my life. Thank you so much Musimuliaji huuuum.
CcC
Asante sana ankojay simulizi tamu lakini sisi wanawake tupunguze ujinga jamani
Asante mr anko jay kwasimulizi nzuri nayenye mafunzo amakweli laana nimbaya
Shatani Hana baba Hana mama yeye ni muhuwaji na ni mwezi hanaarembu watu wa mungu pole Sana kaka
Baba Anko J, asante kwa kuachilia similizi hii imetufunza mengi peace ✌️
Shukran sana Anko jay Kwa simuliza mzuri kweli kabisa laana hipo kweli nimejifunza sana
Ahsante sana Anko jay 😊😊 kwa kibao kimpya naenjoy mwenyewe
Mmmh kweliii uyoo mama dah ni atri ila kaka uko n simulizi nzuriii jmniiii dahhhhh
Kwa kweli hii simulizi inaniuma sana hasa mauaji ya wale watoto watatu na mama yao. Asante Anko J .
Anti J nawakilisha 🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂😂😂
Nime jifunza sana
Asanti sana sana kwa hii simulizi.lasna ni mbaya sana.
Anko Jay wewe msai kweli kweli umeamua rehema wa tanga ndo ni pesa wewe anko mapesa mmbaya sawa lakini ndo maamuzi yako tuko poa na yote unayopangia pamoja twakupenda ivyo ivyo tena sana daima mungu akubariki sana
Sasa wewe unasema unampenda anko jay uku unataka kamseleleko utaki kumuungisha Sasa unampenda nini Kama anko jay aingizii pesaa au ndio ushabiki maandazii utaki maendeleo ya anko jay unataka vya bulee 😂😂😂hii ni biashara kwaiyo lazima ifanyikee kwa vyovyote
Bora umenena
Kwa mara ya kwanza nijifunza kua mke wa m2 sumuuuu nikomaaaaaa
ahsante sana anko jay allah afanye wepes inshaallah uzid tuletelea vitu vizur zaid❤❤❤
Simulizi tamu sana mke wa mtu sumu Waaah nimekupata jay
Hivi kweli kabisa meshaki anapoteza mguu na mkono
Mhuu mke wa baba tena hay 😊😊😊asant ankojay
Makubuwa jamani mateso bila chuki nice story
Hii dunia Ina mambo mengi sana Mungu utusamehe na utujalie mwisho mwema
Aaaa Leo Mimi wa kwanza🪑🪑🪑🎧🎧🎧🇸🇦🇸🇦
Lo! Kwa kweli dunia n mapito,,,
asatesana anko tumejufuza mabomegikwegnye hi simulizi yako nizuri 1:56:59 sana mungu akubariki sana kwasimulizi zuri 🙏🙏🙏🥰🥰
Leo nimewaiii ,😂😂😂😂😂aaaaaah weee rahaaa
Daah pole san😢hata kama amefanya makosa ila alikua hatakiw afanyiwe hivyo unyama huo
Pole sana ndugu umeyapitia sana
Ok.asante kaka mzuri
Duh hakik malipo nihapa hapa dunian Aya asant anko jey kwa hii simulizi kiukweli nimejifunza jmn 🙏🙏
Ankojay kweli nimepatafunzo kupitia iyisimulizi imenifunza kilasik kuogopa wazazi😭😭😭😭😭
Jomn meshaki pole 😢kwa changamoto
Huyo ndo mwanamke bhan akilitaka kitu halishindwi
Nice story kama iyi kitendo inamfukiya mtu yeyote kupendwa na ndugu ama mm ni vizuri kweka ayo wazi si kuweka siri
Hongera anko, I've been following your work back to back. Nairobi we love you.
Ankojay hii simulizi ya tisha naina majonzi ukijiweka kwa viatu za huyu boy. Ina mafundisho eti malipo ni hapa hapa. Tenda mema siku zote 🇰🇪
Nimesikiliza simulizi nyingi lakin hii imenigusa sana nyie Dunia inafunza kumbe dhambi inalipwa hapahapa kule Kwa Mungu ni hesabu tyu
Hope this massage will reach to all wababaz ambao wanatabia ya kuoa wasichana wachanga na ilhali wako wanarika wao ambao wanaweza kuzeeshana huko mbele ya safari,, shukran mr Jay i really appreciate your job
🇦🇪🇦🇪🥰
Jamani hii simulizi imeniliza mpaka nimechoka duuuh hii dunia kweli haina huruma
Uzinzi ni kama ulevi kweli
Hakika hii simuliz imenifundisha anko j mungu akulinde
😢😢😢imesikitisha sana wamelipa makosa na wasiokua na hatia masikini
Asante ni nzuri Kisha inatupa funzo
BIRDS OF THE SAME FEATHERS FLOCK TOGETHER...INTERESTING STORY ANKO JAY
Tunashukur broo Jana tumekoma mpaka basi
Mke wa baba ana nini tena haya twende kazi
Ahsante Anko Jay ❣️🙏
Kumekuchaaa❤
Dah Meshark bora ungekazsnia tu kuhama
Pole sana weinaima inaliza😢
Uncle J inasikitisha ukovizuriiii
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉 Asante anko jey
Sawa Anko asante😊
Ukistaajabu ya REHEMA WA TANGA utayaona ya MESHACK😂😂😂😅
Mtoto mnafki wewe 😂😂😂😂 unang'ata na kupuliza....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣👆👆👆
@@ankojay_ niacheni mie😂😂
🤣🤣🤣🤣
Kwakweli 😅😅
Ss jamaniiii uyo mama wa kambo kafanya nn tena
Leo wakwanza wanafamilia comment zenu nazisubili Asante Anko jay 🔥🔥
Hongera zako nakupa zawadi
Daaaaaaah inauma sana jmn😢😢😢😢
Hiii simulizi imenigusa sana😢😭😭😭😭😭
Duh Maskini Meshark
Mke wa baba ako kakuponza
Malipo apa apa dunian jmn!!! Akhera esabu tuu
Hiyokali huyomwanamke alikua hanahuruma😢😢😢😢😢😢
Shukurani sana ankojay ❤❤❤❤
Jmn hii simulizi yauzunisha 😢😢😢😢
Asanteee saaana anko j kwa mafuzo
Kwa Kweli ankojey unatukwaza Bana Alvulisa kaishia wapi?
Kazi zuri mke wa baba kafanyaje 😂😂😂
🤣🤣🤣 endelea kusikiliza mambo 🔥🔥🔥🔥🔥 🔥🔥
Nmekuw wa kwanz😚😚
Wa kwanza mie
Nimechelewa kidogo Anko ila usiwaze tuko pamoja
Kabisaa malipo ni hapa duniani
Anko jay malizia rehema wa tanga
Dah imeniuma😢
Thanks you Ankojay 😢😢😢
Wa kwanza leo
Wawoooooo❤❤❤❤❤
Pole,sana😢
Kaliii
Yani uncle umetubania kabisa rehema sio...
Hiyo ndiyo laana yenyewe hiyo
Japo imeniliza jamani
Asante kwa story anko😍😍😍
Kumbe upo
@@AbduhKareem-hi7sg nipo
@@LoveKanuya-mv2iw nimekuona kwa mbali
@@AbduhKareem-hi7sg ety ehee
@@LoveKanuya-mv2iw yeah
Duu inaumiza sana
Laana huenda kwa vizazi na vizazi
Mwiba wajujitakia huo wala pole hauna
Tusikize mama wa kambo
Ako kama alijuwa Maana siwezi kupika simulizi pembeni 😘😘😘😘😘😁😁😁😁
Kumbe tu wengi jmn 😅😅me siku WI-FI imeisha huwa naumwa kwakukosa simulizi za Akoj
Aki mimi sitawai kuwa wa kwanza 😢but nimewai 😅siezi angusha Anko J
Bora ungerudi tu kwa babakama ni adhabu ajupe yeye
Ni bora kuliko huo ulemavu uliopta Meshark
Pole sana
Mwanamke muuaji huyo
Hewaaa nishapitwa tayari😂😂
hawa wanawake wakuoa uzeen
nitabu tupuuu
Welcome back 🙏
Nenda kwa baba kamuombe radhi hata akikushikia kisu usiogope nenda tu
Kwani mechelewa jamani kuolewa na mume mwenye watoto wa kubwa tena wakiume mtihani huu 🤣🤣🤣
Good job Ankojay ❤
Thanks anko alafu sija skip ata moja leo kama kuna kingine unataka tukusapot sema tu kama pt 2 tutanunua situnakupenda tutafanyaje sasa ww tukomoe tu hhhhhhhhhhhhhhh
😂😂😂😂😂
Mhmm,jamani,kama ni malipo yamezidi kiwango,hata kama ni dhambi hayo malipizi yamezidi kiwango
Subhanallhah dah Meshark
Kabisa Meshark
Ni.laana ambayo haina msamaha
jaman wanawake ujinga tuachen mtu kama humpend unamuacha sio kumchanganya baba namtoto uwii umeponzwa mtoto , baba mtumzima kajisitiri akutunze ili ukue half unajiigiza kweny wizi wamapenz bora ugehama nyumbn jaman
Mwanamke Shetani sana
Laana kum