Dah nililazimishwa kuolewa angali ni mdogo sita sahau nilikuwa nasikiliza hii na kulia hadi mama akawa analia na baba pia naipenda mpaka sasa 2022 na nitaendelea kuipenda
Daah!nakumbuka mbali sana!tena hua nikiisikia hii nyimbo popote hua nalia peke angu,nilikua nadai talaka alafu mume akawa anaweka hii nyimbo muda wte,lkn ndio nishaamua tukaachana,
ngoma hii inanikumbusha 2008 nilikua kisiwani KABIGA MWANZA .Yaani nikifunga duka mida ya saa6 usku hii ndo ilimua kufuli langu daah😀😀kitambo mazee big up sana mzee @hardmad
Rudi bas nyumbaniiiii kumbuka maishaa ya zamaniiii,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,usiniache mwenzioooo ni wewe unaefanya nijiskie nipo juu kwenye hii dunia@@@@@@@@@2020
Hiki ndio kipind pekee ambacho kaka zetu walifanya muziki uheshimike na nakumbuka tulikua tunaweza kuciiliza na wazaz wetu tena tukawa na amani ila siku hiz hilo jambo ni aghalab sana.Inasikitisha walioweka misingi wamepotea na kusahaulika kabisa.Basata mna kaz gani ingine zaid ya kufungia nyimbo za wa sanii badala la kuwapa msaada
Where are you brother mad mbona umetoweka kwenye music wewe sio wakawaida man level yako ni ya akina 20% kina afande Sele na wengine kama hao marasta man jiungeni pamoja muwafundishe vijana wanaokurupuka kuimba matusi big up Mzee ulitisha sana bro
nani anaskiliza 2024 gonga like HII ngoma
Tunaoiangalia tena 2024 gonga like hapaa
Iyo Ngoma haichuji milele❤
Ivi JAMA uyu yupo@husnandumbala5214
Dah nililazimishwa kuolewa angali ni mdogo sita sahau nilikuwa nasikiliza hii na kulia hadi mama akawa analia na baba pia naipenda mpaka sasa 2022 na nitaendelea kuipenda
daah pole
Poole sana
2023 tunaendeleza kugonga ngoma kali tuu old is gold 💪🇹🇿🇦🇪
🇦🇪🇹🇿
Hii ndo ngoma nayo ipenda kulko zote dunian
Hamz Myovera hataa mm
Hata Mimi naipenda Sana. Inanipa usingizi
@@zaituniakida3776 Mambo
🎉🎉😅
Nani anaskiliza hii hd 2019 gonga like twende sawa!!!!nakubali sana hii ngoma!!
👍👍👍
Nan anasikilza 2020 ? Gonga like!
Graduation yangu primary2006🤪🔥🔥🔥
Daah!nakumbuka mbali sana!tena hua nikiisikia hii nyimbo popote hua nalia peke angu,nilikua nadai talaka alafu mume akawa anaweka hii nyimbo muda wte,lkn ndio nishaamua tukaachana,
Mariam
Unalia kwa sababu unajiona mjinga kwa uamuzi wa kijinga
Mika Mwamba 2023 🔥🔥🔥🔥hyu jamaa si kujua kama beat nyng hv zilikua zake
Jaman hii ngoma nilikuwa nimeilekod kwenye spika inaimba huku nauza mitumba Morogoro hiyo da nimekumbuka nyumban wakagulu wose chikiende
Chabahano
Dah kama imetoka leo bro 😘😘 2019
Hardman uko wapi?
2022 and still is masterpiece
😮😮😢😮😮😮😢😢😮😮😢😢
Mimi na huu wimbo mwenzenu acheni tuu❤
2023 still on fire 🔥
ngoma hii inanikumbusha 2008 nilikua kisiwani KABIGA MWANZA .Yaani nikifunga duka mida ya saa6 usku hii ndo ilimua kufuli langu daah😀😀kitambo mazee big up sana mzee @hardmad
Kitambo Sana.
Hii nyimbo inaistoria ya maisha yangu japo baadae nilimwagwa ila silaumu sana maana mungu ndie mpangaji wa maisha yangu 6/ 2/ 2019
Pole sana
Pole mama
Poleee chi mama
Pole sana
Nzuri sana jamn nimeipendraaaa
Kitambo San mzee bab
Nyimbo yangu Bora ya kila muda naipenda hii nyimbo kupita maelezo
Mpaka 2024 naigonga on repeat
Hizi ndo zile ngoma hazichuji miaka nenda miaka rudi..kila kitu kipo on point kuanzia lyrics hadi beat!
Hatareeeeee hatareerrr
Namuheshimu sana p funk majani kama godfather wa bongofleva lakn mikka mwamba ilikuwa ni hatari nyingineee
Daaah noma sana 2024❤❤❤
Ni mwisho wa mwaka 2019 sasa, ni nani mwingine anamsikiliza Hard Mad? Na ngona hii ya Niwewe..
mamaaaaa usiniache mwenzio niweweeee
niambie
Here 2024 this song ❤❤❤❤❤❤
Tuacheni utani hizi nyimbo ni nzuri sana wasani wa sasa wakasome ujumbe bomba nyimbo bomba BIG up hardmad
Rudi bas nyumbaniiiii kumbuka maishaa ya zamaniiii,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,usiniache mwenzioooo ni wewe unaefanya nijiskie nipo juu kwenye hii dunia@@@@@@@@@2020
Nan anaisikiliza 2020
Old is gold
2020
Ngoma Kali sana baet yake inabamba
Enzi hiyo nilikuwa darasa la 6, lkn mpk Leo imebaki kwenye kumbukumbu za matukio yaliyopita kwenye maisha yangu
2019 we are still enjoying ur melody hardman
hatibuhatibu56@gmail.com hii nyimbo ogopa Sana
Kitambo sana hii nyimbo nakumbuka 2008 au 2009 😂😂
hatari kitambo, stil 2019 rocking
Kabisa 🔥🔥🔥🔥
Mika mwamba alikuwa na maajabu asee bt znasomeka
Hiki ndio kipind pekee ambacho kaka zetu walifanya muziki uheshimike na nakumbuka tulikua tunaweza kuciiliza na wazaz wetu tena tukawa na amani ila siku hiz hilo jambo ni aghalab sana.Inasikitisha walioweka misingi wamepotea na kusahaulika kabisa.Basata mna kaz gani ingine zaid ya kufungia nyimbo za wa sanii badala la kuwapa msaada
2023…still enjoying the music
wale wa zaman tupo... kama umeikumbuka hii hit
Hv ni mwaka gan
Miss u'a song ni wewe n tamalaa😢
iinyimbo kilanapo isikiliza naona kama imetoka jana, tam kinoma
Sana imetoka nikiwa drs v Hadi Leo nahic Kama imetoka jana
Sanaaaaa
Nakumbuka kitaaaambooo saanaaaaa..bonge la song..hardman aliutendea haki huu wimbo..
Wekeni basi na nyimbo ya hitaji la moyo ya bro hard mad
gOMA lA dUNIA hILO hITAJI LA MOYO
Tujuane hapa tunaopenda mziki mzuri 2023 ni wew✔️
Nakumbuka kipindi icho aise ngoma za zamani zilikua noma
Old is best, I love it.Mziki unaishi
Twende sawa 2020 kama unasikiliza goma hilooooo💥💥
Where are you brother mad mbona umetoweka kwenye music wewe sio wakawaida man level yako ni ya akina 20% kina afande Sele na wengine kama hao marasta man jiungeni pamoja muwafundishe vijana wanaokurupuka kuimba matusi big up Mzee ulitisha sana bro
2021 bd nakusikilizaaaa🥰 naipenda sana hii nyimbo
Huyu ni hard man Sio soft hata kidogo. Ngoma qali inanikumbush mbali sana
Zondo Martine kishoju hiyo 2018 hakibu twaha Noma sana
Ngoma kaliiiiiiiiiiiiiiii balaaaaaaa hii aiseee
It is April 2023 am still enjoying the song!!! Gonga like kama tunaenda sawa
2018 to thi no end
Kama ni marehemu tunasema ameacha pengo kubwa san -good kaka hard man may 2019
Kafa?
Kaka cjakuelewa kafa?
Nakumbuka mbali sana nikiskia hii ngoma
can't stop listening to this song, who is listening 2016??
rachel mihambo
Who is waiting 2c him back like Me!!!@?????....Old is Gold....
Hv huyu jamaa yuko wapi kwa sasa, nmekumbuka mbali sana aisee🙌
2022 still the best
Kama ni marehemu tunasema ameacha pengo kubwa san -good kaka hard man
2021...still listening to this song.
Miaka yetu hiyo kipindi mziki ni mziki 💃sio sasa hv matusi tu 😏
Milele mungu akupe maisha marefu ❤️
tujuane tanayo iangalia 2020
2023.. hit song
Still motoooo
2019🙌🙌
Daahh kitambo sanaa nimekumba mbali kweli old is gold........ 2021
Daaah niwewe zamanisana jaman kamajana vire huwasichoki kuitazamama😀😀😁😁😁
,🔥🔥🔥🔥🔥🔥enzi zetu
asante sana Hardmad bonge la ujumbe , miaka nenda miaka rudi
Dah nikiwa tanga school dah
Aisee hii ngoma naikubali kinoma ambae bado anasikilizaga mpaka saizi 2020 agonge like apa
2021 me bdo ipo maskioni 💙💙💙💙💙💙💙
Ni wewe Unaye nifanya nijiskie Niko Juu. Get back Hardmad.
Old is Gold mziki unagusa mpaka moyo 4/2019 still listening
Pamoja Sana jack
Maisha Ni kumbukumbu nzur🎉❤
Unaenifanya nijiskie niko juu kwenye hii duniaa 😭😭😭😭 R I P kakaangu huu wimbo umenifanya nikukumbuke my bro ulivokuwa unamuimbia wifi yangu 😢😢
kaka yake ndo kafa cy hardman
Pole
Kwani kafa
Comment yako ndo inanifanya niingie you tube kusikiliza wimbo huu ili nipate fursa ya kuisoma🙏
Daah ilikua nyimb yang pendwa kipind hich nakumbuk mbl san 2023 bado nasikiliz
Ishi saana popote ulipo brh ✌📢
I miss my friend 4141 ukipita hapa jua ni mimi, mekumiss Jaff enzi zile tukisikiliza hii kitu
Hili goma ni fire
Jamani aliekuwa akicheza Ngoma hizi Enzi hizo anajua utamu wake
Nyie wa kisasa tuacheni kwanza
Naipenda hii nyimbo hatari
2🔥
0🔥 💯💯💯
1🔥
9🔥
Daaaa imenigusa sana enzi izo
Still listening 2024
Yaani mziki huu unahadhi ya kurudisha mji ambao unataka kuvunjika yaani ukimsikiliza tu huu wimbo mke mbn anarudisha mabegi ndani.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwixho wa mwaka 2020 lkn bado inahit bonge la song
Hatimae leo 2023 ndo nmelipata hili song🙏
2023 in 10 days 🔥 tisha sana
kitu haichuji hii kweny kumbi za burudan ndo utaelewa hii ngoma ikipigwa
Naogopa kwawengine marazhi🔥🔥
April 2020 kama imetoka leo vile inanikumbusha enzi za utoto kuandikiana dedication kwenye card
Ah hatar Sana ii nyimbo apo Kota zetu line police mbeya sinde Kila nyumba ilikuwa inapigwa I nyimbo
naipenda hii nyimbo hatali💝💝💝💝💝
Pamoja Sana 9/11/2019
2019❤
Hizi ngoma nitamu japo kua milikua mdogo sana
ohh my maisha haya yana chenj 😂😢
Naisikiliza we ni mwamba
jama anajua sijui tuu alikopotelea
Ngoma kali,ngoma ina hisia ndan yake, ngoma tamuu, much respect kwa wakongwe wa bongo fleva
Nani anaisikiliza 2021 ? Hivi yuko wap huyu mwambaaa
Miss u'a song ni wewe n tamalaa
Song kali❤