Hardmad Tamala by Mika Mwamba production

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 бер 2015
  • Produced before with father of Bogo flavour Mika Mwamba then in 2006 we have re-mastering of it again when we made an album.
  • Фільми й анімація

КОМЕНТАРІ • 584

  • @annanyassin5742
    @annanyassin5742 4 місяці тому +53

    2024 kuna yeyote anaenjoy mzuri gonga like

    • @denismasele4130
      @denismasele4130 25 днів тому

      I remind you to come back and listen this beautiful song 🎉🎉🎉

  • @shabanhafidhu1951
    @shabanhafidhu1951 6 років тому +331

    Daah.! Mi naumia kuona muziki mzuri tumeuacha nyuma. Yani beat, mashahiri na mpangilio wa sauti vyote fresh. Mika Mwamba amefanya makubwa kwenye muziki wetu wa Bongo utafikiri sio mzungu yule jamaa. Najua kuna watu wengi hamjui kuwa Mika Mwamba ni Mzungu na ni raia wa Finland. Kama unajua gonga like yako

  • @vascomartin1103
    @vascomartin1103 4 місяці тому +20

    Hii ngoma kitambo Sana na ilikaa pw Sana 2024 ipe like

  • @Saidy-omaryxmshambo
    @Saidy-omaryxmshambo Місяць тому +9

    Nakumbuka nilikua kigoma kasulu kabanga mwaka 2009 mpaka leo 1/6/2024❤❤❤❤😅😅😅🎉🎉

  • @evarist8477
    @evarist8477 7 місяців тому +10

    1 am leaving a comment so that after a month, or a year, or a decade when someone likes it, i get a reminder to listen to this beautiful song again..

  • @linuspastory5597
    @linuspastory5597 6 місяців тому +11

    22/01/2024 daaha nakumbuka maisha flaaan ya amani sana daaah mika mwamba ❤❤❤ Respect sana

  • @kaputaakida4721
    @kaputaakida4721 7 років тому +123

    i wish to turn back hands of time! anaesikiliza leo gonga like

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 6 місяців тому +9

    Sio wepekeako unaeumia, mepia. Alafu sasa hawawasanii wamewatelekeza gizani. Wengne hawajiwezi kimaisha ukiwaona baadhi yao wamechoka wamechakaa. Jaman me nilkua natoa ushauri kwenye baraza ra muzic basata pamoja na wazili wamichezo. Iwaangalie hawa wazanik wakongwe. Maana wanamchango mkubwa sana kwenye hiii nchi. Nawaomba sanasana muwajali wasannii wetu kwakuwa ni kioo vhajamiii

  • @sharlensherif6447
    @sharlensherif6447 5 років тому +57

    Duh! Yani nimeutafuta huu wimbo miaka mingi bila mafanyikio , niliamua ku give upp, ila leo kama surprise umejitokeza. Old is gold 🙏

  • @mustaphajuma6821
    @mustaphajuma6821 4 роки тому +32

    Hii nyimbo daaaah Hardmad....namkumbuka sana marehem baba yangu....R I P....nilikuwa nikiskiliza hii song kutoka mikocheni B hadi mwenge kwa mguu nenda rudi...LIFE ilikuwa tight sanaa...huwa nikiskia machozi hunilenga lenga......basi tena.!!!

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 Рік тому +1

      Pole sana Mzee, Mungu ni mwema
      I hope unafanya poa sasa , Mungu asimame na wewe

    • @muhidinhassan5419
      @muhidinhassan5419 Рік тому +1

      Daah pole sana mungu asimame na ww

    • @Aboodjan4-
      @Aboodjan4- 10 місяців тому +1

      Pole sn😢

    • @susancharles1660
      @susancharles1660 8 місяців тому +1

      Pole sana

    • @BiornProductions
      @BiornProductions  5 місяців тому

      That's what music brought to us,pure memories but sorry

  • @simongambaloya1727
    @simongambaloya1727 6 місяців тому +6

    Popote pale walipo hawa jamaa heshima kwao ktk bongo flavor itadumu dahali, huu wimbo hata nikiwa na hasira, stress n. k huwa nikiusikiliza tu napata relief, my #1 song kwny count down za miaka yote

  • @muhesakazumba9426
    @muhesakazumba9426 3 місяці тому +4

    Sikuhizi tunaimbiwa nyimbo ambazo huwezi sikiliza au kutazama video mbele ya wazazi wako, eti weka mate niteleze Kama nyoka pangoni dah! Hovyo sana

  • @evenlightjumanne1909
    @evenlightjumanne1909 6 років тому +26

    Daaaah huu wimbo tangia zamani naupenda mpaka sasa bado ninao kwenye sim yangu wakati unatoka nwaka 2004 mm ninamiaka nane ndani ya Zanzibar mpaka sasa 2018 Nina miaka 22 bado ninao naupenda sana na mda wote nausikiliza ndani ya sim yangu daaaah aiseeeeee

  • @jamesmatiko8676
    @jamesmatiko8676 9 місяців тому +8

    Hii instrumental inanipa msisimuko fulani hivi wa ajabu na wakipekee ❤❤❤❤

  • @paulmboje2677
    @paulmboje2677 10 місяців тому +6

    Mika mwamba pokea maua yako kwa hili beat💐

  • @geffects1141
    @geffects1141 Місяць тому +6

    Now It's 2024 😢😢😢😢😢😢

  • @shabanally6973
    @shabanally6973 3 місяці тому +4

    Maisha ya kitambo yalikuwa matam sana jmn,,nataman kuyarudia

  • @aeyzee4ever607
    @aeyzee4ever607 8 років тому +22

    huyu mshakaji anajua as Mimi nimtoto was kitaa tulipokuwa na washkaji zangu tukiskia nyimbo za hard mad humsalute mbaya ..big up to him mbaya

  • @giftgadiel9191
    @giftgadiel9191 6 місяців тому +1

    Legendary music..😢
    Inanikumbusha udogoni nipo na mzee tumetoka shamba tupo na baiskel ya phonex.kanipakiza kwenye bomba radio yetu kwenye staring kigiza kinaingia anachochea kupandisha nyumbani inapiwa ngoma hii ooh old is gold..

  • @kambwiwamwaduifc7746
    @kambwiwamwaduifc7746 5 років тому +12

    dah ngoma za zaman zilikua zinaleta isia hata kama ulikua na mawazo ukisikiliza bsi yataondoka kwa muda

  • @veronicavenance3159
    @veronicavenance3159 3 роки тому +4

    Natamani kulia hii ni classic since 2002

  • @BebaKulwa
    @BebaKulwa 5 років тому +45

    The true definition of classic music...whoelse listening in 2019!!

  • @kareemsijaona4474
    @kareemsijaona4474 7 років тому +37

    Hii ngoma daah reminds me back in 2004 when I ws in stnd four 🔥🔥

    • @issahabunu197
      @issahabunu197 2 роки тому

      Same here..😭😭😭😭😭

    • @Chekanamimi_
      @Chekanamimi_ 2 роки тому +1

      Mimi nilikuwa darasa la 5..... Habari zenu madogo @kareem sijaona na @issah abunu

    • @Cinemalitics
      @Cinemalitics 2 роки тому

      @WILLARD MMBANDO Duh basi balaa maana mm nlkuwa chekechea sawa wakubwa🙌🏽

    • @samuelbeti7963
      @samuelbeti7963 Рік тому

      Me too

  • @josikinyala4425
    @josikinyala4425 Рік тому +14

    What a song. Hard man. Verse ya 3 ndio u can fell the real dance hall. Who is listerning right now at 10 :38 PM on 5th August 2022?

  • @ntopangonyani6964
    @ntopangonyani6964 7 років тому +55

    Nasikia sauti ya Fatma Mnonji kwa mbali akiitikia kiitikio. Alikuwa school mate wangu huyu Biafra High School, alikuwa ni binti mwenye haiba ya upole.

    • @mrfinest5004
      @mrfinest5004 6 років тому

      ntopa ngonyani nice

    • @kiun08
      @kiun08 6 років тому +1

      Mnonji kaimba wimbo gani mwingine?

    • @faustersanga6627
      @faustersanga6627 6 років тому +2

      alishirikishwa pia na 20%kati ya nyimbo zake

    • @edwinkakwezi284
      @edwinkakwezi284 5 років тому +3

      Alikuwa na sauti nzuri sana ila watu hatukutambua kipaji chake

    • @edmundisaack6902
      @edmundisaack6902 5 років тому +3

      Ni mdogo wake na hard mad pia ameimba chorus kwenye nyimbo ya Ziggy de enomic

  • @terrygabby8976
    @terrygabby8976 5 років тому +16

    2019...who’s with me?

  • @vicentmushi9906
    @vicentmushi9906 5 років тому +23

    HII NYIMBO INA historia kubwa sana katika maisha yangu siwezi sahau 2004 mpaka leo naipenda, big up hard mad na mika mwamba, mchango wenu ni mkubwa kwenye gemu ya muziki wa bongo .

  • @fadhilingalu3001
    @fadhilingalu3001 5 років тому +3

    Heshima kwako bila kumsahau producer mika mwamba Saluti kwenu uliitambulisha ulimwengu kama mukiamua kufanya kitu kizuri kinaoneka

  • @dyevachkakyekaka3878
    @dyevachkakyekaka3878 9 місяців тому +6

    2023 October and am still here 🔥🔥🔥 old good days

  • @siraaronmallya425
    @siraaronmallya425 Рік тому +3

    Huu wimbo ulinitesa sana...niliupenda sana ila nilikua sijui kaimba nani..
    Then juzjuz hapa ndo najua mika mwamba ni mzungu baada ya kufanya mahojiano na millard ayo...kweli maisha yamebadilika.

  • @user-fh1kj2rr8t
    @user-fh1kj2rr8t 4 місяці тому +1

    Zamani tulikua na wasanii wakali mno sijui wamepotelea wapi! Daaa god bless Tanzania and bongo flava to the world.

  • @Adv.Zee_
    @Adv.Zee_ 4 роки тому +58

    2020 and I’m still here, this song 🔥🔥🔥

  • @SelemaniLingamka
    @SelemaniLingamka 6 днів тому +1

    Nakumbuka kitambo icho tunaluka na wachumba ztu wajukuu wa nyerere

  • @mussahancy6591
    @mussahancy6591 3 місяці тому +1

    Huo ndio mkono wa Msenge Mika mwamba yule mbwa hakuna mtu alikamata pale kwa mabeat yake,iko kwao FINLAND nilionana nayo mwaka 2021

    • @kareemdmartins7755
      @kareemdmartins7755 Місяць тому

      mi nadhani hata majani hakumfikia mika mwamba,,,sikiliza hi ya duly na kikongwe ya piko au kajiandae ya mezb

  • @owenoswald3398
    @owenoswald3398 4 роки тому +25

    Mikaa mwambaa he deserves a legend medal of the best producer of all the time his beats still lives up to right now 2020 and still am having feelings and the vibes with these songs that has been produced by him #MIKAMWAMBATHELEGEND

    • @BiornProductions
      @BiornProductions  4 роки тому +2

      It's very true home boy

    • @owenoswald3398
      @owenoswald3398 4 роки тому +1

      @@BiornProductions very very true brother

    • @denniskataraihya5698
      @denniskataraihya5698 2 роки тому

      Mikka Mwamba alirudi kwao Finland. Cheki akihojiwa na milard ayo ua-cam.com/video/ztlyM3Gg3qM/v-deo.html

    • @GodfreyWilliam-pb3wh
      @GodfreyWilliam-pb3wh Рік тому

      @@denniskataraihya5698

    • @azizamakotha7428
      @azizamakotha7428 7 місяців тому

      Sio Mika mwamba Tu kwenye tasnia ya muzik wa bongo flavour but also P FUNK MAJAN. They are all legends

  • @tysongodfrey7600
    @tysongodfrey7600 7 років тому +17

    2017 daaah this song .napataga hasira sana why why why wasanii kama hawawi respected

  • @konzoikweta
    @konzoikweta 4 місяці тому +2

    Mika Mwamba the Best Producer ever 🎉

    • @mussaismail1285
      @mussaismail1285 2 місяці тому

      Wanapiga makopo makopo wanajiita ma goat

  • @bakarininga6052
    @bakarininga6052 7 років тому +12

    hauwezi kuchuja huu wimbo kamweeeeee....big up hard mad

  • @paterandrea2146
    @paterandrea2146 6 днів тому +1

    Kitambo Sana apo Kota za police mbeya line police disco letu bwalo la magereza DJ mganya kitambo sana

  • @petergebo8198
    @petergebo8198 5 років тому +7

    Daaaah nyimbo hizi sasa huwezi kuzipata 2019 still watching

  • @josephcolt571
    @josephcolt571 5 років тому +15

    Beautiful beautiful,,this song nimeisikilzaa back in the days nakumbuka nipo Kenya nasafiri with scandanvia express,,, the song has never left my mind

    • @Joseph-lu4yj
      @Joseph-lu4yj 4 роки тому +1

      hahaaaaaaaa !! na zile chuma zilivyo kuwa zinaamsha daaaaaaa !!

    • @josephcolt571
      @josephcolt571 4 роки тому

      @@Joseph-lu4yj Hatari mzee hii ngoma siwezi sahau

  • @yakobohenjewele1835
    @yakobohenjewele1835 3 місяці тому +1

    Mika mwamba alikua mwamba kweli kweli kutengeneza bit kali

  • @oldskuladimuzabongo8873
    @oldskuladimuzabongo8873 6 років тому +5

    August 2018 nasikiliza hii ngoma...bit kali toka kwa Mika Mwamba...Hardmad shikamoo..sauti kali ya dada wa Hardmad daaah natamani nyakati zirudi nyuma😥😥😫😫😪

  • @African511
    @African511 Рік тому +1

    Muziki mzuri tumeuacha tukakimbilia muziki wakimapokeo aisee, me hadi leo napenda bongo muziki wa zamani

  • @ambrocemalya3551
    @ambrocemalya3551 4 роки тому +3

    Nakumbuka ilikua inaimbwa Sana Radio One nyakati hizo ndo Kwanzaa Nipo class 2, umbwe primary 2004, whaooooooo

    • @GeraldAndrew
      @GeraldAndrew 4 роки тому +1

      Ambroce Malya umenikumbusha mbali sana, umbwe primary nilisoma miaka ya 91-92 std 4-5. Huu wimbo umetoka nikiwa udsm, nakumbuka sana mabibo hostel .. good old days!

  • @Fadnho
    @Fadnho 2 роки тому +6

    i'VE BEEN LOOKING FOR THIS SHIT FOR YEARS TILL I CAME ACROSS BWANA MISOSI NITOKE VIPI, THATS WHEN I CLOCKED MY MAN HARDMAD. COULD'T HELP FEELING NOSTALGIA

    • @BiornProductions
      @BiornProductions  2 роки тому

      Subscribe to the channel and you will be able to access the old one vibes... Enjoy bror

    • @Fadnho
      @Fadnho 2 роки тому

      @@BiornProductions Big up to yourself Bro

  • @adrianhilary1241
    @adrianhilary1241 6 років тому +5

    Mungu wangu i used to love this song..i was a kid dahh those good old days!

  • @donaldmhulula6888
    @donaldmhulula6888 5 років тому +4

    wote ma club banger wa shuleni enzi hizo ! hii ngoma ina wahusu,..kwenye ma graduations za mashuleni !

  • @lucymayelias3114
    @lucymayelias3114 5 років тому +13

    Still 2019 😘😘 napenda sauti ya Fatma inanikumbusha mbali

    • @elisamehecharles5432
      @elisamehecharles5432 3 роки тому +1

      Ogaaah! Huyu Fatma si ndo yule aliimba pia na Jaffarai na Joh Makini?

    • @brosataasisi3657
      @brosataasisi3657 3 роки тому +2

      @@elisamehecharles5432 ni yeye huyo huyo dada yake Hardmad

    • @elisamehecharles5432
      @elisamehecharles5432 3 роки тому +1

      @@brosataasisi3657 Ogaaah! Ni Dada wa Damu??

    • @brosataasisi3657
      @brosataasisi3657 3 роки тому +1

      @@elisamehecharles5432 Dada yake kabisa akitoka Slim(Hardmad) ndio anakuja Fatma

  • @allychande8716
    @allychande8716 6 років тому +6

    Mika mwamba rudi +Tanzania bhana tumemis ladha ya bongo fleva za zamani mika mwamba vionyo vya mika mwamba nyimbo za sasa hiv havipo havisikiki walikutoa tz kwa majungu tu kk waliona unawafunika ila kaz zako bado zipo na hazichuji heshima kwako mika mwamba ngoma za cku hiz mwez tu zishachuja

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara8454 2 роки тому +7

    Ooh, DAAAMN..!!!! Hard Mad n' his sister 'killed it'.! 2021, Novembeeeer.!

  • @hezronjohn6374
    @hezronjohn6374 7 років тому +8

    Kitambo sana hardmad, iko vizuri baada ya kufanyiwa mixing

  • @jamesmgimba7403
    @jamesmgimba7403 3 роки тому +1

    Najiuliza Mara 100 uyu Mika mwamba ni mzungu aliwezaje kukopi na music wetu kiasi hiki

  • @pengocuttingdressingsaloon5620
    @pengocuttingdressingsaloon5620 4 роки тому +1

    Kwann hakuifanyia video hii ngoma sheet! Still am back 2004 npo stndard 4 nakumbuka vingi xana

  • @barakaleader1550
    @barakaleader1550 5 років тому +4

    Sometimes nilijifanya mwalimu sometimes..nkajifanya mwanafunzi sometimes..sina simu...hapo dah wanikumbusha mbalii

    • @kaizjulius2326
      @kaizjulius2326 3 роки тому +1

      mwanangu nindikie lyrics full mwanzo mwisho ,nilipoteza uwezo wa kusikia 2008 alafu ninaupenda sana huu wimbo,,niandikie kaka

    • @barakaleader1550
      @barakaleader1550 3 роки тому

      @@kaizjulius2326 pole sana ndugu yangu

  • @KandangaKandanga
    @KandangaKandanga 23 дні тому +1

    Hii ngoma ilikuwa inapigwa sana radio free kipindi Iko tuko kjjn ..mtangazaji aliitwa Fredrick Bundala😂😂usiku tunaota moto na redio yetu risingi "life"

    • @linuspastory5597
      @linuspastory5597 4 дні тому +1

      Fredwaaah tumemskiliza sana sana sana RFA daaaah ❤mpaka machozi yanataka kunitoka

    • @linuspastory5597
      @linuspastory5597 4 дні тому +1

      Na Kiss FM jumapili daaah 🙌🙌🙌

  • @fettyharrison3068
    @fettyharrison3068 5 років тому +5

    Wozaa twende wote pa1 2019 gonga like

  • @mgenikisukari1371
    @mgenikisukari1371 5 років тому +3

    mika alileta mapinduzi makubwa katika swala la production

  • @MathweLucasi
    @MathweLucasi 5 днів тому +1

    Hatarii sjuikama vitu hiv vitarudi jamniii

  • @peterdeogratius6122
    @peterdeogratius6122 5 років тому +4

    Nikisikiliza hii ngoma nakumbuka nikiwa Darasa la saba Shule ya msingi makuburi 2004 tulikuwa tunaenda dhihara bagamoyo kwenye gari tuliyopanda hii ngoma ilikuwa inarudiwa mpaka raha

    • @allymjato8980
      @allymjato8980 Рік тому

      Dah log time sana Nlosoma Hapo but nilikua Mabibo

  • @issaibony6386
    @issaibony6386 4 роки тому +3

    Hahaha.... Kiukwli leo namamlizia 2019 kwa wimbo huu kwafraha zote kwani kwa wakati huo 2004 ulinitoa chozi😅ilah leo shavu 😘😘😘saluti mkali popote ulipo kuimba unajua.

  • @user-jt2xb8wv6z
    @user-jt2xb8wv6z 10 місяців тому +2

    Nakumbuka Niko form one

  • @aniyujakaya9196
    @aniyujakaya9196 5 років тому +2

    Dah kitambo Sana nakumbuka mbali enzi izo ndani ya fuji znz.

  • @kaburamelikiadi8281
    @kaburamelikiadi8281 7 років тому +7

    Mika mwamba alikuwa mkali kinoma hard mad back to you game bro I miss you man back again my brother nimimi Makiadi toka Phoenix Arizona .usa

  • @pendochris4576
    @pendochris4576 7 років тому +8

    Rosemary Benjamin,aloimba wimbo wa farida anaitwa eman

  • @davisdavid6205
    @davisdavid6205 Рік тому +1

    Mika mwamba arudishwe TZ beat kali sana hii

  • @akechkabiero1536
    @akechkabiero1536 3 роки тому +1

    Kama vile naiona 2014 yangu ilikua ya kuvutia sana pale Isenye sekondari. Shout out kwa wote tuliokuwa pale. I miss my memory

  • @allyKazimoto-im5hp
    @allyKazimoto-im5hp 4 місяці тому +1

    Upo ww hard mad TAMALA na dullayo BILA YULE naenjoy mnooo

  • @erastoaloyce7651
    @erastoaloyce7651 5 років тому +6

    Daagh hii song remind me way back with my lovely brother Eurest used to lov this great song please rest easy broh till we meet again💔💔😰😰🙏🙏

    • @mcmanyerere
      @mcmanyerere 5 років тому +1

      Am very sorry Broo..mmi nipo darsan nasoma SAHV lakn hi nyimbo imenijia kichwan nimeitfta ad nimeipata UA-cam kwa shda saa...so nc song

    • @thomasathanas3957
      @thomasathanas3957 3 роки тому

      Sorry brother

  • @tatualmasi1175
    @tatualmasi1175 Рік тому +1

    Jamaniiiii dah vya zamani vizuri

  • @tanzanadian
    @tanzanadian 2 роки тому +9

    October 2021 and still my favourite song 🎧 🔥🔥🔥🇹🇿🇨🇦

  • @mimosapudica1894
    @mimosapudica1894 Рік тому +2

    My all time Favourite Song!!!Nikiusikiliza huu wimbo hunirudisha nyuma saaaanaaaaa na kipindi hicho sikuwa najua hata Mapenzi ni nn bali ni mpangilio wa kila kitu kwenye hii nyimbo.A feel relaxed nikisikiliza..Thank you Mika Mwamba (Mzungu), Hard Mad n crew 🙌🙌

  • @yustomwaisomania2587
    @yustomwaisomania2587 2 дні тому

    2004 to 2024 chuma bado ya motoooo🔥🔥🔥🔥🔥♥️♥️💪💪

  • @fidelischale6683
    @fidelischale6683 6 років тому +5

    Wimbo wake hauchuji wana

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj 4 роки тому +1

    Naipenda sana hii nyimbo uko wapi Mika Mwamba Hadmad.......................... whose else listen in 2020

  • @muddycassim9895
    @muddycassim9895 5 років тому +3

    Love this More than aiseee harmad salute kwake

  • @happysalim4120
    @happysalim4120 4 роки тому +2

    hawa ndo wasaniii sio wasenge wa siku hiz kwa bahat mbaya walikua wanaimba hakat pesa hakuna dah !!!! inaumiza sana

  • @African511
    @African511 Місяць тому

    Beat tu inaashilia kua kuna ngoma ya wakubwa na wanaojiheshimu inachezwa huku,alooo wasanii rudisheni ladha ya muziki aisee kama zamani.

  • @jeremiahmussa2178
    @jeremiahmussa2178 Рік тому +1

    Mika mwamba anajua sana kutengeneza bite

  • @AshrafAshraf-dm4xe
    @AshrafAshraf-dm4xe 6 років тому +5

    hii goma nimelitafuta sana ..duh naipenda sana

  • @AminiKanda
    @AminiKanda 3 місяці тому +1

    Tujuane miminipo mafia kipindi unahiti wimbo huu nipo masasi wilaya yamangaka

  • @MwanaJunior
    @MwanaJunior 17 днів тому +1

    Walah nimezeeka huu wimbo kitambo😢

  • @manjaruujr146
    @manjaruujr146 4 роки тому +2

    hii ngoma ilitengenezwa n mzungu mika mwamba aseeeee

  • @donaldmhulula6888
    @donaldmhulula6888 5 років тому +1

    ma schoolmate wangu wa Kongwa Secondary 2004-2007 mko wapi ? fanya kama una like !

  • @georgejulius7346
    @georgejulius7346 2 роки тому +3

    Im not a dj but I used to be back then and this was my favourite song to play

  • @calmanmichael7789
    @calmanmichael7789 3 роки тому +7

    This song lives forever!!!!!!

  • @ziggibro
    @ziggibro 6 років тому +3

    This song reminds me of somewhere that i don't even know about!! Somewhere far in space...

  • @hassanitubwa6835
    @hassanitubwa6835 6 років тому +3

    Wimbo unanikumbusha mbali sana asee

  • @shabanilwei8416
    @shabanilwei8416 Рік тому

    Enzi hizo Mika Mwamba alikuwa Mandonga yan Mtu Kazi 😃😃👋Beat alizitendea haki 👏✌️

  • @revocatuskashaga9202
    @revocatuskashaga9202 3 місяці тому +2

    April 2024 nimerudi tena kuusikiliza

  • @mcmanyerere
    @mcmanyerere 5 років тому +2

    NIPO DARASNI NASOMA LAKIN KILA NIKISOMA HII NYIMBO INANIJIA KICHWANI..NIMEITFTA UA-cam SIO CHN YA DK 20 AD NIMEIPATA...NAIPENDA SANA HII NGOMA ..SO NICE SONG
    HARDMAD KAKA HII NYIMBO ULIIMBA ...MUCH RESPECT..LOVE U BROO ..UISH SALMA ULIPO BT TUMEKUMIS

  • @raphaelwapps1028
    @raphaelwapps1028 2 роки тому +2

    Nakmbuka 2004 naenda zangu kampala Scandinavia primary enz izoo nilikaa siti moja na blaza mmoja jina Edwin alikua na zile walkman za cd akanipa headphones nkaiskia hii ngoma kwa mara ya kwanzaa haijawai kukauka akilin kwangu leo ni 2021 heshima kwa kila alieshirik kwenye hii ngoma

  • @hanzurunikazunarichilyenga9150
    @hanzurunikazunarichilyenga9150 4 роки тому +4

    2019 inabamba ktk masikio yangu,imekutouch gonga hapo chin

  • @ntakilwankingwa8250
    @ntakilwankingwa8250 2 роки тому +1

    Mziki mzuri hauwezi kupotea kweli huu wimbo ulikaaa na ukatunga kweli 💯💯💯💯

  • @justinekiula2831
    @justinekiula2831 6 років тому +3

    Who Still watching in 2018?

  • @YukoMchawi
    @YukoMchawi 16 днів тому

    Sio' poa usiku kucha sijalalaa 🎉

  • @deedollarsdeedollars9909
    @deedollarsdeedollars9909 5 років тому +2

    Kaz nzur Artist. Hadmad

  • @husseinramadhan3515
    @husseinramadhan3515 5 років тому +4

    big up 2you had mad wherever youre

  • @prettyerasto8733
    @prettyerasto8733 10 місяців тому +2

    It is September 2023 but still listen this banger

  • @towerodispensary3255
    @towerodispensary3255 5 років тому +1

    Daaaah yaani kweli mziki umepotea upo wapi king wangu yani sauti ndio basi tena

    • @siphaherymsogoya2039
      @siphaherymsogoya2039 5 років тому

      Na huwaga siamin hawa watu mziki haukuwapa utajiri we live in unfair world