Daah.! Mi naumia kuona muziki mzuri tumeuacha nyuma. Yani beat, mashahiri na mpangilio wa sauti vyote fresh. Mika Mwamba amefanya makubwa kwenye muziki wetu wa Bongo utafikiri sio mzungu yule jamaa. Najua kuna watu wengi hamjui kuwa Mika Mwamba ni Mzungu na ni raia wa Finland. Kama unajua gonga like yako
Sio wepekeako unaeumia, mepia. Alafu sasa hawawasanii wamewatelekeza gizani. Wengne hawajiwezi kimaisha ukiwaona baadhi yao wamechoka wamechakaa. Jaman me nilkua natoa ushauri kwenye baraza ra muzic basata pamoja na wazili wamichezo. Iwaangalie hawa wazanik wakongwe. Maana wanamchango mkubwa sana kwenye hiii nchi. Nawaomba sanasana muwajali wasannii wetu kwakuwa ni kioo vhajamiii
Hii nyimbo daaaah Hardmad....namkumbuka sana marehem baba yangu....R I P....nilikuwa nikiskiliza hii song kutoka mikocheni B hadi mwenge kwa mguu nenda rudi...LIFE ilikuwa tight sanaa...huwa nikiskia machozi hunilenga lenga......basi tena.!!!
Popote pale walipo hawa jamaa heshima kwao ktk bongo flavor itadumu dahali, huu wimbo hata nikiwa na hasira, stress n. k huwa nikiusikiliza tu napata relief, my #1 song kwny count down za miaka yote
Daaaah huu wimbo tangia zamani naupenda mpaka sasa bado ninao kwenye sim yangu wakati unatoka nwaka 2004 mm ninamiaka nane ndani ya Zanzibar mpaka sasa 2018 Nina miaka 22 bado ninao naupenda sana na mda wote nausikiliza ndani ya sim yangu daaaah aiseeeeee
Legendary music..😢 Inanikumbusha udogoni nipo na mzee tumetoka shamba tupo na baiskel ya phonex.kanipakiza kwenye bomba radio yetu kwenye staring kigiza kinaingia anachochea kupandisha nyumbani inapiwa ngoma hii ooh old is gold..
HII NYIMBO INA historia kubwa sana katika maisha yangu siwezi sahau 2004 mpaka leo naipenda, big up hard mad na mika mwamba, mchango wenu ni mkubwa kwenye gemu ya muziki wa bongo .
Huu wimbo ulinitesa sana...niliupenda sana ila nilikua sijui kaimba nani.. Then juzjuz hapa ndo najua mika mwamba ni mzungu baada ya kufanya mahojiano na millard ayo...kweli maisha yamebadilika.
Mikaa mwambaa he deserves a legend medal of the best producer of all the time his beats still lives up to right now 2020 and still am having feelings and the vibes with these songs that has been produced by him #MIKAMWAMBATHELEGEND
August 2018 nasikiliza hii ngoma...bit kali toka kwa Mika Mwamba...Hardmad shikamoo..sauti kali ya dada wa Hardmad daaah natamani nyakati zirudi nyuma😥😥😫😫😪
Ambroce Malya umenikumbusha mbali sana, umbwe primary nilisoma miaka ya 91-92 std 4-5. Huu wimbo umetoka nikiwa udsm, nakumbuka sana mabibo hostel .. good old days!
i'VE BEEN LOOKING FOR THIS SHIT FOR YEARS TILL I CAME ACROSS BWANA MISOSI NITOKE VIPI, THATS WHEN I CLOCKED MY MAN HARDMAD. COULD'T HELP FEELING NOSTALGIA
Mika mwamba rudi +Tanzania bhana tumemis ladha ya bongo fleva za zamani mika mwamba vionyo vya mika mwamba nyimbo za sasa hiv havipo havisikiki walikutoa tz kwa majungu tu kk waliona unawafunika ila kaz zako bado zipo na hazichuji heshima kwako mika mwamba ngoma za cku hiz mwez tu zishachuja
Hii ngoma ilikuwa inapigwa sana radio free kipindi Iko tuko kjjn ..mtangazaji aliitwa Fredrick Bundala😂😂usiku tunaota moto na redio yetu risingi "life"
Nikisikiliza hii ngoma nakumbuka nikiwa Darasa la saba Shule ya msingi makuburi 2004 tulikuwa tunaenda dhihara bagamoyo kwenye gari tuliyopanda hii ngoma ilikuwa inarudiwa mpaka raha
Hahaha.... Kiukwli leo namamlizia 2019 kwa wimbo huu kwafraha zote kwani kwa wakati huo 2004 ulinitoa chozi😅ilah leo shavu 😘😘😘saluti mkali popote ulipo kuimba unajua.
My all time Favourite Song!!!Nikiusikiliza huu wimbo hunirudisha nyuma saaaanaaaaa na kipindi hicho sikuwa najua hata Mapenzi ni nn bali ni mpangilio wa kila kitu kwenye hii nyimbo.A feel relaxed nikisikiliza..Thank you Mika Mwamba (Mzungu), Hard Mad n crew 🙌🙌
NIPO DARASNI NASOMA LAKIN KILA NIKISOMA HII NYIMBO INANIJIA KICHWANI..NIMEITFTA UA-cam SIO CHN YA DK 20 AD NIMEIPATA...NAIPENDA SANA HII NGOMA ..SO NICE SONG HARDMAD KAKA HII NYIMBO ULIIMBA ...MUCH RESPECT..LOVE U BROO ..UISH SALMA ULIPO BT TUMEKUMIS
Nakmbuka 2004 naenda zangu kampala Scandinavia primary enz izoo nilikaa siti moja na blaza mmoja jina Edwin alikua na zile walkman za cd akanipa headphones nkaiskia hii ngoma kwa mara ya kwanzaa haijawai kukauka akilin kwangu leo ni 2021 heshima kwa kila alieshirik kwenye hii ngoma
2024 kuna yeyote anaenjoy mzuri gonga like
I remind you to come back and listen this beautiful song 🎉🎉🎉
Daah.! Mi naumia kuona muziki mzuri tumeuacha nyuma. Yani beat, mashahiri na mpangilio wa sauti vyote fresh. Mika Mwamba amefanya makubwa kwenye muziki wetu wa Bongo utafikiri sio mzungu yule jamaa. Najua kuna watu wengi hamjui kuwa Mika Mwamba ni Mzungu na ni raia wa Finland. Kama unajua gonga like yako
mi sijui ila nimegonga like ya nguvu 2019
Daaa inaumiza daaaa hivi unajua hawa akina domo sijui huwaga wanapima wanavyosema wanaimba au wanajipoyezea muda huu ndo muziki
Shaban Hafidhu Nimekuja kujua kwamba jamaa ni mzungu baaadae sanaa
Kweli
Mi pia ndio nimejua leo
Hii ngoma kitambo Sana na ilikaa pw Sana 2024 ipe like
Nakumbuka nilikua kigoma kasulu kabanga mwaka 2009 mpaka leo 1/6/2024❤❤❤❤😅😅😅🎉🎉
1 am leaving a comment so that after a month, or a year, or a decade when someone likes it, i get a reminder to listen to this beautiful song again..
22/01/2024 daaha nakumbuka maisha flaaan ya amani sana daaah mika mwamba ❤❤❤ Respect sana
i wish to turn back hands of time! anaesikiliza leo gonga like
Mikka Mwamba
Sio wepekeako unaeumia, mepia. Alafu sasa hawawasanii wamewatelekeza gizani. Wengne hawajiwezi kimaisha ukiwaona baadhi yao wamechoka wamechakaa. Jaman me nilkua natoa ushauri kwenye baraza ra muzic basata pamoja na wazili wamichezo. Iwaangalie hawa wazanik wakongwe. Maana wanamchango mkubwa sana kwenye hiii nchi. Nawaomba sanasana muwajali wasannii wetu kwakuwa ni kioo vhajamiii
Duh! Yani nimeutafuta huu wimbo miaka mingi bila mafanyikio , niliamua ku give upp, ila leo kama surprise umejitokeza. Old is gold 🙏
Husijali dada yangu wazee wa kutunza kumbukumbu tupo mtembelee tu account hii na ku subscribe...enjoy. Kweli vya kale ni dhahabu
Ila umezifuta nyingi sana why?
Sina jisi
The same
@@BiornProductions🎉
Hii nyimbo daaaah Hardmad....namkumbuka sana marehem baba yangu....R I P....nilikuwa nikiskiliza hii song kutoka mikocheni B hadi mwenge kwa mguu nenda rudi...LIFE ilikuwa tight sanaa...huwa nikiskia machozi hunilenga lenga......basi tena.!!!
Pole sana Mzee, Mungu ni mwema
I hope unafanya poa sasa , Mungu asimame na wewe
Daah pole sana mungu asimame na ww
Pole sn😢
Pole sana
That's what music brought to us,pure memories but sorry
Popote pale walipo hawa jamaa heshima kwao ktk bongo flavor itadumu dahali, huu wimbo hata nikiwa na hasira, stress n. k huwa nikiusikiliza tu napata relief, my #1 song kwny count down za miaka yote
Sikuhizi tunaimbiwa nyimbo ambazo huwezi sikiliza au kutazama video mbele ya wazazi wako, eti weka mate niteleze Kama nyoka pangoni dah! Hovyo sana
Daaaah huu wimbo tangia zamani naupenda mpaka sasa bado ninao kwenye sim yangu wakati unatoka nwaka 2004 mm ninamiaka nane ndani ya Zanzibar mpaka sasa 2018 Nina miaka 22 bado ninao naupenda sana na mda wote nausikiliza ndani ya sim yangu daaaah aiseeeeee
Ulitoka 2002
U,are a real fun
Tamala
Umetoka 2002
Evenlight Jumanne hongera kaka
Hii instrumental inanipa msisimuko fulani hivi wa ajabu na wakipekee ❤❤❤❤
Mika mwamba pokea maua yako kwa hili beat💐
Now It's 2024 😢😢😢😢😢😢
Maisha ya kitambo yalikuwa matam sana jmn,,nataman kuyarudia
huyu mshakaji anajua as Mimi nimtoto was kitaa tulipokuwa na washkaji zangu tukiskia nyimbo za hard mad humsalute mbaya ..big up to him mbaya
One love
nyimbo haina uwezo wa kuchuja
Legendary music..😢
Inanikumbusha udogoni nipo na mzee tumetoka shamba tupo na baiskel ya phonex.kanipakiza kwenye bomba radio yetu kwenye staring kigiza kinaingia anachochea kupandisha nyumbani inapiwa ngoma hii ooh old is gold..
dah ngoma za zaman zilikua zinaleta isia hata kama ulikua na mawazo ukisikiliza bsi yataondoka kwa muda
Natamani kulia hii ni classic since 2002
The true definition of classic music...whoelse listening in 2019!!
2020
2020
@Sallux ICitegetse 2021 after Christmas 🎄 hapa😅
2022
Hii ngoma daah reminds me back in 2004 when I ws in stnd four 🔥🔥
Same here..😭😭😭😭😭
Mimi nilikuwa darasa la 5..... Habari zenu madogo @kareem sijaona na @issah abunu
@WILLARD MMBANDO Duh basi balaa maana mm nlkuwa chekechea sawa wakubwa🙌🏽
Me too
What a song. Hard man. Verse ya 3 ndio u can fell the real dance hall. Who is listerning right now at 10 :38 PM on 5th August 2022?
Nasikia sauti ya Fatma Mnonji kwa mbali akiitikia kiitikio. Alikuwa school mate wangu huyu Biafra High School, alikuwa ni binti mwenye haiba ya upole.
ntopa ngonyani nice
Mnonji kaimba wimbo gani mwingine?
alishirikishwa pia na 20%kati ya nyimbo zake
Alikuwa na sauti nzuri sana ila watu hatukutambua kipaji chake
Ni mdogo wake na hard mad pia ameimba chorus kwenye nyimbo ya Ziggy de enomic
2019...who’s with me?
HII NYIMBO INA historia kubwa sana katika maisha yangu siwezi sahau 2004 mpaka leo naipenda, big up hard mad na mika mwamba, mchango wenu ni mkubwa kwenye gemu ya muziki wa bongo .
All the best
@@allyfatma7359 hujakosea mzazi
Heshima kwako bila kumsahau producer mika mwamba Saluti kwenu uliitambulisha ulimwengu kama mukiamua kufanya kitu kizuri kinaoneka
2023 October and am still here 🔥🔥🔥 old good days
Huu wimbo ulinitesa sana...niliupenda sana ila nilikua sijui kaimba nani..
Then juzjuz hapa ndo najua mika mwamba ni mzungu baada ya kufanya mahojiano na millard ayo...kweli maisha yamebadilika.
Hard mad ndiyo muimbaji.......
Zamani tulikua na wasanii wakali mno sijui wamepotelea wapi! Daaa god bless Tanzania and bongo flava to the world.
2020 and I’m still here, this song 🔥🔥🔥
Enjoy love 👏👏👏
Me me me
Here l am listening away the from UK
Nakumbuka kitambo icho tunaluka na wachumba ztu wajukuu wa nyerere
Huo ndio mkono wa Msenge Mika mwamba yule mbwa hakuna mtu alikamata pale kwa mabeat yake,iko kwao FINLAND nilionana nayo mwaka 2021
mi nadhani hata majani hakumfikia mika mwamba,,,sikiliza hi ya duly na kikongwe ya piko au kajiandae ya mezb
Mikaa mwambaa he deserves a legend medal of the best producer of all the time his beats still lives up to right now 2020 and still am having feelings and the vibes with these songs that has been produced by him #MIKAMWAMBATHELEGEND
It's very true home boy
@@BiornProductions very very true brother
Mikka Mwamba alirudi kwao Finland. Cheki akihojiwa na milard ayo ua-cam.com/video/ztlyM3Gg3qM/v-deo.html
@@denniskataraihya5698
Sio Mika mwamba Tu kwenye tasnia ya muzik wa bongo flavour but also P FUNK MAJAN. They are all legends
2017 daaah this song .napataga hasira sana why why why wasanii kama hawawi respected
Ndugu waweza lia daaaa
Mika Mwamba the Best Producer ever 🎉
Wanapiga makopo makopo wanajiita ma goat
hauwezi kuchuja huu wimbo kamweeeeee....big up hard mad
Kitambo Sana apo Kota za police mbeya line police disco letu bwalo la magereza DJ mganya kitambo sana
Kitambo sanaaaa.
Daaaah nyimbo hizi sasa huwezi kuzipata 2019 still watching
Beautiful beautiful,,this song nimeisikilzaa back in the days nakumbuka nipo Kenya nasafiri with scandanvia express,,, the song has never left my mind
hahaaaaaaaa !! na zile chuma zilivyo kuwa zinaamsha daaaaaaa !!
@@Joseph-lu4yj Hatari mzee hii ngoma siwezi sahau
Mika mwamba alikua mwamba kweli kweli kutengeneza bit kali
August 2018 nasikiliza hii ngoma...bit kali toka kwa Mika Mwamba...Hardmad shikamoo..sauti kali ya dada wa Hardmad daaah natamani nyakati zirudi nyuma😥😥😫😫😪
Muziki mzuri tumeuacha tukakimbilia muziki wakimapokeo aisee, me hadi leo napenda bongo muziki wa zamani
Nakumbuka ilikua inaimbwa Sana Radio One nyakati hizo ndo Kwanzaa Nipo class 2, umbwe primary 2004, whaooooooo
Ambroce Malya umenikumbusha mbali sana, umbwe primary nilisoma miaka ya 91-92 std 4-5. Huu wimbo umetoka nikiwa udsm, nakumbuka sana mabibo hostel .. good old days!
i'VE BEEN LOOKING FOR THIS SHIT FOR YEARS TILL I CAME ACROSS BWANA MISOSI NITOKE VIPI, THATS WHEN I CLOCKED MY MAN HARDMAD. COULD'T HELP FEELING NOSTALGIA
Subscribe to the channel and you will be able to access the old one vibes... Enjoy bror
@@BiornProductions Big up to yourself Bro
Mungu wangu i used to love this song..i was a kid dahh those good old days!
wote ma club banger wa shuleni enzi hizo ! hii ngoma ina wahusu,..kwenye ma graduations za mashuleni !
Still 2019 😘😘 napenda sauti ya Fatma inanikumbusha mbali
Ogaaah! Huyu Fatma si ndo yule aliimba pia na Jaffarai na Joh Makini?
@@elisamehecharles5432 ni yeye huyo huyo dada yake Hardmad
@@brosataasisi3657 Ogaaah! Ni Dada wa Damu??
@@elisamehecharles5432 Dada yake kabisa akitoka Slim(Hardmad) ndio anakuja Fatma
Mika mwamba rudi +Tanzania bhana tumemis ladha ya bongo fleva za zamani mika mwamba vionyo vya mika mwamba nyimbo za sasa hiv havipo havisikiki walikutoa tz kwa majungu tu kk waliona unawafunika ila kaz zako bado zipo na hazichuji heshima kwako mika mwamba ngoma za cku hiz mwez tu zishachuja
Ally Chande PEACE LOVE
Ooh, DAAAMN..!!!! Hard Mad n' his sister 'killed it'.! 2021, Novembeeeer.!
Kitambo sana hardmad, iko vizuri baada ya kufanyiwa mixing
Najiuliza Mara 100 uyu Mika mwamba ni mzungu aliwezaje kukopi na music wetu kiasi hiki
Kwann hakuifanyia video hii ngoma sheet! Still am back 2004 npo stndard 4 nakumbuka vingi xana
Sometimes nilijifanya mwalimu sometimes..nkajifanya mwanafunzi sometimes..sina simu...hapo dah wanikumbusha mbalii
mwanangu nindikie lyrics full mwanzo mwisho ,nilipoteza uwezo wa kusikia 2008 alafu ninaupenda sana huu wimbo,,niandikie kaka
@@kaizjulius2326 pole sana ndugu yangu
Hii ngoma ilikuwa inapigwa sana radio free kipindi Iko tuko kjjn ..mtangazaji aliitwa Fredrick Bundala😂😂usiku tunaota moto na redio yetu risingi "life"
Fredwaaah tumemskiliza sana sana sana RFA daaaah ❤mpaka machozi yanataka kunitoka
Na Kiss FM jumapili daaah 🙌🙌🙌
Wozaa twende wote pa1 2019 gonga like
mika alileta mapinduzi makubwa katika swala la production
Hatarii sjuikama vitu hiv vitarudi jamniii
Nikisikiliza hii ngoma nakumbuka nikiwa Darasa la saba Shule ya msingi makuburi 2004 tulikuwa tunaenda dhihara bagamoyo kwenye gari tuliyopanda hii ngoma ilikuwa inarudiwa mpaka raha
Dah log time sana Nlosoma Hapo but nilikua Mabibo
Hahaha.... Kiukwli leo namamlizia 2019 kwa wimbo huu kwafraha zote kwani kwa wakati huo 2004 ulinitoa chozi😅ilah leo shavu 😘😘😘saluti mkali popote ulipo kuimba unajua.
Nakumbuka Niko form one
Dah kitambo Sana nakumbuka mbali enzi izo ndani ya fuji znz.
Mika mwamba alikuwa mkali kinoma hard mad back to you game bro I miss you man back again my brother nimimi Makiadi toka Phoenix Arizona .usa
Rosemary Benjamin,aloimba wimbo wa farida anaitwa eman
True
Mika mwamba arudishwe TZ beat kali sana hii
Kama vile naiona 2014 yangu ilikua ya kuvutia sana pale Isenye sekondari. Shout out kwa wote tuliokuwa pale. I miss my memory
Upo ww hard mad TAMALA na dullayo BILA YULE naenjoy mnooo
Daagh hii song remind me way back with my lovely brother Eurest used to lov this great song please rest easy broh till we meet again💔💔😰😰🙏🙏
Am very sorry Broo..mmi nipo darsan nasoma SAHV lakn hi nyimbo imenijia kichwan nimeitfta ad nimeipata UA-cam kwa shda saa...so nc song
Sorry brother
Jamaniiiii dah vya zamani vizuri
October 2021 and still my favourite song 🎧 🔥🔥🔥🇹🇿🇨🇦
My all time Favourite Song!!!Nikiusikiliza huu wimbo hunirudisha nyuma saaaanaaaaa na kipindi hicho sikuwa najua hata Mapenzi ni nn bali ni mpangilio wa kila kitu kwenye hii nyimbo.A feel relaxed nikisikiliza..Thank you Mika Mwamba (Mzungu), Hard Mad n crew 🙌🙌
Old days 🥹
Zama zile
2004 to 2024 chuma bado ya motoooo🔥🔥🔥🔥🔥♥️♥️💪💪
Wimbo wake hauchuji wana
Naipenda sana hii nyimbo uko wapi Mika Mwamba Hadmad.......................... whose else listen in 2020
Love this More than aiseee harmad salute kwake
hawa ndo wasaniii sio wasenge wa siku hiz kwa bahat mbaya walikua wanaimba hakat pesa hakuna dah !!!! inaumiza sana
Kweli pesa haikuwepo
Beat tu inaashilia kua kuna ngoma ya wakubwa na wanaojiheshimu inachezwa huku,alooo wasanii rudisheni ladha ya muziki aisee kama zamani.
Mika mwamba anajua sana kutengeneza bite
hii goma nimelitafuta sana ..duh naipenda sana
Tujuane miminipo mafia kipindi unahiti wimbo huu nipo masasi wilaya yamangaka
Walah nimezeeka huu wimbo kitambo😢
hii ngoma ilitengenezwa n mzungu mika mwamba aseeeee
Yaaah man mziki unaishi
ma schoolmate wangu wa Kongwa Secondary 2004-2007 mko wapi ? fanya kama una like !
Im not a dj but I used to be back then and this was my favourite song to play
This song lives forever!!!!!!
Real music never dies.. Enjoy the moment bro
This song reminds me of somewhere that i don't even know about!! Somewhere far in space...
Wimbo unanikumbusha mbali sana asee
Enzi hizo Mika Mwamba alikuwa Mandonga yan Mtu Kazi 😃😃👋Beat alizitendea haki 👏✌️
April 2024 nimerudi tena kuusikiliza
NIPO DARASNI NASOMA LAKIN KILA NIKISOMA HII NYIMBO INANIJIA KICHWANI..NIMEITFTA UA-cam SIO CHN YA DK 20 AD NIMEIPATA...NAIPENDA SANA HII NGOMA ..SO NICE SONG
HARDMAD KAKA HII NYIMBO ULIIMBA ...MUCH RESPECT..LOVE U BROO ..UISH SALMA ULIPO BT TUMEKUMIS
Enjoy bro 🙏
Nakmbuka 2004 naenda zangu kampala Scandinavia primary enz izoo nilikaa siti moja na blaza mmoja jina Edwin alikua na zile walkman za cd akanipa headphones nkaiskia hii ngoma kwa mara ya kwanzaa haijawai kukauka akilin kwangu leo ni 2021 heshima kwa kila alieshirik kwenye hii ngoma
Pamoja sanaaa mzazi, amani itawale. Shukrani.
2019 inabamba ktk masikio yangu,imekutouch gonga hapo chin
Mziki mzuri hauwezi kupotea kweli huu wimbo ulikaaa na ukatunga kweli 💯💯💯💯
Tunashukuru kusikia hili, Mungu akubariki 🙏
Who Still watching in 2018?
Sio' poa usiku kucha sijalalaa 🎉
Kaz nzur Artist. Hadmad
big up 2you had mad wherever youre
It is September 2023 but still listen this banger
Daaaah yaani kweli mziki umepotea upo wapi king wangu yani sauti ndio basi tena
Na huwaga siamin hawa watu mziki haukuwapa utajiri we live in unfair world