Jinsi ya kurekebisha kompyuta/laptop mbayo haioneshi chochote kwenye kioo

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • #Jifunze jinsi ya kurekebisha kompyuta ambayo haioneshi chochote Kwenye kioo chako.
    Tupeane maujuzi kidogo ya kuokoa fedha juu ya kurekebisha kompyuta zetu Kwenye matatizo madogo madogo
    (maoni na ushauri au ukiwa una ujuzi Unapenda kuufundisha kwa jamii wasiliana Nasi @Loleza TV Kupitia @DONGO BZ +255759657353)
    Kuangalia video ya kujifunza kutengeneza kompyuta
    ===============link=========
    • Jinsi ya kurekebisha ...
    / @dongoads
    Kuangalia #Video Full #mbinu za kuwa Tajiri
    ============link=======!=!!!
    • kuwa Tajiri bila ya ku...
    Usiache kusubscribe @Loleza TV / dongobzproduction

КОМЕНТАРІ • 22

  • @paschalmnali4860
    @paschalmnali4860 2 місяці тому +1

    Nakubali Sana wanangu Leo mmeniokoa Sana mungu awabariki

  • @mamdogotraining451
    @mamdogotraining451 6 місяців тому +1

    Asante sanaa mkuu

  • @abelchaula6426
    @abelchaula6426 Рік тому

    good job

  • @AbelyMussadaud-r7g
    @AbelyMussadaud-r7g 3 дні тому

    Mambo vp

  • @teknolojiatz4471
    @teknolojiatz4471 5 років тому +1

    Sawa

  • @huntemruketv9179
    @huntemruketv9179 Рік тому

    Salute

  • @lillianbutoto921
    @lillianbutoto921 2 місяці тому

    Samahani 😢lap top yangu inatoa wino upande moja utanisaidiaje😮

  • @JojinaPwele
    @JojinaPwele 10 місяців тому

    Computa yangu nmeweka ram 4 haiamki bado

  • @Emanuelfrankasei
    @Emanuelfrankasei 7 місяців тому

    Yangu kioo imekufa inawaka il kioo ndo aionesh

  • @jvannsilvarartysttz5952
    @jvannsilvarartysttz5952 3 роки тому

    Nipe namba ya sm

  • @mwamba2875
    @mwamba2875 5 років тому +3

    Mzee umezingua yakwang ràm ipoo na inagoma

    • @dongoads
      @dongoads  5 років тому +1

      Ram IPO je iyo Ram ni nzima?..
      Kama Ram ni nzima umejaribu kutumia monitor nyingine tofaut?
      Je Vga cable uliyo tumia ni nzima?
      Kama vyote viko Sawa #peleka Kwa fundi aliye karibu aweze kujua tatizo nn.
      #Asante karibu Tena

    • @mwamba2875
      @mwamba2875 5 років тому +1

      @@dongoads Vyote vizima tatizo hapo kuna matatizo mawili la kwanza haionesh chochote ila ukiiacha kama masaa mawili au 10 inawaka
      Tatizo la pili ni windo ten ukiwasha wakati wa kulog in ushamaliza kuweka password inaleta black screen sasa apo naomba utuletee tutorial za kusolve black screen

    • @dongoads
      @dongoads  5 років тому

      Imepita iyo nitaipandisha sio siku nyingi

    • @dongoads
      @dongoads  5 років тому

      Lakin Kwa upande wako tatizo bado lipo au umeshalitatua

    • @mwamba2875
      @mwamba2875 5 років тому

      @@dongoads na naangaika hapa kusolve ili janga🙉🙉

  • @olegoonthetrack5044
    @olegoonthetrack5044 Рік тому

    Pc yangu ina waka alafu kuna mda ina zima tatizo litakuwa nini.....?

    • @muna1744
      @muna1744 11 місяців тому

      Kama yangu 😢

  • @barakasaidi9632
    @barakasaidi9632 2 роки тому

    JAMANI COMPUTER YANGU INASHIDA