WANANCHI WADAI ENEO LA KKKT SINGIDA, WAZIRI ANENA "JAMBO HILI MIMI NALIMALIZA, FATENI TARATIBU"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 жов 2023

КОМЕНТАРІ • 19

  • @kabaly18
    @kabaly18 3 місяці тому +1

    waziri yuko smart sana wallah!! afu haegamii upande wowote

  • @chamijanuary6071
    @chamijanuary6071 9 місяців тому +1

    Mkuu, hakika Wewe hupepesi macho kwenye ukweli, hongera sana. Nimeona ushauri wako kwa Mzee Massawe dhidi ya BAKWATA. Hongera sana

  • @johnnnko5814
    @johnnnko5814 9 місяців тому +2

    Hii awamu inafuata sheria. Polepole tuelewa sheria za nchi.
    Ingekuwa miaka ya nyuma mwenye haki (kkkt) angeipoteza hiyo aridhi. Viva Maza yetu.

  • @OdenBidili-lj5qi
    @OdenBidili-lj5qi 9 місяців тому +3

    Hiyo mizee huwa inasumbua sana njaa mitapeli ikae ndani

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 9 місяців тому +3

    Waziri upo vizuri ndo walivyo wanyanganyi,wabishi wanapenda kudanganya danganya wanapenda kusumbua mahakama ni shida.

  • @edwinmbelle4207
    @edwinmbelle4207 9 місяців тому +1

    Waziri upo vizuri, karibu yombo vituka mzambarauni uone kiwanda kimejengwa kwenye makazi ya watu na barabara zinafungwa bila kufuata taratibu , wenyeviti wa serikali za mitaa na mtendaji wanahusika. Hicho kiwanda ukuta wake upo kwenye road reserve.

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 9 місяців тому +4

    Mtoto.wsngu asome..kufa kupona ntapambana waziri.kichwaa anaongea kisomiii polepole utaelewa tu

  • @mayanmlingwa4250
    @mayanmlingwa4250 3 місяці тому

    Waziri yupo smart sana

  • @giftlwila9967
    @giftlwila9967 9 місяців тому +2

    😂😂😂😂😂
    Saruti kwako waziri

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 4 місяці тому

    Sionsawa tangu mwaka 55 hilo kanisa litafute eneo lingine😢

  • @leonardsasita4634
    @leonardsasita4634 9 місяців тому +1

    Ukijua Sheria Raha Sana

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 3 місяці тому

    Waziri wa katiba na sheria aanze kazi yakupita kwenye mahakama kuangalia kesi zilizoota mizizi mpaka kuwa mbuyu

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 3 місяці тому

    Hii wizara imempata mwenyewe

  • @JeremiahOmbewa-vm9ng
    @JeremiahOmbewa-vm9ng 9 місяців тому +1

    Kwa namna hii viwanja vyangu sidhani kama ni vyangu ikiwa ndio namna hii.

  • @jumaalmasjuma1700
    @jumaalmasjuma1700 9 місяців тому +1

    Jery ukienda hivyo tutafika mbali

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 9 місяців тому

    Waziri amenyoosha hongera kwake

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s 4 місяці тому

    FIDDA HUSSEIN NI FISSAD PAPA WA ARDHI

  • @respiciusndyanabo366
    @respiciusndyanabo366 9 місяців тому +1

    ❤❤❤

  • @alphoncembasa592
    @alphoncembasa592 9 місяців тому +1

    Duuu