Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
waziri yuko smart sana wallah!! afu haegamii upande wowote
Mkuu, hakika Wewe hupepesi macho kwenye ukweli, hongera sana. Nimeona ushauri wako kwa Mzee Massawe dhidi ya BAKWATA. Hongera sana
Hii awamu inafuata sheria. Polepole tuelewa sheria za nchi. Ingekuwa miaka ya nyuma mwenye haki (kkkt) angeipoteza hiyo aridhi. Viva Maza yetu.
Hiyo mizee huwa inasumbua sana njaa mitapeli ikae ndani
Waziri upo vizuri ndo walivyo wanyanganyi,wabishi wanapenda kudanganya danganya wanapenda kusumbua mahakama ni shida.
Waziri upo vizuri, karibu yombo vituka mzambarauni uone kiwanda kimejengwa kwenye makazi ya watu na barabara zinafungwa bila kufuata taratibu , wenyeviti wa serikali za mitaa na mtendaji wanahusika. Hicho kiwanda ukuta wake upo kwenye road reserve.
Mtoto.wsngu asome..kufa kupona ntapambana waziri.kichwaa anaongea kisomiii polepole utaelewa tu
Waziri yupo smart sana
😂😂😂😂😂Saruti kwako waziri
Sionsawa tangu mwaka 55 hilo kanisa litafute eneo lingine😢
Ukijua Sheria Raha Sana
Waziri wa katiba na sheria aanze kazi yakupita kwenye mahakama kuangalia kesi zilizoota mizizi mpaka kuwa mbuyu
Hii wizara imempata mwenyewe
Kwa namna hii viwanja vyangu sidhani kama ni vyangu ikiwa ndio namna hii.
Jery ukienda hivyo tutafika mbali
Waziri amenyoosha hongera kwake
FIDDA HUSSEIN NI FISSAD PAPA WA ARDHI
❤❤❤
Duuu
waziri yuko smart sana wallah!! afu haegamii upande wowote
Mkuu, hakika Wewe hupepesi macho kwenye ukweli, hongera sana. Nimeona ushauri wako kwa Mzee Massawe dhidi ya BAKWATA. Hongera sana
Hii awamu inafuata sheria. Polepole tuelewa sheria za nchi.
Ingekuwa miaka ya nyuma mwenye haki (kkkt) angeipoteza hiyo aridhi. Viva Maza yetu.
Hiyo mizee huwa inasumbua sana njaa mitapeli ikae ndani
Waziri upo vizuri ndo walivyo wanyanganyi,wabishi wanapenda kudanganya danganya wanapenda kusumbua mahakama ni shida.
Waziri upo vizuri, karibu yombo vituka mzambarauni uone kiwanda kimejengwa kwenye makazi ya watu na barabara zinafungwa bila kufuata taratibu , wenyeviti wa serikali za mitaa na mtendaji wanahusika. Hicho kiwanda ukuta wake upo kwenye road reserve.
Mtoto.wsngu asome..kufa kupona ntapambana waziri.kichwaa anaongea kisomiii polepole utaelewa tu
Waziri yupo smart sana
😂😂😂😂😂
Saruti kwako waziri
Sionsawa tangu mwaka 55 hilo kanisa litafute eneo lingine😢
Ukijua Sheria Raha Sana
Waziri wa katiba na sheria aanze kazi yakupita kwenye mahakama kuangalia kesi zilizoota mizizi mpaka kuwa mbuyu
Hii wizara imempata mwenyewe
Kwa namna hii viwanja vyangu sidhani kama ni vyangu ikiwa ndio namna hii.
Jery ukienda hivyo tutafika mbali
Waziri amenyoosha hongera kwake
FIDDA HUSSEIN NI FISSAD PAPA WA ARDHI
❤❤❤
Duuu