Andrew nawewe piahujui magufuli amesema siruhusa kupoteza muda kwa mikutano ya vyama vyasiasa uniambie ni mbungeyupi au MWAKILISHI yupi wajimbo ambae amefanya mkutano akazuiwa lengo ufate utaratibutu.
Uwongo kitu gani Magufuli hakusema marufuku mikutano ya hadhara ya siasa mpaka 2020 unapinga nini wewe kama unapenda kitu penda lakini kama zuri au Baya limefanya na hicho unachokipenda ndio ukweli mwenyewe ustahamili hahaha
uko sawa baba seif
Andrew nawewe piahujui magufuli amesema siruhusa kupoteza muda kwa mikutano ya vyama vyasiasa uniambie ni mbungeyupi au MWAKILISHI yupi wajimbo ambae amefanya mkutano akazuiwa lengo ufate utaratibutu.
ABDALLA MTOLEA umuongo hakuna Mbunge yoyote alokatazwa kufanya mkutano jimboni kwake hunalakusema.
Uwongo kitu gani Magufuli hakusema marufuku mikutano ya hadhara ya siasa mpaka 2020 unapinga nini wewe kama unapenda kitu penda lakini kama zuri au Baya limefanya na hicho unachokipenda ndio ukweli mwenyewe ustahamili hahaha
Andrew saidi wewe kwa Magufuli hata akwambie hama Tanzania ushahama ukiulizwa utasema umehama mwenyewe kumbe umefukuzwa usiwe mtumwa kama hivyo
achen upuuzi wenu
pamoja tushikamane tujenge taifa. bila kujali itikadi zetu. maendeleo Ni kwa wote . lakini hakuna mtu yeyote aliyejuu ya sheria
exactly
hamjuwi kitu nyamazeni wapumbavu nyie eeeee