nimekuckiliza vizur km vizuri dizain km nikaanza kukuelewa lakin ulivoanza uchawa wa ccm bac nichofaham mm mwanaharakati kuhusiana na hip hop hawez kuwa ccm.
Huyu Jamaaaa bwana anataka kufanya sanaa kama Science 😂😂😂 Sanaa haina kanuni asisahau hilo. Yeye anaye jua yote hayo hana wimbo mkubwa wowote unaoupita milestone wimbo wowote wa mwana FA
nimekuckiliza vizur km vizuri dizain km nikaanza kukuelewa lakin ulivoanza uchawa wa ccm bac nichofaham mm mwanaharakati kuhusiana na hip hop hawez kuwa ccm.
Huyu Jamaaaa bwana anataka kufanya sanaa kama Science 😂😂😂 Sanaa haina kanuni asisahau hilo. Yeye anaye jua yote hayo hana wimbo mkubwa wowote unaoupita milestone wimbo wowote wa mwana FA
Eti nyimbo inaitwa KUBABAKE 😂😂😂
Troubledour Multi- SYSTEM
FA Ukija Njoo na kundi ili mnaporudi Multi-VICTIM.😂
FA ameyakanyaga
Hawa watu wanaokotwa wap