UKWELI ULIO FICHWA / CHRISTIAN MALANGA KU FELI MAPINDUZI YA SEREKALI YA FELIX TSHISEKEDI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 64

  • @goldenboysaiid5137
    @goldenboysaiid5137 4 місяці тому +4

    Bravo wa ndugu, courage sana, tuna waunga mkono a 100%.

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 4 місяці тому +1

    Mzee. Omar bravo unasema vraiment ni kweli kabisa Asante sana ubarikiwe sana

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 4 місяці тому +3

    Safi sana kwa uchambuzi wenu muzuri na wakueleweka, from Cedar Rapids Iowa state USA.

  • @ButoyiWilliam
    @ButoyiWilliam 4 місяці тому +2

    you are our hero thank you so much guys

  • @ButoyiWilliam
    @ButoyiWilliam 4 місяці тому +2

    asanteni sana wa ndugu kwa analyze nzuli mu liye itowa asanteni tena sana sana tena sana

  • @josephkato5367
    @josephkato5367 4 місяці тому +2

    Kbs ilenjo hakiyote Asante

  • @michelkumbwa6186
    @michelkumbwa6186 4 місяці тому +1

    Courage baba omari unaongeya ukweli ndugu. Goma RDC 🇨🇩

  • @mutombopatrick1292
    @mutombopatrick1292 4 місяці тому +2

    Watoto wa KIVU tujiunge mkono tujenge kivu yetu!! Aceni awawatu wa kin ba avanturier! Un kivu libre et solidaire!!! Separation oyeeeeee

  • @AliceMubabe
    @AliceMubabe 4 місяці тому +1

    Ndungu zangu aksanti sana kwa kuchunguza mambo yanaopitikana inchini congo ,mujikaze hiyi Tanganyika TV ikuwe direct visual mu east ya congo yoote ,

  • @christophebitangalo
    @christophebitangalo 4 місяці тому

    Thank mr journaliste Tanganika tv Malanga alikuwa mwana jeshi wakati raisi Jkk na alikuwa Capitain na tunawaombele yakutowa habari niku chunguza vizuri iyo habari thank you my love

  • @JeanneZabibu
    @JeanneZabibu 4 місяці тому +2

    Bravo wanduku nikweli kabisa yale Mnayo zungumuza bana kwa nazala zala maneno oh ivi ivi ile haikua cou d'etat

  • @LeoniLambisho
    @LeoniLambisho 4 місяці тому +1

    bwana OMARI aksanti

  • @ByamunguelieTumaini-rk9wc
    @ByamunguelieTumaini-rk9wc 4 місяці тому +4

    Wandugu hongera sana andikeni namba

    • @TanganyikaTV
      @TanganyikaTV  4 місяці тому

      +61478905556

    • @JeanBaptisteNDORICIMPA-bn4ij
      @JeanBaptisteNDORICIMPA-bn4ij 4 місяці тому +1

      Njo mara kwanza nasikiya débat ya vrais wazalendo. Sikusikiya mambo ya kikabila ambayo ni virus itamaliza iyi region nzuri des grands lacs. Merci

  • @LaurentMatigili
    @LaurentMatigili 4 місяці тому +4

    Ninawafatiia vyema kutoka 🇹🇿,mmekuwa kimya sana sijuwi kwann!?

    • @VandameAdriano
      @VandameAdriano 4 місяці тому

      NAFATILIA VIZURISANA MJADALA

    • @VandameAdriano
      @VandameAdriano 4 місяці тому

      NIKWEL KABISA WAJIGANIWAO KAGAME AJAGI KONGO KUWAITA

    • @VandameAdriano
      @VandameAdriano 4 місяці тому

      ILAWAOWAJIGADIYO WANAENDAKWAKE WAJIGAAO

    • @VandameAdriano
      @VandameAdriano 4 місяці тому

      VIFARASAVYAUPUMBAVUDIVYOWANA KALIA TU

  • @WAWACABITENDELO
    @WAWACABITENDELO 4 місяці тому +2

    nikweli hatuna rahisi.

  • @ThomasMmoka
    @ThomasMmoka 4 місяці тому +2

    Watu wa Kinshasa,UDPS, hawakutaka Kamerhe awe Spika.Kwa kuwa rais Felix hakukubaliana na watu wa Kinshasa kumzuia Kamerhe kuwa spika,walimpa dili Christian Malanga aweze kumuua Vitalis Kamerhe.

  • @VandameAdriano
    @VandameAdriano 4 місяці тому +1

    OGERENISANA

  • @kavirajanine4893
    @kavirajanine4893 4 місяці тому +1

    Kweli hiyo wasikiye kamere
    Mulupango Sasa siyewarahiya
    Nihatari nikutuuwa kama nzi

  • @DavidTumsifu
    @DavidTumsifu 4 місяці тому

    Nimanu goMa ikosahasikiyake kiswahiri mumwambiye

  • @WAWACABITENDELO
    @WAWACABITENDELO 4 місяці тому +1

    jambo dungu aliwayi kuwa njeshi wa Congo captain

  • @JeanneZabibu
    @JeanneZabibu 4 місяці тому +1

    Balikua njo na mission ya kamerehe

  • @GerckBahindulwa
    @GerckBahindulwa 4 місяці тому

    Christian Malanga ni Jeshi wa kongo..un capitaine

  • @mwaka43
    @mwaka43 4 місяці тому +2

    Ile ni Comedy ya Mapinduzi!!!

  • @NzeyiwaboAbdul
    @NzeyiwaboAbdul 4 місяці тому +1

    Nikwe omari. Maneno yako niyakweli. Hatuna raisi Congo

  • @Artiukh
    @Artiukh 4 місяці тому

    отлично !

  • @ByamunguelieTumaini-rk9wc
    @ByamunguelieTumaini-rk9wc 4 місяці тому +2

    Ndugu zangu muna akili timamu sana

  • @SimonkianzilaElbusi
    @SimonkianzilaElbusi 4 місяці тому +1

    Baba twache utimu tshisekedi alikuwa amesha djuwa kila kitu kilichokuwa kinaedzlea

  • @RashidShinza
    @RashidShinza 4 місяці тому +1

    SS BAKONGO TUMUOMBENI PUNTN ATUSAIDIE

  • @RashidShinza
    @RashidShinza 4 місяці тому

  • @MukokoCostatin
    @MukokoCostatin 4 місяці тому

    Ok

  • @kisubialpha8987
    @kisubialpha8987 4 місяці тому

    Wewe bwana Omari umsema coup d'etat haiwezi fanyiwa ku office , ile ni uwongo wako ; basi mzee kabila aliuwawa wapi ? Haiko officini ?

  • @YannickFaliala
    @YannickFaliala 4 місяці тому

    Ulinzi tosha ulikuwa hapo...ila kilicho fanyika ni stratégie, repris stratégique !!!

  • @kimetemugunga5019
    @kimetemugunga5019 4 місяці тому

    Kobaya chawa congomani nikusikiya Habari wanakosa uchambuzi munawaza will ngoma mambo anayosema siyondoto niyakweri

  • @VandameAdriano
    @VandameAdriano 4 місяці тому

    AHOWATUNIWAJIGASANA ICHI IPOKWENYEATARI NYIYE MNARUUSUTAMASHA OTENIWAJIGA

  • @othumanlorenzo260
    @othumanlorenzo260 3 місяці тому

    hakuna coup de tat kwa sababu 1. mapinduzi ili yafanyike anayepinduliaa ni rais sio raia
    2.wapinduaji lazima katika kundi lao kuwe na wanajeshi unless iwe uvamizi wa nje
    3.waliopindua wanawezake kuja na kirekodi video wakati mapinduzi bado hayajakamilika
    4.hakuna mapinduzi ambayo yanahusisha wale waliokuwa katika eneo la tukio wapo washirika wengine wengi hass kutoka jeshini (fardc) na idara ya usalama,tulitegemea watu hao wote wakamatwe
    5.kungekuwa na hali ya kutokutoka ndani kinshasha kamata kamata ingekuwa kubwa sana
    6.mkuu wa idara ya usalama na mkuu wa majeshi wangekuwa hawapo katika nafasi zao
    6.concert ya moise mbiye kufanyika siku ya pili maana yake hakukuwa na hatari yoyote
    5.

  • @vincentnyandwi6939
    @vincentnyandwi6939 4 місяці тому

    Nawaomba wacongomani muwe wangwana acte de sabotage siyo kitu ambacho unaweza kukitoa ili uzarahuu police ao jeshi la Congo.Hata Ossama alipiga Marekani.

  • @nyabendasayumwe8514
    @nyabendasayumwe8514 4 місяці тому

    Kama I kichwa Cha habari ni mapinduzi aliyofanya MALANGA lakini mnatwambiya mambo ya Sasa ya congo.Tuwaeleweje?

  • @VandameAdriano
    @VandameAdriano 4 місяці тому +1

    UKOPOA

  • @JoseeKanzayireSebudandi
    @JoseeKanzayireSebudandi 4 місяці тому

    Tatizo nimweye ba kongomanioooo

  • @user-zh1wt5nw3t
    @user-zh1wt5nw3t 4 місяці тому

    Ok omari ww kama congo ina wana siasa basi ww peke yako ndo mwana siasa congo wengine hooooote niwa ranguzi ila nijambo jema kwa nn ukiangali kiundani utalia sana basi nibora nitowe kama mesali ya baibo ifatilie istoria warais wa laiberia alie katwa skio utaelewa kongo kunann ivi kisekedi baba aliwai kufanya nn kongo

  • @adolphyamin1245
    @adolphyamin1245 4 місяці тому

    Ifahamike kwamba waliitafuta nyumba ya waziri mkuu Judith Suminwa wakamkosa
    Wakaja kwa Jp Bemba wakamkosa ndo wakaja kwa Kamerhe. Swala lakumtoa Kamerhe halingesababisha mtu atokee marekani ili kumuua kamerhe

  • @VandameAdriano
    @VandameAdriano 4 місяці тому

    IYO NISEREKALI BOVU TENA BOVU

  • @uwimanaissa8755
    @uwimanaissa8755 4 місяці тому

    Kwanza hio musemi eti congomani kwa baba na mama ni upotevu na ubaguzi .

  • @novatidamian7236
    @novatidamian7236 4 місяці тому

    Nyie mipaka Sasa hanaga jeshi nawaasi ktk jeshi Sasa kama nyie wabembe wara vichwa vya mikeke mtapata wapi hakiri yakuishi

  • @kimetemugunga5019
    @kimetemugunga5019 4 місяці тому

    Namunagani mutu atoke. America afike Kinshasa namunagani hakuna warinda usarama hapo kin. Congo hakuna murango ikowazi

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 4 місяці тому

    Papa dodo

  • @novatidamian7236
    @novatidamian7236 4 місяці тому

    Kwanza nyie mpigwe sisi tunakumbulia kwenu mulitunyanyasa eti tunafukuzwa nawatu wachache nsnyie Sasa munagukuzwa natu wangapi?

  • @novatidamian7236
    @novatidamian7236 4 місяці тому

    Ninyi wapumbavu kuleni mikate ya hapa marekani na uraya mambo yenu nyie wabembe niziro

  • @fabiuskayembe6332
    @fabiuskayembe6332 4 місяці тому

    Wewe uko tribiliste tu aime pas le Baluba du kasai

  • @novatidamian7236
    @novatidamian7236 4 місяці тому

    Wakingomani nyie ni wapumbavu na wajinga watupu hata nyie wenyewe ni waaaliti moja kwa moja mnaisaliti serikari yenu kwa yayo yayo mnai yaongelea

  • @JeanneZabibu
    @JeanneZabibu 4 місяці тому

    Bravo wanduku nikweli kabisa yale Mnayo zungumuza bana kwa nazala zala maneno oh ivi ivi ile haikua cou d'etat

  • @DavidTumsifu
    @DavidTumsifu 4 місяці тому

    Nimanu goMa ikosahasikiyake kiswahiri mumwambiye

  • @ByamunguelieTumaini-rk9wc
    @ByamunguelieTumaini-rk9wc 4 місяці тому +3

    Ndugu zangu muna akili timamu sana

  • @VandameAdriano
    @VandameAdriano 4 місяці тому

    OGERENISANA