Umejenga.nyumba.dada.kwa.dhambi.usipo tubu hiyo nyumba itakuja.iuzwe.20000.maana hata wa kulithi atakuwa hayupo mtangazaji usiwasaidie wadada hao.washirikina.sana hao hukumu ya.Mungu iko juu.yao.kazi.zipo kazi.zipo.kujiuza.sio.kazi ni laana
Sito mlaumu huyu dada, wanawake wengi wanafanya uhuni sababu ya maisha, Anae mtukana huyu dada hajui, wengine hawasemi kama wanafanya umalaya hawasemi.
Mungu Ndo kimbilio letu achaneni naizo kazi na muombe msamaha kwa Mungu mtangazaji na wewe unawatetea sana wewe atakama matatizo nimengi lakini sio iyo kazi Nimeumia sana 😭😭😭😭😭😭😭
iyo sikazi mulisha pata nyumba kwa nini musibadirike atuwahukumu ila zambi ni zambi yesu akija atakukuta vipi ulisha jenga acha sasa hiyi tabiya ula kidogo na Mungu atakusalidiya
dada zangu nawasalimu katika jina safi jina lipitayo majina yote jina la Bwana Yesu Kristo wanazareti. dada zangu ushauri wangu nihuu tubuni dhambi zenu na mkabatizwe mpate ondoleo ya dhambi zenu na kumpokea Yesu Kristo wanazareti kuwa Bwana na mwokozi wa maisha ili muingie mbinguni maana Mungu niwa rehema sana. Biblia inasema katika kitabu cha methali azifichaye dhambi zake atofanyikiwa bali yeye aziungamaye atapata rehema Amen.
Kuna wanake wazekufanya umalaye kwa kutafuta muke na mwengi ni malaya hata kama kiolewa hayomambo hatoache kabisa.Umalaya ni kiini cha microbe kama ya malaria. Na kuna wengine wanakuwa na hamu nyingi ya wanaume.Kwa hiyo ni siri.
Lkn mtangazaji kwan unamaswali ya kuwauliza its true sio kila mtu anafanya umalaya Kwajili ya kupenda ni kwa shida point nikwamba alivyo pata nyumba na viwanja which means anao ywez wakupata mtaji na kuendelea na biashara alizo kuwa akifanya mwanzo why ameendelea kukaa hapo ikiwa mungu amesha mbariki ?
Kama ameisha jenga mukazi iyo iyo, kwanini asinunue mashine?? Masine ni bei chini sana kuliko kujenga. Kila kitu kinamalengo. Kama baliingia mu kazi iyo sababu ya deseption, kwanini itumike kwa miaka mingi.
Vraiment mutu ana weza kuwa aiko d’accord na kazi ya prostitution, mais kila mutu iko na histoire zake na traumatismes za maisha na situation économique ya pays iko catastrophe, ina tumana watu wana kamataka choix za maisha zenye ziko radical . C’est triste 😞 vraiment
Umaskini sio sababu ya mwanamke kufanya umalaya. Hiyo ni pepo ya binti za wamushi wengi ni wamalaya tu. Hata kama wanajiweza kimaisha mwanamke wa kimushi ni hivyo tu. Unasema ikipata bwana utatulia wongo. Mwenye lwake haluachaki.
Watangazaji wangu watanganyika tv nawaeshim sana
Umejenga.nyumba.dada.kwa.dhambi.usipo tubu hiyo nyumba itakuja.iuzwe.20000.maana hata wa kulithi atakuwa hayupo mtangazaji usiwasaidie wadada hao.washirikina.sana hao hukumu ya.Mungu iko juu.yao.kazi.zipo kazi.zipo.kujiuza.sio.kazi ni laana
Kinachotakiwa ni kutubu na kumwamini Mungu na Yesu Kristo Aliyeangikwa pale Msalabani akuokoe na udumu kumtegemea,karibuni Yesu Kristo atarudi!Amina
Sito mlaumu huyu dada, wanawake wengi wanafanya uhuni sababu ya maisha, Anae mtukana huyu dada hajui, wengine hawasemi kama wanafanya umalaya hawasemi.
Mungu Ndo kimbilio letu achaneni naizo kazi na muombe msamaha kwa Mungu mtangazaji na wewe unawatetea sana wewe atakama matatizo nimengi lakini sio iyo kazi Nimeumia sana 😭😭😭😭😭😭😭
iyo sikazi mulisha pata nyumba kwa nini musibadirike atuwahukumu ila zambi ni zambi yesu akija atakukuta vipi ulisha jenga acha sasa hiyi tabiya ula kidogo na Mungu atakusalidiya
Mungu awarehemu wanajuwa ni mbaya kwanini waendelee kuifanya waache na warudi kwa Yesu bado anawahitaji waje kumtumikia
Mtangazaji uwe mtulivu Na huliza swali tu achana na Maelezo Mengi Mengi ya Sio na msingi
Nime miss uvira kweli mungu ibariki inchi yangu congo
dada zangu nawasalimu katika jina safi jina lipitayo majina yote jina la Bwana Yesu Kristo wanazareti.
dada zangu ushauri wangu nihuu
tubuni dhambi zenu na mkabatizwe mpate ondoleo ya dhambi zenu na kumpokea Yesu Kristo wanazareti kuwa Bwana na mwokozi wa maisha ili muingie mbinguni maana Mungu niwa rehema sana.
Biblia inasema katika kitabu cha methali
azifichaye dhambi zake atofanyikiwa bali yeye aziungamaye atapata rehema Amen.
Yeyote asie na dhambi duniani na ampige mawe huyu dada.
Nimagumu dada m mungu anasaidia
dada wangu tafurta kazi apo uvira zapo kabisa ❤
Yaaani ww mtangazaji umeipasisha hiyo kama ni kazi pole sana
Apana si kazi ku uzisha migulu , ma cuisses diiiii
Iyo kali❤❤❤❤❤
😂😂😂 Sisters Fanyeni Nyama Nyama tu Mpate Utamu.😂😂😂
Mwenyezi mungu unilinde na iyi kazi ya uzinufu🤔🤔🤔
Uza mashine dada ulipata zakujenga unakosa zamashine pole sana Mungu akuokowe
Toujours pawet comedy
Bongo yako dada!!!!ni tabiya yako tuuu!!!
Ma formations y’a kazi y’a mikono iko mingi dada.
Dada achana naiyo kazi kumbuka kunajeyanamu na maisha siyo hayo kunamaisha baada ya iyo tubuni
Mithali 14:12 iko njia ionekanayo sawa machoni pa mtu , lakini ni njia ya mahuti.
mtangulize mungu mbele
ndugu mtangazaji nisaidie namba zako za wasapu labda tunaweza saidia dada yetu niko hapa Marekani asante
+243978539244
Mutiye naba
Amuna association ya BA BARANGA ? ( avocates, médecins, assistants socials,...)
Nyumba unajenga machine unashindwa kununua,hiyo kali duh !
😂😂😂si ndo hapo
Mwambie uyo dada ani tafute ili aweze kuacha iyo kazi mpe namba zangu ao ani tafute kwenye Facebook
Bravo @cizaramadhan9737 👍
Nisawa tu
🎤Mtangazaji kama unawatetea vile😜
Sana tu ana eatetea na ameipasisha kuwa ni kazi
wapi huku nikaishi??
SHIDA ZINA KUFANYA UWE HIVYO, MSIMLAUMU.
Uvira kavimvira 😢
ni kazi
Toka pale acha kupa zambi mafuta nibamalaya tuu watafute kazi waache😢 kazi zabumalaya
jamani ni shida pole sana 😢 mwenzangu
Kwa nini una hongea huhongo?mtaji waKuchuuza matunda njo laki tano ?
Acheni uvivu wa dada nyie acha
Kuna wanake wazekufanya umalaye kwa kutafuta muke na mwengi ni malaya hata kama kiolewa hayomambo hatoache kabisa.Umalaya ni kiini cha microbe kama ya malaria. Na kuna wengine wanakuwa na hamu nyingi ya wanaume.Kwa hiyo ni siri.
Dada angu ile pesa umejenga nyumba kwann hukununua machine
Mutangazaji, ninaomba unitumie maasiliano ya Sim ya TANGANYIKA TV.
Mungu una mshukuru kwa lipi? Hata muandishi hauna akili
Ila.binadamu wanateseka hiyo.sio.kazi.ni.dhambi
Umeshajenga sasa unatafuta nini tena
Lkn mtangazaji kwan unamaswali ya kuwauliza its true sio kila mtu anafanya umalaya Kwajili ya kupenda ni kwa shida point nikwamba alivyo pata nyumba na viwanja which means anao ywez wakupata mtaji na kuendelea na biashara alizo kuwa akifanya mwanzo why ameendelea kukaa hapo ikiwa mungu amesha mbariki ?
Niko USA Ohio, nitampa 300$ je, ataiacha?
Pana namba yako sasa
Ss wa dada simulishapata nakujenga,kama ni Maisha mushapata kiloko,muache ss,kama kweli niukosefu
To be continued
Mibangi ya wanaume na mipombe.
Jambo nikazi yamubaya nanimachukizo namwenyezimungu
Yani ina maana byashara biliisha mpaka wauze mwili
Mtangazaji uliza maswali ya kiutu uzima men
😂😂
Waka fundisha kazi ndogo ya mikono waweza acha? Kufanya mikate, kushona nguwo,....
Mukuwe munateya naba
Kama ameisha jenga mukazi iyo iyo, kwanini asinunue mashine?? Masine ni bei chini sana kuliko kujenga. Kila kitu kinamalengo. Kama baliingia mu kazi iyo sababu ya deseption, kwanini itumike kwa miaka mingi.
Uvira mnakula nyama za watu
Ahaha
🤣🤣🤣🤣🤣
Vraiment mutu ana weza kuwa aiko d’accord na kazi ya prostitution, mais kila mutu iko na histoire zake na traumatismes za maisha na situation économique ya pays iko catastrophe, ina tumana watu wana kamataka choix za maisha zenye ziko radical . C’est triste 😞 vraiment
Huyu interviewer naye aana akili kabisa
Hata biblia inasema tafuta utapata, hakuna lawama yote dada zangu ila mungu atawasaidia siku moja
mtangazaji acha kuongea upumba
🤣🤣🤣🤣🤣
Mukuwe munateya naba
Umaskini sio sababu ya mwanamke kufanya umalaya. Hiyo ni pepo ya binti za wamushi wengi ni wamalaya tu. Hata kama wanajiweza kimaisha mwanamke wa kimushi ni hivyo tu. Unasema ikipata bwana utatulia wongo. Mwenye lwake haluachaki.
Mutakwenda na ngoma
@@welongodouniajtt3966 Tutabanana mu congo