UVIRA|WADADA WANAO JIHUZA MWILI WAFUNGUKA | NILISHA JENGA NYUMBA KWETU|

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 77

  • @CharlesMs25Daghaly
    @CharlesMs25Daghaly 3 місяці тому +1

    Watangazaji wangu watanganyika tv nawaeshim sana

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Рік тому

    Umejenga.nyumba.dada.kwa.dhambi.usipo tubu hiyo nyumba itakuja.iuzwe.20000.maana hata wa kulithi atakuwa hayupo mtangazaji usiwasaidie wadada hao.washirikina.sana hao hukumu ya.Mungu iko juu.yao.kazi.zipo kazi.zipo.kujiuza.sio.kazi ni laana

  • @sambaachristopher
    @sambaachristopher 7 місяців тому

    Kinachotakiwa ni kutubu na kumwamini Mungu na Yesu Kristo Aliyeangikwa pale Msalabani akuokoe na udumu kumtegemea,karibuni Yesu Kristo atarudi!Amina

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 2 роки тому +6

    Sito mlaumu huyu dada, wanawake wengi wanafanya uhuni sababu ya maisha, Anae mtukana huyu dada hajui, wengine hawasemi kama wanafanya umalaya hawasemi.

  • @Esther19553
    @Esther19553 2 роки тому +4

    Mungu Ndo kimbilio letu achaneni naizo kazi na muombe msamaha kwa Mungu mtangazaji na wewe unawatetea sana wewe atakama matatizo nimengi lakini sio iyo kazi Nimeumia sana 😭😭😭😭😭😭😭

  • @sifam6348
    @sifam6348 Рік тому +1

    iyo sikazi mulisha pata nyumba kwa nini musibadirike atuwahukumu ila zambi ni zambi yesu akija atakukuta vipi ulisha jenga acha sasa hiyi tabiya ula kidogo na Mungu atakusalidiya

  • @deborakamsi
    @deborakamsi 2 роки тому +4

    Mungu awarehemu wanajuwa ni mbaya kwanini waendelee kuifanya waache na warudi kwa Yesu bado anawahitaji waje kumtumikia

  • @sostheneabedi4773
    @sostheneabedi4773 2 роки тому +2

    Mtangazaji uwe mtulivu Na huliza swali tu achana na Maelezo Mengi Mengi ya Sio na msingi

  • @chrispinbyamungukaharwa8469
    @chrispinbyamungukaharwa8469 2 роки тому

    Nime miss uvira kweli mungu ibariki inchi yangu congo

  • @EvangelistMathayo2604
    @EvangelistMathayo2604 Рік тому

    dada zangu nawasalimu katika jina safi jina lipitayo majina yote jina la Bwana Yesu Kristo wanazareti.
    dada zangu ushauri wangu nihuu
    tubuni dhambi zenu na mkabatizwe mpate ondoleo ya dhambi zenu na kumpokea Yesu Kristo wanazareti kuwa Bwana na mwokozi wa maisha ili muingie mbinguni maana Mungu niwa rehema sana.
    Biblia inasema katika kitabu cha methali
    azifichaye dhambi zake atofanyikiwa bali yeye aziungamaye atapata rehema Amen.

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 2 роки тому +6

    Yeyote asie na dhambi duniani na ampige mawe huyu dada.

  • @vicWamaana
    @vicWamaana 9 місяців тому

    Nimagumu dada m mungu anasaidia

  • @dinaalondamachozi7529
    @dinaalondamachozi7529 Рік тому

    dada wangu tafurta kazi apo uvira zapo kabisa ❤

  • @salisali3738
    @salisali3738 2 роки тому

    Yaaani ww mtangazaji umeipasisha hiyo kama ni kazi pole sana

  • @wamupepe5301
    @wamupepe5301 Рік тому

    Apana si kazi ku uzisha migulu , ma cuisses diiiii

  • @arjunmutotowadzaleka
    @arjunmutotowadzaleka 7 місяців тому

    Iyo kali❤❤❤❤❤

  • @BinKingTz
    @BinKingTz 2 роки тому +1

    😂😂😂 Sisters Fanyeni Nyama Nyama tu Mpate Utamu.😂😂😂

  • @joleal7941
    @joleal7941 2 роки тому

    Mwenyezi mungu unilinde na iyi kazi ya uzinufu🤔🤔🤔

  • @zenataashura792
    @zenataashura792 2 роки тому +1

    Uza mashine dada ulipata zakujenga unakosa zamashine pole sana Mungu akuokowe

  • @AnastasieZabibu
    @AnastasieZabibu 10 місяців тому

    Toujours pawet comedy

  • @tatianamonga492
    @tatianamonga492 2 роки тому +7

    Bongo yako dada!!!!ni tabiya yako tuuu!!!
    Ma formations y’a kazi y’a mikono iko mingi dada.

  • @claraelengabulunda6750
    @claraelengabulunda6750 2 роки тому

    Dada achana naiyo kazi kumbuka kunajeyanamu na maisha siyo hayo kunamaisha baada ya iyo tubuni

  • @emoalembe4790
    @emoalembe4790 2 роки тому +2

    Mithali 14:12 iko njia ionekanayo sawa machoni pa mtu , lakini ni njia ya mahuti.

  • @bisocijuma5899
    @bisocijuma5899 2 роки тому +1

    mtangulize mungu mbele

  • @BMASTA_BM
    @BMASTA_BM 2 роки тому +1

    ndugu mtangazaji nisaidie namba zako za wasapu labda tunaweza saidia dada yetu niko hapa Marekani asante

  • @justietumaine3127
    @justietumaine3127 2 роки тому +1

    Mutiye naba

  • @wamupepe5301
    @wamupepe5301 Рік тому

    Amuna association ya BA BARANGA ? ( avocates, médecins, assistants socials,...)

  • @kashindibakari7726
    @kashindibakari7726 2 роки тому

    Nyumba unajenga machine unashindwa kununua,hiyo kali duh !

  • @cizaramadhan9737
    @cizaramadhan9737 Рік тому +1

    Mwambie uyo dada ani tafute ili aweze kuacha iyo kazi mpe namba zangu ao ani tafute kwenye Facebook

  • @BisheniKasangandgo
    @BisheniKasangandgo 6 місяців тому

    Nisawa tu

  • @ladysapna3461
    @ladysapna3461 2 роки тому +1

    🎤Mtangazaji kama unawatetea vile😜

    • @salisali3738
      @salisali3738 2 роки тому

      Sana tu ana eatetea na ameipasisha kuwa ni kazi

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 2 роки тому

    wapi huku nikaishi??

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 2 роки тому +1

    SHIDA ZINA KUFANYA UWE HIVYO, MSIMLAUMU.

  • @ChanceMalumba
    @ChanceMalumba Рік тому

    Uvira kavimvira 😢

  • @kahwalambezi1688
    @kahwalambezi1688 2 роки тому

    ni kazi

  • @lydiamkein8052
    @lydiamkein8052 Рік тому

    Toka pale acha kupa zambi mafuta nibamalaya tuu watafute kazi waache😢 kazi zabumalaya

  • @bisocijuma5899
    @bisocijuma5899 2 роки тому

    jamani ni shida pole sana 😢 mwenzangu

  • @kabwefrancine99
    @kabwefrancine99 2 роки тому

    Kwa nini una hongea huhongo?mtaji waKuchuuza matunda njo laki tano ?

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Рік тому

    Acheni uvivu wa dada nyie acha

  • @MmungaMbele-u1o
    @MmungaMbele-u1o 9 місяців тому

    Kuna wanake wazekufanya umalaye kwa kutafuta muke na mwengi ni malaya hata kama kiolewa hayomambo hatoache kabisa.Umalaya ni kiini cha microbe kama ya malaria. Na kuna wengine wanakuwa na hamu nyingi ya wanaume.Kwa hiyo ni siri.

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 2 роки тому

    Dada angu ile pesa umejenga nyumba kwann hukununua machine

  • @mwalimubarakajustin745
    @mwalimubarakajustin745 2 роки тому

    Mutangazaji, ninaomba unitumie maasiliano ya Sim ya TANGANYIKA TV.

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv Місяць тому

    Mungu una mshukuru kwa lipi? Hata muandishi hauna akili

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Рік тому

    Ila.binadamu wanateseka hiyo.sio.kazi.ni.dhambi

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Рік тому

    Umeshajenga sasa unatafuta nini tena

  • @happyjohn7630
    @happyjohn7630 Рік тому

    Lkn mtangazaji kwan unamaswali ya kuwauliza its true sio kila mtu anafanya umalaya Kwajili ya kupenda ni kwa shida point nikwamba alivyo pata nyumba na viwanja which means anao ywez wakupata mtaji na kuendelea na biashara alizo kuwa akifanya mwanzo why ameendelea kukaa hapo ikiwa mungu amesha mbariki ?

  • @SalehMkyombwe
    @SalehMkyombwe Рік тому

    Niko USA Ohio, nitampa 300$ je, ataiacha?

  • @MulangaliroEspoir-p6d
    @MulangaliroEspoir-p6d 2 місяці тому

    Ss wa dada simulishapata nakujenga,kama ni Maisha mushapata kiloko,muache ss,kama kweli niukosefu

  • @esperancesudi2842
    @esperancesudi2842 2 роки тому

    To be continued

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 2 роки тому

    Mibangi ya wanaume na mipombe.

  • @mandelabahatibayanga3131
    @mandelabahatibayanga3131 Рік тому

    Jambo nikazi yamubaya nanimachukizo namwenyezimungu

  • @zenataashura792
    @zenataashura792 2 роки тому

    Yani ina maana byashara biliisha mpaka wauze mwili

  • @luckybrother5130
    @luckybrother5130 2 роки тому

    Mtangazaji uliza maswali ya kiutu uzima men

  • @maimai4831
    @maimai4831 Рік тому

    😂😂

  • @wamupepe5301
    @wamupepe5301 Рік тому

    Waka fundisha kazi ndogo ya mikono waweza acha? Kufanya mikate, kushona nguwo,....

  • @justietumaine3127
    @justietumaine3127 2 роки тому

    Mukuwe munateya naba

  • @evayesse7008
    @evayesse7008 2 роки тому

    Kama ameisha jenga mukazi iyo iyo, kwanini asinunue mashine?? Masine ni bei chini sana kuliko kujenga. Kila kitu kinamalengo. Kama baliingia mu kazi iyo sababu ya deseption, kwanini itumike kwa miaka mingi.

  • @peter-tj6oo
    @peter-tj6oo 2 роки тому

    Uvira mnakula nyama za watu

  • @delphine8976
    @delphine8976 2 роки тому +3

    Vraiment mutu ana weza kuwa aiko d’accord na kazi ya prostitution, mais kila mutu iko na histoire zake na traumatismes za maisha na situation économique ya pays iko catastrophe, ina tumana watu wana kamataka choix za maisha zenye ziko radical . C’est triste 😞 vraiment

  • @farajasimon
    @farajasimon 2 роки тому

    Huyu interviewer naye aana akili kabisa

  • @KABWEM
    @KABWEM 2 роки тому +1

    Hata biblia inasema tafuta utapata, hakuna lawama yote dada zangu ila mungu atawasaidia siku moja

  • @bisocijuma5899
    @bisocijuma5899 2 роки тому

    mtangazaji acha kuongea upumba

  • @justietumaine3127
    @justietumaine3127 2 роки тому +2

    Mukuwe munateya naba

    • @rugarekashasha8196
      @rugarekashasha8196 2 роки тому

      Umaskini sio sababu ya mwanamke kufanya umalaya. Hiyo ni pepo ya binti za wamushi wengi ni wamalaya tu. Hata kama wanajiweza kimaisha mwanamke wa kimushi ni hivyo tu. Unasema ikipata bwana utatulia wongo. Mwenye lwake haluachaki.

    • @welongodouniajtt3966
      @welongodouniajtt3966 2 роки тому

      Mutakwenda na ngoma

    • @rugarekashasha8196
      @rugarekashasha8196 2 роки тому

      @@welongodouniajtt3966 Tutabanana mu congo