Mastaa waungana kulitaka jeshi la Polisi litende haki kwa binti wa Yombo aliyebakwa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 94

  • @HeriDunia-i7m
    @HeriDunia-i7m 2 місяці тому +15

    KUISHI NA VIONGOZI WA TANZANIA NI KAZI BORA KUISHI NA MNYAMA WAPOLINI 😢😢😢😢😢😢

  • @joshuanyaulingo4109
    @joshuanyaulingo4109 2 місяці тому +4

    ety anajiuza,, sas kama anajiuza c mumfungulie kes ya kujiuza sas na kama anajiuza kwann alilazimishwa kumuomba afande msamaha

  • @lucasdeus5653
    @lucasdeus5653 2 місяці тому +3

    Waandishi WA habari za kijamii, wakati WA kupoteza Imani ama kujenga Imani Kwa jamii NI wakati huu ambapo mnapotakiwa KUSIMAMIA ukweli na sio KULETA siasa NA kukwepa kusema ukweli hadharani.
    Hamuonesh misimamo na weledi kama watu mlio na dhamana ya kupaza sauti ya umma. Na HIVI mnafanya mara chache Sana.

  • @aediaygo8546
    @aediaygo8546 2 місяці тому +7

    Kuna siku police watanzania wananchi watawachoka mnajiona mpojuu ilikuwa Zamani Kuna siku Tanzania itakuwa kama Bangladesh 😅😅😅

  • @HalimaKassim-yz3we
    @HalimaKassim-yz3we 2 місяці тому +5

    Hatutaki ahamishwe tunaka achishwe kaz kabitha

  • @RajabuKitalambo-q2u
    @RajabuKitalambo-q2u 2 місяці тому +9

    Naona sasa iv wasanii wamebalika saf san Tanzania nipo U.S.A 🇱🇷🇱🇷 2025 naomba tubadilike kwenye uchaguzi

    • @HeriDunia-i7m
      @HeriDunia-i7m 2 місяці тому

      @@RajabuKitalambo-q2u UZALENDO NI KITENDO CHA MTU MMOJA MMOJA SIO KUNDI TUKIWA WAZALENDO NA NCHI YETU Akuna atakaekuja na kusema juu yetu au kutuwekea sheria ndani ya nchi yetu KIJANA AMKA Sio neno ni vitendo tufanye kazi piah tuishinikize taifa kutotoa vibali vya bidhaaa zinazoumiza vijana na kutoa vibali vya kuwafanya vijana wafanye kazi atakama awajaajiliwa ilihali tupo ndani ya sheria kwaimani yangu vijana tutafanya kazi kwel kama taifa linavyotaka ILA kwa sharti la kuishi wenyewe bila kuingiliwa mahamuzi na nchi za nje ilo litatudukuma kuelekea kwenye kilele cha mafanikio makubwa

    • @HeriDunia-i7m
      @HeriDunia-i7m 2 місяці тому

      @@RajabuKitalambo-q2u JAMAN WAZALENDO KIJANA ONGEA NA MWANAMKE ILI TUFANYE MAENDELEO YA NCHI NA TUSIWE VIBALAKA.WANAWAKEmwanamke akielimishwa na akiwa mzalendo bas maendeleo yatapatikana tu atakama kikiendelea chama tawala akuna shida kikubwa ni?uzalendo na misingi ya nchi kwanza itakayo leta maendeleo

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 2 місяці тому

      Mama anaupiga mwingi kura kwake

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 місяці тому +4

    Viongozi wa tanzania wanyama sana tena sio binaadam wa kawaida 😢😢 dharau sana hizi kwa watanzania

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 2 місяці тому +1

    Nikajua amefukuzwa kumbe kupangiwa majukumu mengne bdo hii nchi ni kulindana tu haki hakuna

  • @Yayouselim
    @Yayouselim 2 місяці тому +2

    Huyo RPC anatakiwa avuliwe wazfa kabisa mpuuzi huyo , hana cha kufanya majukumu

  • @NemaAli-zh6hr
    @NemaAli-zh6hr 2 місяці тому +4

    Na ikisadikika wamemuua wanataka kulizima hili, aitokubalika mn wanaficha ficha mambo.!

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 місяці тому

    Daa😭😭😭😭😭..am speechless walah

  • @magnamsam6909
    @magnamsam6909 2 місяці тому +1

    Sipend siasa, ila mtu akifanya mazur huonekana, ukiwa kiongoz wakat mwingine jiandae kufanya maamuz magumu. Sisemi kwakuw ametangulia ila miongon mwa mazr yake, hakuogopa kufanya maamuz magumu. Kamanda kama huyu siotu kubadilishiwa majukum, mtazamo wngu hafai kuwa kwenye chombo kikubwa kama jeshi la polisi.

  • @ShemsaKiobya-x8h
    @ShemsaKiobya-x8h 2 місяці тому +3

    Kwanini abakwe alafu achukuliwe video ni haki hiyo

  • @allymwilu8089
    @allymwilu8089 2 місяці тому +3

    Mmbwa hawa ndo muone huyo mamaenu anaeupiga mwingi watu wake hawa mxiuuu misimamo kama hii ndo tunaihitaji huyo askali kwanza hafai hata kuwa askari ni upuuzi mtupu anaongea yan

  • @AminaAbdullah-ws3wy
    @AminaAbdullah-ws3wy 2 місяці тому +1

    Nimependa sana wa Tanzanian mliyosimama pamoja kumtetea mtanzania mwenzetu. Tunataka Haki kwa Wote

  • @MashaMbwana
    @MashaMbwana 2 місяці тому +4

    Au wanataka watu wafanye maandamano kama yale ya India alibakwa na kuuliwa😮😮

  • @MohaaElectronics
    @MohaaElectronics 2 місяці тому

    Safi sana

  • @AhamedyKibarati
    @AhamedyKibarati 2 місяці тому +3

    Umoja wetu ndio mafanikio yetu akuna Serekali bila wanachi ndio sisi😢

    • @HeriDunia-i7m
      @HeriDunia-i7m 2 місяці тому

      @@AhamedyKibarati JAMAN WAZALENDO KIJANA ONGEA NA MWANAMKE ILI TUFANYE MAENDELEO YA NCHI NA TUSIWE VIBALAKA.WANAWAKEmwanamke akielimishwa na akiwa mzalendo bas maendeleo yatapatikana tu atakama kikiendelea chama tawala akuna shida kikubwa ni?uzalendo na misingi ya nchi kwanza

    • @HeriDunia-i7m
      @HeriDunia-i7m 2 місяці тому

      @@AhamedyKibarati UZALENDO NI KITENDO CHA MTU MMOJA MMOJA SIO KUNDI TUKIWA WAZALENDO NA NCHI YETU Akuna atakaekuja na kusema juu yetu au kutuwekea sheria ndani ya nchi yetu KIJANA AMKA Sio neno ni vitendo tufanye kazi piah tuishinikize taifa kutotoa vibali vya bidhaaa zinazoumiza vijana na kutoa vibali vya kuwafanya vijana wafanye kazi atakama awajaajiliwa ilihali tupo ndani ya sheria kwaimani yangu vijana tutafanya kazi kwel kama taifa linavyotaka ILA kwa sharti la kuishi wenyewe bila kuingiliwa mahamuzi na nchi za nje ilo litatudukuma kuelekea kwenye kilele cha mafanikio makubwa

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 2 місяці тому

      Umoja kukinuka kila mmoja mguu niponye

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 2 місяці тому +1

    Ivi wanao tetea huu unyama wanandugu wa kike kweli? Watoto je? Wanamatarajio ya kuwa wazazi??? 😢😢

  • @salama1113
    @salama1113 2 місяці тому +2

    Ndo tujuwe kuwa cc hatuna watetezi 😢😢😢😢 wananch tungane bilakujali ww nani

  • @joantharajab4583
    @joantharajab4583 2 місяці тому +1

    ulie mlinda kakuponza sasa

  • @unjuinkuganda1991
    @unjuinkuganda1991 2 місяці тому +3

    RAISI WENU MWANAMKE LAKINI WALA HATA HASUMBUKI ' ETI MAMA ANAUPIGA MWINGI

    • @MgishaFerd
      @MgishaFerd 2 місяці тому

      Daah yaani we acha tu huyo mama anazunguka tu

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 2 місяці тому

    Kwahiyo BANGI imeshakua sawa kumpa mtuhumiwa haki ya kuchangiwa na kama imesha kua hivi basi tujiandae

  • @lucasdeus5653
    @lucasdeus5653 2 місяці тому +1

    Ingekua vema kama kila media mngekua mnafanya uchambuzi WA kina kama anavofanya #odemba. Mbna mnafanya uchambuzi WA magazeti??, taarifa za nje??, udaku??,
    Kwann mnabaki kusoma post za watu na sio kuchambua na kutoa elimu stahiki Kwa jamii ili kufanya watu wawe aware na kukemea Kwa nguvu??

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 2 місяці тому

    Nimependa kwa hawa, mastar lkn hawa policy mmh!

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 2 місяці тому

    Toweni ukweri jamani hamani itaware watu sasaivi warisha badilika sio ware wa zamani

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 2 місяці тому

    Komeni wanawake baadhi yenu mnasemaga haki haki haya sasa haki mmesha pewa tuongozeni NCHI tumewachia

  • @samirmswahili
    @samirmswahili 2 місяці тому

    Wanafki tu wanajifanya kutaka haki kwa kile kinachowapendeza juz kuna watu wamenyimwa uhuru na kupigwa wote wamekaa kimya zaid ya Soggy na A.Y ndo walokemea. Mungu amtendee haki dada aliepata mtihani na sheria ichukue mkono wake

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 місяці тому

    Napendekeza huyo RPC akamatwe, 2 ashitakiwe. 3 Ahukumiwe.

  • @FabriceKassim
    @FabriceKassim 2 місяці тому

    Aki itendeke please 😢 let be seriously to all Woman's 😢 why this keeps happening in Africa every time 😡 respect to all our Women's 😢

  • @JanetAhmad-v3h
    @JanetAhmad-v3h 2 місяці тому

    huo mwanke wangemuacha tu

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 місяці тому

    Tujipe mda kivipi?

  • @Daniella249
    @Daniella249 2 місяці тому

    Au tuandamane sasa 😢

  • @fathers19991
    @fathers19991 2 місяці тому

    Wastar ambao awana pesa acheni zenu ahu malaya wezake wameungana .

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 2 місяці тому

    Wafungweeeee

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 2 місяці тому +1

    Tuwaazine GENZ

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 2 місяці тому

    itakua jesh la Tanzania wanabakana ndio maana awafatilii kes hiizo

  • @wilsonwafulachebokati4933
    @wilsonwafulachebokati4933 2 місяці тому

    Shilole mwenyewe ni malaya mnauza nyapu

  • @SikituYusuph-fr7rj
    @SikituYusuph-fr7rj 2 місяці тому +2

    Acha ujinga kaka ww unaamini maneno ya kujitetea mabinti et acheni kudanga ww vp je ingekuwa kwa dada yako ugekuwa unasema hyo maneno umenikela

  • @HalimaKassim-yz3we
    @HalimaKassim-yz3we 2 місяці тому

    Kiukweli hatuta waelewa kabitha

  • @JamalAbas-fe5dj
    @JamalAbas-fe5dj 2 місяці тому

    Pumbavu mnapenda kujitokeza kwenye stori za kutrend mbona mtoto albino kakatwa viungo na kauliwa hamjapaza sauti takataka nyie si jasema kama binti hajakosewa

  • @Aminimalewa
    @Aminimalewa 2 місяці тому

    Hawa wanachukulia watu kama mang'ombe, wanaona kama vile raia ni mambuzi wanaweza wakawaongoza wanavyotaka, ngoja ipo siku, hilo nitukio kubwa linalofahamika hayo yasiyofahamika yanaendeshwa vip? IT'S VERY DANGEROUS TO BE RIGHT IN A WRONG, watanzania sisi niwaajabu sana wenzetu wanapotezwa, wengine wanatekwa na ushahidi wawazi upo tumekaa tu kama makondoo hakuna action yotote

  • @YusuphuMakange
    @YusuphuMakange 2 місяці тому

    Upuuzi mtupu kiongozi wa jeshi au asikari anaongea upuuzi ujinga

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 2 місяці тому

    Shilole ndio kanikosha

  • @wadantz123
    @wadantz123 2 місяці тому

    Tunataka kujua kesi ya mtt wetu asimwe wale mbwa washanyongwa au bado wanakula ugali wa bure

  • @chazp6436
    @chazp6436 2 місяці тому

    Na huu utaratibu wakuweka mambo kubalance RPC wengi ni wanawake ..ambao maamuzi ndio haya wanayofanya hawana weledi wa kazi ...

  • @malkiarosemuhando3310
    @malkiarosemuhando3310 2 місяці тому

    Mi nashangaa sioni kiongozi yeyote wa kuliongelea kwa uchungu na kulikenea kwa nguvu kama wana yofanya kwa mengine, kulikoni???????? Mi naomba mheshimiwa Rais wetu atoe kauli katika hili !! Ili mioyo ya watanzania itue mzigo wa maswali na maumivu yaliyojaa mioyoni mwa akina mama

  • @EspiSimai
    @EspiSimai 2 місяці тому

    Me nasubir kauli ya raisi tu kuhusu hilo

  • @FatmasaidhamesaHamesa
    @FatmasaidhamesaHamesa 2 місяці тому

    Wanawake toamke sai keaharaka upesi

  • @ShemsaKiobya-x8h
    @ShemsaKiobya-x8h 2 місяці тому

    Mbona mkuu wa wilaya Alishtakiwa , sembuse huyu aliebakwa hadharani na kuchukuliwa video

  • @mariej6962
    @mariej6962 2 місяці тому

    Hawana lolote hawa.

  • @AsilaAlhabsi-hg9lg
    @AsilaAlhabsi-hg9lg 2 місяці тому

    Jmn hebu badilikeni kidogo hivi hamuoni nnchi za wenzenu hebu badilikeni mue kama watu mmekaa kama wanyama nyie

    • @abdulhussein7774
      @abdulhussein7774 2 місяці тому

      Hao mbwa nao wabakwe jela wawatoe bikira za mikundu yao

    • @AsilaAlhabsi-hg9lg
      @AsilaAlhabsi-hg9lg 2 місяці тому

      @@abdulhussein7774 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 inafaaa walahi yani umenichekesha khaaaa mpk najiona mjinga kwa kucheka

  • @huthhuthlih5858
    @huthhuthlih5858 2 місяці тому

    I don’t think we Tanzanians are truly focused on those men already in police custody. Yes they committed the crime but what we really want to know is who orchestrated it. We’ve repeatedly asked to know who the mastermind ?is the woman who organized this crime. She’s the one who directed these five men, paid them, and showed them where to find this girl to commit this atrocity against her. What we really want is to find the mastermind, the woman who orchestrated this crime against this young girl. That’s what all Tanzanians want. I believe a large percentage of us want the authorities to find the mastermind the woman who directed these five men showed them where to find this young girl and instructed them to rape her. We want justice, and that means finding the mastermind.

  • @joycebenjamin6017
    @joycebenjamin6017 2 місяці тому

    Ushenzi kbs huu,msituchezee na kauli za kishenzi hizo😉😉hata km kahaba akibakwa bila ya ridhaa ni kosa la jinai😉😉

  • @chazp6436
    @chazp6436 2 місяці тому

    Kenya sio wajinga wanaakili sana ....mbona hawa viongozi wetu kama wapo kwaajili yao tuu

  • @achibelatotolakijaka4687
    @achibelatotolakijaka4687 2 місяці тому

    Hao wangekua Saudi Arabia wangekua washazikwa kitambo Saudi hamnaga kesi za kijinga kotini hawana mda ukipatikana na kosa they deal with u na kosa lako ukiua unauliwa na ukibaka ni panga pia hakunaga makesi kesi za kufatiliwa eti sijui Mahakama inachunguza warabu wapo busy Africans ss ndio tuna ujinga huo kusubiri kesi iamue for wat na Kuna videos all over hio ni evedince tosha

  • @hirizonetz9558
    @hirizonetz9558 2 місяці тому +2

    Mabinti waache kudanga bhana unatembea na mme wa mtu unategemea nn angekuwa kafanyiwa mwanaume wala haya makelele yasingekuwepo kwa vile kafanyiwa mwanamke basi mnataka huruma za kijinsia me kwangu naona kapata malipo yake yanayomstahili hebu polisi fanyeni mambo mengine bhana

    • @lilyanmongi1075
      @lilyanmongi1075 2 місяці тому +5

      Utakuwa na mtindio wa ubongo

    • @Fks856
      @Fks856 2 місяці тому +4

      Broo hebu acha kuongea ivo Kwa sababu hata kama huna dada ila Nina Imani una ata ndugu wa kike

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 2 місяці тому +3

      Ubongo wako umetwa na shot ya umeme

    • @hirizonetz9558
      @hirizonetz9558 2 місяці тому

      @@lilyanmongi1075 Hilo sijali ila huo ndo uhalisia asingetembea na Mme wa mtu yangemkuta haya kama angebakwa kwa tamaa ya wanaume tu hapo angehitaji msaada mkubwa ila Kwa starehe yake tu na kama na ww unatabia kama yake ubadilike yatakukuta kama haya halafu msumbue watu

    • @Niget-us1np
      @Niget-us1np 2 місяці тому +2

      Kwaza hakun mume wa mtu ili awe mume wa mtu kidin lazim itimie 4 alafu huwa hawesemi km anamke unatemgemea nn alafu kos L mwanmk nini nakatika yeye kafwata ajafata km kosa bc liwe LA mwanaum

  • @chuseboy
    @chuseboy 2 місяці тому

    Taifa letu serikal yetu yaan ni bora tujiongoze wenyew me hata sion umuhumi wa kua na serikal maana awajui kazi yao wala sheria 😢 watuache tujiongoze wenyew kwa kila jambo