Mungu watofautishe watoto wangu na wengine,kuongea kwao,kutembea kwao ,ujana na ubint wao uwe wa tofauti na wengine ,Mungu wakumbuke watoto wangu wakutumikie
This song take me to 2011 when i was in high school when i used to beg for neighhood school fees .and knowbody didnt help me i used to cry day and night for GOD and now im working in Government officials and now im paying 4 neighboouring schoolfees .and has turning my crying to help the needy😢
From Kenya 🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 wapi like za mwaipajaa napenda sana sister unavyoo imbaa unanibalikii SANAA mungu abalikoo sanaaa yakoo jomon gonga ata like khadaa jomoo😔😔😔😑😑😋
Dada Martha Na Ndoto siku Moja Ya Kukuona for sure Nyimbo zako zinanipa sana Moyo kusonga Mbele Nakupenda sana dada Martha Live Long Dada Yangu Vitalis from TZA
@@NelsonbernardoDaleli-jn6lyumelopoka bdo hujasema😏,,yaan umecomment bila kufkiria mara mbili kwa kifup bdo hujajielewa kwa kias chake..and second hucpende kuwasema watumishi wa mungu then hucpende kulopoka hucvyovijua kwsabb kuna kesho😊..km umjui vzr mtu ni bora umtafute mtu anayemfahamu akakueleza kuhusu huyo mtu kuliko kulopoka vitu kiolela ambavyo mwenye akili timamu akikuckilza anakuona hamnazo 😊.jitafakari
Mwamposa ni mtumishi wa Mungu, ila wewe kwa kuwa una *mungo wako Kama ulivyosema sio mbaya ila jehanum inakuhusu kwa kuhukumu usipobadilika utahukumiwa*@@NelsonbernardoDaleli-jn6ly
@@NelsonbernardoDaleli-jn6ly utamjua mungu bila watumishi waliofunuliwa maandiko??..Hakuna alokwambia anamtegemea mwamposa ndugu,..ni kiongoz wa dini kama wengine tunafuata mafundisho yake kama mtumishi wa mungu..chunga kinywa chako ndugu muombe mungu akutofautishe kwa hekima ya kutamka yaliyo mema
Dada martha acha mungu akutofautishe na kina christine shusho walioacha injili na kufata tamaa ya fedha. May lord God bless you. Watching from +254🇰🇪🇰🇪
Kuzaliwa katika mazingira ya ukristo ,kuongea katika lugha,kusoma neno kumbe bado haijatosha kufikilia ufalme wako Baba ,naomba unifunze na unisaidie nisiikane imani hadi mwisho ,vita vijapo uwe ngao na mtetezi wangu wa karibu
Najitahidi ili nifike mwisho mwema,baba naomba nisaidie,unitofautishe na wewe,thanks dada mwaipaja nyimbo zako zinaanibariki sana mungu🙌aendelee kukuinuwa kwa kiwango Cha juu🙏🙏
Maman yangu mungu azidikuku ongoza katika nja yakweli n'a haki wala Yesu asikubali upoteye hilini ombilangu kwa mungu usuige dunia wala usiige wanadamu ❤❤❤❤
Kenyans we are in the house 🇰🇪🇰🇪piteni na likes za martha
Tuko ndani
Amen ❤🇰🇪.
Why am I crying 😭
This song is a blessing
Lord please nitofautishe 🙏
Any Kenyan here
Martha Mwaipaja more love ❣️
Najitahidi Mimi ili nifike mwisho mwema, Baba naomba NITOFAUTISHE na wengine. Amina . mtumishi Mungu akubariki.
Nimependa ❤
Ombi langu hili Baba nitofautishe na wengine .......hongera dadangu kwa wimbo huu🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kenyans let's gather here for the love we have for Martha ....Gods message at home
Wa Zambia🇿🇲, Tanzania🇹🇿, Kenya 🇰🇪, Uganda🇺🇬 Na Inchi zingine njooni apa tuseme Mungu ni wa milele and apewe sifa. Thank you woman of God👏👏👏👏
Aya ubarikiwe 🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ameen
🙏🙇👏🇺🇬🇺🇬
Nitofautishe Yesu Amen,Mko wapi wakenya tubariki dada Martha kwa likes na subscription??
❤❤
0:00 0:00
Mungu watofautishe watoto wangu na wengine,kuongea kwao,kutembea kwao ,ujana na ubint wao uwe wa tofauti na wengine ,Mungu wakumbuke watoto wangu wakutumikie
Amen and Amen
Watching from Kenya,dada huyu nyimbo zake zagusa moyo ❤wapi like zake martha ❤❤❤❤🎉🎉
Much love from KENYA 🇰🇪 I do really love this song GOD bless you Martha TANZANIA wapi likes za KENYA 🇰🇪
❤❤❤❤
Hii nyimbo Jana kawe kwa Mwamposa ulipoimba kwa Mara ya Kwanza nilisisimkA kwa hisia nyimbo nzuri❤
Amen hatar mm pia nifika mbalisana
I remember one day you came to the international airport of Goma 🇨🇩🇨🇩when I was sick you prayed for me and I was so healed in the name of Jesus Christ
🇰🇪Nitofautishe na wengine yesu.Nitofautishe Baba niwe baraka kwa wengine🙏Amina
Nahisi uwepo wa Munyu niilipousikiliza huu wimbo,Yesu naomba nitofautishe na wengine ,amen
From Kenya 🇰🇪🇰🇪Mungu azidi kubariki huduma yako @Martha uzidi kubariki wengi kupitia nyimbo
Martha mwaipaja barikiwa sana Kenya 🎉🎉tunakupenda sana,,,,,, wapi likes za wakenya
Pamoja kenya nipo ndani ndani na likes zote atahazitoshi nyimbo za martha zinanitia nguvu sana❤
Wow a very powerful song,naomba nitofautishe na wengine yesu
This song take me to 2011 when i was in high school when i used to beg for neighhood school fees .and knowbody didnt help me i used to cry day and night for GOD and now im working in Government officials and now im paying 4 neighboouring schoolfees .and has turning my crying to help the needy😢
Amen
Wangapi wamewatch this song then wakapiga magoti wakaomba Kaa Mimi🧎🧎nipe like tu!nitashukuru🙏
Kweli kaka hii wimbo imenifanya nilie tena na kuomba
Kaka hi wimbo umebeba ujumbe mzito sana Mungu amjalie sana
Amina@@AbidanWamukota-uk5su
@@JohnJohnkyalobarikiwa
@@JohnJohnkyalobe blessed
From RDC my name is MALISAWA BIN MLONGECA JUNIOR napenda kazi zako Martha Mwaipaja Mungu azidi kukupa nguvu upige atua zaidi ❤❤❤❤❤
From Kenya 🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 wapi like za mwaipajaa napenda sana sister unavyoo imbaa unanibalikii SANAA mungu abalikoo sanaaa yakoo jomon gonga ata like khadaa jomoo😔😔😔😑😑😋
Mungu anaanzagwa kuandikwa Kwa herufi kuba
Penda sana❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Martha may God uplift you again and again
,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
This lady is lifting most of us by her songs 😢🙏 God bless you Martha
Waaah data yangu we unibariki sana nanyimbo sako jamani ninani ubarikiwa kama mimi wakenya wenzangu nipe like yako please ❤
Umenibarikii sana na hio nyimbo
From lubumbashi drc 🇨🇩
Asante sana Mungu kwa kipaji ulimupa sista mwaipaja.
Nyimbo nzuri sana na enjoy.
Ni ombi langu mungu nitofautishe na wengii kuongea kutembea kuwaza kwangu niwe tofauti na wengi👏
Najitaidi mimi ilinifike mwisho mwema, baba naomba nitofautishe na wengine🙏🙏
Baba naomba nitofautishe na wengine 🙏🙏.......am blessed with the song❤❤❤❤❤❤
Na kumbuka wimbo tusi kate tamaa 🤭 ngoja ni utazame tena, kweli huyu mungu ni mwema 🇨🇩🇹🇿✔️🙏
This is so amazing ❤❤ baba naomba nitofautishe na wengi
Mungu Kila siku naomba nikupendeze zaidi na kunitofautisha na wengine kiroho,Kimawazo,Kimaongezi,Kitembea yaani Mila Jambo zaidi Ameen🙏🙏🙏🙏🛏️
Martha Mwaipaja nakupenda saaaana unanifurahisha sana katikati ka nyimbo zako Mungu Mwenye mbalaka nakuombeya mwisho mwema dada yangu
Mungu akuzididhie maisha marefu mamaa nampenda Sana nyimbo zako zanifariji moyo wangu ❤❤ kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪
Naomba nitofautishe na wengine.......am blessed with the song❤❤❤..........
Baba naomba unitofautishe na wengine nifike salama🎉🎉
Kwahakika wimbo huu umefariji na kunipa ujasiri 🙏🙏🙏mungu akubariki mama
Baba naomba unitofautishe Na wengine🎉🎉🎉🎉
This song really blessed me 🙏🙏🙏❤ from Mwanza Tanzania 🇹🇿 but am a Kenyan 🇰🇪
Iwe kwako kama ndio ombi lako...Amina..usiwe zuzu daraja la waovu kuelekea kuharibu kwa sababu unataka kuwa tofauti...Amina.
Mungu naomba nitofautishe na wengine niwe baraka kwa wengne ❤🇹🇿🇹🇿
Nyimbo za Martha inanipendeza nishaapata mawaidha sana, feel love from Kenya mummy jah bless you.
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kenya tutofautishe na wengi..I love my country ❤
Nampenda sana dada huyu pamoja na nyimbo zake zinanibaliki sana
Dada Martha Na Ndoto siku Moja Ya Kukuona for sure Nyimbo zako zinanipa sana Moyo kusonga Mbele Nakupenda sana dada Martha Live Long Dada Yangu
Vitalis from TZA
Tulio toka kanisani kwenye mkesha tujuwane hapa. Nilikua nasubili kwa hamu. Ameen ubarikiwe mtumishi🙏
Alaniwe MTU yule anayo mtegemeya mwamposa kuwa kinga yake, atupo KWA mkesha wa mwamposa 😞❌, tupo kwajili ya mungo pekee aliyo mbinguni, etc
@@NelsonbernardoDaleli-jn6lyumelopoka bdo hujasema😏,,yaan umecomment bila kufkiria mara mbili kwa kifup bdo hujajielewa kwa kias chake..and second hucpende kuwasema watumishi wa mungu then hucpende kulopoka hucvyovijua kwsabb kuna kesho😊..km umjui vzr mtu ni bora umtafute mtu anayemfahamu akakueleza kuhusu huyo mtu kuliko kulopoka vitu kiolela ambavyo mwenye akili timamu akikuckilza anakuona hamnazo 😊.jitafakari
Mwamposa ni mtumishi wa Mungu, ila wewe kwa kuwa una *mungo wako Kama ulivyosema sio mbaya ila jehanum inakuhusu kwa kuhukumu usipobadilika utahukumiwa*@@NelsonbernardoDaleli-jn6ly
@@NelsonbernardoDaleli-jn6ly utamjua mungu bila watumishi waliofunuliwa maandiko??..Hakuna alokwambia anamtegemea mwamposa ndugu,..ni
kiongoz wa dini kama wengine tunafuata mafundisho yake kama mtumishi wa mungu..chunga kinywa chako ndugu muombe mungu akutofautishe kwa hekima ya kutamka yaliyo mema
Mm
Wimbo mwema hakika,baba nitofautishe na wengine🙏🙏🙏🙏🥰🥰🥰🥰Martha barikiwa zaidi.dada♥️♥️♥️
From TikTok to here dear blessed Martha Asante kwa huu wimbo saana ..barikiwa saana
ALISHADAI, ADONAI nitafautishe na wengi...n JESUS NAME ❤
Huu wimbo unanibariki sana 😌’’Bwana naomba nitofautishe na wengine’’ 🙏
Am here mourning bishop Allan kiuna, with this song 😭😭😭😭 bishop amefika mwisho mwema 😭😭
ameen mtumishi Martha..tangu jana kwa Mwamposa nilianza kupenda huu wimbo.umenibariki sana huu wimbo❤❤❤..nakupenda Odo wngu❤❤
Ni maombi yangu, kuwa baraka kwa wengi, Mungu ninaomba nitofautishe na wengi
Wimbo mzuri sana...Bwana nitofautishe🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽.
Ila nyimbo zako zote nazipenda na huzisikiliza kila wakati
Dada martha acha mungu akutofautishe na kina christine shusho walioacha injili na kufata tamaa ya fedha. May lord God bless you. Watching from +254🇰🇪🇰🇪
Daaaah ❤❤ siseme tuu nyimbo ni 🔥 Mungu naomba nitofautishe na wengine😢
Najitahidi mimi ili nifike mwisho mwema,amen be blessed 🙌
Wimbo Wa nguvu sana, nimependa sana mtumushi Wa Mungu Mch. Martha
Mpaka nikainama kuomba🙏🙏🙏🙏🙏.
Mungu nitofautishe na wengi❤❤❤❤.
Amen
Natamani niwe baraka kwa wengi
Her songs are a big motivation and of hope for another day...God bless her so that she continues blessing us too😊 Much love from Kenya 🇰🇪
Masterpiece. From 254 naomba nitofoutishwe na wengine.Amina
Kuzaliwa katika mazingira ya ukristo ,kuongea katika lugha,kusoma neno kumbe bado haijatosha kufikilia ufalme wako Baba ,naomba unifunze na unisaidie nisiikane imani hadi mwisho ,vita vijapo uwe ngao na mtetezi wangu wa karibu
Najitahidi ili nifike mwisho mwema,baba naomba nisaidie,unitofautishe na wewe,thanks dada mwaipaja nyimbo zako zinaanibariki sana mungu🙌aendelee kukuinuwa kwa kiwango Cha juu🙏🙏
Mungu akupandishe juu. Nilikuwa niki isubiria sana.
This is my prayer at the moment. Thanks for the touching lyrics and prayer.
Tuliousikiliza kwa mwamposa live ukiimbwa mkuje hapa na like❤❤❤❤❤
👋🏻
Amina
Tuko hapa
Pamoja
Amen
Mungu azidi kukuinua... jana ulinibariki sana huu wimbo kwenye mkesha wa chako ni chako ❤
Any Kenyan please like tukisonga👊🙌🙌
utawezana 😅😅tuko wengi
@@HarrisonMurunga-xn9tj 😂😂😂😂lazima nianguke nao wote 😎
This lady makes me feel blessed. The kind of songs you listen to and feel the presence of God in your life.
🙏Emwenyezi mungu naomba nitofautishe na wengine katika kila kitu nikifanyacho.Heko dadangu
I like the song
Mungu wangu please baba yangu Nitofautishe yesu wangu Amen
Baba naomba ukanitofautishe na wengine 🙏
Natamani kuimba pia mbinguni mimi ninapo sikiya wimbo huu I am feeling in the heaven 💕💕💕💕
From Kenya, but I love your songs mummy,,, congratulations mum, love you ❤❤❤❤❤, good songs, may God bless you 🎉
Halleluyah...Nitofautishe ni wangu Bwana naomba 🤲🤲🤲🙌🙌🙏🙏
Kongole kongole kongole Martha,nimesubiri hii kibao kwa hamu na gamu. Mungu akunyenyekeze akikuinua kwa utukufu hadi kwa utukufu mwengine
Martha hata sasa uko tofauti na wengine kabisa Mungu keshakutofautisha na wengine kabisa! Nakupa Big Up!!Glory to God kwako!! Martha.
What a worship song, something that I'll play every morning when I wake up
Mawazo yangu zitafautishe na wengine. Wimbo wa baraka kweli 🔥
Mungu wangu naomba unitofautishe na wengine
Mungu naomba unitafautishe na wengine 🧎♀️🙌🙌🙌🙌😥
Huu wimbo ni mzuri sana niliusikia jana kanisani kwa mwamposa
nakupenda sanaaaaa😘, MUNGU akupandishe viwango vya juu zaidi........,.
Baba naombaaaaaa nitofautishe na wengine,ili nifike mwisho mwema🙏 Amen
We can’t get there by our own righteousness and good Deeds but from GOD only and his Holy Spirit guidance 🙌🏾🙏🏾barikiwa mama❤
Amiiina, nitofautishe tena baba!
🧎🏽♂️🧎🏽♂️🧎🏽♂️🧎🏽♂️🧎🏽♂️🧎🏽♂️🧎🏽♂️
Maman yangu mungu azidikuku ongoza katika nja yakweli n'a haki wala Yesu asikubali upoteye hilini ombilangu kwa mungu usuige dunia wala usiige wanadamu ❤❤❤❤
👍✔☑✅🏌️♂️🏌️♀️🤝💗💕💟❤🧡💞🤾♂️
😭😭🙌🙌🙌 Baba nitofautishe na wengi nakuomba.Thank you Martha for the touching song
Wow wonderful song.... Nitofautishe na wengne 👏 👏 👏
Nitofautishe na wengine amina mungu azidi kuku tia nguvu my matha love you so much
What is coming from my spiritual mommy is🔥🔥🔥
Martha if u disappear for more than a month but once u back our hearts must be blessed 🙌 we love you Mama❤ may God gives you what u deserve 🎉🙏.
Nakupenda sana dada martha, mungu akubariki zaidi, napenda nyimbo zako
From 🇰🇪 wimbo mzuri sana najitahidi nifike salama....God bless you forever
From 🇧🇮 wimbo mzuri Sana najitahidi Nike salama God bless you forever 🇮
Mungu akuongezeye kipaji. Tunabrkiwa sana kwa nyimbo zako
Hallelujah hallelujah 😭😭😭 baba nitofautishe na wengine kitabia ,nk in Jesus name 🙏🙏 barikiwa Sana mum ❤❤❤
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Natamani niwe baraka kwa wengi
❤❤❤❤I love your music 🎶🎼🎶🎼 too okwitwi
@@lumosinewton9333 amina Asante saaana 🙌
Ombi langu siku ya leo baada ya ugomvi mkali,😭nitofautishe ee Mungu wangu🙏
Barikiwa zaidi sana dada Martha mwaipaja 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nitofautishe na wengine mungu wangu❤
Amen 🙌🙌🙌🙌🙌🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩Ni kweli Mangu, Mungu atutofautishe kabisa ,
Najitahidi nifike mwisho mwema, Baba naomba nitofautishe na wengine 🙏🙏
Nyimbo uzo imba kila leo,zime ni bariki,MUNGU azidi kuku inuwa
Amen🙏nyimbo zako hunipeleka katika level nyingine Kila ninapo sikiliza barikiwa sana na hiyo neema iendelee kuwa kubwa zaidi na zaidi