MWL, C. MWAKASEGE: KONGAMANO LA KUMILIKI MFUMO WA KIROHO, KIUCHUMI NA KITAIFA. Jumapili, 5\11\2023.
Вставка
- Опубліковано 4 лис 2023
- NI JUMAPILI HII TAR 5 NOV 2023 MUDA NI SAA TATU ASUBUHI MPAKA SAA SABA MCHANA { KIJICHI CITY CENTRE CHURCH KWA ASKOFU FLORIAN KATUNZI }
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Eee Mungu nipe tena kulipenda neno lako kama nilivyokua mwanzo nimerud nyuma sana kiimani
Mungu aendelee kuwatunza na kuwainua katika huduma aliyoiweka ndani yenu.🙏
Amen nimefarijika na masomo ya mwalimu mwakasege
Nimjifunza kumbe kuna mifumo asante mtumishiŵambingun mungu akulinde
Mungu awabariki Sana Wana wa Mungu ,hakika Mungu ni mwaminifu tunawaombea sana
Nabarikiwa sana na huduma yenu baba
Katunzi & Mwl Mwakasege Mungu awabariki sana.
God connect with me here, as I seek YOU in your word!
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen 🙏
Mungu ni mwema sana..
Wakati wa maombi niliona ukuta ulikuwa unanizingira umebomoka na ukawepo mwanga mkuu ukatawanya nyoka walio kuwa ndani ya like jengo nililo kuwemo. Kisha nikaona amani sana ndani yangu.
Sikujali kwamba zilisha pita wiki mbili nikaamini kwamba ni sasa..
Ninatamani siku Moja nikutane na Mtumishi japo nishike mkono wake tyuu, itatosha.
Barikiwa Kila sekunde ya uhai wako.
AMINA
Mungu wangu nisaidie nitoe ktk mifumo ya nguvu za giza na watoto wangu wote,,kwa damu ya Yesu,,uniingize ktk mifumo ya ufalme wa nuru,,kwa Jina la Yesu.
Asante mtumishi au leo ulijua naipeleka sadaka? Asante roho mtakatifu kuniletea neno hili
Ubarikiwe mtumishi imenibariki na kunifungua akili katika imani
Nawapenda kutoka watumish kutoka moyoni
Nashukuru Mungu nimekutana na somo zuri kama hili. Mwalimu Mungu akutunze sana pamoja na familia yako. Mii ninabarikiwa mno maana najifunza mambo ya msingi sana kutoka kwako.
Mwalimu Mungu akuzidishie hekima zaidi,
Nauliza nini maana ya mfumo
Tuanzie hapo Ili kujua jinsi ya kutoka kwenye tatizo
Mfumo ni utaratibu au mwongozo wenye mamlaka yenye uhalali wa jambo au shuhuli yeyote...
barikiwa sana watumishi, kazi yenu njema sana!!!
Hili somo limenifundisha kitu kipya kabisa katika maisha yangu. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
Baba Mungu ameweka vitu ndani yako,,Yesu atusaidie kwakweli
Mbarikiwe na Mungu
Mungu awabariki kila mmoja 🙏🙏🙏🙏🙏
Kazi yako imetukuka Mwalimu🤝🙏
Barikiwa Sana watumishi wa MUNGU aliye hai
Amen
God is all About,lovely.
Mungu awabariki xn🙏🙏🙏
Asante mtumishi wa mungu
Mungu awabariki sana
AMEN
Sautii jaman bwana Yesu tusaidie tunaachilia damu ya Yesu kwenye mitambo
Powerful sermon...following from kenya
Ndyo Kwa hyo nitatokaje kwenye mfumo hii,au uhlali kwenye maisha niliyonayo
@@marynakei2621kwa kutaa mfumo huo na kutoa sadaka ya kukataa , then unatoa sadaka ya kuingia mfumo mwngne , ukitoa sadaka uisemee hyo sadaka unavyotaka sio unatoa kimya kimya , ukiwa unaitoa unasema sadaka hii kwa ajili ya nini , sadaka lazima ibebe maneno, Amen
Nawapata dar moja kwa moja
🙏🙏
Sautiii
TUNAMTUKUZA SANA MUNGU
Sauti ndogo sana
Amen 🙏
Mbona saiz hampost mwalimu yuko wapii . Hatuoni youtube ??
Naungana na wenzangu kupokea mfumo mpya wakiroho
Mimi nimepitwa ila ninasikiliza sasa
Jaman Watumishi Hawa na apendaaa Toka moyon Mungu endelee kuwatunzaa nashukuru leo mmekutana
Ezekieli ngap jamn
Ezekiel 21:21-22
Au Kuna kitabu kinachoeleza mfumo?
kipo kanisani kwa katunzi , kitafute kinaitwa Sadaka ndani mwa sadaka langoni 1 na cha pili ni sadaka ndani mwa sadaka langoni , sadaka inayokamata mfumo , kipo kanisani pale
ua-cam.com/users/liveF3AX_lCV0tI?si=3Rwh_Iu-f79vs8SV angalia hapo na kitabu kipo cover hyo juu
Kanisa la katunzi lipo wapi
@@princesmaile5561 Andika google Bishop Fj katunzi , itakupa direction kanisa lilipo had kufika , Kijichi mtaa wa Katunzi , Vitabu vinapatikana pia Luther House Posta pale ,