Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Kama umefurahishwa na kiwango cha azizi na yanga kwa ujumla like here pls🎉🎉
Hivi mabeki Hawa mabeki hawajui Nini maana ya UKUTA, yaani karuka Mmoja tu', mmempa kipa wakati mgumu..👏👏👏👏👏
mwamnyeto tunakupenda bt jitahidi kurekebisha makosa yako😢 gift Fred pass zake🔥👏👏👏
Ila Gifti Freddy pasi zake NI hatarii 🔥
Jamani hivi na nyinyi umouona mchango wa magori mawili ya Yanga kutoka kwa beki mganda Gift Freddy hakika hawe napewa muda acheze.
Daimond
Kama hauna D mbili umefeli 😂😂😂
🙏
Huyu gift kaonekana lakini😮😮
❤FREEDOM FIGHTERS
Mwanyeto na mshery wamezingua asa
Ila yanga watatuuwa kwa furaha mwaka tunashinda hadikero tn😂😂
Juu moto chini moto😂😂😂😂😂
Naskia fei alitapika sana jana 😂
Kilichobakia tunataka kombe lililobakia furaha hizidi na tuna hasira na rambaramba walituumizia wachezaji wetu mpaka kieleweke
Nani mwingine amegundua hizo goli zote zimepigwa Upande mmoja
Na ww kachukuwe iyo bahasha
Mutwambie sasa nyie makolo munamsapot fei achukuwe kiatu au munapambania nafas ya pili
Bacca anaonekana hajafurahi kabisa aziz ki kufunga hatric alitaka mzanzibar mwenzie achukue kiatu
Mwamnyeto should and must be stripped of the captaincy, he's a flop who doesn't deserve to be a leader of this great team
Kama umefurahishwa na kiwango cha azizi na yanga kwa ujumla like here pls🎉🎉
Hivi mabeki Hawa mabeki hawajui Nini maana ya UKUTA, yaani karuka Mmoja tu', mmempa kipa wakati mgumu..👏👏👏👏👏
mwamnyeto tunakupenda bt jitahidi kurekebisha makosa yako😢 gift Fred pass zake🔥👏👏👏
Ila Gifti Freddy pasi zake NI hatarii 🔥
Jamani hivi na nyinyi umouona mchango wa magori mawili ya Yanga kutoka kwa beki mganda Gift Freddy hakika hawe napewa muda acheze.
Daimond
Kama hauna D mbili umefeli 😂😂😂
🙏
Huyu gift kaonekana lakini😮😮
❤FREEDOM FIGHTERS
Mwanyeto na mshery wamezingua asa
Ila yanga watatuuwa kwa furaha mwaka tunashinda hadikero tn😂😂
Juu moto chini moto😂😂😂😂😂
Naskia fei alitapika sana jana 😂
Kilichobakia tunataka kombe lililobakia furaha hizidi na tuna hasira na rambaramba walituumizia wachezaji wetu mpaka kieleweke
Nani mwingine amegundua hizo goli zote zimepigwa Upande mmoja
Na ww kachukuwe iyo bahasha
Mutwambie sasa nyie makolo munamsapot fei achukuwe kiatu au munapambania nafas ya pili
Bacca anaonekana hajafurahi kabisa aziz ki kufunga hatric alitaka mzanzibar mwenzie achukue kiatu
Mwamnyeto should and must be stripped of the captaincy, he's a flop who doesn't deserve to be a leader of this great team