MAJIBU YA MAOMBI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Tumaini Shangilieni Choir, / tumainishangilieni.choir ; / tumainishangilienichoir

КОМЕНТАРІ • 159

  • @lilianjacobs248
    @lilianjacobs248 2 роки тому +8

    Aliyetunga wimbo huuu na kwa walio imba Yesu awakumbuke

  • @hudumaexpress4193
    @hudumaexpress4193 Рік тому +3

    2023 and still my favorite song. You have been a blessing since my high school days. May the Lord continue blessing and using you. Shalom.

  • @geraldsanga4879
    @geraldsanga4879 2 роки тому +3

    Old vasion ni nzuri sana, naomba nayo muweke

  • @doricesamwel7785
    @doricesamwel7785 2 роки тому +3

    Bwn yumo ktk kwaya hii.mnatusaidia wengi.aamen!!

  • @peninakundi6843
    @peninakundi6843 10 місяців тому +3

    2024 march 20 nausikiliza tena siku nzima nautafakari

  • @rehemaenock1396
    @rehemaenock1396 2 роки тому +2

    Tangu nikiwa mdogo huu wimbo unanibariki sana na ndo wimbo ambao huwa unanisogeza Moja Kwa moja Kwa Mungu. Mbarikiwe sana

  • @jacobmwaipopo9961
    @jacobmwaipopo9961 6 місяців тому

    Yaan huu wimbo! unakufanya ujisikie upo karibu na Mungu wako. Meseji imenyooka yenye faraja kubwa, Mbarikiwe sana.

  • @valentinawilliams3526
    @valentinawilliams3526 Рік тому +1

    Zungumza nae,mkumbushe,non'goneza kwa siri hata katikati ya watu yeye baba husikia 🙏

  • @frankrapha1174
    @frankrapha1174 Рік тому +1

    kila saa, kila wakati nabarikiwa na nyimbo zenu sanaaaa......... Mungu awabariki.

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka Місяць тому

    Huu ndo wimbo sio huo wa mavyombo ya kisasa hauvutii huu umeimbwa kwa hisia sana barikiwa

  • @rachellaiza7779
    @rachellaiza7779 2 роки тому +1

    Nikiwa nasoma sekondari nakumbuka nilikuwa nikiupenda huu wimbo sana mmenikumbusha mbsli sana

  • @simonomary1435
    @simonomary1435 2 роки тому +2

    Hamjawahi kukosea. Mungu azidi kuwabariki

  • @kadumaisaya4287
    @kadumaisaya4287 8 місяців тому +1

    SIJUI NISEME NINI HII KWAYA INANIBARIKI SANA MIMI SANA NAWAPENDA SANA

  • @mlekwamathias1234
    @mlekwamathias1234 Рік тому +1

    Jamani yaani. Nyie. In. Sio. Out. Nawapenda. Mnoo

  • @ericrichard371
    @ericrichard371 2 роки тому +4

    Naombeni sana kama inawezapatikana First Version ya huu wimbo uliokua kwenye albamu ya SILAHA YA USHINDI.

  • @lilianjacobs248
    @lilianjacobs248 2 роки тому

    The best kwaya nyimbo ZENU Zina nibariki sana hasa nikiwa kwenye shida Zina niifariji sana

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 2 роки тому +1

    Nawakubali sana kazi yenu nzuri sana

  • @heavenmreno9879
    @heavenmreno9879 4 роки тому +1

    Hakika namngoja BWANA YESU maana yeye kimbilio language,,mnanibariki sana Tumaini shangilieni

  • @nckmwack
    @nckmwack 7 років тому +13

    Nyie ni role modal wangu ktk industry ya kwaya Tanzania nilianza kuwasikiliza nikiwa mtoto mdogo, kwa kweli Mungu awabariki Mtangoo na timu nzima ya Tumaini kwaya

  • @godluckmgomba6365
    @godluckmgomba6365 4 роки тому +2

    Mtabaki kuwa juu siku zote,Mungu azidi kuwainua

  • @enockfidelis5883
    @enockfidelis5883 3 роки тому +1

    Nabarikiwa sana duh na kwaya hii mungu azidi kuwainua aaameen

  • @aronsilaa5082
    @aronsilaa5082 Місяць тому

    Huu wimbo wote uko kichwani kwangu, unanikumbusha miaka ya 2001-2003 nikiwa primary, nilikua naupenda sana huu wimbo origin version yake, mzee alikua na cassette yake

  • @ymusic803
    @ymusic803 5 років тому +4

    huu wimbo hauchoshi kuusikiliza me mdau wenu wa nguvu

  • @christinakaali8997
    @christinakaali8997 2 роки тому +2

    Nawapenda Sana waimbaji wetu, wakongwe hakika mko vizuri ,tunapata mahubiri na burudani ,mungu azidi kuwainua juu zaidi

  • @BenjamnimsakaBenjamnimsa-ls9gu
    @BenjamnimsakaBenjamnimsa-ls9gu 14 днів тому

    Hata katikati ya watu yeye bwana husikia,magumu yakinizidi nausikiliza huu wimbo na bwana anajibu

  • @ananiamwasandube8442
    @ananiamwasandube8442 Місяць тому

    Mbarikiwe sana Shangilieni choir

  • @greysonmheni5176
    @greysonmheni5176 2 роки тому

    Mungu awabariki sana kwaya ya Tumaini,kazi yenu haitakuwa bure

  • @praygodmangi827
    @praygodmangi827 5 років тому +3

    Jamani ninatafuta nyimbo zenu zaidi ya dhahabu. I love you so much guys. Mungu awabariki sana

  • @yohanamsangi4717
    @yohanamsangi4717 5 років тому +3

    Jamani kwaya yangu tumaini penda sana nyie kaka Elikana uko vizuri sana unagonga solo balaaaaaa

  • @epson5446
    @epson5446 4 роки тому

    Mungu akipenda nikija Arusha nitawatembelea.

  • @joshuaeliakim2157
    @joshuaeliakim2157 11 місяців тому +1

    Nani anasikiliza na mimi wimbo huu mzuri leo March 2024 tubarikiwe

  • @isabelavictor9964
    @isabelavictor9964 10 місяців тому +1

    Amen 🙏

  • @seraphiaekoni1476
    @seraphiaekoni1476 3 роки тому +1

    Nimebarikiwa sana na nyimbo zenu

  • @favouropande1065
    @favouropande1065 7 років тому +9

    My choir wow......this song is so so anointed. Nimekuwa nikusikiza na sasa nimeona vyema nitoe maoni. Mungu awazidize katika kiwango nyingine. Mama yangu namuona pale na,wamana na ndugu zangu wengine. Hakika muna tiya moyo. Nitazidi kuomba nakumngojea Bwana. Yes you are a blessing . continue with the good work. I am proud of u Mtunzi wa nyimbo hongera, instrumentalists wote hongera. Walimu wa sauti hongera May all the glory go back to Jehovah.

    • @bonifacembilinyi5576
      @bonifacembilinyi5576 6 років тому +1

      Tumaini Shangilieni Choir
      Mungu awabariki kwa kazi yenu nzuri hakika mnastahili pongezi. Naomba kujua ntapataje hii Dvd

    • @benjaminngobei5661
      @benjaminngobei5661 Рік тому +1

      Hakika huu wimbo unanibariki mno

  • @ContentLawnGame-ne6pt
    @ContentLawnGame-ne6pt Рік тому

    Kweli nimebarikiwa sana na waimbaji Hawa mungu awakumbuke sana

  • @OdiraWango
    @OdiraWango 4 місяці тому

    Nawapenda sana shangilieni

  • @martinmhando8351
    @martinmhando8351 4 роки тому +2

    My best Choir of All time, sichoki kuwasikiliza Tumaini Shangilieni kwaya, Mungu aendelee kuwabariki Mtangoo family, Mama yangu mama Rwezaula na wanakwaya wengine wote.

  • @lawrencechando3552
    @lawrencechando3552 4 роки тому

    Ombi lako limeandikwa katika kitabu......hakika litajibiwa kwani baba mwaminifu.....zungumza naye mkumbushe nongoneza kwa siri🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @elvisshoka2239
    @elvisshoka2239 7 років тому +3

    Eeee!!! Hizi nyimbo zimekuwa bora zaidi..kwaya hii yenu nimeipenda sana tangu utotoni...utunzi wenu mzuri mno!!! Nawapenda sana..Elvis wa pwani ya Kenya

  • @idikagutsungwa7784
    @idikagutsungwa7784 4 роки тому

    Nimejikuta natokwa machozi umenigusa huu wimbo ,nimeomba muda mrefu sipati jibu kumbe ombi langu Mungu kaliaandika ,asanteni sana

  • @eliusrobert2543
    @eliusrobert2543 7 років тому +2

    nisiposema chochote kwakweli sitawatendea haki... Mungu wa mbinguni muweza wa yote awabariki kwa kazi hii!!!

  • @lightnesssingo6584
    @lightnesssingo6584 2 роки тому

    Daaaah,nyimbo nzuri jamani, pia inabariki,hongereni Mungu azidi kuwainua na kuwatia nguvu

  • @joycemlawa2620
    @joycemlawa2620 5 років тому +1

    jmn mama mercy rwezaura namkumbuka sana @ nawapenda sana tumaini shangilieni choir

  • @mfalmegideon
    @mfalmegideon 7 років тому +8

    Hizi Nyimbo Zinanikumbusha Miaka Ya Zamani Kidogo Na Baba Yangu
    Jumapili Baada Ya Ibada Redio Ya SONY na Cassette zetu Hizi Ndo Nyimbo Asubuhi Hadi Jioni
    Nilizishika Mno
    Ahsanteni Kwa Kuzirudia Upya

    • @ombenmgallah6995
      @ombenmgallah6995 2 роки тому

      Daaah, yani ulichoandika kama vile umecopy kwangu aisee, zilifanya mpaka leo zikipigwa kuna baadhi ya matukio nayakumbuka, baba angu alikua ananunua kila cassette itayotoka

  • @tedyokachu5013
    @tedyokachu5013 6 років тому

    Huu wimbo huwa unaniliza ingawa unanitia nguvu sana😭😭😭kama hapo wanapoimba"Basi ndugu ukumbuke upigapo magoti,......halafu "mimi leo namngoja Bwana Yesu wokovu wangu kwake". yaaani😭😭😭😭😫

  • @MerryEzekiel
    @MerryEzekiel 4 місяці тому

    Mbarikiwe❤

  • @danielorango5875
    @danielorango5875 7 років тому +3

    Wimbo mtamu kweli na wa kubariki moyo. Kweli Bwana Mungu ujibu maombi maana mimi ni mshuhuda wa haya. Bwana awabariki sana kwaya Tumaini St. James

  • @mariaezekieli4520
    @mariaezekieli4520 7 років тому +7

    NYIMBO HIZI NZUR SANA ZINANIKUMBUSHA NILIVYO NASIKILIZA KWENYE KASETI YA REDIO NIKIWA MDOGO HONGERENI SANA

  • @PatientMutunda-si1lp
    @PatientMutunda-si1lp Рік тому

    Hakika mungu awa bariki

  • @gracemushi1283
    @gracemushi1283 7 років тому +2

    hongera sana kwa kurudia hiz nyimbo zinanikumbusha nilivo kuwa mdogo nzur sana

  • @janelunanilo162
    @janelunanilo162 2 роки тому +2

    From glory to glory ..! Thank U Lord

  • @simonhanno8193
    @simonhanno8193 6 років тому +1

    Kazi nzuri sana Shangilieni Choir, Mungu awalinde na pia awatie nguvu muendelee kutuletea Injili kwa njia ya uimbaji, asante sana.

  • @engjosephm.byejwe2905
    @engjosephm.byejwe2905 6 років тому

    Huu wimbo unanipa nguvu sana...mara zote nikiwa down, i listen to this song and i feel uwepo wa Mungu, napata moyo wa kuendelea mbele.....Mungu awabariki sana

  • @kedmondkepha2249
    @kedmondkepha2249 5 років тому +1

    Ujumbe mzuri Sana Tumaini choir

  • @mariaezekieli4520
    @mariaezekieli4520 7 років тому

    nafurahishwa na nyimbo zenu zinatia moyo mungu awabariki watumishi asanteni sana na wapenda sana tumaini Arusha

  • @chikuissa6170
    @chikuissa6170 4 роки тому

    Nawapenda sana Mnaniinua sana kiroho na kimwili Mbarikiwe sana Maana mnaponya wengi.

  • @floridawillybati7553
    @floridawillybati7553 6 років тому +1

    Ipo siku namimi Mungu atajibu Maombi yangu

    • @samilandoo
      @samilandoo 5 років тому

      Florida Willybati amina Mungu akafanye sawasawa na haja ya Moyo wako

  • @engjosephm.byejwe2905
    @engjosephm.byejwe2905 6 років тому

    nimeanza kusikia nyimbo zenu nikiwa mdogo sana.....zilikuwa ni nyimbo pendwa na wazazi wetu...mpaka leo sijachoka kuwasikiliza....nyimbo zenu ni nzuri na zinabariki sana...huu wimbo nikiusikiliza nasikia uwepo wa Mungu....Mungu awabariki sana kwa kazi njema....

    • @fatumajuma4771
      @fatumajuma4771 5 років тому

      Mbarikiwe sanaaa huu wimbo umenibariki

  • @floridawillybati7553
    @floridawillybati7553 6 років тому

    Wimbo huu unanitoaga machozi nilinunuaga kaseti toka mwaka 2001 nilikuwa nauludiaga ludiaga mpaka nika ushika Mungu awabariki

  • @doricesamwel7785
    @doricesamwel7785 2 роки тому

    Wimbo huu,mara. Nyingi nikisikia kukata tamaa Bwn amekuwa akinisemesha kupitia wimbo huu na andiko hilo la thesalonike.unaniijia akilini mawazoni na mara nautafuta naupiga nakaa flesh

  • @maxjaphet8552
    @maxjaphet8552 7 років тому

    Kwakweli nyimbo zenu zinanifuraisha sana, ususani iyo miondoko ya zuku aaahh.

  • @happinessmngulu1013
    @happinessmngulu1013 7 років тому

    naipenda kupiga kiasi kwaya ya Tumaini Shangilieni. namkumbuka rafiki yangu alikuwa akiziimba sana enzi za shule 2000. Mbarikiwe sana sana

  • @happinessmngulu1013
    @happinessmngulu1013 7 років тому

    yaan nabarikiwa sana. Kristo Yesu awabariki wapenz

  • @eliaschilemu8066
    @eliaschilemu8066 7 років тому

    huu wimbo huwa unanifanya nalia kwa furaha nikiamini majibu ya maombi yangu yako karibu
    Nafarijika mno moyoni mwangu nikiyapuuza mateso ninayopitia sasa kuwa bado kitambo kidogo nitavuka kwa Ushindi. Karibuni Kongwa 2018

  • @amosnyanda1160
    @amosnyanda1160 4 роки тому

    Mbarikiwe

  • @sinzasoundbandtanzania6200
    @sinzasoundbandtanzania6200 7 років тому

    Tumaini Shangilieni Choir, Cette Chanson me rejouis tellement le Coeur ! This Song rejoices me so much in my heart. Napata faraja sana moyoni

  • @nikwisamwakajinga3472
    @nikwisamwakajinga3472 6 років тому

    Nyimbo zenu ni faraja kubwa sana kwangu!nawapenda mno kwaya ya shangilieni Arusha Mungu azidi kuwabariki.

  • @mariaezekieli4520
    @mariaezekieli4520 7 років тому

    ASANTE SANA WAPENDWA nyimbombo zenu zinanipa amani ktk maisha yangu imani

  • @josephmwafute5467
    @josephmwafute5467 7 років тому

    Majibu ya maombi.... moja kati ya nyimbo ninazo zipenda since first edition

  • @michaeljoseph2410
    @michaeljoseph2410 6 років тому

    ombi baba husikia choz langu siovbure

  • @johnjoab1701
    @johnjoab1701 4 роки тому

    Nyimbo hizi hunibariki

  • @dastanamos4841
    @dastanamos4841 7 років тому

    Huwa na barikiwa sana na huu wimbo

  • @mashakamwashilindi5607
    @mashakamwashilindi5607 5 років тому

    Wazee wa live mungu awabariki

  • @hellenmacha5097
    @hellenmacha5097 7 років тому

    Asanteni sana hakika ombi litajiibiwa Mungu ni Mwaminifu

  • @pmb8565
    @pmb8565 4 роки тому

    Hallelujah, sifa zirudiliye Mungu milele

  • @petermatonya6890
    @petermatonya6890 7 років тому

    Mungu awabariki kwa nyimbo zenye upako

  • @josepharunga4614
    @josepharunga4614 7 років тому

    Nabarikiwa sana! Naomba kibali cha Mungu wetu juu yenyu nyote

  • @aiyasageo2572
    @aiyasageo2572 7 років тому +2

    Mungu awabariki sana na awape nguvu ya kueneza neno duniani kote. Twawangoja Mombasa mwakaribishwa

    • @aiyasageo2572
      @aiyasageo2572 7 років тому +2

      tafadhali nipeni contacts so that i can try and do the connections

  • @marthamesha3345
    @marthamesha3345 7 років тому

    Aiseee mbarikiwe sana watu wa mungu

  • @sikobogonko9288
    @sikobogonko9288 6 років тому +2

    I play this song over and over again...very beautiful, reflective, nourishing song. Mbarikiwe wana kwaya ya St James Arusha.

  • @NEEMAMAEDA-u1m
    @NEEMAMAEDA-u1m 10 місяців тому

    Mi nabarikiwa mno na huu wimbo jamani ACHA tu

  • @musamutambuki8545
    @musamutambuki8545 7 років тому +1

    Wimbo wa kuinua Imani kwa Yesu. Mbarikiwe sana.

    • @josefusingano8014
      @josefusingano8014 7 років тому

      +TUMAINI SHANGILIENI CHOIR ST. JAMES AC ARUSHA (SHANGILIENI) kwakweli mbarikiwe Sana nyimbo hizi za zamani nazipenda Sana CD nitaipataje??

  • @mariaezekieli4520
    @mariaezekieli4520 7 років тому +2

    asante nimepata ujumbe wenu waimba mungu awabariki jipangeni ktk maombi mungu ni mwaminifu

    • @annangowi1294
      @annangowi1294 7 років тому

      maria ezekieli jamani mimi hizi nyimbo siwezi kuzichoka kabisa ongereni waimbaji wa arusha st jamesi mnanibariki sana tangu mtoto mpaka sasa ila kunanyimbo nyingine mlizoimba mwanzo nimejaribu kutafuta bila mafanikio. Mwivi aji ila aibe

    • @bettymsongole2254
      @bettymsongole2254 7 років тому

      maria ezekieli ombi rako rimesikirizwa hata katikati baba husikia

  • @janetshao2420
    @janetshao2420 7 років тому

    Nyimbo nzuri sana

  • @adamsgraphics192
    @adamsgraphics192 7 років тому

    nazipenda sana nyimbo hizi

  • @adoratricerosettekasemire3275
    @adoratricerosettekasemire3275 4 роки тому

    Na penda sana hii song , from 🇨🇩

  • @mariaezekieli4520
    @mariaezekieli4520 7 років тому +2

    asante sana

  • @josephmwafute5467
    @josephmwafute5467 7 років тому +1

    Omba usichoke nakumbuka solo nzuri elkana safi

  • @saturdaynusurupia6594
    @saturdaynusurupia6594 4 роки тому

    Can not stop listening to this very song... be blessed ya'll

  • @thegadgetiuse9654
    @thegadgetiuse9654 4 роки тому

    My beloved Song

  • @ndossytumaini85
    @ndossytumaini85 7 років тому

    Endeleeni kunyenyekea chini ya mkono wa Bwana naye atawakweza kwa wakati wake

  • @emmanuelmanyama8133
    @emmanuelmanyama8133 6 років тому

    huduma yenu inanibariki sana

  • @dinnalameck2404
    @dinnalameck2404 6 років тому

    Naupenda huu wimbo sana,,,mbarikiwe waimbaji😘

  • @christineimbai3467
    @christineimbai3467 6 років тому

    nimejikuta nikilia machozi. nilikua nimesahau hata kuomba miaka mingi sana lakini vile mnavyo imba mmenkumbusha kuomba

  • @graceedward8321
    @graceedward8321 7 років тому

    Mmm big blessing

  • @stanleyngonde4472
    @stanleyngonde4472 7 років тому

    umenigusa sana! wimb huuu, mungu awabark San

  • @GSengo
    @GSengo 5 років тому

    Nina miss mambo mengi sana.....dah

  • @ndossytumaini85
    @ndossytumaini85 7 років тому

    sasa nimeelewa sana huu wimbo Mungu awabariki na kuwainua sana

  • @mariaezekieli4520
    @mariaezekieli4520 7 років тому

    asante nimepata ujumbe wetu

  • @amanimika7828
    @amanimika7828 7 років тому

    nzuri sana jamani Mungu awabariki sana naweza kupata cd ya album nzima ya hii remix