Nyie ni role modal wangu ktk industry ya kwaya Tanzania nilianza kuwasikiliza nikiwa mtoto mdogo, kwa kweli Mungu awabariki Mtangoo na timu nzima ya Tumaini kwaya
Huu wimbo wote uko kichwani kwangu, unanikumbusha miaka ya 2001-2003 nikiwa primary, nilikua naupenda sana huu wimbo origin version yake, mzee alikua na cassette yake
My choir wow......this song is so so anointed. Nimekuwa nikusikiza na sasa nimeona vyema nitoe maoni. Mungu awazidize katika kiwango nyingine. Mama yangu namuona pale na,wamana na ndugu zangu wengine. Hakika muna tiya moyo. Nitazidi kuomba nakumngojea Bwana. Yes you are a blessing . continue with the good work. I am proud of u Mtunzi wa nyimbo hongera, instrumentalists wote hongera. Walimu wa sauti hongera May all the glory go back to Jehovah.
My best Choir of All time, sichoki kuwasikiliza Tumaini Shangilieni kwaya, Mungu aendelee kuwabariki Mtangoo family, Mama yangu mama Rwezaula na wanakwaya wengine wote.
Eeee!!! Hizi nyimbo zimekuwa bora zaidi..kwaya hii yenu nimeipenda sana tangu utotoni...utunzi wenu mzuri mno!!! Nawapenda sana..Elvis wa pwani ya Kenya
Hizi Nyimbo Zinanikumbusha Miaka Ya Zamani Kidogo Na Baba Yangu Jumapili Baada Ya Ibada Redio Ya SONY na Cassette zetu Hizi Ndo Nyimbo Asubuhi Hadi Jioni Nilizishika Mno Ahsanteni Kwa Kuzirudia Upya
Daaah, yani ulichoandika kama vile umecopy kwangu aisee, zilifanya mpaka leo zikipigwa kuna baadhi ya matukio nayakumbuka, baba angu alikua ananunua kila cassette itayotoka
Huu wimbo huwa unaniliza ingawa unanitia nguvu sana😭😭😭kama hapo wanapoimba"Basi ndugu ukumbuke upigapo magoti,......halafu "mimi leo namngoja Bwana Yesu wokovu wangu kwake". yaaani😭😭😭😭😫
Huu wimbo unanipa nguvu sana...mara zote nikiwa down, i listen to this song and i feel uwepo wa Mungu, napata moyo wa kuendelea mbele.....Mungu awabariki sana
nimeanza kusikia nyimbo zenu nikiwa mdogo sana.....zilikuwa ni nyimbo pendwa na wazazi wetu...mpaka leo sijachoka kuwasikiliza....nyimbo zenu ni nzuri na zinabariki sana...huu wimbo nikiusikiliza nasikia uwepo wa Mungu....Mungu awabariki sana kwa kazi njema....
Wimbo huu,mara. Nyingi nikisikia kukata tamaa Bwn amekuwa akinisemesha kupitia wimbo huu na andiko hilo la thesalonike.unaniijia akilini mawazoni na mara nautafuta naupiga nakaa flesh
huu wimbo huwa unanifanya nalia kwa furaha nikiamini majibu ya maombi yangu yako karibu Nafarijika mno moyoni mwangu nikiyapuuza mateso ninayopitia sasa kuwa bado kitambo kidogo nitavuka kwa Ushindi. Karibuni Kongwa 2018
maria ezekieli jamani mimi hizi nyimbo siwezi kuzichoka kabisa ongereni waimbaji wa arusha st jamesi mnanibariki sana tangu mtoto mpaka sasa ila kunanyimbo nyingine mlizoimba mwanzo nimejaribu kutafuta bila mafanikio. Mwivi aji ila aibe
Aliyetunga wimbo huuu na kwa walio imba Yesu awakumbuke
2023 and still my favorite song. You have been a blessing since my high school days. May the Lord continue blessing and using you. Shalom.
Old vasion ni nzuri sana, naomba nayo muweke
Bwn yumo ktk kwaya hii.mnatusaidia wengi.aamen!!
2024 march 20 nausikiliza tena siku nzima nautafakari
Tangu nikiwa mdogo huu wimbo unanibariki sana na ndo wimbo ambao huwa unanisogeza Moja Kwa moja Kwa Mungu. Mbarikiwe sana
Yaan huu wimbo! unakufanya ujisikie upo karibu na Mungu wako. Meseji imenyooka yenye faraja kubwa, Mbarikiwe sana.
Zungumza nae,mkumbushe,non'goneza kwa siri hata katikati ya watu yeye baba husikia 🙏
kila saa, kila wakati nabarikiwa na nyimbo zenu sanaaaa......... Mungu awabariki.
Huu ndo wimbo sio huo wa mavyombo ya kisasa hauvutii huu umeimbwa kwa hisia sana barikiwa
Nikiwa nasoma sekondari nakumbuka nilikuwa nikiupenda huu wimbo sana mmenikumbusha mbsli sana
Hamjawahi kukosea. Mungu azidi kuwabariki
SIJUI NISEME NINI HII KWAYA INANIBARIKI SANA MIMI SANA NAWAPENDA SANA
Jamani yaani. Nyie. In. Sio. Out. Nawapenda. Mnoo
Naombeni sana kama inawezapatikana First Version ya huu wimbo uliokua kwenye albamu ya SILAHA YA USHINDI.
The best kwaya nyimbo ZENU Zina nibariki sana hasa nikiwa kwenye shida Zina niifariji sana
Nawakubali sana kazi yenu nzuri sana
Hakika namngoja BWANA YESU maana yeye kimbilio language,,mnanibariki sana Tumaini shangilieni
Nyie ni role modal wangu ktk industry ya kwaya Tanzania nilianza kuwasikiliza nikiwa mtoto mdogo, kwa kweli Mungu awabariki Mtangoo na timu nzima ya Tumaini kwaya
Mtabaki kuwa juu siku zote,Mungu azidi kuwainua
Nabarikiwa sana duh na kwaya hii mungu azidi kuwainua aaameen
Huu wimbo wote uko kichwani kwangu, unanikumbusha miaka ya 2001-2003 nikiwa primary, nilikua naupenda sana huu wimbo origin version yake, mzee alikua na cassette yake
huu wimbo hauchoshi kuusikiliza me mdau wenu wa nguvu
Nawapenda Sana waimbaji wetu, wakongwe hakika mko vizuri ,tunapata mahubiri na burudani ,mungu azidi kuwainua juu zaidi
Hata katikati ya watu yeye bwana husikia,magumu yakinizidi nausikiliza huu wimbo na bwana anajibu
Mbarikiwe sana Shangilieni choir
Mungu awabariki sana kwaya ya Tumaini,kazi yenu haitakuwa bure
Jamani ninatafuta nyimbo zenu zaidi ya dhahabu. I love you so much guys. Mungu awabariki sana
Jamani kwaya yangu tumaini penda sana nyie kaka Elikana uko vizuri sana unagonga solo balaaaaaa
Mungu akipenda nikija Arusha nitawatembelea.
Nani anasikiliza na mimi wimbo huu mzuri leo March 2024 tubarikiwe
Amen 🙏
Nimebarikiwa sana na nyimbo zenu
My choir wow......this song is so so anointed. Nimekuwa nikusikiza na sasa nimeona vyema nitoe maoni. Mungu awazidize katika kiwango nyingine. Mama yangu namuona pale na,wamana na ndugu zangu wengine. Hakika muna tiya moyo. Nitazidi kuomba nakumngojea Bwana. Yes you are a blessing . continue with the good work. I am proud of u Mtunzi wa nyimbo hongera, instrumentalists wote hongera. Walimu wa sauti hongera May all the glory go back to Jehovah.
Tumaini Shangilieni Choir
Mungu awabariki kwa kazi yenu nzuri hakika mnastahili pongezi. Naomba kujua ntapataje hii Dvd
Hakika huu wimbo unanibariki mno
Kweli nimebarikiwa sana na waimbaji Hawa mungu awakumbuke sana
Nawapenda sana shangilieni
My best Choir of All time, sichoki kuwasikiliza Tumaini Shangilieni kwaya, Mungu aendelee kuwabariki Mtangoo family, Mama yangu mama Rwezaula na wanakwaya wengine wote.
Amen Amen
Hongereni sana Team Tumaini.
Mungu aendelee kuwainua katika hii huduma ya uimbaji.
Ombi lako limeandikwa katika kitabu......hakika litajibiwa kwani baba mwaminifu.....zungumza naye mkumbushe nongoneza kwa siri🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Eeee!!! Hizi nyimbo zimekuwa bora zaidi..kwaya hii yenu nimeipenda sana tangu utotoni...utunzi wenu mzuri mno!!! Nawapenda sana..Elvis wa pwani ya Kenya
Nimejikuta natokwa machozi umenigusa huu wimbo ,nimeomba muda mrefu sipati jibu kumbe ombi langu Mungu kaliaandika ,asanteni sana
nisiposema chochote kwakweli sitawatendea haki... Mungu wa mbinguni muweza wa yote awabariki kwa kazi hii!!!
Daaaah,nyimbo nzuri jamani, pia inabariki,hongereni Mungu azidi kuwainua na kuwatia nguvu
jmn mama mercy rwezaura namkumbuka sana @ nawapenda sana tumaini shangilieni choir
Hizi Nyimbo Zinanikumbusha Miaka Ya Zamani Kidogo Na Baba Yangu
Jumapili Baada Ya Ibada Redio Ya SONY na Cassette zetu Hizi Ndo Nyimbo Asubuhi Hadi Jioni
Nilizishika Mno
Ahsanteni Kwa Kuzirudia Upya
Daaah, yani ulichoandika kama vile umecopy kwangu aisee, zilifanya mpaka leo zikipigwa kuna baadhi ya matukio nayakumbuka, baba angu alikua ananunua kila cassette itayotoka
Huu wimbo huwa unaniliza ingawa unanitia nguvu sana😭😭😭kama hapo wanapoimba"Basi ndugu ukumbuke upigapo magoti,......halafu "mimi leo namngoja Bwana Yesu wokovu wangu kwake". yaaani😭😭😭😭😫
Mbarikiwe❤
Wimbo mtamu kweli na wa kubariki moyo. Kweli Bwana Mungu ujibu maombi maana mimi ni mshuhuda wa haya. Bwana awabariki sana kwaya Tumaini St. James
NYIMBO HIZI NZUR SANA ZINANIKUMBUSHA NILIVYO NASIKILIZA KWENYE KASETI YA REDIO NIKIWA MDOGO HONGERENI SANA
Hakika mungu awa bariki
hongera sana kwa kurudia hiz nyimbo zinanikumbusha nilivo kuwa mdogo nzur sana
From glory to glory ..! Thank U Lord
Kazi nzuri sana Shangilieni Choir, Mungu awalinde na pia awatie nguvu muendelee kutuletea Injili kwa njia ya uimbaji, asante sana.
Huu wimbo unanipa nguvu sana...mara zote nikiwa down, i listen to this song and i feel uwepo wa Mungu, napata moyo wa kuendelea mbele.....Mungu awabariki sana
Ujumbe mzuri Sana Tumaini choir
nafurahishwa na nyimbo zenu zinatia moyo mungu awabariki watumishi asanteni sana na wapenda sana tumaini Arusha
Nawapenda sana Mnaniinua sana kiroho na kimwili Mbarikiwe sana Maana mnaponya wengi.
Ipo siku namimi Mungu atajibu Maombi yangu
Florida Willybati amina Mungu akafanye sawasawa na haja ya Moyo wako
nimeanza kusikia nyimbo zenu nikiwa mdogo sana.....zilikuwa ni nyimbo pendwa na wazazi wetu...mpaka leo sijachoka kuwasikiliza....nyimbo zenu ni nzuri na zinabariki sana...huu wimbo nikiusikiliza nasikia uwepo wa Mungu....Mungu awabariki sana kwa kazi njema....
Mbarikiwe sanaaa huu wimbo umenibariki
Wimbo huu unanitoaga machozi nilinunuaga kaseti toka mwaka 2001 nilikuwa nauludiaga ludiaga mpaka nika ushika Mungu awabariki
Wimbo huu,mara. Nyingi nikisikia kukata tamaa Bwn amekuwa akinisemesha kupitia wimbo huu na andiko hilo la thesalonike.unaniijia akilini mawazoni na mara nautafuta naupiga nakaa flesh
Kwakweli nyimbo zenu zinanifuraisha sana, ususani iyo miondoko ya zuku aaahh.
naipenda kupiga kiasi kwaya ya Tumaini Shangilieni. namkumbuka rafiki yangu alikuwa akiziimba sana enzi za shule 2000. Mbarikiwe sana sana
yaan nabarikiwa sana. Kristo Yesu awabariki wapenz
huu wimbo huwa unanifanya nalia kwa furaha nikiamini majibu ya maombi yangu yako karibu
Nafarijika mno moyoni mwangu nikiyapuuza mateso ninayopitia sasa kuwa bado kitambo kidogo nitavuka kwa Ushindi. Karibuni Kongwa 2018
Mbarikiwe
Tumaini Shangilieni Choir, Cette Chanson me rejouis tellement le Coeur ! This Song rejoices me so much in my heart. Napata faraja sana moyoni
Nyimbo zenu ni faraja kubwa sana kwangu!nawapenda mno kwaya ya shangilieni Arusha Mungu azidi kuwabariki.
ASANTE SANA WAPENDWA nyimbombo zenu zinanipa amani ktk maisha yangu imani
Majibu ya maombi.... moja kati ya nyimbo ninazo zipenda since first edition
ombi baba husikia choz langu siovbure
Nyimbo hizi hunibariki
Huwa na barikiwa sana na huu wimbo
Wazee wa live mungu awabariki
Asanteni sana hakika ombi litajiibiwa Mungu ni Mwaminifu
Hallelujah, sifa zirudiliye Mungu milele
Mungu awabariki kwa nyimbo zenye upako
Nabarikiwa sana! Naomba kibali cha Mungu wetu juu yenyu nyote
Mungu awabariki sana na awape nguvu ya kueneza neno duniani kote. Twawangoja Mombasa mwakaribishwa
tafadhali nipeni contacts so that i can try and do the connections
Aiseee mbarikiwe sana watu wa mungu
I play this song over and over again...very beautiful, reflective, nourishing song. Mbarikiwe wana kwaya ya St James Arusha.
UPO SAW NA MIM
Hii ni Tumaini kwaya
Mi nabarikiwa mno na huu wimbo jamani ACHA tu
Mungu wa mbinguni Azid kukubariki
Wimbo wa kuinua Imani kwa Yesu. Mbarikiwe sana.
+TUMAINI SHANGILIENI CHOIR ST. JAMES AC ARUSHA (SHANGILIENI) kwakweli mbarikiwe Sana nyimbo hizi za zamani nazipenda Sana CD nitaipataje??
asante nimepata ujumbe wenu waimba mungu awabariki jipangeni ktk maombi mungu ni mwaminifu
maria ezekieli jamani mimi hizi nyimbo siwezi kuzichoka kabisa ongereni waimbaji wa arusha st jamesi mnanibariki sana tangu mtoto mpaka sasa ila kunanyimbo nyingine mlizoimba mwanzo nimejaribu kutafuta bila mafanikio. Mwivi aji ila aibe
maria ezekieli ombi rako rimesikirizwa hata katikati baba husikia
Nyimbo nzuri sana
nazipenda sana nyimbo hizi
Na penda sana hii song , from 🇨🇩
asante sana
Omba usichoke nakumbuka solo nzuri elkana safi
Can not stop listening to this very song... be blessed ya'll
My beloved Song
Endeleeni kunyenyekea chini ya mkono wa Bwana naye atawakweza kwa wakati wake
huduma yenu inanibariki sana
Naupenda huu wimbo sana,,,mbarikiwe waimbaji😘
nimejikuta nikilia machozi. nilikua nimesahau hata kuomba miaka mingi sana lakini vile mnavyo imba mmenkumbusha kuomba
Mmm big blessing
umenigusa sana! wimb huuu, mungu awabark San
Nina miss mambo mengi sana.....dah
sasa nimeelewa sana huu wimbo Mungu awabariki na kuwainua sana
asante nimepata ujumbe wetu
nzuri sana jamani Mungu awabariki sana naweza kupata cd ya album nzima ya hii remix