KUNGWI DUME sehemu ya kumi na Nne
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2023
- "KUNGWI kakupa mzungu huujui maana yake mfate akakwambie maana ili uondokane na usungo, Siku zote mwanamke mazingira jambo la kwanza ni kujipenda na ndio maana ya pambo la nyumba"
- Розваги
Anae isubir kungwi dume tujuane gonga laik hapa
Hawa wabibi wawili wananifurahisha sana. Nawapenda .mungu awatunze
Tunajifunza mengi kwa kweli wenye hatujafundwa❤❤
Mashallah kwakweli tunaelimishika kaka Allah akupe Maisha marefu na akure hitaji lamoyo wako umetuangazia mwanga ulofifia machon kwetu
Bwanaharusi hongera sana zai limekushuka shuu 😢😢😢😢😢😢
Zay kawa mdg
Limemshuka kidogo basi 😂😂😂😂 uso ushamshuka aibuu🤣🤣
Tunaingoja kwa hamu leo wakwanza jamni
Kazi nzur sn naamini kupitia kungwi dume vijana tutajifunza mng ili tujenge familia yenye misingi bora
Kaz nzur sana tunaelimika sana
Mungu akupe maisha marefu kaka
Masha Allah tabaraka Allah. Allah Akuifadhali Akupe maisha marefu insha Allah
Kwakweli nimejifunza mengi. Hongera sana Mungu akutunze
Tunaisublia kwa amuuu jamen ijayo congratulate kaka ibrah🎉🎉🎉
Magrand big up sana mungu awaeeke ukishapika ugali usiache mwiko na uchafu
Aah dada umenikosha na hiyo nyimbo jmn😘
atareee 🥰🥰
Nime jifunza mengi kungwi wetu asnte sana🙏
Wapili leo jamani 🎉🎉🎉❤❤❤
Mwaka wa ukiolewa ntakutafuta kaka yangu
Asante tunajifunza mengi
Mashallah nzur sn❤❤
Kuna jambo nataka niliseme mm kama mtto WA kiislamu..ni aibu kubwa mtto WA kike kukaa mwili wazi mbele ya mwanamume asiekua halali yako..hapo Huyu mtto wa kike anayefundwa angestiri mbele ya Huyu kungwi dume.sbb wote hapo Naona Ni waislamu
Kuna ingine ili ni ruka kungwi mashallah mashallah Habibi asate sana❤❤❤❤
Kungwi njoo Mombasa unifunze na mmi❤ MashaAllah
Wallai tenaaa
Maashaallah Mungu azidi kuwaongoza vema pia tunayojifunza tuyafanyie Kazi shukrana sn Ibrah the don
Kungwa tunae mashallah endelea kutupa somo
Waoooo usichelewesh mwendelezo kaka ibra kwakwel unanifunza mengiiii piiia
Asante San ibrah thedon nimejifunza mengi San mungu akubariki🙏
Nimewapenda san haw mabib wawili wako 🔥🔥🔥😂
𝐵𝑖𝑏𝑖 𝑎𝑛𝑎𝑗𝑢𝑤 𝑘𝑢𝑙𝑖𝑎😂😂😢😢
🙏kungwi dume tujifunza meng kupitia ww mwenyez mung aendelee kukuweka
Nakupenda kaka ibra ningependa uwe kungwi wangu
Qatar moja nasubir kwa hamu zote
Huna Baya Kaka masha Allah kazi nzur san😍😍
Natamani kwenye arusi yangu uwe kungwi wangu♥️♥️
Zai mauno yote hayo kama sie wew uliokua wataka kuvunja ndoa ya mwenzio
Zai harusi ingekufa ungecheza saa ngapi hiyo miuno limekushuka shuu😂😂😂
Lete mzigo naungoja kwahamuu👌😍kungwi anamalolo sanduku lamtatiza nimependa jamani zai kusikia jina labwana harusi wanakanyagana imeishaa iyooo😝😝😝😝👌😝
Wabibi wameigiza vizuri hadi nimewaogopa
Kwani kungwi dume ishaisha nimeisuburi sanaa iyo ingine aitoki yaelekea mwezi sai
Tanga mojaaaaa
Huyu zai si alkua akijifanya kuongea sasa kanyamaza kama bubu😂😂😂
Hongera zako Sengo na baba Sengo naona amedamsh kwa suite kungwi dume ni hatari pokeeni 🎉🎉🎉🎉
😀😀😀
Kazi nzur mashallh mme jitaidi Sana washiliki Utasema ni kwer😊
We kaka unatisha hatari❤
Kungwi dume good job ❤
Halo mafuzo yetu na mie wa tano leo
Inachelewa muendelez jamn tatizo nn kungwi wetu😢
Bibi anavituko🤣🌹
Ma Shaa allaha ❤❤
tujuwane turiyokuwa tunaisubiri
Pendo lauma vibaya jamani nimekumbuka mbali
Mie
Mama watoe awo sio wanhu wed awo wandee kwakwei hataimi wazaniuz yani
Kipind kizury c utaniii mashaallah kaka ibrah
Bas njoo nauku utufudishe ❤❤
Ongera sana kungwi dume iimeenda
kaka mimi naomba kuuliza huy bibi asiyevaa miwan ni kungwi kweli maan kaz anaijua pia anasaut ya kuimba
Harusi imenitamanisha kuolewa 😂
😮 mwanamume havai kanga😅 astahili avae ki koi..
Duuh wavunjaji ndoa 😅😅😅
Hongera bwana harus
Ndio utakoma umbea zai wacha roho ya kinafik
Zai kijora ni chakuenda kuomba msamaha kwa kina biharuc😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂𝑏𝑜𝑟𝑎 𝑎𝑘𝑎𝑐ℎ𝑒𝑧𝑒 𝑘𝑜𝑔𝑜𝑚𝑎 𝑡𝑢
Hongera sana.......
😂😂😂nilikuwa sijawahi ifitalia najifunza
Harusi imefana mashallah hadi natamani🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂
Jamani MBNA mnachelewa Sana kuleta kungwii tunasubirino
❤bibi ake na harus yukovzr harusibemenda shule
Jamani iyo ya 15 haijatoka tu
Jmn awa mabibi na tungo zao
Jaman mabibi nawapenda sanaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hakiamungu hii wafi ya kazini leo kwli nimeitendea hakiiiiiiiii, wanaume tunaofuatilia hii kitu tujuaneee
❤ivi nani kamuona bwanaarusi na simu yake akichukua video😂😂😂 kazinfua😂😂
Hongera lbrahim ❤
Honger zrenu mabibi
Wewe kungwe si ungenioa
Kulipa ten
Kaka Asante nimejifunza
Hongereni sana wote
Yani ukiona iyi movie somo Hana jipyaaa😅😅😅😅 kabisa
Another one pliiiiz 🎉🎉
😂😂😂😂😂asanta nakubali sana ❤❤❤
Wakaka wacheza miuno hawo sio poa😂😂😂
Asante broo mungu akubarik
Najifunza mengi kupitia kaka Ibra
Baba mwali suti imetokea UK 👌😝😝😝
Mwisho wa ubaya Aibu umbea haufai jamani
Mabibi harus watarajiwa tunajifunz #kungwi dume
Hatimae ndowa imefungwa zai limemshuka 🤣🤣🤣🤣
❤❤ Mm inanibidi nifulai 2
Wataaaatuu
thank y'all great job
Nasubir kw shauku
Huyu mama sikitu kanikumbusha mama yangu siku Ile analia bibi alikuwa anamcheka😂😂😂😂
Kungwi huyo kungwi huyo ❤❤
Kungwi dume hoyeeee😂😂
Zai zimekushuka shuuuu😅😅😅😅
Vibibi viuno laini🥰🥰🥰🥰
Jamani zai had aibu
Hadi raha jamani❤❤
Wasambaa tujuane jamani nainjoi sana kusikia lugha yangu
Tupo🤸🤸🤸
Kungwi dume ni mmoja tuuu fa masiala nini
hatareee😂❤
Nimewahi