Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

ANGEL FACES .EP.. 1 STARRING..RAY KIGOSI, MARIAM ISMAIL, WELU SENGO, NEEMA MALITY.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 24 січ 2024
  • ANGEL FACES EP 1
    WASICHANA WATATU WALIOKUTANA KWENYE UTAFUTAJI WA MAISHA NA KUWA MARAFIKI... FUATILIA KISA HIKI.
    #vincentkigosi #raythegretest #raykigosi

КОМЕНТАРІ • 447

  • @Baudouin-Tv
    @Baudouin-Tv 6 місяців тому +81

    Ujawayi kutu angusha Ray wewe ni legende tz❤❤❤❤❤❤wanao penda Angel faces wekeni like zenu ❤🎉🎉

  • @masumbukoaugustin5327
    @masumbukoaugustin5327 6 місяців тому +30

    ninatowa salamu zangu .wapedwa mungu Awabariki sana kutufurahisha .katika movie. tunashukuru sana

  • @veronicahmuricho
    @veronicahmuricho 6 місяців тому +26

    Mwanzo mzuri🎉🎉good job our legend Ray❤much love from saudia...

  • @schadrackanyimbu9120
    @schadrackanyimbu9120 6 місяців тому +12

    Nanitumaini ya kuwa series iyi atakuwa tamu na Kali sana, huu ni mwanzo tu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @tabithamutisya6664
    @tabithamutisya6664 6 місяців тому +12

    Mr. Ray ungetoa Tandi part 2 kwanza ingekuwa bora zaidi ....otherwise hongereni kwa hii kazi mpya

  • @Baudouin-Tv
    @Baudouin-Tv 6 місяців тому +3

    Story za légende ni legende tu siyo kama huba,pazia,panguso azina msingi yaaani lakini za ray ni kiboko, TANDI PAKA ANGEL FACES ni bora 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @user-ym3bi8im1u
    @user-ym3bi8im1u 6 місяців тому +10

    Tuko sambamba RAY THE GREATEST❤ Najua umetuletea mazuriii😂❤

  • @collinscharo2021
    @collinscharo2021 6 місяців тому +10

    Wow....kazi nzuri.umeamua kushirikisha mama mtoto chuchu.....I love u guys

  • @KwizerJackson-is7fh
    @KwizerJackson-is7fh 6 місяців тому +6

    Ray ninafuraha sana yani uku Zambia tukikusikiya sautiyako akiriri zinaeda wa mama wa baba mademu aa tunakupenda Ray me love you somuch form Zambia 💎 💍 love you

  • @bakariulimwengu8533
    @bakariulimwengu8533 6 місяців тому +5

    We need tandi iendelee please RAY

    • @Bintmsanif
      @Bintmsanif 6 місяців тому

      Yaan nahis km kaboroga yawezekana ndo imeishia pale

  • @papaadavis7440
    @papaadavis7440 6 місяців тому +5

    Angel face ni kubwa ...nishaipenda

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 6 місяців тому +6

    Huna kazi mbovu kaka Rey ❤❤❤ maua yako hayo

  • @bestfundynkudenga816
    @bestfundynkudenga816 6 місяців тому +19

    Apa kazi tu! Vicenty és melhor, nos traz sempre boas novas... Bom trabalho

  • @masumbukoaugustin5327
    @masumbukoaugustin5327 6 місяців тому +6

    Tunaweza sema hivi.mafanikiyo mema na kutufurahisha😅😅❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @consolatamakonjo3271
    @consolatamakonjo3271 6 місяців тому +8

    Watching from Saudi Arabia thank you so much Ray the greatest 🎉🎉🎉❤❤

  • @Dee_okuta
    @Dee_okuta 6 місяців тому +2

    Thanks ray,,umeleta all my favorite actors from tz,,

  • @yusuphjafarijr7583
    @yusuphjafarijr7583 6 місяців тому +3

    Ray wewe ni msanii wa maana sana unatukumbuka hadi sisi wa youtube aiseee mungu akuweke brother na sisi hatutakuangusha keep it up

  • @mariammammy
    @mariammammy 6 місяців тому +4

    Watu wakagela tujuwane isipokuwa nipokenya kwa sasa 😊

  • @swaum
    @swaum 6 місяців тому +10

    Nasubir tandi episode 130 jamn 🎉

  • @zakiamohammed9574
    @zakiamohammed9574 6 місяців тому +5

    Tumalizie tandi

  • @janemumbua4683
    @janemumbua4683 6 місяців тому +10

    Kwani Tandi imeisha bado nangojaaaaaaa😢😢

    • @testimony254
      @testimony254 6 місяців тому

      Na mimi najiuliza hivyo maana latha ina potea sasa

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 6 місяців тому +1

      Kasema imeisha season 1bado season 2.

    • @marthaelias3422
      @marthaelias3422 6 місяців тому

      Me mwenyewenilijua tunaendelea na tand ya pili

    • @Roby-nw8sz
      @Roby-nw8sz 6 місяців тому

      Jaman Kwan tandi Iko wap

    • @JanethLameck
      @JanethLameck 6 місяців тому

      Jamn kweli tandi hatuioni tena

  • @user-kx1lb4wd3z
    @user-kx1lb4wd3z 6 місяців тому +7

    🎉🎉🎉🇲🇿🇲🇿sempre vós desejo bom trabalho Ray kigosi ,

  • @alexaleko3220
    @alexaleko3220 6 місяців тому +5

    Good job mr Ray much love from Kenya

  • @ibrahimwaswa3995
    @ibrahimwaswa3995 6 місяців тому +7

    Napenda sana hii kaka,,,hasa inapoenda na beats za mvuto sana,,I like Ray

  • @user-op7bh8lb9u
    @user-op7bh8lb9u 6 місяців тому +2

    Tunawashukuru kwakutufurahisha kwa movis zenu zinakuwaga nzuri sana tunawapenda sanaaaa❤❤

  • @user-uj2rf3tt2m
    @user-uj2rf3tt2m 6 місяців тому +2

    A Kenyan from Canada, ❤❤❤ but mm bado nasubiri tandi

  • @princehenry7113
    @princehenry7113 6 місяців тому +4

    Tandi

  • @mishiabdul2834
    @mishiabdul2834 6 місяців тому +4

    Kweli ume uliza swali zuri ni aseme iyo tendi sehemu ya pili ni vp

    • @user-pl4ns8sb4k
      @user-pl4ns8sb4k 6 місяців тому

      Alisema huku tukisubiri Tandi season ya pili tutaendelea n hii ili msiboeke wafatiliaji😂😂😂❤

  • @mosessana7444
    @mosessana7444 6 місяців тому +3

    Good job Mr ray much love from Kenya

  • @fbbhg9095
    @fbbhg9095 6 місяців тому +5

    Naanzaje kukosa Kwa mfano,,ata huku pia niko

  • @hassanRijal
    @hassanRijal 6 місяців тому +1

    مشاله🎉

  • @nashnash333
    @nashnash333 6 місяців тому +1

    Thanks Vincent kazi nzuri sana pokea maua yako🎉🎉🎉🎉

  • @user-ij1sk9iu2t
    @user-ij1sk9iu2t 6 місяців тому +2

    Kazi nzur sana asante kwakuzidi kutufurahisha lakini tandi imeishiy pare ep129

    • @VioletNjeru
      @VioletNjeru 6 місяців тому

      Ata mm natamani kujua kama ni kuisha😢😢😢

    • @officialkimanzi5977
      @officialkimanzi5977 6 місяців тому

      Tandi bado inaendelea sema Anaitoa kama ilivyo toka Pazia kama uliwah kuitazama

  • @user-ht8qb7wo6r
    @user-ht8qb7wo6r 6 місяців тому +1

    Haujawayi kutuangusha you are legende

  • @ndakizeezekiel802
    @ndakizeezekiel802 6 місяців тому +4

    Na oba mutiye tandi Ep2 please

  • @milengesanganano-qf2ky
    @milengesanganano-qf2ky 6 місяців тому +1

    Napenda iyi film nimeanza nayo

  • @aminamohammed-rq7ew
    @aminamohammed-rq7ew 6 місяців тому +1

    Mwanzo tu masha allah tunapo endelea si ndo fire 🔥 ❤❤❤❤

  • @user-se1qc5mx4o
    @user-se1qc5mx4o 5 місяців тому

    Unajua kutisha sana ray.

  • @AngelineSidi
    @AngelineSidi 3 місяці тому

    Angele face jamani jamani simlete tena❤🎉🎉

  • @mishiabdul2834
    @mishiabdul2834 6 місяців тому +3

    Maana me niliwacha sehemu ya 130

  • @sportsextra7240
    @sportsextra7240 6 місяців тому +2

    Malizia tandi basi mzee baba

  • @hassanRijal
    @hassanRijal 6 місяців тому +2

    Hongereni sana ,💯💯🇰🇪🇰🇪

  • @user-ff4um9re6q
    @user-ff4um9re6q 6 місяців тому +1

    Tandi vip

  • @MwanaidiMatary-cp2rf
    @MwanaidiMatary-cp2rf 6 місяців тому +2

    Nilikua sijaziona hizi sura ni 🔥🔥🔥🔥kazi inainekana ni Zaid ya 🔥🔥🔥❤️❤️

  • @user-ut1zh9op2t
    @user-ut1zh9op2t 6 місяців тому +2

    Uweeh hii moto🔥❤❤

  • @user-do5uv6lh5x
    @user-do5uv6lh5x 6 місяців тому +2

    Uuu mnyama mwingi hongela sana itafika mbali sana kwasababu.ma plays Wana uwezo mkubwa sana

  • @thumalove1886
    @thumalove1886 6 місяців тому

    Mwanzo mzuri Mashaallah hongereni mnao igiza nyote mungu azidi kufungua vipaji vyenu mutuburudishe sisi watazamaji ❤❤

  • @aloizulemkonki2960
    @aloizulemkonki2960 6 місяців тому +1

    Its me to blame got me

  • @irenemwenda6374
    @irenemwenda6374 6 місяців тому

    Woow mwanzo mtamu kweli bigup.sana kigosi

  • @ayubruitere6802
    @ayubruitere6802 6 місяців тому +1

    Watching from kenya Ray u are the the man huezi tuangusha

  • @KharunaKhalidi
    @KharunaKhalidi 6 місяців тому +3

    Nakubali bro, Akuna kupumzika ni kazi juu ya kazi

  • @hamisisalim
    @hamisisalim 6 місяців тому

    Safi sana Ray

  • @user-zg2ul1so8p
    @user-zg2ul1so8p 5 місяців тому

    Kaka maliza filamu tujue mpaka mwisho ukoje...sio kuandika ilitokea ivi mara vile ..
    Basi ungeandika gazeti tusome.
    All in all you did well I appreciate "" Ray the great"

  • @user-so5sq8yo4l
    @user-so5sq8yo4l 6 місяців тому +2

    Angle face ni nzr sn pia brother tunaomba na mwendelezo wa tandi

  • @user-gb1hn5ml8y
    @user-gb1hn5ml8y 6 місяців тому +9

    Kutoka South Africa Durban like zenu kwa tunaoanza pamoja❤❤

  • @user-ke2mf1ed9y
    @user-ke2mf1ed9y 6 місяців тому +6

    Parabéns pelo seu trabalho Ray kigosi ,eu rendo muito os seus trabalhos . Continue assim nos alegrando os nossos corações.👏👏👏👏👏👏 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @mathrixofficial3942
    @mathrixofficial3942 6 місяців тому +4

    From rwanda❤❤❤

  • @user-hq1rn2zi8i
    @user-hq1rn2zi8i 6 місяців тому

    🎉🎉🎉🎉twaeen maua yenu wana Angle faces

  • @waryobahamza
    @waryobahamza 6 місяців тому

    Haya ndo mambo @raythegretest nakubali UA-cam kila mtu aone xo azam afu wanapiga marufuku youtube

  • @EmaDaher
    @EmaDaher 6 місяців тому +2

    Wow kazinjema rey❤❤❤❤❤

  • @wachiyevellah5480
    @wachiyevellah5480 6 місяців тому

    Wema sango welcome back.

  • @ndayishimiyeabdallah98
    @ndayishimiyeabdallah98 5 місяців тому

    Jaman naomba like zenu mm mpya

  • @AlbertoJoao-ff1ct
    @AlbertoJoao-ff1ct 6 місяців тому

    Vip baba tandi honguiza qualidade

  • @kenogola3392
    @kenogola3392 6 місяців тому

    Matilda you have acted very nice in this movie

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 6 місяців тому

    Mpaka kieleweke Rey kibosh love much from Burundi 🇧🇮 🇸🇦 lakini muendelezo wa tandi tunataka ❤❤❤❤

  • @user-tc3xx9yj9n
    @user-tc3xx9yj9n 6 місяців тому +2

    Am coming to seeee❤❤❤❤❤❤❤ angel faces

  • @emilyKay8
    @emilyKay8 6 місяців тому +1

    Thank youuuuuuuuuuu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @UmutoniwaseRosine-re3rs
    @UmutoniwaseRosine-re3rs 6 місяців тому +1

    From Rwanda ♥️🇷🇼 iyi mbona hatarii 🎉

  • @user-xw6gu1mm6r
    @user-xw6gu1mm6r 6 місяців тому

    Hujawahi kufeli ray mambo SI haya Yani moyo juu ya moto

  • @JasiriKMLHakima
    @JasiriKMLHakima Місяць тому

    Ray thé great

  • @athumanisaidi8638
    @athumanisaidi8638 6 місяців тому +3

    Nimekubali hii kazi kaka
    💯💯💯💯

  • @NOVATISIYAME
    @NOVATISIYAME 2 місяці тому

    Kigos king of tz

  • @husnabilali3099
    @husnabilali3099 6 місяців тому

    Tumeipokea hii movie kwa mikono miwili bro ray tuko pamoja San ❤🎉🎉🎉

  • @user-rn4wv1tn8m
    @user-rn4wv1tn8m 6 місяців тому +3

    Kutoka saud Alabama mitaa ya shinyanga badala ya kuomba like naomba bando 😂😂😂😂

  • @GodblessMpollo-vd8xk
    @GodblessMpollo-vd8xk 6 місяців тому +3

    bro kazi zako ninzury sana nilikuwa naomba kuuliza hiyo tamthilia ya tandi msimu wa.pili itachukua mda gani kuja

  • @user-oq8vk8hf1m
    @user-oq8vk8hf1m 6 місяців тому

    We malizia tandi kigosi banaaa

  • @AkimanaJohn
    @AkimanaJohn 6 місяців тому

    Ray naomba kujuwa tandi mwisho wa tandi

  • @Safari879
    @Safari879 6 місяців тому

    Better

  • @malkiamommy293
    @malkiamommy293 6 місяців тому +1

    Kaz nzur san n wapenda san 😊😊😊❤❤❤❤❤ a from kenya 🇰🇪

  • @LalasheLialo
    @LalasheLialo 4 місяці тому

    Tandi inaendelea lini🎉

  • @mwendemwende5789
    @mwendemwende5789 6 місяців тому +2

    Raykingosi the legend

  • @nacyfloflo9494
    @nacyfloflo9494 6 місяців тому

    Tanzania munajua kabisa❤❤😍😍😍

  • @sbdennovevo-zoukstar
    @sbdennovevo-zoukstar 6 місяців тому +1

    Nice work following from 🇰🇪 kenya

  • @samuelpius7349
    @samuelpius7349 6 місяців тому

    Hakika sasa umeamua kutufurahisha mungu akupe maisha marefu Asante sana

  • @Neuvemzaliwa5
    @Neuvemzaliwa5 6 місяців тому

    Kwaili nimekuvuwa kofia kk 🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @JosephPeter-ke4te
    @JosephPeter-ke4te 4 місяці тому

    Brother huku Kenya tunakutambua sana kazi zuri baada ya kanumba kuondoka umetushika vizuri

  • @user-ig6gi1or3u
    @user-ig6gi1or3u 6 місяців тому

    Kazi nzuri ray ❤❤❤

  • @user-xz5bo6zn7b
    @user-xz5bo6zn7b 6 місяців тому

    Ishaaa ishaa yaniii

  • @DayanaSospeter-sy8wl
    @DayanaSospeter-sy8wl 5 місяців тому

    Nakupenda mariamu ❤❤❤

  • @user-fn3uo1wm6r
    @user-fn3uo1wm6r 6 місяців тому

    Mnaoomba like mkomee kwa tandi umbwa nyie hahaha barnaba hongera kwa nyimbo ray hongera kwa Kaz

  • @CHARLES-ch1hv
    @CHARLES-ch1hv 6 місяців тому +1

    Tandi imeishia njia panda😮

  • @pastor-Chrisfeston1
    @pastor-Chrisfeston1 6 місяців тому

    Kabisa wewe Jordan ni King of films za inchini Tanzanian shukurani sana wala hujawahi kukubabaisha kufanya kazi yako shukurani pia kwa wachezaji wote kwaujumula wa naweza sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Wako serious na wa nacho kifanya yani❤

  • @user-nc6js6vv2u
    @user-nc6js6vv2u 5 місяців тому

    Kazi nzur

  • @mussasalumu1010
    @mussasalumu1010 6 місяців тому +3

    Inamana tandi ndo imeisha ama? Kama ndo imeishia pale eps ya 129 utakuwa umezingua sana broo.

  • @user-pr8gp1qd1t
    @user-pr8gp1qd1t 3 місяці тому

    Ray wewe ni mwamba wa Africa.

  • @ashahamisi2500
    @ashahamisi2500 6 місяців тому +1

    Tandi Vp ❤❤❤❤ 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @EvansMativo-cf8kq
    @EvansMativo-cf8kq 6 місяців тому

    Wapi kina tandi sasa Mr ray

  • @aboubakarmwembo4344
    @aboubakarmwembo4344 6 місяців тому

    Mwanzo mzuri

  • @sesy9281
    @sesy9281 6 місяців тому

    Mtambalike namkubali Mika 100

  • @zuleikhachibako7346
    @zuleikhachibako7346 6 місяців тому +2

    Nimemuona mama diba 😅😅😅