MAJANABA AVAMIA USAHILI DAR
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2025
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 14 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Heri wenye kukumbuka kushukuru, All the Lucky Majanaba
Namkubali sana Majanaba,Mimi ni shabiki yako namba moja
alafu Markuba kapendeza jamani...Kazi nzuri Madam,May you be rewarded for this kbs...
Sema majanaba yuko sawa🫰
Daaaa jamaa namkubali sana yaan madam Ritha hivyo hivyo endelea kumshka jamaa binafs namkubali sana yaan ni full entertainer jamaa irudiwe,watu kama hao ambao wana special talent ni wachache sana sema tuu aache pombe
Madam Ritter Mr j Huwa nawa kubali sana Kwa ushirikiano WENU mna washika wa2 mkono sana MUNGU AWABARIKI SANA 🙏🙏🙏
Mm wa kwanza leo ku comment
Fanya kazi
Mastar jay: hio ni kibosho sio rombo 😂😂😂😂😂
Hatukosi cha kukosoa
Bonge la songiii 😂😂🎉🎉
Huyu jamaa wamuangalie namna yakumtumia popote pale ana kakitu ndani yake
Markuba ni mtu anaejitahidi ila hawezi na watu wakaona kitendo cha uthubutu ila huwezi nacho ni kipaji. Wakaamua kuishi nacho hivyo hivyo... Life is very complicated jamani 😂😂😂😂
Nilikua namtfta huyu jamaa msimu huu kumbe yupi
Madam you have a great good heart Madam God bless you Madam
Majanaba kanenepa😂
Sasa kwanini unywe Gofongo🤣🤣
😂😂😂😂😂 gofongo si ni gongo hiyo
@@agnesjohn9382😂😂 Ndiyo ni Gongo
@@sirizamwili 😂😂😂 ndo wanaitakaga hivyo gofongo duu Arusha ni nchi nyingine aise
@@agnesjohn9382 Hiyo nd'o Chugastan mamilooo 😁😁
😂😂😂😂😂😂😂😂
J Master punguza madharau Broo,Jifunze namna ya kutia moyo nakuwainua Wengine, kumbuka Haya ni Maisha tu kaka.
Kabisa
Gofongo Sio kitu Cha mchezo kumbe😊😊
Nice
I got hangover woo oooh oooh
😂😂😂😂Salute zimfikie Majanaba
Gofongo😅😅 kung'wa ng'wae
Akipewa mashairi yuko vzur kwenye Rap
Awe sriaz cku anaweza piataa
😂😂ni kweree sana aiseee
❤❤❤🎉Majanaba
Natamani sana atokee mtunzi mmoja mkali ili huyu jamaa aende mbali zaidi
yes kaka hivi anavyoimba akipata mtayarishaji anayeweza kumpa biti kali anatoa bonge la nyimbo
Mbona kama anajua kuimba? Sema tuu hayuko serious 🤣
😆🤣🤣🤣🤣ndio
😂😂😂😂
Naipenda chuga yangu
Nimekuwa wakwanz nipewe maua yangu
Jamaa anajua 😂😂😂😂😂😂😂😂
sema english yake na ya shishi ni ya ukoo mmoja.!
Usinywe gofongo boi 😂😂
Noma iyo kichwa
Shilole na Majanaba...Majanaba ni mkali
Mbona kama jamaa lina juwa kuimba 😅😅
Pombe kari magofongo😂😂😂😂😂😂😂
Ngicabanga ukuthi umndeni ungakwazi kodwa awunakho ukwesekwa okwanele, ngibona kufanele unikwe indawo yilabo abaseqophelweni eliphezulu emculweni.
Hivi Arusha ipo Tanzania au
Salama acha zarau kmaamakoo
Anakipaji sana
Nyie mpenzi wangu Markuba
Cap
Majanaba 😂😂😂😂
Majanabaaaaa❤❤❤❤
Unajua hili lijamaa Linajua xana
Gofongo😆
Afu nnavokukubal sasa😂😂😂
Uokoke sasa
😅😅😅yes
Kibosho umbwe😊😅
Bado papa mafido 😂
Arusha
GOFONGO 😂😂
😂😂😂 majanaba
😅😅nywele zimeota au bado
😂😂😂😂
😂😂😂😂hicho kichaga jamani lakini leeeee
Nooo
Gofongo ni gongo au 😂😂
yes
😂😂
Kudadadekii iyo ndo chuga
Gofongoo😂😂😂
😂😂😂😂😂 Gofongo
I get hangover....
😂 hahaha ila majanaba
😂😂gofongo
I'm😊
😂😂
😂😂😂
😅😅😅
Pombe haram 😂
,😂😂😂😂
😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂 hahaha ila majanaba😅
😂😂😂😂
😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂