It is not a better alternative to save energy in the bottom of the oven, even if the roasting speed is so damned, you have to wait several hours for the food to be ready and still frozen next time without taste :-( No one compensates me from the agency other than just sucking the blood and plus all this pays taxes and excessive rent. No temptations and rather a good offer I've had a Beha which, although an old model, has helped me quite a bit for several years, but I moved and left it because then I have to buy or move to a floor above which is no worse than the one I'm telling you about. Bush is a professional choice
Hbr, naomba kuuliza wakat wa kupika keki upreheat kwa dakik 15, Sasa swali lngu kwenye kitufe cha muda naset muda huo, muda ukiisha ndy naset tena kwa dakika 30 kuok keki yenyew?
habar mom nilkuwa naomb unisaidie kitu nimenunua oven yang aina ya ailyons liter48 nahitaj kujua jinsi ya kuoka keki je nasetije moto na muda had keki kuiva?
Hivi wakati nachoma nyama nikitumia moto wa juu na chini yale mabomba yanayotoa moto chini siyatadondokewa majimaji ya nyama? Je siyo kwamba ni hatari na oven inaweza kuharibika,nisaidie hapo,
Vipi dada? Kwa kweli nashukuru sana kwa video hii, ila mimi nina msongo wa mawazo kwani juzi nimenunua 100litre commercial convection oven, nkiwa na matumaini ya kuwa nikibake keki,mikate, scones, cupcakes na vinginevyo, lakini nmepata mshangao kwenye Google, kuambiwa kuwa oven yangu si aina sawa ya kuokea vitu hivyo eti yafaa kwa kuokea pizza, cookies, vegetables, nyama na vitu vingine ambavyo sikuwa nimekusudia kuitumia navyo. Japo naona hii yako nikama ile niliyo nayo japo campuni tu ndio tifauti. sasa nashindwa nifanyeje kwa kweli. Nina msongo wa mawazo naomba nisaide dadangu. Bado nimpya sijaitumia .
Asante dada Allah akujaalie kila la kheri
Asante
Congratulations madam umeelza vzur simple and clear
Asante sana
Asante❤❤❤
Je wakati wa kupreheat oven lako wakati unaanda kuoka keki yako je una preheat na moto wa chini tu au moto wachini na wajuu?
Both
Ku pre heat ni wachini dear
Thanks alot
Jamani mm naona maruerue tu mana naona moto haupandi wakati process nimefuata
Samahan mimi nina pmc 48 l ila kwenye kuset moto wa juu na chin nashindwa😢
Video nzuri , sauti tamu.
Asante
😍😍😍😍😍
Nashukuru sana nimeelewa
Asante karibu tena
Mzm dada mm nimenunua oven ya ailyons ila nikiwasha inawaka dkk2 hlf inqjizima co tatizo linaweza kuwa ni setting au oven
Ata mimi nimenunua ya ivyo ila inawaka na kuzima taa umejua unafanyaje? Nisaidie, na wasaidie wengine
Cjui my dear
Angalia socket uliyoweka na pia soma maelekezo vizuri
@@eva_kasabila sawa
It is not a better alternative to save energy in the bottom of the oven, even if the roasting speed is so damned, you have to wait several hours for the food to be ready and still frozen next time without taste :-( No one compensates me from the agency other than just sucking the blood and plus all this pays taxes and excessive rent. No temptations and rather a good offer I've had a Beha which, although an old model, has helped me quite a bit for several years, but I moved and left it because then I have to buy or move to a floor above which is no worse than the one I'm telling you about. Bush is a professional choice
Jaman me naomba kugundishwa kupasha chakula kwa kutumia oven
@@juliethmjema6352 What language and region are you talking about now!!
I can't stand such words heard wrote and read never again .. (end
best explanation ever💖💕
Thank you
Hello dada .hivi oven lt 60 yenye plate mbili za umeme juu unaweza tumia socket ya kawaida au mpka zile special venue rangi nyekundu
Kuna special socket, zile nyekundu jarbu kutafta fundi akusaidie
Asante
Hbr, naomba kuuliza wakat wa kupika keki upreheat kwa dakik 15, Sasa swali lngu kwenye kitufe cha muda naset muda huo, muda ukiisha ndy naset tena kwa dakika 30 kuok keki yenyew?
Una pre heat dakika 15 then una oka dakika 30 jumla ni 45
Kupre heat ndio kufanyaje vipenzi mnifundishe kidogo nataka kuanza kupika keki
habar mom nilkuwa naomb unisaidie kitu nimenunua oven yang aina ya ailyons liter48 nahitaj kujua jinsi ya kuoka keki je nasetije moto na muda had keki kuiva?
Naomba uangalie kuna video nyingine nimweka inaeleza kila kitu
Pia naomba kuuliza mbona plate za jiko wakati wa kupika moto huwa so.mkali? Au nimeuziwa bovu
Ingependeza kumuuliza aliyekuuzia maana kwenye maswala ya oven zenye plate sina utaalam nazo
Naomb utuelekez Jins ya kuchoma mahindi ndan ya oven
Asante 🙏👏
Karibu tena
oven yangu ni kampuni ya pmc ina seting mbili tu'yani juu ya kuset moto na yachini ni ya kuseti muda je naweza oka keki ikaiva kweli?
Ndio dear
Samahani oven yangu bomba moja imekatika ya juu je? naweza kuendelea kutumia au hatari au nifanyeje?
Apo ni vizur ukamtafute fundi wa majiko ya umeme ajaribu kukusaidia maana icho ni kifua cha umeme
Mimi nimenunua mpc Lita 48 lkn aliyeniuzia aliniambia inaoka na kupasha je ni kweli inapasha?
Ata mm niliambiwa hivyohvyo
Mimi natumia oven ya Mika je naweza tumia pia kupasha chakula na je kama inatumika unatumiaje msaada tafadhal
Kwakupasha sifahamu dear ila nakushauri ununue microwave inapasha vizuri
Mimi naomba unielekeze kuset oven ya ialyons moto wa kuhoka keki watoto wametupa kitabu
Kila oven ina utaratibu wake oven hazifanani sasa hapo kitabu kingekuwepo kingesaidia
Shukran kwa elimu
Karibu tena
Hivi wakati nachoma nyama nikitumia moto wa juu na chini yale mabomba yanayotoa moto chini siyatadondokewa majimaji ya nyama? Je siyo kwamba ni hatari na oven inaweza kuharibika,nisaidie hapo,
Kwenye kuchoma nyama utaweka moto wa juu tu na waga kuna kichuma chakuchomea nyama iko kitazuia kudondokewa maji maji ya nyama
Hiko kichuma ni kama zile plates
Et dada ni kampuni ipi ya oven ambayo oven zake azina shida
Hata hii yangu ninayotumia haina shida inategemea tu na utunzaji wako
Vipi dada? Kwa kweli nashukuru sana kwa video hii, ila mimi nina msongo wa mawazo kwani juzi nimenunua 100litre commercial convection oven, nkiwa na matumaini ya kuwa nikibake keki,mikate, scones, cupcakes na vinginevyo, lakini nmepata mshangao kwenye Google, kuambiwa kuwa oven yangu si aina sawa ya kuokea vitu hivyo eti yafaa kwa kuokea pizza, cookies, vegetables, nyama na vitu vingine ambavyo sikuwa nimekusudia kuitumia navyo. Japo naona hii yako nikama ile niliyo nayo japo campuni tu ndio tifauti. sasa nashindwa nifanyeje kwa kweli. Nina msongo wa mawazo naomba nisaide dadangu. Bado nimpya sijaitumia .
Pole, kama inakitabu jaribu kusoma hicho kitabu sio kila kitu kwenye google ni cha kweli
Naomba unisaidie oven yangu ni PMC nikioka keki haiivi,katikati,ko niseti 🔥 moto upi
Set moto wa chini tu na pia weka nyuzi joto 180
@@eva_kasabila nashukuru bwana ulinipa maelezo ya 🍰 nilijaribu ilitoka vizuri kweli
Rai naomba unifundishe jinsi ya kuwasha maana na mm nimenunua km yako
Shida yangu nihii hii cake haiivi vizur katikati jamani
Asante sanaa
Karibu tena
Mamy nikioka kekii natumia moto wa chinii2 au motto wa juu na chinii
Kwenye kuoka ni moto wa chini tu dear
@@eva_kasabila shukran sanaa mamy maana nnavurugwahwa hapoo2
I'm in Ghana I won to no the cost of oven please
It starts from 150$
Hii beigan naomba namba
Naomba unisaidie hpo kwenye Moto wa chini na juu
Moto wa chini mara nyingi unatumia pale unapotaka kuoka keki
Naomba unisaidie kwenye plate zake
Namna ya kutumia natumia kwa sifuria gani? Na iset vip?
Nini maana ya Rosetterie na convection nashindwa kuelewa nimenunua oven juzi kampuni ya avino
Sawa,angalia video vizuri nimeelezea kila kitu
Ulipata suluhu na avino yangu inanichanganya tu
Lugha ndo tatizo kwenye kitabu
Jaribu kutafuta mtu anaejua lugha akusaidie
Unapatikana wapi na hizo ovener ni maduka ya wapi zinapatikana
Maduka ya Kariakoo
Zinauzwa laki nne mpaka nne na nusu
Ukitaka kuoka keki unaweza kuoka na Moto wa juu na chini na ni nyuzi joto ngapi na kwa muda gani
Kuoka ni nyuzi joto 180 na moto ni wa chini
@@eva_kasabila nimejaribu hivyo inakua mbichi katikati
Dada naomba kukuliza swal mm natumia oven ya Kenwood naomba nielekez nikipik keki natumia moto wa juu na chin ila nikitumie juu inapasuk san
@@latifabahati-rk5evmambo dear oven yako ipoje hiyo ya Kenwood me Haina maelezo ya kuset Moto yan nachanganyikiwa
ukitaka kuoka scons unaoka kwa moto wa juu na chini ?
Unaoka juu na chini dear
Nina oven ya Europe ninaomba msaada jinsi ya kuitumia
Soma maelekezo kwenye kile kitabu kinachokuja na oven then itazame hii video kwa umakini kama kutakua sehem hujanielewa unaweza kuniuliza
Za sahiz jaman polen na kaz na mm natumia europe oven sasa nimeshindwa kuseti mkate wangu uive kwa chini nifanyeje
Moto wachini unaoka kwadakika ngap dear na moto Una set ngap
Kama unaoka keki mda ni dakika 45 moto unaseti 180 degrees centigrade
izi oven za silver Crest ivi zinadumu kweli
Kiukweli sjajua
Bei gani na wapi zinapatikana mm naitaji
Zinapatikana Kariakoo dear
Inauzwa bei gan
400000
Hi
But why couldn’t you use maybe English
Am working on it
Jinsi ya kuwoka keki unatumia moto juu na chini au wa chini
Unatumia wa chini dear
Samahani je kama ninaoka keki kuna haja iko kitude cha juu cha nyama kukiweka on
Hapana iko kinatakiwa kiwe off
Hiyo oven ni pesa ngapi
350000 tsh
Mawasiliano yenu naomba
0658507949
Hiyo oven ndo bei gani?
15500
Laki nne mpaka laki tatu na nusu