MANARA AFUNGUA MOYO KUHUSU 'MSAIDIZI' WAKE - "AKINIPENDA, KWANINI NIMKATALIE"
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2024
- Septemba 21, 2022 mitandao ya kijamii ililipuka baada ya Haji Manara kumtangaza msaidi wake na kupitia kipindi cha Lavidavi, Manara amefunguka mengi kuhusu ukaribu wake na msaidizi wake huyo
MANARA AFUNGUA MOYO KUHUSU 'MSAIDIZI' WAKE - "AKINIPENDA, KWANINI NIMKATALIE"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Tuliorudi kuangalia hii video baada ya ndoa ya jana tujuane😂😂
Tupooo
@@rahmambonde2389 🤣🤣
Wanaume waongo jamani duuuuuu eti msaidizi wangu duuuuuuu
Miaka 23 kkkkk like seriously 🙄 😒 Manara acha hizo huyo Dada nimkubwa more than 30 years old
Duh!!Hata kama ni chuki sio hvyo. Mbona anaonekana Mdogo tu
Umejuaje umri wake why wabongo mnaumia na umri wa watu
Shavu limejikata hivyo miaka 23
Haji muongo jamanii mchepuko eti watoto yeye mh mchepuko niwale wazee ambao wakezao halafu na mwengine pembeni (mchepuko ) uyo jamani
Hiyo why not kama mm ndo nimeisema kwa diva vileeee😊😊
Yamekuaaa😂
@@hamidayanga8224 ndo mana nilisema hile why not haikuwa bure 😁😁
@@kefamkv3743 😂
Jamaa kumbe anaringa
Uko mongo ule anazidi 23, iko mu ma 30 mpaka ata 36, naanamzidi ata zuchu ukubwa,ata dira yake inaonekana tu kama mkubwa,amekoma na sura
Mke wa pili atajua hajui🤣🤣🤣🤣
Alifurahia mwazo.sasa zamu yke.
Umeona
Diva iyo miwani na ilo wigi 😄😄😄😄
Kudadeki nabadilisha dini nikale bikra 70 kudadeki
Pole yako ndugu siku hizi hakuna bikra walienda na vita ya eid amin dada🤣🤣🤣🤣
@@alexandrucarmen3185 tena hakuna kabisaaaa
So cryz boy
@@alexandrucarmen3185 me mwenyewe nashangaa sijui walio na bikrah huwa wanaenda wap???
Manara wacha uongo huna miaka 40 tumesoma wote tena darasa moja shule ya mnazi moja. Wewe ulikua darasa moja na mimi na ndugu yako hamida huna miaka 40 wewe miaka yako 48 wacha kusema uongo looh umekua jiwe wewe hukuwi 😅
Hata yeye hakusema ana miaka 40 kamili, kasema ana miaka 40 plus.
Kwanini nyinyi watangazaji hamuongei kiswahili lazima mtiye luga si yakwenu huoni urimbukeni kuwa unajuwa kizungu ni ushamba wewe si mzungu
Huyu jamaa anajua jmn sikutegemea km anabadilika ivo sio yule anayeongeaga kwa sauti kali kwny mpira leo kashuka ivi
Huyu muhaya mbwembwe nyiiiingi na kiingereza cha chooni
Ongea wewe tusikie chako
Acha kutukana makabila ya watu kwa vitu visivyo na maana
Diva na miwani yake kama wale wazee wa kuchinja nyani
One of the things or one thing
Haikuwa zambi uyu mzee bhana we unakaa na mtu ambaye unaweza kumuowa ukaribu kama ule alafu una mke anayumba kiimani uyu mzee alafu ana miaka 40 bado anataka ujana ivi mwanawe atajifunza nn au ndio maisha ya kizungu
Miaka 40 sio mzee , huyo bado.
@@johnkiimbila6799 kwa cici waislam ujana hayupo tena ukifika arubain unatakiwa uwachane na mambo ya ujana kabisa kwa mtu mwenye kujielewa kakini urudi kwa mungu
@@saadmbaraqa5272 45
Kwendraaaaaa muhuni tuu wewe hujiheshimu. Personal assistant too young what she knows in terms of experiance
Always young are so experience than old trust me haji was right
very boring interview and interviewer. Why focus on the assistant? isn't that invasion of privacy?
Hata wema sepetu tukae kwakutulia huyu Bora umpe pesa itafika kuliko kumuweka karibu na unashindana naulipo toka unaakili ww🤣🤣🤣🤣
I would be a last person to agree with him!
Mmh tusubiri baada ya miezi 3 au 5 hv ndo tutajua msaidizi auuuuu🤣🤣🤣🤣maana we mwanangu kibokoooo
keshaoa ulimpa muda mrefu sana
@@mariasalomemelchiorkaigaru1974 hahahaha kwa kwel leo yametimia
Ulisema leo yametokea🤣🤣🤣
Unapendwa ww zinapendwa pesa acha ujinga
This person he is a player
Haji Kama haji unimalizag KBS
🔥🔥🔥🔥🔥
Manara kaongea kwa upole xn kisa babra kupaa kimataifa
Noma sana🤣🤣
Hii interview ingekuwa poa kama huyo personal assistant angekuwepo hapo ili naye apigwe maswali ..mbivu na mbichi zingejulikana
Mchipuko kwa kweli kumbe kweli
NA WEWE MASWALI GANI HAYO?
Manara ni m1 tu bongo
Kwanini songea nguruwe anaitwa manara?
@@allymtungunyu2425 muulize mamako uliyemtomba msenge ww
Mm kumbe nawewe ulimletamzungu
Nimchepuko😂😂😂
sasa aina mbili au aina tatu, uzuzu ni shida
😳😳💰💰💰 tuzipongeze, without 💰 zeruzeru ni kichefuchefu.
😊😊😊❤
🤣🤣🤣
😆😆😆😆
yuda asistensi kwenye nini
Angejijua alivyo
Malaya mkubwa ww
Wee Bwana una offisi gani na wp wakati unatumwa Tu na Gsm
iv hujui kma manara ana kampuni zake binafsi duh pole
@@sultanisaidi9701 achana nae fala huyo hajui chochote
Unaumwa aisee
Wanawake njaaa ivi uyu haji unalala nae vp
Kwanini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani wewe unanini cha kujifanya umbague Haji Manara
Eeeeee acha kukufuruuuu haman na yy ni kiumbe cha mungu usikufuruuuuu
Zungu Pori katika ubora wake