Bashe awa mbogo akimjibu Mpina "Siwezi ruhusu sukari ifike Sh10 elfu kwa kilo kama disemba 2023"
Вставка
- Опубліковано 3 чер 2024
- Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amejibu hoja za Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ambaye amesema kuwa Serikali isipolinda viwanda vya ndani itashindwa kukusanya kodi akisema kuwa Serikaii imeagiza sukari tani 410 wakati kiasi cha sukari kinachohitajika ni tani 120 pekee.
Akijibu hoja hiyo leo Jumanne, Juni 4, 2024 wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2024/25, Bashe amesema hawezi kuruhusu bei ya sukari ifikie Sh10 elfu kwa kilo moja kama ilivyokuwa kwenye baadhi ya maeneo mwezi Disemba 2023.
Namkubari sana mh. Mpina. Bravo mh Mpina👏👏👏. Bunge hili lingekuwa na wabunge machachali kama akina Mpina , Bashe, Slaa , Makonda, n.k wote wakawa wanachalenjiana hivyo , nchi hii ingekuwa mbali kimaendeleo.
Nyuma ya pazia mpina na group lake wana malengo yao mahsusi kwa kifupi ni mvurugaji
Kwanza anza kumshukuru Allah harafu spika wa bunge
Nchi yetu kwakweli wafanyabiashara hawana uzalendo hata kidogo, yaani wao wanachojua ni kupiga hela tu. Issue ya sukari miaka yote ni shida na ukiweka ile kauli ya kulinda viwanda vya ndani wao wanaitumia kujinufaisha wao.
Umenena.
Mfanya biashara lengo lake ni kunenepesha account yake, tatizo ni serikali inatakiwa wanapotoa tax exemptions kutokana na mazingira kama haya basi wawape na bei ya final consumers. Kinyume chake ndio haya ya kukomolewa wateja wa mwisho ambao ni mimi na wewe
Mpina yupo makini sana
Bashe yupo sahihi sana chapa kazi mheshimiwa
Mpina uwa unanini na hon .Bashe ? What is behind this cz sioni uzalendo hapo ila Kuna kitu kikonyuma ya pazia , ? Je hon mpina why kila akipresent hon Bashe hukosi kumpinga ?? Na Uzuri Bashe ameshakujua kuwa uwa unakuja kumchallenge na kwakuwa Yuko smart huwezi kumnock out maana Yuko smart na hajibu KISIASA anajibu ki technically na Kwa ushahidi ,so hon mpina jipange kuwapinga wale wanapokuja na hoja nyepesi na waliona mashaka nao ila siyo Bashe ,maana hautamnock out he is smart than you think
Ukifunua pazia mplna ana jambo lake kule kagera sugar la kimaslahi sasa ameona bashe anaharibu deal kwa kuruhusu sukari ya nje iingie, hapo ndipo mgogoro ulipo na nyuma ya mpina kuna vigogo wengi mabwanyenye. Mwenyezi Mungu amsimamie bashe ashinde hii vita ya mabwanyenye. Inauma na kuumiza mnoo unapotetea wanyonge tena pekeyako halafu kundi la mabwanyenye linatafuta kila njia kukuvuruga
Yaani tuna spika msomi na anayeijua kazi yake. Hongera sana Dr. Tulia, Mwenyezi Mungu akubariki zaidi
Muacheni Bashe afanyekaz
Mpina mtu sana
Bunge tukufu kivipi wakati wizi rushwa zimejaa bungeni utukufu ni kwa mungu tu peke yake.
Maana yake mpango huo haifai shotikati ilikuwa tu kwanza ni kuingiza mpango huo kwenye kuwaondolea kodi.
Na pili kwann makampuni ya mbolea ni matano tu?
Unaanza Mwenyezi Mungu ndio unakuja hao sijui spika na wowotee walee
Walaji wanalindwaje kwa gharama ya 5000.mpaka zaidi sehemu nyingine unamsaidiaje nauliza
Mpina oyo
Sawa
Tatizo la Mpina ni machungu ya kukosa uwaziri bahati mbaya sana ni kwamba amemgusa mtu ambaye ni mwadilifu, mzalendo, na ambaye yuko smart kichwani
Unachuki binafsi na mpina.unahoja za ubinafsi unasema ni kwasababu hajapata uwaziri.!!! Yaani unachuki sana mpina pia ni mvivu sana wa kuchambua hoja pole sana.lkn tulip wengi tumemwelewa mpina angalia hata coment jitafajari😅😂😂🎉
Llooooo!!!
Kwani kila mtu lazima awe waziri? Hayo mawazo yako potofu mpina ni mzalendo wa kweli
@@albinusmkono5887 Tatizo lako ni uelewa tu ndo unakusumbua, hivi mtu anaposema kuhusu kulinda viwanda vya ndani unaelewa maana yake? Hakuna mtu anayekuja kushambulia viwanda na mabomu, tafsiri yake ni kulinda viwanda vya ndani ndani dhidi ya bidhaa kutoka nje zinazouzwa kwa bei ya chini wakati bidhaa za ndani zinauzwa kwa bei kubwa. Kwa hiyo unazuia sukari kutoka nje ila wafanyabiashara wa ndani wauze kwa bei ya juu, na mwananchi wa hali ya chini anaumia huku wafanyabiashara wakijipatia faida kubwa. Ukishabikia hoja kama hiyo maana yake ni kwamba unashabikia siasa za kijinga. Yaani wafanyabiashara wanaficha sukari inaonekana imeadimika ili wauze Kwa bei kubwa halafu mbunge anawatetea na unamwita mzalendo uzalendo gani huo
Kwa nini sukari ya viwanda vyetu haionekani. Sukari ya nje iwekewe nembo yake. Zisitumike nembo za viwanda vyetu.
Wabunge wetu bana. Yani wao kila kitu hata kisichokuwa na tija wanapiga meza tu.😂😂
Na huo ushaid spika tunaomba tuujue na tuushudie kinachoendlea
Nimewasikiliza wote na media address ya Mpina naona kama mpina anatumika na makampuni yanayozalisha Sukari. Bashe piga kazi baba. hakuna kurudi nyuma, afadhali kuwapa NRA kibalia kuliko wafanya biashara. Big up
Mimi namkubali mpina.bahati mbaya hujabalance mkumbatie bashe😅😅😂😂😢😢.Kuna barua wenye viwanda waliomba mapema kibali lkn bashe hakutoa kwa wakati.waziri analalamika kua sukari.iliuzwa kwa bei kubwa tofauti na bei elekezi Ina maana alishindwa kusimamia hata Hilo hulioni.??😅😅😅😂😂
Bashe yupo vizuri
Bashe nasamia wananiamzuri ila tatizolaokubwa awawezi kutufatilia sisiwakulima tunavyonyanyaswa nakuzulumiwa pesazamazaoyetu
Huyu bashe maneno mengi sana hayana maana na ukimchunguza huyu ni mhuni
Mmh ama kweli duniani kuna mengi
Kiseme hicho kitu.bashe ni wapigaji mpina ana hoja za kitosha amemdhika pa baya bashe pole msaidie kwa hoja bashe.sio kwa chuki kumchukia mpina
Waziri yupo sahihi
Ili bunge utukufu wake nini wakati CAG kaumaliza mwendi wa wizi na ubadhirifu wa mali za umma??
Mkoa upi sukari iliuzwa elf10?????????? Emungu lisamehe taifa letu" kuna watu hawakumbuki kuwa walikuja bila kitu wataondoka bila kitu"
Ila mimi nilinunua kg 7000 Dar
Aibu naon mm mpk leo tunaongelea sukari
Kwa nini mnapenda sana kupiga makofi, wananchi tuwaelewaje wapiga makofi
Na uzuri hon.speaker ameshakujua pia unaraise point kupinga na siyo kujenga hoja za kuleta MAENDELEO so hon .mpina kubali tu kuwa bashe anafanya kazi na wewe subiri wakati wako ukirudi kuwa waziri na pia kama unapersonal interest naye ungemfata mkaongea , maana ninyi ni WANAUME MNAJENGA NYUMBA MOJA ,
Mnaomshabikia bashe wote uelewa wenu ni mdongo!!
Hawa ni kama Tegucigalpa. Hawana nyuma wala mbele ni makofi tu kupiga kila kitu. Kizuri Kibaya wao ni makofi tu
Hao ni tegu
Kabisa
Miaka zaidi ya 50 ya uhuru bunge letu na wasomi wetu wanajadili sukari tena wanazungumza kisooooomi
Mpk mm naon aibu
Mnafki tu mkweli mpina
Sheria ifuatwe
Bashe ukiendelea kumfata mwiguru atakuponza mana mpango wenu wewe na waziri wa fedha eti sisi wakulima the na machine ya ifd mwaka ujao utaenda kulima wewe na huyo mwiguru nchembe wako
Bashe yupo vzr na ana confidence
Mpina sawa kampuni ya kuuza simu ikapewa trnda
Kama ni mbolea ndo mmefeli kabisa, mwaka jana tu kulikuwa na karibu maduka 1000 yaliyonyang'wa vibali vya mbolea
Unamshukuru spika ndo umshukuru mungu?
Mpina anatakiwa apewe tuzo hakwenda bungeni kulala
We acha ushabiki sio kila mtu anaepinga pinga ni mpiga kazi na waukweli huyu anawafurahisha watu kama nyie mnaopenda kuchukia serikali ufarijike na nafsi yako
Hiyo Sukari hadi leo wala haijaaa vizuri.
Kwakuwa Sukari hadi sasa katikati ya miji ni 3200.
Je vijijini si itakuwa ni 4000?
Mh unatudanganya sukari hajafika sh. 10000 @ kg
Hongera bashe
mpina amepokea mlungula kwa wenye viwanda vya sukari,serekali isinge agiza sukari ya bei nafuu kutoka nje ,kilo ya sukari ingezidi elfu kumi!!
Pia wenye viwanda vya sukari nao wauze nje wapate pesa za kigeni,kwani lazima wawauzie watanzania tu? Acha roho mbaya Mpina!!
Wenye sukari wanaruhusiwa kuuza nje ziada , na si vinginevyo. Nchi yetu Bado hatujafikia kuzalisha ziada. Na hiyo inayotoka nje huko nje huzalisha ziada ndio huja kwetu
Tatizo sukari inayoingia ina ubora? Sukari inatoka brazir ikija huku inauzwa bei ya chini jiulize
Imetoka elfu 40000 Hadi laki 410000 hapo hakuna watanzaniani wazungu hao jerr sraa mpina makonda hao ndio waafrica
Wakulima wa mahindi tunalia njaa kali
Jangwani
Kuna nini Kwa Mpina toka atemwe kwenye uwaziri!!? Kila waziri amekuwa mpinzani wake, NI uzalendo ni chili au wivu inabidi wenye akili wajiulize.
Aah! Mpina Mzee WA kupima samaki Kwa rula sijui alitaka kuwashonea suti?
bashe huku wakulima wa maind ni majonzi makubwa bei iko chin mno na uliahid bei itakuwa nzur vp shinda iko wap huk kwetu
Unataka ipande hadi sh ngp ili tulie njaa , Hali ngumu unataka chakula kiwe bei juu . Tuhurumiane ndugu yangu
@@issaidrisamusa5962 mkulima anapata hasara pembejeo bei juu wewe kama mvivu hata bei iwe ndogo utalia njaa tu amka haviji kirahis
Nilichogundua mpina anachuki na bashe pili mpina hana elimu
Alitaka bei ifike elfu 20 kilo
Tafuta profile yake ndo utamjua mpina
Ww mpina humuelewe ww
Huyo ni chawa ndio wanatuletea shida
Mpina is very bright
😅😅😅😅😅😅