Ume juwa lakini siyo ivio mimi tangu kuzaliwa sijaona bina damu mwenye mstari tafauti n'a binadamu wengine iyo siyo ukweli jamaani, ebu uchunguze marafiki zako katika viganja vya mikono Yao hata maaduyi zako wote wana viganja vya miko sawa sawa na WE we
Ni kweli kabisa, mimi nina alama hiyo kwenye viganja vya mikono yangu. Nayote uliyoongea huwa nayaona kwangu, ila sikuwa naelewa. Ndivyo nilivyo, upo sahihi.
Kaka ni ukweli mwaka huu namwomba mungu anisaidie .shukrani sana kaka
Uko sahihi kabisa bwana kaka,Mimi mwenyewe Niko na alama hii ya nusu mwezi, Asante sana
Nashukuru sana kwa kjjua maana ya mistari iliyo katika viganja
Kweli kabisaa napenda kukufuatilia sana na umenijuza mengi🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤
Asante sana ninavyo nl kua cjui na ni kwel kabisaaaaa ume tisha kka shikamoo
Asante Kwa somo lako kaka nimejifunza kitu
Asante kwa masomo yako Niko nazo na niukweri kabizaiyo matatizo Aki ni mingi
Very....very true yani napendwa na wanaume wengi sna mpaka nachukiwa na malafiki
Kweli ata mm napendwa sana mhmh
Asante hy yt uliyoongea yinayopitia now ha hiyo alam y mwez ninayo daaaah❤❤❤
Asante sana ni ukweli nimeamini kwani alama hiyo ninayo nimeshukuru sana kujuwa ukweli wa maisha yangu mungu akubariki
Asante upo ukweli ndani yake ❤❤❤
Asante kwa kunijuza ilo
truuuuuuuueeeeeee mi ni mmoja wao kila kitu kweli kaka
🎉🎉🎉Asante sana nimejua leo kwann nasikilizwa
Hahaaaaaa
Ume juwa lakini siyo ivio mimi tangu kuzaliwa sijaona bina damu mwenye mstari tafauti n'a binadamu wengine iyo siyo ukweli jamaani, ebu uchunguze marafiki zako katika viganja vya mikono Yao hata maaduyi zako wote wana viganja vya miko sawa sawa na WE we
🙏🙏 asante nami ninayo nilikuwa sijui
Ninazo hizo alama nikweli Mambo yako hivyo hivyo.ila nilikuwa silifaham Hilo Ahsante.
Very true ❤❤
Yani nime amini kabisa ndivyo nilivyo jamani tena huwa na chunguz sana kama utanidanganya amini tuu nikiweka kiwango chakuku fatilia hufui dafu❤❤❤
Asante sana
Waaaaa exactly ❤🎉🎉❤
Asante mungu
Hujadanganya kabisa 🎉🎉🎉🎉Asante tena
Hapo ni kweli kabisa. Mimi hupenda kujishusha kila wakati ili amani iwepo.
Uko sahihi kabisaa Wala hujakoaea na mm niyo hiyo alama
Hicho kitu nikweli maana uloyasema yote huwa yananikuta Asante sana nimejifunza
Shukran
Dah! Kweli kabisa nimejionea mwenyewe kwani hata Mimi Nina alama hii Kila unachokisema kipo kwangu Asante
❤❤tanx
Somo zuriii
Asante kak nimeelew
Niukweli kabisa❤ asante sana kwa kutujuza
Yani apo umenipatishia sans
Ni kweli 100%
Nimejijuwa asanti
🎉🎉🎉 nikwel kaka mungu akuongoze kwaufafanuzi wako,,
Asante umepatia for 100 %
Shukran huo nusu mwezi ninao na tabia ulizotaja ninazo" hongera sana!!!
Asante kaka ❤❤❤
❤❤kwel mungu akubarik
Daaaah kaka ni mimi mtupu na alama iyo ninayo na kwenye kupenda na kuchunguza jambo niko vizuri sana daaah najivunia kuwa na alama ya mwezi
Alama hii inanitesa sanaaa
kweli kaka saluti
Alhamdullillah
Uko Sahihi ❤kk
Gud brother❤
Hiyo nikwelii kakaa unaongelea point 👍
Kweli kabisa nami naalama hizo
SWADAKTA MASHALLAH ❤️
Asante bro
Asante nime jitest nipo kwenye kundi la alama lamwezi
❤❤❤❤❤❤❤❤
Ninazo hizo alama but sikua nafaham za maanisha nn, thanks
Kbs hujakosea Kaka ,kila ulich kitaj kwangu ndivyo vilivy
Jamani mbona uniogelee Mimi jaman
Daa nimim kabis
Kweli kabisa kaka ata mimi pia Nina hiyo alama ya herufi M mikono yote asant sana
Ni kweli kabisa, mimi nina alama hiyo kwenye viganja vya mikono yangu. Nayote uliyoongea huwa nayaona kwangu, ila sikuwa naelewa. Ndivyo nilivyo, upo sahihi.
Kiukweli kbx sifa zote zilizotajwa ninazo ❤❤❤
Am one of them
Mm ni nazoalama
Ukweli 100%
Asnteeee... ukweli mtupu mi pia alama hizo ninaz
❤❤❤❤❤❤❤👌
True kabisaa ndio mm uyo🎉❤
Kweliiiii kabisaaaa❤🎉🎉🎉
Iyo nikweli kabisa Kaka Mimi Niko na alama iyo
Ni kweli kbs❤❤❤
Thanks God
Kaka kaka pamoja sana
Upo vzur sana hakuna ulipokosea
Upo sahii nipo hinyo hinyo kweli
Kweli kabisa kaka hakika huja danganya
Uko sahihi
Daa kweli kabisa kaka
Dah,, jaman kaka mbona ni mm hapa kabxa
nice
aah aki ni kweli kabisa jmn ndugu
Jamaaa umetisha umenizungumzia Mimi kabisa oficn kwangu mtumishi mwenzangu alikuja na kunitukana saana nikajishusha na mpka sasa tunazungumza nae vzr tu.daaah
Kwan kuna watu Awana alama iyo
Kweriiiii kabisa yan
Kweli kabisa hivo ndio mm hunitokea katika mahusiano
Ni mimi haswaa❤
Kweli kabisa 😂
Very true
Ni kweli ❤❤
True story.
Alhamdhullilah kila ulichokiongea nisahihi kwangu
Nikweli Kaka kabisa
💯💯🔥
KAMA KUNA MTU HANA HIYO ALAMA YA MWEZI ANIJULISHE
🎉🎉
Ni mimi tu kweli😢😢😢😢😢
kweli kabisa
Is true
Ndiyo hata mimi pia
Aseee kabisa ni kweli akuna ulipo kosea
Nimefikiwa
Naked truth
Nikweli Kaka ninazo sifa zote mimi
Hukweli huo kabisa