DADA WA KAZI AGEUKA MKE EP YA 3. WEKA MIPAKA KWA MUME WAKO USIJE KUJUTA
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- NEW BEST BONGO MOVIE 2024...
#snake boy #wrong house #boss mchawi #siri ya huba #house girl #baba yangu kipofu #mwanafunzi mchawi #mke maskini mume tajiri #penzi #aliniumiza sana #love story #bongomovies #film #comedy #funnyshortsvideo #dada wa KAZI #millard ayo #wasafi tv #manara #diamond #baba Joan #clam vevo #kicheche #bhailam #harmonize
Your views, likes, comments, share and subscriptions mean the world to me. Love y'all...
Asanteni kwa mafunzo mazuri sana ukiwa na akili ya kuifadhi chukuwa mafunzo apa kwenye hii movie DAR ZONE TV😮😮😮😮mashaallah nawapenda nyote ❤❤nice season 👌 👏 👍
Ahsante sana
Huyu rafiki mbaya nyie jamani unamdharirishaje mume wako kiasi hiki majuto ni mjukuu nyie series yenu ina mafunzo makubwa mno .Mponji ❤❤❤❤
Ahsante my dear 😘
kaz nzr mweny wivu akaigize yy tumuone 🤣🤣🤣
Safi sana kwa sisi wanaume natamani wanaume wengi waione hii kazi ina tiba kubwa kwetu tusipuuze kila jambo huku tunaumia moyoni tunajisababishia maradhi ya moyo bila kujua
Ndio hivyo tuwe tunatoa sumu tuishi miaka mingi
Kaz nzur mage wanawake kama hajira wanatapatapa
Waooow Mponji ahsante sana kweli safari hii hakuna kupoa.. Mmmh jamani mpaka story tamu hivi inazidi kupamba moto 🔥🔥🔥🔥 maua yenu..Mama Mariam anaumia sana.. Ujumbe mzuri sana wanaume mnakufa mapema kwasababu mnaweka vitu moyoni na mna mambo mengi nimewaverifai verify 100%
Hatupoi my dear 😘
Tunawapenda saana kwa kutuletea mafundisho mazuri na muhimu saana ktk maisha. Tunakuombeeni kl la heri na mafanikio. Tunajivunia kua na watu km nyie. Kazi nzuri saana.💕
Amiin Inshaallah... Tunashukuru mno Kwa support zenu. M/Mungu awafanyie wepesi
Dada wa kaz naye shape yaua hiyo😂😂😂
Daaaa jamani mama kama hawa wako wachache sana
Mungu kakubariki kipaji,hongera.
@@WinjonesKayemba Ahsante sana
Pamoja sana ❤❤❤🎉
Kaz mzur tajir Allah abarik kazi zenu hongereni sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ahsante sana my dear
Ahsante sana my dear
Dah hapa Kuna mafunzo makubwa sana hongereni sana❤❤❤
Kazi Ina mafundisho mazuri mnooo ninampenda nyote mngu amubarik ❤❤
Ahsante sana. Tunakupenda mno
Huyu mama namkubali huyu ndyo mzazi pwa kabisa ambayo ako na uchauri ambayo ukisingatia maisha yako yote yatanyooka. Pia ninamunga mkono huyu mwajiriwa
Huyu mama mm namkubali sana
Ahsante sana
Uyu maman ni mushauri kweli
Hongereni dar zone kwa kazi nzuri.
Ahsante sana
Mimi wa kwanza Naomba like zangu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢
🎉🎉🎉🎉🎉umetisha sana chukua makopa kopa Yako ❤❤❤❤❤❤❤
Mama umempea mponji wosia mzuri sana na huo ndio uhalisia hapa dunian
Ni kweli kabisa
WAPENZI MASHABIKI ZETU MZIGO HUU HAPA HATUPOI HATUBOI SAIV NI MWENDO WA KUACHILIA VYUMA TU...NAWAPENDA MNO ❤❤❤❤..
Mmetisha Mponji. Nakutakieni kazi njema na yenye mafanikio. Tunajivunia kua na watu km nyie nyumbani.❤
@@umfahad2609Ahsante sana Mama Fahad wasalimu sana huko
Unajuwa kazi ❤❤❤🎉
Utajutiawe subiri Dawa yako ipoji Koni inache muka
Kabisaaaa
Naam
Kazi ina ujumbe mkubwa mno kila episode mambo yanazidi kuwa moto nawapenda sana...Sasa huyu mke hana akili kabisa anashindwa hata na dada wa kazi we ngoja yamkute.
Umeona eenh
Mama mkwe kama mama mkwe
Yani uyo magy ana shuzi kuliko mama mjengo
Hahahaha 😂😂😂
Namkubar Sana mponji na mama marim anapenda sana
Ahsante sana... Tunakupenda mno
Maraii utajua ujui
Hii movie inakitu tamu sana ndani yake❤❤❤❤
Nakwambia we kher yako umeliona hilo
Huyu dada wa kaz nae eti niheshimu wanaume, afu eti zaid mume wngu, kwaiy uyo ni mume wko? Wadada wa kaz wanaakili nyingi sana.
Daah sijui hata la kusema ila ujumbe uliomo humu ni mkubwa mno na unafundisha jamii 🎉🎉🎉🎉🎉
Ahsante sana jamani.
Mwanamuke mujinga unatowa siri zako inje falaa ety 😮
Hahahaha 😂😂😂
Dakk mnafeli sanaaaah, muongeze
Usijali my dear tutaongeza utaenjoy tupo kuwafurahisha.
@@darzone1020 asanten tunawapenda
Tutashkuru kaka mana dakika ndogo mno alafu move tam balaa asanteni sana
Uyo mkee atajuta asie funzwa na mume atafunzwa na ukewenza
Mtihani kweri 😢😮😅
Yan mikil nikiangalia mov yak kaka nainjoi san wallah nawapenda san miss yuooo ❤❤❤❤ mubarikiwe san muzid kutuelimisha kaka
kaz nzur mashallah
Amiin Inshaallah
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera sana mponzi kazi nzuri 🎉🎉🎉 from kenya 🇰🇪
Ahsante sana
Ohooo.🎉🎉🎉🎉
Huyu mke wa mponji ni choko ,afu kichwa chake ni kibovu
Hahahaha 😂😂😂
Shadya ndoa huna kaone na sura yake ile
Mama Shadia. Anaitwa Hajra.
Anaitwa Hajra ila mwanae anaitwa Shadya
Kaka mponji nimewakubli hampoi Raha ya chai kunywa ya moto kama hii
Kesho episode ya 4
Ila mama maryam nimzur nampend san nawapend nyot mung awafanyie wepes katik kaz yenu
Ahsante sana tunakupenda pia
Nawapenda ndio hiyo maua yenu🎉🎉🎉🎉
Mama mariamu,mupe fuzo la mwisho mwanao laa sivyo ndowa hana 😢😢😢
Vizuri sana
hyu mke mbn wamefanana sana mme wake jaman
Hahahaha 😂😂😂 we Naruto
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Hajjj kavuma
Karibu Hajjj Kavuma
Ya sits
Kesho jioni ya sita
😅😅😅😅
Ninzuri kwakweli naomba muendelezo plz nawapenda ❤
Upo tayar angalia hapo episode ya 4
Hongereni sana
Ahsante sana.
Hii muvi Ina madunzo makubwa kw wanafamilia Weny wadada wakzi sio kila Kazi unamwachia Dada mambo mengine unatakiwa ufanye mwenyw hasa yanayomuhusu mumeo. Mm km mm sitaki Dada w kazi amuhudumie mumewangu kw jmbo lolote lile mana wanaume wanatafut sabbu tu. Kitu unafnya mambo hayawi je kila kitu unamwachia Dada wkazi si unajichimbia kaburi mwenyw. Hapana Wanawke wenye tabia km hizo badilikeni
Ni kweli kabisa
Mama mariyam ❤❤❤
Kaz nzur
Ahsante sana
lakini pale pakumsikiliza sheemu mekosea. Yule nishemengitu haifayi kusikiliza kila kitu hasa mbe ya mfanya kazi au mdongo wa mkewako
Wapi ndugu
Mwendelezo please 🙏🙏🙏
Leo unatoka
Mimuvi inamafynzo akh
Ahsante sana
❤❤❤❤
Thanks
_❤❤❤❤
Thanks
jmn nyie ndokwanz epsod y tatu lakin y moto
Mambo ni moto 🔥🔥🔥
kaz nzr mweny wivu akaigize yy tumuone 🤣🤣🤣
❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Thanks
Ya sits
❤❤❤❤
Shukrani sana
❤❤❤
Thanks