Jinga jinga tena mjinga mkubwa Hajra unamfukuza mama yako 😮kwa kukuambia ukweli na kukufundisha maisha ndo umeona anakubana… unalolitafuta utalipata hivi karibuni. Niwapongeze sana kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Huyu mwanamke ni mshenzi nyie dah mumeo akufikishi sio jambo la kutangaza mpaka baba wa watu analia alivyosikia mkewe anatangaza amridhishi haitoshi ana roho mbaya sana sasa dada wa kazi akiumwa ndio umkate msharaha wake wote kisa umemtibia
Hongera Mponji kwa moyo mzuri na kumpa Mage pesa akamtumie mama yake aende hospital mpaka nimesikia uchungu ani ...Ila naona mkeo siku si nyingi linamkuta jambo nipo hapa kwa ukaribu kusubiria siku zake 😂😂😂
Kazi inafundisha sana leo kiukweli Mponji umeniliza nimelia wakati bibi anamuaga mjukuu wake nafurahi kuona mke wa Mponji siku zake za kujuta zimefika safi sana
maman Mariam nakupenda sana, mzazi ambaye anafaa kuitwa maman. hongera sana. mponji una hekima ndani ya hii movie. uliniumiza sana ndani ya movie tajiri muponji.
asie sikiliza ushauri wa mzazi wake huyo lazima kimrambe huyu atarabwa atajikuta mahali anapo staili 😢😢😢😢😢 pole Sana mama kwa machungu ya mwanao n pia pole Sana bosi😢😢
Your views, likes, comments, share and subscriptions mean the world to me. Love y'all ❤❤❤. God bless you....
Wangapi walia pamoja na mimi😢😢😢
Umelia kumbe??? Dah pole kwa uchungu mpendwa
Duuh mama shadya kiboko😅😅
Jinga jinga tena mjinga mkubwa Hajra unamfukuza mama yako 😮kwa kukuambia ukweli na kukufundisha maisha ndo umeona anakubana… unalolitafuta utalipata hivi karibuni. Niwapongeze sana kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ahsante sana my dear
Huyu mwanamke ni mshenzi nyie dah mumeo akufikishi sio jambo la kutangaza mpaka baba wa watu analia alivyosikia mkewe anatangaza amridhishi haitoshi ana roho mbaya sana sasa dada wa kazi akiumwa ndio umkate msharaha wake wote kisa umemtibia
Inasikitisha sana
Hongera Mponji kwa moyo mzuri na kumpa Mage pesa akamtumie mama yake aende hospital mpaka nimesikia uchungu ani ...Ila naona mkeo siku si nyingi linamkuta jambo nipo hapa kwa ukaribu kusubiria siku zake 😂😂😂
Ahsante sana
Kazi inafundisha sana leo kiukweli Mponji umeniliza nimelia wakati bibi anamuaga mjukuu wake nafurahi kuona mke wa Mponji siku zake za kujuta zimefika safi sana
Yatamkuta mazito
Kishakuramba😂😂
Hahahaha 😂😂😂
Uy mama mwisho wake mbaya sana 😢😢
Yan sjui niwape nn kwn mnaelimisha yani nishule tisha ❤️❤️❤️❤️❤️
Ahsante sana my dear
Usitucheleweshe to kazi kazi kazi mashallwah
Sawa sawa
Mama mariyam unajuwaa sanaa mpaka unajuwa tenaa mubarikiwe sanaaaa🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
AMINA.
WAPENZI MASHABIKI ZETU MZIGO HUU HAPA FULL HD HATUPOI HATUBOI KAZI KWENU... TUNAWAPENDA SANA YAANI SANA ❤❤❤❤
Mponji Asante una tudai washable huchelewesh mambo
Sawa nimekuelewa usijali kazi kazi
Kazi nzuri sana
Ahsante sana my dear
Kazi nzuri dj lete manenoz
Ahsante sana
Kazizuri sana ❤❤❤
Ahsante sana
maman Mariam nakupenda sana, mzazi ambaye anafaa kuitwa maman. hongera sana. mponji una hekima ndani ya hii movie. uliniumiza sana ndani ya movie tajiri muponji.
Yaliyopita si mbele
Mponji hapa ni mpole saana na ana busara. Ana maamuzi ya taratibu. Mm Shadya utaangukia pua. Pole sana Mponji.
Ahsante sana my dear
Dada wa kazi hupitia mambo mengi sana
Kaz nzuri mnooo
Ahsante sana
Huju dada anakiri kweli.
We dada usilolijua ni sawa na usiku wa giza 😮😮we mponji unamoyo wajiwe sijawahi kuona😢😢❤
Ndio hvy tena mtoto atapata shida
Mponji, M/mungu azd kuwapen afya mzidi kutuelimisha... Asiyejifunza kwa haya mafunzo mnayoyatoa bac ahurumiwe sana 😊
Kweli kabisa
Mwanamke were chizikweli x10000
Haha unalaan maisha kwako
Makofi kwa mponjiiii❤❤❤
Ahsante sana
Kuumwa kizembe tena hee wewe dadaaa
Una mufukuza paka maman mzazi yako,un mlilisha pia😢😢😢😢
Kazi iko poa sana hongera sana mama wajua kuogoza hapo kwa kutoa machozi hata mm langu limenidondoka ndyo nkakumboka soyo ukweli nkuigizia 😢😂😂😂
Hahahaha 😂😂😂
Mumejitahid sana KAZI zuri sana 🎉🎉
Ahsante sana
Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu,,,,mama shadia , naona ulimwengu uko karibu kukufunza
Kweli kabisa
Aaaah Aaaah utaona mbingu wew mwanamuke kaaba
Siyee funzwa na mamayee hufunzwa na ulimwengu❤❤😮😮
Kabisaaaa
Pole Mamaangu mwanao hibilisi
Mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono miwili
Hajra mwana kuyatafuta mwana kuyapata,subir.utayapata,huna adabu hata kwa mama yako,nyoko zako
Kazi nzuri mponji mzigo umefika kwa wwkati big up bro❤ kutoka kenya twakupenda
Ahsante sana tunawapenda sana mashabiki zetu kutoka Kenya
Mimi wa kwanza 😂😂😂
Napenda kumtangaza kuwa huyu ndio wa kwanza tumpe maua yake jamani.
🎉🎉🎉🎉🎉🎉hayo hapo
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉chukua mrembo Kwa kutufungulia dimba
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hajra mamako anakupenda lkn ww wajifanya nimwerevu utamkumbuka sna
Yaan huy mke wa mponji ni mshenz san anaruhus vip mama ake kutoa chozi imenium san walah😢😢😢
Pole sana my dear
@@darzone1020 asante mama akitoa chozi hio ni laan ata Kam ni movie tu hii
Wenzako wanatamani hyo ndoa ww unaichezea lakini mwana mke hana ata aibu
Mama Mariam upewe mauwa yako🎉🎉🎉unamjuwa sana.
Mungu akubariki mponji kwa msaada ulompa dd wa kazi
Amiin Inshaallah
Mwisho wa ubaya aibu😊
Kabisaaaa
Hajra Hana akili khaaaa mama hajra kazi unayo daaaaaaaaah
The next part please 🙏 Yani inafika SAA ngapi 😮
Jioni kesho
Mama apewe mauwa yake yani kanitoa machozi kama sio muvi🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Inaumiza sana
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri
Ahsante sana
Kazi nzur 🔥💯
Ahsante sana
We mama Shadia ni mwanamke mpumbavu sana subir hao marafiki zako wakuvunjie nyumba ndio utakumbuka ushauri wa mamako
Kabisaaaa
Kazi hii ni nzuri jamani mpaka kichogoni ahsante tajiri Mponji Kwa kazi nzuri sana
Ahsante pia
Kazi nzur
Ahsante sana
Kaz nzur sana tunaomba mwendelelezo plz
Unatoka kesho
Mume jasiry jaman😢
Swa bana❤
Mungu atakulipa Kaka yangu unamoyo mzuri
Amina.
kaz nzuri mponji🎉🎉❤❤
Ahsante sana
kaz nzur
Ahsante sana my dear
Usituweke sana
Sawa kesho jioni
Haaaah jamani huyu mdd hata hayahaoni
Sikio la kufa huyo
Kitawaramba wewe mwanamke 😢😢😢😢😢 kazi nzuri sana mponzi,, from kenya 🎉🎉🎉🎉
Ahsante sana mashabiki zangu wa Kenya nawapenda mno
Mko powa mutupe mambo!!!
Mambo yanakujaa
Duuu yan munajua kutufunza ila mung atusaidie ili tu zid kujifunza kutoka kwen mung awabarik san muzid kutufunza 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 maua yen ayo jaman ❤❤❤❤❤❤
Ahsante sana my dear
uyu dada mshenzi xn jmn
Yaan mpak mom huruma😢😢isyee mbonaa mommy anakushauli poa tu ..pole mamangu yatosh muache ajutie ndoa
Mamangu nyamaz ata waniliza nmi pia😢😢
Safi sana Mponji na timu yako nzima kazi ni nzuri mno pia leo umetisha sana umewahisha kazi mapema sana chukua tano.
Zimefika na ahsante sana
Ww mama shadya uteanda mbinguni umechoka,
Hahahaha 😂😂😂
Hajra ipo siku utakuja gundua maneno ya mama unashauliwa unajisikia vibaya haya dunia n duara😢😢
Uyu dada wa Kaz Hana hata machachar kwakwel
Uyo dada analegeza sauti
Huyu mwanamke ana laana huyu jamani utamfukuzaje mama yako mzazi kama umbwa wakati anakwambia ukweli yatakukuta wewe mpaka ujute tupo hapa
Lailath nimekukubali kaka mponji kote kote upo vzr ukiigiza mtu mbaya uko vzr ukiigiza mtu mwema unatisha zaid
Ahsante sana Lailath my dear
Mama achana naye asiye sikia la mkuu uvunjika nguu 🎉
Kabisaaaa
asie sikiliza ushauri wa mzazi wake huyo lazima kimrambe huyu atarabwa atajikuta mahali anapo staili 😢😢😢😢😢 pole Sana mama kwa machungu ya mwanao n pia pole Sana bosi😢😢
Mapenzi ni mashenzi kweli
Mwanamke hat haya huna mama yako analia kwa ajili yako wew unachukulia pw utaja mkumkumbuka 😢😢😢wallah huyo sio mke jaman pole mponji
Ahsante sana my dear
Usichokijua Hajra mumeo kakusikia vizuri tu hapo ni ukimuona kobe kainama ujue anatunga sheria
Usitoe siri
Mtoto kafanana na mage jaman😂😂😂
Mh
Utajuta hajra Uyo Ni mama Na atabaki kuwa mama Laana ndo itakuponza
Mponji humu unamoyo mnzr had raha, lkn kwny movie mponji tajiri mmh
Nami na shangaa hii hekima mponji aliitowa wapi? nilimu chukiya sana.
Hahahaha 😂😂😂
Jaman bibi anavoaga mjukuu wake duh inatia huzun
❤❤❤
Yaan huy mam shadia kujifany kaend kuongelea kand mume wake asisikie ndo kwanz kamwag mchel kweny kuku weng
Hahahaha 😂😂😂
Inamana kutumikisha mtu hauwezi mpa mshahara wake bila kumyanyasa loo😢😢😢sivizuli
Inasikitisha sana
Mponji chuma Unacho😊
Hahahaha 😂😂😂
HIV hajira unajielewa kweli chiz la mama Lina laana
Acha zarau kwa mumeo huyo ndo familia yako
Kabisaaaa
Unacheza na chozi la mama wewe Hajirah 😢😢😢😢
Unamfukuza mamaako kisa anakushauri😢😢
Inasikitisha sana
Sijaona ona mwanamke shenzi kama huyo mpumbavu wafukuza mamako kwanjili ya uzinzi
Ni kweli kabisa
Penye umekosea n kufukuza mmko 😢mbona umefanya ivyo hdi mum analia wallai nimefeel mm shetani Mula watu kabisa 😢
Inasikitisha
❤❤❤❤❤😂
Wamama wenye nyumba acheni izo roho mbaya jamani
Mmmhhhiii hapana jmn huyu mama hajira hanaa utu huwrz kumjibu mzazi wako hiv. Jmn😢😢😢
❤❤❤seemuya saba
Kesho itatoka.
Asiye fuzwa na maye
Mbona munaigiza michezo iliopita hamutungi yenu vp nyinyi
😢😢😢😢bibi yake shadya kaniliza mno jamani😢😢😢tuwapende san wazaz pia kuwaskiliza😢😢😢😢
Pole sana my dear