Asante sana baba. Kuhusu loliondo hakika moyo wangu unauma sana. Watu hawa wamekwenda uhamishoni bila kupenda. Fikiri kama ni mimi au ni yule kweli. Jamani kuweni na huruma hao pia ni watanzania. usichotaka kutendewa usimtendee wenzio. Tena masikini.
Tunataka katiba mpya hiyo ndo haki kuu kwa kila mwananchi tunaomba basi wananchi wote na viongozi wetu wa dini wawe mstari wa mbele sasa maana kila mahali kuna waumini
Asante sana baba. Kuhusu loliondo hakika moyo wangu unauma sana. Watu hawa wamekwenda uhamishoni bila kupenda. Fikiri kama ni mimi au ni yule kweli. Jamani kuweni na huruma hao pia ni watanzania. usichotaka kutendewa usimtendee wenzio. Tena masikini.
👍👍👍👍 Hongera sana Fr Kitima High IQ in action!!
Father Kitima Mungu akubariki tunaomba sana mpitisha kabisa makanisani mahubiri yawe ya haki kila siku na ili amani itawale...
Big up Fr. Dr. Kitima
Asante Baba Askofu
Knowledge is power
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu...
We need to make most of what we are doing
God simamaa na hii.
Uwiiii, yaani miaka kumi mahabusu inauma sana.
Huwa napenda uwazi wa Fr.Kitima na haegemei upande mmoja,leo akigonga huku kesho anawagonga upande wa pili
Katiba mpya suluhisho
Tunataka katiba mpya hiyo ndo haki kuu kwa kila mwananchi tunaomba basi wananchi wote na viongozi wetu wa dini wawe mstari wa mbele sasa maana kila mahali kuna waumini
ni kweli katiba mpya ni muhimu
Huyu jamaa, kama vile nimesomanae uhasibu, I mean mtangazaji sio padre
Ni hivi, huyu mkuu wa tume haki za binadamu, watoe namba kwa kila mchungaji. Ili tusaidie wengi
Blablaaaa tuuuu..... uhuni tuu....