IBRAHIM URASSA - AMAPIANO
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2025
- Ni msimu wa Nne wa mashindano haya ya Kuibua Vipaji kwa Wanavyuo wakiwa wanapambana kuondoka na 10M kwa mshindi wa kwanza,mshindi wa pili kusepa na 3M na mshindi wa Tatu kusepa na 1M
Endelea kufatilia Mashindano haya ambayo hukujia Kila Jumapili Clouds TV
INSTAGRAM: UNITALENTSHOW
TIKTOK: UNITALENTSHOW
PRODUCTION: MAROON ENTERTAINMENT COMPANY LIMITED
#kipajichakokiwandachako #unitalentshow #season04
Uku n Bora kuliko bss
Yan wewe Kaka ulipaswa uwe no 1 Ila fitna tu Sasa ucjal toa nyimbo yako 1 tu watanzania wote tutakusupport
hii game kila mtu anajua kuna wamefanya zaid na zaid yake
Nomaaaa🎉
Mchagga akiona hela mbele ni shiiida big up
Woyo woyo 🎉❤
Big up brother....hongera sana kwa KAZI nzuri na kuonyesha kipaji....big up sana kwa familia YAKO ya Wana miburani sec...daima wako pamoja nawe ..I feel proud of you....big up
Oaaaa utaua familia so poa bro
Wow! Amazing talent❤🎉🎉
All of her performances were on top...
Unitlent is unfair the way haukukuwa wa kwanza.u deserve the 1rst place
Waoh 🌺
Hao wapiga vyombo n dunia nyingne 😂😂😂😂khaaaaa
Umeona na ww kumbe.
Bro unakipaji sana. Utafika mbali. Watanzania wanahitaji Performance, Vibe, Entertainment, and Vocal unayo. Nakukaribisha kujifunza vingi Heavenly Vocal and Music School.
Urasa ni fundi
Hahahahaha majaji kazi mlikuwa nayo
Og unajuaaaaaaa
Charii chuga unajua jox umekaza kinoma man si chuga tuna kupa ligwala
Atareeeeeeee huyu mwambaaaaaaaa
Huyu jamaa alishika namba ngap jaman mbn hatar
🔥🔥🔥iki kisanga kingine👐👐
😂😂😂 urassa we jau
Byser 😂🫡
Natamani kusia Ngoma yako ata moja
Keep it up bro
Nice
Mugu awape nini sasa nakumbuka bali😊😅😮😢 1:33
Love
🔥🔥
Nomasana
Kazi kazi
Jamani angekosa ushindi uyu kaka ningesema uchawi upo
Mshindi wang
🔥🔥🔥
Atali wewe
Mlifanya tofauti hapa huyu ndo mshindi 2nayemjua sie
Alikosa Akapewa Mdada, huyu ni wa pili
Anakaa.costa kimpango
Yani ww ndo ulistahili kushinda
🎉🎉🎉🎉
Poa
Me sioni talent. He could be a good MC and he can pull a crowd and has vibes. Lakini talent nop
Hujajua maana ya neno talent... MC pia ni talent.
Na wewe yako😂
Telent ni nini
🔥🔥🔥🔥