Wanaume walio wengi wanapomuacha mwanamke wanafurahi sana kuona mwanamke anateseka.pindi mwanamke anapoweza kujikwamua kimaisha lazima atafute sababu ya kumpotezea mwelekeo.
Nafurahi wanawake tukipendana kama hivi na kushikamana wakati wa tatizo mwenyezi mungu atusimamie na hongera kwa mjumbe aliyemtetea anaonekana ni mwanamke shupavu na hongera wanawake wote mliokuwa pamoja na aliyepawa na tatizo nampa pole sana sikufurahia kile nilichokiona lkn asijar bali afurahie maisha yake ya uhuru
Huyu Kaka aisee apewe fundisho la dunia asirudie Tena, kosa la Kwanza kavamia usiku, pili amepost picha za uchi, tatu amejeruh, nne ametishia amani, tano amedhalilisha mbwa huyu
KIBAYA CHA SERIKALI YA TANZANIA NI KWAMBA MTU ANAFANYIWA UKATILI, LAKINI HUKUMU YAKE NI YA KIPUMBAVU PUMBAVU TUUU.WANGEWAKAMATA WAPIGWEEEE MPAKA DAMU ZIWATOKE KAMA WALIVYOWAFANYA WENZAO.ALAFU NDO WAPELEKWE UKO GEREZANI.
Serikali gani my dear ya Tanzania oooh.Sawa wahusika wamekamatwa tu zaidi watawaweka kwenye gereza ni kula ugali na maharage. Hakuna kingine kwani nikukumbushe kidogo yule baba wa Kigamboni aliyemuuwa mke wake kwa magunia ya mkaa wamemfanya nini??Si yupo tu anakula analala.
Yaani huu ni unyanyasaji na udhalikishaji wa hali ya juu. Vyombo husika tafadhali chukueni hatua. Hawa wamaume wanataka akikuacha akukute umefeli maisha na umechoka choko. Ameona dada wa watu kapata Bwana na maisha yake yako salama ndo amemyanyasa. Waende jela hao woote kwa kweli. Tutawachangia kwa mwnasheria.
Jamani nyie mnaosema kuwa hawakufungu ndoa, hivi hata mtu ukifunga ndo uzalilishwa kiasi hicho??? Sababu hata wangekuwa na ndoa mwanaume kashamfukuza na kipigo juu 🙂🙂 hapa sheria ichukue mkondo wake.
Hivi mwenzio akikwambia amekushindwa mbona ni Jambo jema Kwa mwanaume kuliko kuanza usaliti ndani ya ndoa, amekuambia hakutaki Ni vyema ukakubali kuachika na utafute mwingine wa kuishi nae, pia nimempenda mjumbe alihangaikia wananchi wake anastahili tuzo na uenyekiti wa mtaa
@@navokisembo kwakweli tuwachome tu hawa maana km hatukuwaanza sisi watatumaliza hawana huruma wala mapenzi na sisi wanachotaka kwa mwanamke ni kimoja tu kumaliza matamanio yao ya kimwili tu baada ya hapo wanakudharau na hawataki utoke uende kwa mwengine ndo shida yao!
Daahh nimeumia sana pia nimekumbuka Mapito yangu yani mwanaume akikuacha hapendi akuone umependeza au uwena maisha mazr atataka uhangaike tuu yeye ndo furaha yake Sheria itende haki
Hongera cna da Gea. Ila najua unawasaidia cna watu. Tunaomba uje nauku matosa kuna baba anamtesa nwanae anampiga cnaa mitaani tumemchoka.adella Thadeo niko matosa kumara
Wauwaji Hao yani waume wanapenda kutunyanyasa Sana, wa nataka wasujudiwe kila cku na akikuacha ni aone wadhalilika ndio raha yao lakini akikuona na maisha yako utajuta
Ww ubwa pia ww utafanyiwa hivyo hivyo malipo ni hapa hapa duniani ahera twapeleka isabu kipimo upimiacho nacho mwezako ndicho utapiwa nacho poleeeeee sana dadake nimelia kwa kweli
Mwanaume akikupenda kwa dhati raha sn uwa ajari lolote. Anitha yuko ktk mikono salama ss ya Rashid Mwanaume ni mwanaume tu ss ilo likatiri liache lipambane na mwanaume mwezie Rashid
Yani mwanaume huna hayaa kumzalilisha mwanamke kumpiga akiwa uchi na mweza wake halafu mnawazungusha mtaa kwamtaa hadi kwawanae hivi watoto mnawafuzaa nn eti watoto wamuone mama yao vile mumempigaa nyinyi wakaka Mungu atawalipixaa kwazamu ,mnalazimisha mtu kusema amefumaniwa wakati room niyake?kweli kuna wanaume wanaumwaa kuachwaa
Wanaume wengine hawaeleweki mtu akiwa nae hajui umuhimu wake ila wakiachana ndo wanajuwa umuhimu wa mtu nalengo Lao baazi ya wanaume wakikuacha hawataki apate mtu wa kumsitili ila juu ya hili sheria ichukuwe mkondo wake maana hawa watu ni wahalifu na pia wauwaji
Ubaya mwanamke akipigw mara kwanza ya pili anaona ndo kupendana mpaka haya yatokee ndo mlalamike m namuhurumia new boyfriend lbda makubwa yanakuja kwake awe makini kudeal na wapenzi walotoka kwenye mapenzi ya violence ,...
Wapewe adhabu Kali na viboko 12 asubuhi 12 jioni na fain ya million 90 kiranga kiwaishe na watoto wakabidhiwe mama Yao na atoe matumizi ya laki 3 kila mwez na Ada alipe
Mimi niko naitaji kurudi Africa tena natamani kuishi Tanzania 🇹🇿 lakini nikiona hivi roho ina sita ,mtu kupigwa kama mnyama??? Uku uki piga mwanamke ao mtoto uta fungwa miaka tano.
Siku zote baadh ya wanaume hupwnda kutuacha na wtt sisi kuna mama na wanatak tupate shida siku zote na wanajua wakikuacha hwz kuapta mwanmme mwengine hv kweli hii ni haki?ukiona cha nn mwengine anasema atakiapta lini.tuweni waangalifu jaman kuna wanaume hawafai na niwanyama pole sn dada ula jifunze usikurupuke
Hadi wifi yako anaingilie hayo mambo. Ndugu wa mme ni maumbwa na siuliachana nae huyo mwanaume jamani. Wambie wakulipe mamilioni sijui ngapi ili ujenge nyumba kabisa utulie na watoto wako sehem moja
@@jenymtafya3430 tatizo uwa wanatombwa na kaka zao. Ndomana uwa wanaingilia kilakitu. Nivile tu hairusiwi ingekuwa sheria inaruhusiwa au sio aibu wangekuwa wanaingia mbaka chumbani kukushika Miguu wakati kakazao wanatomba.
Miee kwa mchango wanguu WAOWANEEE NA MCHANGO NITAUTOWAA
Mjumbe upo vzr hongera Kwa kutambua majukumu yako
uyu mama mjumbe yuko vizuri sana mama mungu akubariki unafaa sana kuwa mjumbe
Wanaume wengi wanapenda mkiachana mwanamke uchakae uwe unaomba omba na kudharirika ndio furaha yao
Dah kasoro mimi
Kwa kweliii
Nikweli
Kwelii kabisa,nahawapendwi kuachwa,wao ndo wanataka kuacha wafurahi kuona tunadharirika
Kweli kabisa
Kesi imekaa vizuri sanaa,dagea simama nao Allah atakupa fungu lako.
Yaani dadangu huyo mwanaume mliofumaniwa nae ni bonge la handsome usimwachie kabisaaa tena fungeni na ndoa!
Mjumbeee kunywa soda mamangu naja kulipa🙏🙏🙏🙏
😂
🤣🤣🤣
Kabisaaa
Kbs
Duh!polen sana najarib kuvaa kiatu chao hakinitosh kuna watu wanaroho ngumu yaan anajifanya mungu mtu inasikitisha
Mkaka achukue mzigo kwajumla huo ili wazidi kuumia mwenye wivu ajinyonge
Wanaume walio wengi wanapomuacha mwanamke wanafurahi sana kuona mwanamke anateseka.pindi mwanamke anapoweza kujikwamua kimaisha lazima atafute sababu ya kumpotezea mwelekeo.
Aisee umeongea point mpaka nimelia yaan
Huyo baba hana heshima mzazi mwenzio huwezi kumfanyia hivyo shiria ichukue mkondo wake na ndugu zake wote wakamamtwe
uyu mama anaitaji apandishwe cheo Mana Ana sifa za uongozi
Nafurahi wanawake tukipendana kama hivi na kushikamana wakati wa tatizo mwenyezi mungu atusimamie na hongera kwa mjumbe aliyemtetea anaonekana ni mwanamke shupavu na hongera wanawake wote mliokuwa pamoja na aliyepawa na tatizo nampa pole sana sikufurahia kile nilichokiona lkn asijar bali afurahie maisha yake ya uhuru
Dah! Pole sana ndugu yangu huyu babawatoto lazima nae apate kipigo cha mbwa koko shenzi.
Ukatili sana huu
Pole sana. Mungu awajaalie mfunge ndoa kabisa maana mnaonekana mna upendo wa dhati
Aah sio kwa kipigo icho polen
Geah waambie watoe no tuwachangie wahalalishe ndoa
Poleni sana .toeni no tuwachangie mfunge ndoa kabisaaaaa muwe huru.mhaya goma limemshinda mngoni kachukua na shanga kanununua oyoooo chezea mngoni weeeee.mjumbe shikamoooo
Wakamatwe hao walio fanya kitendo hicho wote Cha uzalilishaji je wangewaua bila kosa mtu ushamuacha bado unamfuatilia wachukuliwe hatua za kisheria
Asante mjumbe kwakuwaokoa hao watu
Dah pole sana mwanamke mwenzetu kwetu Zanzibar unapopita video imesambaa serikali ichukue hatua haraka
Yaaani hakiyamungu Sijuwi,Mungu apishe mbali,Ukiona wa Nini,wengine wanamtaka.
Umeonae
Huyu Kaka aisee apewe fundisho la dunia asirudie Tena, kosa la Kwanza kavamia usiku, pili amepost picha za uchi, tatu amejeruh, nne ametishia amani, tano amedhalilisha mbwa huyu
Swadakta.
Waliogundua dada ni muhaya honga like twende sawa
Dageya wewe kiboko hutucheleweshei mambo mungu akubariki pole mwanamke mwenzetu
Ila me nashauri hao waathirika wa tukio wahame uo mtaa..hawatokuwa na aman ukizingatia hapo ni uswahilini sn
Nimependa ushirikiano wa huo mtaa,wamama wote Mungu awabariki❤
Mjumbe hongera San umejtahd kwa kutumia ujasiri wako
Usisahau mrejesho da Geah
Huo mtaaa nimeupenda na ushirkiano wenu udumu mjumbe hoyee sungu sungu hoyee 😸
Ukifunga ndoa hasa ya kikristo lazima uvumilie kipigo
Gea livalie njunha.hii swala wanawake. Tunadhalilishwa sana
KIBAYA CHA SERIKALI YA TANZANIA NI KWAMBA MTU ANAFANYIWA UKATILI, LAKINI HUKUMU YAKE NI YA KIPUMBAVU PUMBAVU TUUU.WANGEWAKAMATA WAPIGWEEEE MPAKA DAMU ZIWATOKE KAMA WALIVYOWAFANYA WENZAO.ALAFU NDO WAPELEKWE UKO GEREZANI.
Sheria ya nchi za wenzetu ingefuatà ukipiga upigwe kipigo chabwa Koko . Ukiua uuuwawe . Ukimchoma mwezio Moto wa mkaa nae achomwe na petrol .
Lazima serekali ifate mkondo wake,wanawake tunaonewa sana
Serikali gani my dear ya Tanzania oooh.Sawa wahusika wamekamatwa tu zaidi watawaweka kwenye gereza ni kula ugali na maharage. Hakuna kingine kwani nikukumbushe kidogo yule baba wa Kigamboni aliyemuuwa mke wake kwa magunia ya mkaa wamemfanya nini??Si yupo tu anakula analala.
@@alexandrinadomaino9868 maish ya rah tu .
Yaani huu ni unyanyasaji na udhalikishaji wa hali ya juu. Vyombo husika tafadhali chukueni hatua. Hawa wamaume wanataka akikuacha akukute umefeli maisha na umechoka choko. Ameona dada wa watu kapata Bwana na maisha yake yako salama ndo amemyanyasa. Waende jela hao woote kwa kweli. Tutawachangia kwa mwnasheria.
Jamani nyie mnaosema kuwa hawakufungu ndoa, hivi hata mtu ukifunga ndo uzalilishwa kiasi hicho??? Sababu hata wangekuwa na ndoa mwanaume kashamfukuza na kipigo juu 🙂🙂 hapa sheria ichukue mkondo wake.
Mshenzi Sana umemuwacha na kumpiga piga kila siku kwann. Bora ulivyo ondoka angekuuwa hyo mshenzi. Malaya mzee nyoo Kubari kuwachwa
Wamewafedhehesha sanaaa jaamaanii.....serikali ifanye kazi ipasavyo haasaa wakomee na wengine wajifunze
Kiswahili chako kizuri sana👌👍 🇹🇿🇹🇿 + 🇸🇪🇸🇪
@@eddieeddie2755 Asantee rafiki napendaa sana kiswahili fasaha.....nachukizwa na wanaohariibu matamshi
Hivi mwenzio akikwambia amekushindwa mbona ni Jambo jema Kwa mwanaume kuliko kuanza usaliti ndani ya ndoa, amekuambia hakutaki Ni vyema ukakubali kuachika na utafute mwingine wa kuishi nae, pia nimempenda mjumbe alihangaikia wananchi wake anastahili tuzo na uenyekiti wa mtaa
Pole Sana mdogo wangu
Tafadhali wapelekwe mahakamani kwa kosa kukusudia kuua. HAKUNA MDHAMANA. STRAIGHT TO UKONGA. #wazirisimbachawane #mahakamayahakitanzania
Yaani ukatili wa wanaume umezidi Sana kwa wanawake lazima wachukuliwe hatua Kali iwe fundisho kwa wanaume wengine
@@fatmaabdallah7709 ndo maana wanachomwa moto kwa kweli wala siwaobei huruma mashetani hao
@@navokisembo kwakweli tuwachome tu hawa maana km hatukuwaanza sisi watatumaliza hawana huruma wala mapenzi na sisi wanachotaka kwa mwanamke ni kimoja tu kumaliza matamanio yao ya kimwili tu baada ya hapo wanakudharau na hawataki utoke uende kwa mwengine ndo shida yao!
Daahh nimeumia sana pia nimekumbuka
Mapito yangu yani mwanaume akikuacha hapendi akuone umependeza au uwena maisha mazr atataka uhangaike tuu yeye ndo furaha yake
Sheria itende haki
Naona ss ni siku za mwesho za kiama mbona ukatili umezidi Allah atatuongoza INSHAALLAH
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amiin
Amiin yarabal alamin
Niambie bachuchu kwa uko home ulitoka gulf
SIKU ZA MWISHO KWAKO WEWE kama utakufa kesho iyo ni wewe sisi haituhusu WEKUFA HATA SAIVI SANDA CHAP NA TUNAKUSAHAU tuliza wenge BUDA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@activestudios. Kweli wewe ni shetani 😏
Poleni Jamani, Wachukuliwe Hatua Kali Hao Ma Bounce, Makatili.
Mimi naungana na Mhe wazir wana wake tuna onewa sana
@@aminaibrahim4148 Tatizo Utaskia Wameachiliwa Wako Huru Majambazi Hao
Mungu akuweke mjumbe
Poleni jamani much love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mjumbe shina no 4 ni mwanamke na nusu,hiki kitendo ni udhalilishaji wa hali ya juu,sheria ifate mkondo wake
Dada geah mwenyezi mungu akuweke sana wallah unafufua ambayo hayawezekani ❤Hongera sana natamani hata nikuone au niwe kama wewe
Hongera cna da Gea. Ila najua unawasaidia cna watu. Tunaomba uje nauku matosa kuna baba anamtesa nwanae anampiga cnaa mitaani tumemchoka.adella Thadeo niko matosa kumara
Mama Mjumbe hongera sana mulitumiaa akili ikuwaokoa
Ad chozi limenitoka kwakweli polen Sana mungu ni mwema haki itatendeka
Poleni sana jaman
Mjumbe upo vizuri
Pole sana
Jameni Dada Geah Tv twangoja kuwaona Wadhalilisha walo fanya hivo Vituko vya kuwapiga Wawili Hao, 🙆♀️😢😡😡
Daa deki mijanamume mingine misenge mmh
Wauwaji Hao yani waume wanapenda kutunyanyasa Sana, wa nataka wasujudiwe kila cku na akikuacha ni aone wadhalilika ndio raha yao lakini akikuona na maisha yako utajuta
Hii kesi maziwa kabisa sheria ichukue mkondo wake
Aisee kesi kubwa hiyo!, nchi ya ajabu sana, mijitu haijielewi
Ww ubwa pia ww utafanyiwa hivyo hivyo malipo ni hapa hapa duniani ahera twapeleka isabu kipimo upimiacho nacho mwezako ndicho utapiwa nacho poleeeeee sana dadake nimelia kwa kweli
Mwanaume akikupenda kwa dhati raha sn uwa ajari lolote. Anitha yuko ktk mikono salama ss ya Rashid
Mwanaume ni mwanaume tu ss ilo likatiri liache lipambane na mwanaume mwezie Rashid
mjombe mungu akupe umri
Wanawake mngeshirikiana hivyo siku hiyo huyo asingetembezwa uchi
Hongerasanaaa mama mjumbe
Ndoa muhimu. Jamani. Wenyewivu wajinyonge
Yani mwanaume huna hayaa kumzalilisha mwanamke kumpiga akiwa uchi na mweza wake halafu mnawazungusha mtaa kwamtaa hadi kwawanae hivi watoto mnawafuzaa nn eti watoto wamuone mama yao vile mumempigaa nyinyi wakaka Mungu atawalipixaa kwazamu ,mnalazimisha mtu kusema amefumaniwa wakati room niyake?kweli kuna wanaume wanaumwaa kuachwaa
Yaani huyu mwanaume hafai hata kwa service anashindwa kutafuta pesa anafanya kazi ya kumzalilisha mwanamke ambae anatafutia watoto wake Hana akili!!
@@ghatititus7136 wivuu unamsumbua tuu nawameachanaa yani siku wanaume wakiachwaa huwa wanawivuu yani usipate muwe draw huyo achukuliwe hatua
Wanaume wengine hawaeleweki mtu akiwa nae hajui umuhimu wake ila wakiachana ndo wanajuwa umuhimu wa mtu nalengo Lao baazi ya wanaume wakikuacha hawataki apate mtu wa kumsitili ila juu ya hili sheria ichukuwe mkondo wake maana hawa watu ni wahalifu na pia wauwaji
Kwa kweli
Yani wallah Kuna vitu vingine tunaviona kama muvi ila vipo katika jamii 😭😭😭Subhanaallah yarabii tunusuru na hawa viumbe
Ubaya mwanamke akipigw mara kwanza ya pili anaona ndo kupendana mpaka haya yatokee ndo mlalamike m namuhurumia new boyfriend lbda makubwa yanakuja kwake awe makini kudeal na wapenzi walotoka kwenye mapenzi ya violence ,...
Dada mstaarabu jamani uyo mzazi mwenzio alitamani kuona anachakaa sio afanikiwe maisha haya khaa
Daah poleni sana
Huu ni ukatili wa kijinsia, ukatili wa watoto
Subhanallah haki itendeke
yan ad wifi ameenda kumdhalilisha mwanamke mwenzie mmh..mawifiii wamrudie mungu mana wanajionaga wamemaliza kila kitu
Poleni
Allah nijaalie mimi nipate mume mzuri na awe kama mtani wngu ajue hali yngu nijue hali yake 🤲🤲🤲🤲
Mungu yupo atawapigania. Ila fungeni ndoa mapema.
Kabisa wanaume awawez kutunza ila wakiacha bd wa nataman iwe fundisho kwa wanaume wote
Duh pole sana
Poleee sana hayoo yapo wanaume wengine ndivyo wanatunyanyasa tabiya zipo sanaa
Wapewe adhabu Kali na viboko 12 asubuhi 12 jioni na fain ya million 90 kiranga kiwaishe na watoto wakabidhiwe mama Yao na atoe matumizi ya laki 3 kila mwez na Ada alipe
Jamaa huyo hana pesa alitaka ajitajirishe toka kwa huyo mama watoto wake akitumia nguvu ni mtu mbaya njia nzuri ni kuvunja kabisa uhusiano
Hiyo hela itoke wapi na anaenda jela milele
Mimi niko naitaji kurudi Africa tena natamani kuishi Tanzania 🇹🇿 lakini nikiona hivi roho ina sita ,mtu kupigwa kama mnyama??? Uku uki piga mwanamke ao mtoto uta fungwa miaka tano.
Je wewe haukuwai kuishi Tanzania
Poleni sana jamani
Rashid amenifurahisha ndoa ipite nahao watafutwe sheria ifate mkondo wake amehojiwa upande wapili mm nimefurahia sana usimuliaji wake
Anyway poleni sana jamani.
Washitakiwe kabisa yaani wanaume sijui wapoje wakikuacha wanapenda uteseke lakini akikuona umestirika wanaleta shida
Poleni sana hao ni zaidi ya wa nyama mungu ata wa lipia huo unyama nawao wata lipwa
Serikali isiposhughulika na hili swala aah nitaona kweli nchi yetu haina amani wafungwe kabisa wauaji wakubwa wale
Washenzi sana. Hao wafungwe kabisa kabisa
Pole dd hiyo familia waliowapiga woote wasenge
Sana tu
Aisee.
maskn mungu atakusaidia hii siaki
Iv mbona ni rohoo ya ushetanii snaa hii jmny duh.. dadangu polee snaa
Jamn mwenye hiyo video naomba unitumie pleas dah😭😭😭tukiwachoma.motoo wanatusema vbya mnatak tufanye nn
Siku zote baadh ya wanaume hupwnda kutuacha na wtt sisi kuna mama na wanatak tupate shida siku zote na wanajua wakikuacha hwz kuapta mwanmme mwengine hv kweli hii ni haki?ukiona cha nn mwengine anasema atakiapta lini.tuweni waangalifu jaman kuna wanaume hawafai na niwanyama pole sn dada ula jifunze usikurupuke
Dada Huyo mwanaume usimuache salama maana amekuzalilisha san
Hatari kwa kweli sheria ifate mkondo🙏sasa jamaa mmoja alifumaniwa kwetu akanadiwa mwizi basi anakimbia anajinadishia mwenyewe mm sio mwizi mgoni😁
Ila kuna watu awajui kuachika jmn sijui kwnn yananikuta haya yaan MTU anakufatilia mpk utumbo
Mm mwanaume awez kufikia ivi woyii tna familia nzima amuoni haya nyoko nyie
c uliona zungu kachomwa moto kisa zungu kasema tuachane watu hawataki kuachwa
Utupe na update ya kesi, lengo tujue maamuzi yaliyofikuwa.......!!!
Polenisana wafungwe kabisa iwefundisho nawengine wanatakaga mkiachana uchakarike
Mwanaume uyo mzuri usimwache uyo baba watoto akae kwakutulia
Pole dada ang
Hadi wifi yako anaingilie hayo mambo. Ndugu wa mme ni maumbwa na siuliachana nae huyo mwanaume jamani. Wambie wakulipe mamilioni sijui ngapi ili ujenge nyumba kabisa utulie na watoto wako sehem moja
Mawifi kuingia Mbinguni itakuwa taabu saana, kwa kushadadia yasiyo wahusu sasa😀😀
@@jenymtafya3430 tatizo uwa wanatombwa na kaka zao. Ndomana uwa wanaingilia kilakitu. Nivile tu hairusiwi ingekuwa sheria inaruhusiwa au sio aibu wangekuwa wanaingia mbaka chumbani kukushika Miguu wakati kakazao wanatomba.
@@dyanatanz6574 🤣🤣🤭
@@dyanatanz6574 msimulia mvua imemnyeshea,tunakushukur kwakutufumbua macho kuwa
@@dyanatanz6574 kumbe huwa unalalwa na kakako!hongera